# ss/Swahili-NT.xml.gz
# zu/Zulu-NT.xml.gz


(src)="b.MAT.1.1.1"> Yesu Kristo alikuwa mzawa wa Daudi , mzawa wa Abrahamu .
(src)="b.MAT.1.1.2"> Hii ndiyo orodha ya ukoo wake :
(trg)="b.MAT.1.1.1"> Incwadi yokuzalwa kukaJesu Kristu , indodana kaDavide , indodana ka-Abrahama .

(src)="b.MAT.1.2.1"> Abrahamu alimzaa Isaka , Isaka alimzaa Yakobo , Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake ,
(trg)="b.MAT.1.2.1"> U-Abrahama wazala u-Isaka , u-Isaka wazala uJakobe , uJakobe wazala uJuda nabafowabo ;

(src)="b.MAT.1.3.1"> Yuda alimzaa Faresi na Zera ( mama yao alikuwa Tamari ) , Faresi alimzaa Hesroni , Hesroni alimzaa Rami ,
(trg)="b.MAT.1.3.1"> uJuda wazala oFaresi noZara kuTamari , uFaresi wazala u-Esiromu , u-Esiromu wazala u-Aramu ;

(src)="b.MAT.1.4.1"> Rami alimzaa Aminadabu , Aminadabu alimzaa Nashoni , Nashoni alimzaa Salmoni ,
(trg)="b.MAT.1.4.1"> u-Aramu wazala u-Aminadaba , u-Aminadaba wazala uNasoni , uNasoni wazala uSalimoni ;

(src)="b.MAT.1.5.1"> Salmoni alimzaa Boazi ( mama yake Boazi alikuwa Rahabu ) .
(src)="b.MAT.1.5.2"> Boazi na Ruthi walikuwa wazazi wa Obedi , Obedi alimzaa Yese ,
(trg)="b.MAT.1.5.1"> uSalimoni wazala uBowasi kuRakhabi , uBowasi wazala u-Obede kuRuthe , u-Obede wazala uJesayi ;

(src)="b.MAT.1.6.1"> naye Yese alimzaa Mfalme Daudi .
(src)="b.MAT.1.6.2"> Daudi alimzaa Solomoni ( mama yake Solomoni alikuwa mke wa Uria ) .
(trg)="b.MAT.1.6.1"> uJesayi wazala uDavide , inkosi .
(trg)="b.MAT.1.6.2"> UDavide wazala uSolomoni kumka-Uriya ;

(src)="b.MAT.1.7.1"> Solomoni alimzaa Rehoboamu , Rehoboamu alimzaa Abiya , Abiya alimzaa Asa ,
(trg)="b.MAT.1.7.1"> uSolomoni wazala uRobowamu , uRobowamu wazala u-Abiya , u-Abiya wazala u-Asafa ;

(src)="b.MAT.1.8.1"> Asa alimzaa Yehoshafati , Yehoshafati alimzaa Yoramu , Yoramu alimzaa Uzia ,
(trg)="b.MAT.1.8.1"> u-Asafa wazala uJosafati , uJosafati wazala uJoramu , uJoramu wazala u-Oziya ;

(src)="b.MAT.1.9.1"> Uzia alimzaa Yothamu , Yothamu alimzaa Ahazi , Ahazi alimzaa Hezekia ,
(trg)="b.MAT.1.9.1"> u-Oziya wazala uJothamu , uJothamu wazala u-Akazi , u-Akazi wazala uHezekiya ;

(src)="b.MAT.1.10.1"> Hezekia alimzaa Manase , Manase alimzaa Amoni , Amoni alimzaa Yosia ,
(trg)="b.MAT.1.10.1"> uHezekiya wazala uManase , uManase wazala u-Amoni , u-Amoni wazala uJosiya ;

(src)="b.MAT.1.11.1"> Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake .
(src)="b.MAT.1.11.2"> Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni .
(trg)="b.MAT.1.11.1"> uJosiya wazala uJekoniya nabafowabo ngesikhathi sokuthunjelwa eBabiloni .

