# ss/Swahili-NT.xml.gz
# xh/Xhosa.xml.gz
(src)="b.MAT.1.1.1"> Yesu Kristo alikuwa mzawa wa Daudi , mzawa wa Abrahamu .
(src)="b.MAT.1.1.2"> Hii ndiyo orodha ya ukoo wake :
(trg)="b.MAT.1.1.1"> Incwadi yomlibo wokuzalwa kukaYesu Kristu , unyana kaDavide , unyana ka-Abraham .
(src)="b.MAT.1.2.1"> Abrahamu alimzaa Isaka , Isaka alimzaa Yakobo , Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake ,
(trg)="b.MAT.1.2.1"> UAbraham wazala uIsake ; uIsake ke wazala uYakobi ; uYakobi wazala uYuda nabazalwana bakhe ;
(src)="b.MAT.1.3.1"> Yuda alimzaa Faresi na Zera ( mama yao alikuwa Tamari ) , Faresi alimzaa Hesroni , Hesroni alimzaa Rami ,
(trg)="b.MAT.1.3.1"> uYuda wazala uPeretse noZera ngoTamare ; uPeretse wazala uHetseron ; uHetseron wazala uAram ;
(src)="b.MAT.1.4.1"> Rami alimzaa Aminadabu , Aminadabu alimzaa Nashoni , Nashoni alimzaa Salmoni ,
(trg)="b.MAT.1.4.1"> uAram wazala uAminadabhi ; uAminadabhi wazala uNashon ; uNashon wazala uSalemon ;
(src)="b.MAT.1.5.1"> Salmoni alimzaa Boazi ( mama yake Boazi alikuwa Rahabu ) .
(src)="b.MAT.1.5.2"> Boazi na Ruthi walikuwa wazazi wa Obedi , Obedi alimzaa Yese ,
(trg)="b.MAT.1.5.1"> uSalemon wazala uBhohazi ngoRahabhi ; uBhohazi wazala uObhede ngoRute ; uObhede wazala uYese ;
(src)="b.MAT.1.6.1"> naye Yese alimzaa Mfalme Daudi .
(src)="b.MAT.1.6.2"> Daudi alimzaa Solomoni ( mama yake Solomoni alikuwa mke wa Uria ) .
(trg)="b.MAT.1.6.1"> uYese wazala uDavide ukumkani .
(trg)="b.MAT.1.6.2"> UDavide ke ukumkani wazala uSolomon ngobengumkaUriya ;
(src)="b.MAT.1.7.1"> Solomoni alimzaa Rehoboamu , Rehoboamu alimzaa Abiya , Abiya alimzaa Asa ,
(trg)="b.MAT.1.7.1"> uSolomon wazala uRehabheham ; uRehabheham wazala uAbhiya ; uAbhiya wazala uAsa ;
(src)="b.MAT.1.8.1"> Asa alimzaa Yehoshafati , Yehoshafati alimzaa Yoramu , Yoramu alimzaa Uzia ,
(trg)="b.MAT.1.8.1"> uAsa wazala uYoshafati ; uYoshafati wazala uYoram ; uYoram wazala u-Uziya ;
(src)="b.MAT.1.9.1"> Uzia alimzaa Yothamu , Yothamu alimzaa Ahazi , Ahazi alimzaa Hezekia ,
(trg)="b.MAT.1.9.1"> u-Uziya wazala uYotam ; uYotam wazala uAhazi ; uAhazi wazala uHezekiya ;
(src)="b.MAT.1.10.1"> Hezekia alimzaa Manase , Manase alimzaa Amoni , Amoni alimzaa Yosia ,
(trg)="b.MAT.1.10.1"> uHezekiya wazala uManase ; uManase wazala uAmon ; uAmon wazala uYosiya ;
(src)="b.MAT.1.11.1"> Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake .
(