(src)="b.MAT.1.12.1"> Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishomi Babuloni : Yekonia alimzaa Shealtieli , Shealtieli alimzaa Zerobabeli ,
(trg)="b.MAT.1.12.1"> Kwathi emva kokuthunjelwa eBabiloni uJekoniya wazala uSalatiyeli , uSalatiyeli wazala uZorobabeli ;

(src)="b.MAT.1.13.1"> Zerobabeli alimzaa Abiudi , Abiudi alimzaa Eliakimu , Eliakimu alimzaa Azori ,
(trg)="b.MAT.1.13.1"> uZorobabeli wazala u-Abiyudi , u-Abiyudi wazala u-Eliyakimi , u-Eliyakimi wazala u-Azori ;

(src)="b.MAT.1.14.1"> Azori alimzaa Zadoki , Zadoki alimzaa Akimu , Akimu alimzaa Eliudi ,
(trg)="b.MAT.1.14.1"> u-Azori wazala uSadoki , uSadoki wazala u-Akimi , u-Akimi wazala u-Eliyudi ;

(src)="b.MAT.1.15.1"> Eliudi alimzaa Eleazeri , Eleazeri alimzaa Mathani , Mathani alimzaa Yakobo ,
(trg)="b.MAT.1.15.1"> u-Eliyudi wazala u-Eleyazare , u-Eleyazare wazala uMathani , uMathani wazala uJakobe ;

(src)="b.MAT.1.16.1"> Yakobo alimzaa Yosefu , aliyekuwa mume wake Maria , mama yake Yesu , aitwaye Kristo .
(trg)="b.MAT.1.16.1"> uJakobe wazala uJosefa , indoda kaMariya , azalwa nguye uJesu othiwa uKristu .

(src)="b.MAT.1.17.1"> Basi , kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi , vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni , na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo .
(trg)="b.MAT.1.17.1"> Zinjalo-ke izizukulwane zonke ezisukela ku-Abrahama ziye kuDavide , ziyizizukulwane eziyishumi nane ; nezisukela kuDavide ziye ekuthunjelweni eBabiloni ziyizizukulwane eziyishumi nane ; nezisukela ekuthunjelweni eBabiloni ziye kuKristu ziyizizukulwane eziyishumi nane .

(src)="b.MAT.1.18.1"> Basi , hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa : Maria , mama yake , alikuwa ameposwa na Yosefu .
(src)="b.MAT.1.18.2"> Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke , alionekana kuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .
(trg)="b.MAT.1.18.1"> Ukuzalwa kukaJesu Kristu kwaba nje : unina uMariya esemiselwe uJosefa , bengakahlangani wafunyanwa ekhulelwe ngoMoya oNgcwele .

(src)="b.MAT.1.19.1"> Yosefu , mumewe , kwa vile alikuwa mwadilifu , hakutaka kumwaibisha hadharani ; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri .
(trg)="b.MAT.1.19.1"> Kepha uJosefa indoda yakhe engumuntu olungileyo , engathandi ukumthela ihlazo , wayefuna ukumlahla ngasese .

(src)="b.MAT.1.20.1"> Alipokuwa bado anawaza jambo hilo , malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto , akamwambia , " Yosefu , mwana wa Daudi , usiogope kumchukua Maria awe mke wako , maana amekuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .
(trg)="b.MAT.1.20.1"> Esazindla ngalokho , bheka , ingelosi yeNkosi yabonakala kuye ngephupho , ithi : “ Josefa , ndodana kaDavide , ungesabi ukumthatha uMariya umkakho , ngokuba lokho akukhulelweyo kungoMoya oNgcwele .

(src)="b.MAT.1.21.1"> Atajifungua mtoto wa kiume , nawe utampa jina Yesu , kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao . "
(trg)="b.MAT.1.21.1"> Uzakuzala indodana , uyiqambe igama lokuthi uJesu , ngokuba nguye oyakusindisa abantu bakhe ezonweni zabo . ”

(src)="b.MAT.1.22.1"> Basi , haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii :
(trg)="b.MAT.1.22.1"> Lokhu konke kwenzeka ukuba kugcwaliseke okwakhulunywa yiNkosi ngomprofethi ukuthi :

(src)="b.MAT.1.23.1"> " Bikira atachukua mimba , atamzaa mtoto wa kiume , naye ataitwa Emanueli " ( maana yake , " Mungu yu pamoja nasi " ) .
(trg)="b.MAT.1.23.1"> “ Bheka , intombi iyakukhulelwa , izale indodana ; bayakuyiqamba igama lokuthi u-Emanuweli , ” okungukuthi ngokuhunyushwa “ uNkulunkulu unathi ” .

(src)="b.MAT.1.24.1"> Hivyo , Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia , akamchukua mke wake nyumbani .
(trg)="b.MAT.1.24.1"> UJosefa esevukile ebuthongweni wenza njengalokho imyalile ingelosi yeNkosi , wamthatha umkakhe ;

(src)="b.MAT.1.25.1"> Lakini hakumjua kamwe kimwili hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume .
(src)="b.MAT.1.25.2"> Naye Yosefu akampa jina Yesu .
(trg)="b.MAT.1.25.1"> akaze aya kuye , waze wazibula ngendodana ; wayiqamba igama lokuthi uJesu .

(src)="b.MAT.2.1.1"> Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu , mkoani Yudea , wakati Herode alipokuwa mfalme .
(src)="b.MAT.2.1.2"> Punde tu baada ya kuzaliwa kwake , wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu ,
(trg)="b.MAT.2.1.1"> UJesu esezelwe eBetlehema laseJudiya emihleni kaHerode inkosi , bheka , kwafika izazi eJerusalema , zivela empumalanga , zithi :

(src)="b.MAT.2.2.1"> wakauliza , " Yuko wapi mtoto , Mfalme wa Wayahudi , aliyezaliwa ?
(src)="b.MAT.2.2.2"> Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki , tukaja kumwabudu . "
(trg)="b.MAT.2.2.1"> “ Uphi lowo ozelwe eyinkosi yabaJuda na ?
(trg)="b.MAT.2.2.2"> Ngokuba sibonile inkanyezi yakhe kwelasempumalanga , size ukukhuleka kuye . ”

(src)="b.MAT.2.3.1"> Mfalme Herode aliposikia hayo , alifadhaika , yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu .
(trg)="b.MAT.2.3.1"> UHerode inkosi esekuzwile lokho wakhathazeka neJerusalema lonke kanye naye .

(src)="b.MAT.2.4.1"> Basi akawaita pamoja makuhani wakuu wote na walimu wa Sheria , akawauliza , " Kristo atazaliwa wapi ? "
(trg)="b.MAT.2.4.1"> Wabutha bonke abapristi abakhulu nababhali besizwe , wabuza kubo ukuthi uKristu uzakuzalelwaphi .

(src)="b.MAT.2.5.1"> Nao wakamjibu , " Mjini Bethlehemu , mkoani Yudea .
(src)="b.MAT.2.5.2"> Ndivyo nabii alivyoandika :
(trg)="b.MAT.2.5.1"> Bathi kuye : “ EBetlehema laseJudiya , ngokuba kulotshiwe kanjalo ngomprofethi ukuthi :

(src)="b.MAT.2.6.1"> Ewe Bethlehemu katika nchi ya Yuda , kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda ; maana kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu , Israeli . "
(trg)="b.MAT.2.6.1"> “ ‘ Nawe Betlehema , lizwe lakwaJuda , kawusiye omncane nakanye kubabusi bakwaJuda , ngokuba kuyakuvela kuwe umbusi oyakwalusa isizwe sami u-Israyeli . ’ ”

(src)="b.MAT.2.7.1"> Hapo , Herode aliwaita faraghani hao wataalamu wa nyota , akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea .
(trg)="b.MAT.2.7.1"> Khona uHerode , ezibizile izazi ngasese , wabuzisisa kuzo isikhathi inkanyezi ebonakele ngaso ,

(src)="b.MAT.2.8.1"> Kisha akawatuma Bethlehemu akisema , " Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo .
(src)="b.MAT.2.8.2"> Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu . "
(trg)="b.MAT.2.8.1"> wazithuma eBetlehema , wathi : “ Hambani nibuzisise ngomntwana ; kuyakuthi nxa nimfumene , ningitshele ukuba nami ngiye ngikhuleke kuye . ”

(src)="b.MAT.2.9.1"> Baada ya kumsikiliza mfalme , hao wataalamu wa nyota wakaenda .
(src)="b.MAT.2.9.2"> Kumbe ile nyota waliyokuwa wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto .
(trg)="b.MAT.2.9.1"> Seziyizwile inkosi , zamuka ; bheka , inkanyezi ezayibona kwelasempumalanga yahamba phambi kwazo , yaze yafika yema phezu kwalapho umntwana ekhona .

(src)="b.MAT.2.10.1"> Walipoiona hiyo nyota , walifurahi mno .
(trg)="b.MAT.2.10.1"> Zathi ukuyibona inkanyezi , zathokoza ngokuthokoza okukhulu kakhulu .

(src)="b.MAT.2.11.1"> Basi , wakaingia nyumbani , wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake ; wakapiga magoti , wakamsujudia .
(src)="b.MAT.2.11.2"> Kisha wakafungua hazina zao , wakampa zawadi : dhahabu , ubani na manemane .
(trg)="b.MAT.2.11.1"> Zase zingena endlini , zabona umntwana noMariya unina , zawa phansi , zakhuleka kuye , zavula amagugu azo , zamkhunga ngezipho : igolide namakha nenhlaka .

(src)="b.MAT.2.12.1"> Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie Herode ; hivyo wakarudi makwao kwa njia nyingine .
(trg)="b.MAT.2.12.1"> Kwathi ziyaliwe nguNkulunkulu ngephupho ukuba zingabuyeli kuHerode , zabuyela ezweni lakubo ngenye indlela .

(src)="b.MAT.2.13.1"> Baada ya wale wageni kuondoka , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto , akamwambia , " Amka !
(src)="b.MAT.2.13.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , mkimbilie Misri .
(src)="b.MAT.2.13.3"> Kaeni huko mpaka nitakapokwambia , maana Herode anakusudia kumwua huyu mtoto . "
(trg)="b.MAT.2.13.1"> Sezimukile , bheka , ingelosi yeNkosi yabonakala kuJosefa ngephupho , ithi : “ Vuka uthabathe umntwana nonina , ubalekele eGibithe , uhlale khona , ngize ngikutshele ; ngokuba uHerode uzakumfuna umntwana ukuba ambhubhise . ”

(src)="b.MAT.2.14.1"> Hivyo , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akaondoka usiku , akaenda Misri .
(trg)="b.MAT.2.14.1"> Wavuka-ke , wathabatha umntwana nonina ebusuku , wamuka waya eGibithe ,

(src)="b.MAT.2.15.1"> Akakaa huko mpaka Herode alipokufa .
(src)="b.MAT.2.15.2"> Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie : " Nilimwita Mwanangu kutoka Misri . "
(trg)="b.MAT.2.15.1"> wahlala khona , waze wafa uHerode , ukuze kugcwaliseke okwakhulunywa yiNkosi ngomprofethi ukuthi : “ Ngayibiza indodana yami iphume eGibithe . ”

(src)="b.MAT.2.16.1"> Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa , alikasirika sana .
(src)="b.MAT.2.16.2"> Akaamuru watoto wote wa kiume mjini Bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe .
(src)="b.MAT.2.16.3"> Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota .
(trg)="b.MAT.2.16.1"> Khona uHerode , esebonile ukuthi izazi zimphambile , wathukuthela kakhulu , wathumela wabulala bonke abantwana besilisa baseBetlehema nasendaweni yonke yangakhona , abaminyaka mibili nangaphansi njengesikhathi abesibuzisisile kuzo izazi .

(src)="b.MAT.2.17.1"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia :
(trg)="b.MAT.2.17.1"> Khona kwagcwaliseka okwakhulunywa ngoJeremiya umprofethi ukuthi :

(src)="b.MAT.2.18.1"> " Sauti imesikika mjini Rama , kilio na maombolezo mengi .
(src)="b.MAT.2.18.2"> Raheli anawalilia watoto wake , wala hataki kutulizwa , maana wote wamefariki . "
(trg)="b.MAT.2.18.1"> “ Kwezwakala izwi eRama , ukukhala nokulila okukhulu , uRakheli ekhalela abantwana bakhe , engavumi ukududuzwa , ngokuba abasekho . ”

(src)="b.MAT.2.19.1"> Baada ya kifo cha Herode , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri ,
(trg)="b.MAT.2.19.1"> Kepha uHerode esefile , bheka , ingelosi yeNkosi yabonakala ngephupho kuJosefa eGibithe , yathi :

(src)="b.MAT.2.20.1"> akamwambia , " Amka !
(src)="b.MAT.2.20.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , urudi tena katika nchi ya Israeli , maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa . "
(trg)="b.MAT.2.20.1"> “ Vuka uthabathe umntwana nonina , uye ezweni lakwa-Israyeli ; ngokuba sebefile ababezingela ukuphila komntwana . ”

(src)="b.MAT.2.21.1"> Basi , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akarejea katika nchi ya Israeli .
(trg)="b.MAT.2.21.1"> Wasuka-ke , wathabatha umntwana nonina , wafika ezweni lakwa-Israyeli .

(src)="b.MAT.2.22.1"> Lakini Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake , aliogopa kwenda huko .
(src)="b.MAT.2.22.2"> Naye baada ya kuonywa katika ndoto , alikwenda katika mkoa wa Galilaya ,
(trg)="b.MAT.2.22.1"> Kepha ezwa ukuthi sekubusa u-Arkelawu eJudiya esikhundleni sikaHerode uyise , wesaba ukuya khona ; eseyaliwe nguNkulunkulu ngephupho wamuka waya kwelaseGalile ;

(src)="b.MAT.2.23.1"> akahamia katika mji uitwao Nazareti .
(src)="b.MAT.2.23.2"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii : " Ataitwa Mnazare . "
(trg)="b.MAT.2.23.1"> wafika wakha emzini othiwa iNazaretha ukuba kugcwaliseke okwakhulunywa ngabaprofethi ukuthi : “ Uyakubizwa ngokuthi umNazaretha . ”

(src)="b.MAT.3.1.1"> Siku hizo Yohane Mbatizaji alitokea , akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea :
(trg)="b.MAT.3.1.1"> Ngaleyo mihla kwavela uJohane uMbhapathizi eshumayela ehlane laseJudiya , ethi :

(src)="b.MAT.3.2.1"> " Tubuni , maana Ufalme wa mbinguni umekaribia . "
(trg)="b.MAT.3.2.1"> “ Phendukani , ngokuba umbuso wezulu ususondele ! ”

(src)="b.MAT.3.3.1"> Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema : " Sauti ya mtu imesikika jangwani : Mtayarishieni Bwana njia yake , nyoosheni vijia vyake . "
(trg)="b.MAT.3.3.1"> Ngokuba nguye akhuluma ngaye umprofethi u-Isaya , ethi : “ Izwi lomemezayo ehlane , lithi : ‘ Lungisani indlela yeNkosi , nenze imikhondo yayo iqonde . ’ ”

(src)="b.MAT.3.4.1"> Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya ya ngamia , na ukanda wa ngozi kiunoni mwake .
(src)="b.MAT.3.4.2"> Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni .
(trg)="b.MAT.3.4.1"> Yena uJohane wayenengubo yoboya bekamela noqhotho lwesikhumba okhalweni lwakhe ; ukudla kwakhe kwakuyizinkumbi nezinyosi zasendle .

(src)="b.MAT.3.5.1"> Basi , watu kutoka Yerusalemu , kutoka mkoa wote wa Yudea na sehemu zote za kandokando ya mto Yordani , walimwendea ,
(trg)="b.MAT.3.5.1"> Khona kwaphumela kuye iJerusalema , neJudiya lonke , nezwe lonke laseJordani ,

(src)="b.MAT.3.6.1"> wakaziungama dhambi zao , naye akawabatiza katika mto Yordani .
(trg)="b.MAT.3.6.1"> babhapathizwa nguye emfuleni iJordani bevuma izono zabo .

(src)="b.MAT.3.7.1"> Lakini alipowaona Mafarisayo wengi na Masadukayo wanamjia ili awabatize , aliwaambia , " Enyi kizazi cha nyoka !
(src)="b.MAT.3.7.2"> Ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja ?
(trg)="b.MAT.3.7.1"> Kepha kwathi ebona abaningi kubaFarisi nabaSadusi beza embhapathizweni , wathi kubo : “ Nzalo yezinyoka , ngubani onibonise ukubalekela intukuthelo ezayo na ?

(src)="b.MAT.3.8.1"> Onyesheni basi kwa matendo , kwamba mmetubu kweli .
(trg)="b.MAT.3.8.1"> Ngakho vezani izithelo ezifanele ukuphenduka .

(src)="b.MAT.3.9.1"> Msidhani kwamba mtaweza kujitetea kwa kusema , Baba yetu ni Abrahamu !
(src)="b.MAT.3.9.2"> Nawaambieni hakika , Mungu anaweza kuyafanya mawe haya yawe watoto wa Abrahamu .
(trg)="b.MAT.3.9.1"> Ningacabangi ukuba ningasho phakathi kwenu ukuthi : ‘ Sinobaba u-Abrahama ; ’ ngokuba ngithi kini : UNkulunkulu angamvusela u-Abrahama abantwana kulawa matshe .

(src)="b.MAT.3.10.1"> Basi , shoka liko tayari kuikata mizizi ya miti ; hivyo , kila mti usiozaa matunda mazuri , utakatwa na kutupwa motoni .
(trg)="b.MAT.3.10.1"> Izembe selibekiwe empandeni yemithi ; ngakho yonke imithi engatheli izithelo ezinhle iyanqunywa , iphonswe emlilweni .

(src)="b.MAT.3.11.1"> Mimi ninawabatizeni kwa maji kuonyesha kwamba mmetubu .
(src)="b.MAT.3.11.2"> Lakini yule anayekuja baada yangu ana uwezo kuliko mimi .
(src)="b.MAT.3.11.3"> Mimi sistahili hata kubeba viatu vyake .
(src)="b.MAT.3.11.4"> Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto .
(trg)="b.MAT.3.11.1"> “ Mina nginibhapathiza ngamanzi , kube ngukuphenduka ; kepha yena oza emva kwami unamandla kunami engingafanele ukuthwala izicathulo zakhe ; yena uzakunibhapathiza ngoMoya oNgcwele nangomlilo ,

(src)="b.MAT.3.12.1"> Yeye anashika mkononi chombo cha kupuria nafaka , ili aipure nafaka yake ; akusanye ngano ghalani , na makapi ayachome kwa moto usiozimika . "
(trg)="b.MAT.3.12.1"> ombenge yakhe yokwela isesandleni sakhe ; uzakushanelisisa isibuya sakhe , abuthele amabele enqolobaneni yakhe ; kepha amakhoba uzakuwashisa ngomlilo ongacimekiyo . ”

(src)="b.MAT.3.13.1"> Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani , akamwendea Yohane ili abatizwe naye .
(trg)="b.MAT.3.13.1"> Khona uJesu evela eGalile wafika kuJohane eJordani ukuba azobhapathizwa nguye .

(src)="b.MAT.3.14.1"> Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema , " Je , wewe unakuja kwangu ?
(src)="b.MAT.3.14.2"> Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe . "
(trg)="b.MAT.3.14.1"> Kepha uJohane wamalela wathi : “ Yimi engiswela ukubhapathizwa nguwe ; wena uza kimi na ? ”

(src)="b.MAT.3.15.1"> Lakini Yesu akamjibu , " Acha tu iwe hivyo kwa sasa , maana kwa namna hii inafaa tuyatekeleze yale yote Mungu anayotaka . "
(src)="b.MAT.3.15.2"> Hapo Yohane akakubali .
(trg)="b.MAT.3.15.1"> UJesu waphendula , wathi kuye : “ Vuma kalokhu , ngokuba kusifanele ukugcwalisa kanjalo ukulunga konke . ”
(trg)="b.MAT.3.15.2"> Khona wayesemvumela .

(src)="b.MAT.3.16.1"> Mara tu Yesu alipokwisha batizwa , alitoka majini ; na ghafla mbingu zikafunguka , akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kutua juu yake .
(trg)="b.MAT.3.16.1"> UJesu esebhapathiziwe wakhuphuka masinyane emanzini ; bheka , izulu lavuleka , wabona uMoya kaNkulunkulu ehla njengejuba , eza phezu kwakhe .

(src)="b.MAT.3.17.1"> Sauti kutoka mbinguni ikasema , " Huyu ndiye Mwanangu mpendwa , nimependezwa naye . "
(trg)="b.MAT.3.17.1"> Bheka , kwavela izwi ezulwini , lithi : “ Lo uyiNdodana yami ethandekayo engithokozile ngayo . ”

(src)="b.MAT.4.1.1"> Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi .
(trg)="b.MAT.4.1.1"> Khona uJesu waholelwa nguMoya ehlane ukuba alingwe nguSathane .

(src)="b.MAT.4.2.1"> Akafunga siku arubaini mchana na usiku , na mwishowe akaona njaa .
(trg)="b.MAT.4.2.1"> Esezilile ukudla izinsuku ezingamashumi amane nobusuku obungamashumi amane , wagcina walamba .

(src)="b.MAT.4.3.1"> Basi , mshawishi akamjia , akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , amuru mawe haya yawe mikate . "
(trg)="b.MAT.4.3.1"> Kwafika umlingi , wathi kuye : “ Uma uyiNdodana kaNkulunkulu , yisho ukuba lawa matshe abe yizinkwa . ”

(src)="b.MAT.4.4.1"> Yesu akamjibu , " Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu : Binadamu hataishi kwa mikate tu , ila kwa kila neno asemalo Mungu . "
(trg)="b.MAT.4.4.1"> Kepha waphendula wathi : “ Kulotshiwe ukuthi : ‘ Akusinkwa sodwa umuntu ayakuphila ngaso kodwa ngamazwi onke aphuma emlonyeni kaNkulunkulu . ’ ”

(src)="b.MAT.4.5.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu , mji mtakatifu , akamweka juu ya mnara wa hekalu ,
(trg)="b.MAT.4.5.1"> Khona uSathane wamthatha , wamyisa emzini ongcwele , wammisa esiqongweni sethempeli ,

(src)="b.MAT.4.6.1"> akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , jitupe chini ; maana imeandikwa : Mungu atawaamuru malaika wake kwa ajili yako ; watakuchukua mikononi mwao , usije ukajikwaa kwenye jiwe . "
(trg)="b.MAT.4.6.1"> wathi kuye : “ Uma uyiNdodana kaNkulunkulu , ziphonse phansi ; ngokuba kulotshiwe ukuthi : “ ‘ Uyakuyaleza izingelosi zakhe ngawe , zikuthwale ngezandla , ungaze waqhuzuka etsheni ngonyawo lwakho . ’ ”

(src)="b.MAT.4.7.1"> Yesu akamwambia , " Imeandikwa pia : Usimjaribu Bwana , Mungu wako . "
(trg)="b.MAT.4.7.1"> UJesu wathi kuye : “ Kulotshiwe futhi ukuthi : ‘ Ungayilingi iNkosi uNkulunkulu wakho . ’ ”

(src)="b.MAT.4.8.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu , akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake ,
(trg)="b.MAT.4.8.1"> USathane wabuye wamyisa entabeni ende kakhulu , wamkhombisa imibuso yonke yezwe nenkazimulo yayo ;

(src)="b.MAT.4.9.1"> akamwambia , " Hivi vyote nitakupa kama tu ukipiga magoti na kuniabudu . "
(trg)="b.MAT.4.9.1"> wathi kuye : “ Konke lokhu ngizakukunika khona , uma uziwisa phansi , ukhuleke kimi . ”

(src)="b.MAT.4.10.1"> Hapo , Yesu akamwambia , " Nenda zako Shetani !
(src)="b.MAT.4.10.2"> Imeandikwa : Utamwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake . "
(trg)="b.MAT.4.10.1"> Khona uJesu wathi kuye : “ Suka , Sathane , ngokuba kulotshiwe ukuthi : ‘ Wokhuleka eNkosini uNkulunkulu wakho , umkhonze yena yedwa . ’ ”

(src)="b.MAT.4.11.1"> Basi , Ibilisi akamwacha , na malaika wakaja , wakamhudumia .
(trg)="b.MAT.4.11.1"> USathane wayesemshiya ; bheka , kwafika izingelosi , zamkhonza .

(src)="b.MAT.4.12.1"> Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya .
(trg)="b.MAT.4.12.1"> Kuthe esezwile ukuthi uJohane uboshiwe , wamuka waya eGalile .

(src)="b.MAT.4.13.1"> Aliondoka Nazareti , akaenda Kafarnaumu , mji ulio kando ya bahari ya Genesareti , mpakani mwa wilaya za Zabuloni na Naftali , akakaa huko .
(trg)="b.MAT.4.13.1"> Wasuka eNazaretha , weza wahlala eKapernawume elingaselwandle emikhawulweni yakwaZabuloni neyakwaNafetali

(src)="b.MAT.4.14.1"> Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya :
(trg)="b.MAT.4.14.1"> ukuba kugcwaliseke okwakhulunywa ngo-Isaya umprofethi ukuthi :

(src)="b.MAT.4.15.1"> " Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali , kuelekea baharini ng ' ambo ya mto Yordani , Galilaya nchi ya watu wa Mataifa !
(trg)="b.MAT.4.15.1"> “ Izwe lakwaZabuloni nezwe lakwaNafetali ngaselwandle ngaphesheya kweJordani , iGalile labezizwe ,

(src)="b.MAT.4.16.1"> Watu waliokaa gizani wameona mwanga mkubwa .
(src)="b.MAT.4.16.2"> Nao walioishi katika nchi ya giza na kivuli cha kifo , mwanga umewaangazia ! "
(trg)="b.MAT.4.16.1"> isizwe esasihlezi ebumnyameni sibonile ukukhanya okukhulu , nababehlezi ezweni nasethunzini lokufa kuphumele kubo ukukhanya . ”

(src)="b.MAT.4.17.1"> Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema , " Tubuni , maana ufalme wa mbinguni umekaribia ! "
(trg)="b.MAT.4.17.1"> Kusukela kuleso sikhathi uJesu waqala ukushumayela nokusho ukuthi : “ Phendukani , ngokuba umbuso wezulu ususondele . ”

(src)="b.MAT.4.18.1"> Yesu alipokuwa anatembea kando ya ziwa Galilaya , aliwaona ndugu wawili wavuvi ; Simoni ( aitwae Petro ) na Andrea , ndugu yake ; walikuwa wakivua samaki kwa nyavu ziwani .
(trg)="b.MAT.4.18.1"> UJesu ehamba ngaselwandle lwaseGalile wabona izelamani ezimbili , uSimoni othiwa uPetru no-Andreya umfowabo , bephonsa inetha elwandle ; ngokuba babe ngabadobi .

(src)="b.MAT.4.19.1"> Basi , akawaambia , " Nifuateni , nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu . "
(trg)="b.MAT.4.19.1"> Wayesethi kubo : “ Ngilandeleni ; ngiyakunenza nibe ngabadobi babantu . ”

(src)="b.MAT.4.20.1"> Mara wakaziacha nyavu zao , wakamfuata .
(trg)="b.MAT.4.20.1"> Base bewashiya masinyane amanetha , bamlandela .

(src)="b.MAT.4.21.1"> Alipokwenda mbele kidogo , aliwaona ndugu wengine wawili : Yakobo na Yohane , wana wa Zebedayo .
(src)="b.MAT.4.21.2"> Hao walikuwa ndani ya mashua pamoja na baba yao Zebedayo , wakitengeneza nyavu zao .
(src)="b.MAT.4.21.3"> Basi Yesu akawaita ,
(trg)="b.MAT.4.21.1"> Esedlulela phambili wabona ezinye izelamani ezimbili , uJakobe kaZebedewu , noJohane umfowabo , besemkhunjini kanye noZebedewu uyise , belungisa amanetha abo ; wababiza .

(src)="b.MAT.4.22.1"> nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao , wakamfuata .
(trg)="b.MAT.4.22.1"> Base beshiya masinyane umkhumbi noyise , bamlandela .

(src)="b.MAT.4.23.1"> Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani Galilaya , akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme wa Mungu .
(src)="b.MAT.4.23.2"> Aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu .
(trg)="b.MAT.4.23.1"> UJesu walihamba lonke elaseGalile efundisa emasinagogeni abo , eshumayela ivangeli lombuso , ephulukisa abantu ezifweni zonke nasebuthakathakeni bonke .

(src)="b.MAT.4.24.1"> Habari zake zikaenea katika mkoa wote wa Siria .
(src)="b.MAT.4.24.2"> Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu : waliopagawa na pepo , wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa , walipelekwa kwake ; naye akawaponya wote .
(trg)="b.MAT.4.24.1"> Udumo lwakhe lwezwakala ezweni lonke laseSiriya ; baletha kuye bonke abagulayo abaphethwe yizifo ngezifo nobuhlungu , nabakhwelwe ngamademoni , nabanesithuthwane , nabafe uhlangothi , wabaphulukisa .

(src)="b.MAT.4.25.1"> Makundi mengi ya watu kutoka Galilaya , Dekapoli , Yerusalemu , Yudea na ng ' ambo ya mto Yordani , walimfuata .
(trg)="b.MAT.4.25.1"> Izixuku eziningi zamlandela zivela eGalile , naseDekapholi , naseJerusalema , naseJudiya , nangaphesheya kweJordani .

(src)="b.MAT.5.1.1"> Yesu alipoyaona makundi ya watu , alipanda mlimani , akaketi .
(src)="b.MAT.5.1.2"> Wanafunzi wake wakamwendea ,
(trg)="b.MAT.5.1.1"> Kwathi ebona izixuku , wenyukela entabeni ; esehlezi phansi , abafundi bakhe beza kuye .

(src)="b.MAT.5.2.1"> naye akaanza kuwafundisha :
(trg)="b.MAT.5.2.1"> Wayesevula umlomo wakhe , wabafundisa wathi :

(src)="b.MAT.5.3.1"> " Heri walio maskini rohoni , maana ufalme wa mbinguni ni wao .
(trg)="b.MAT.5.3.1"> “ Babusisiwe abampofu emoyeni , ngokuba umbuso wezulu ungowabo .

(src)="b.MAT.5.4.1"> Heri walio na huzuni , maana watafarijiwa .
(trg)="b.MAT.5.4.1"> Babusisiwe abakhalayo , ngokuba bayakududuzwa .

(src)="b.MAT.5.5.1"> Heri walio wapole , maana watairithi nchi .
(trg)="b.MAT.5.5.1"> Babusisiwe abamnene , ngokuba bayakudla ifa lomhlaba .

(src)="b.MAT.5.6.1"> Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu , maana watashibishwa .
(trg)="b.MAT.5.6.1"> Babusisiwe abalambele , bomele ukulunga , ngokuba bayakusuthiswa .

(src)="b.MAT.5.7.1"> Heri walio na huruma , maana watahurumiwa .
(trg)="b.MAT.5.7.1"> Babusisiwe abanesihawu , ngokuba bayakuhawukelwa .

(src)="b.MAT.5.8.1"> Heri wenye moyo safi , maana watamwona Mungu .
(trg)="b.MAT.5.8.1"> Babusisiwe abanenhliziyo ehlanzekileyo , ngokuba bayakubona uNkulunkulu .

(src)="b.MAT.5.9.1"> Heri wenye kuleta amani , maana wataitwa watoto wa Mungu .
(trg)="b.MAT.5.9.1"> Babusisiwe abalamulayo , ngokuba bayakuthiwa abantwana bakaNkulunkulu .

(src)="b.MAT.5.10.1"> Heri wanaoteswa kwa sababu ya kufanya atakavyo Mungu , maana ufalme wa mbinguni ni wao .
(trg)="b.MAT.5.10.1"> Babusisiwe abazingelwa ngenxa yokulunga , ngokuba umbuso wezulu ungowabo .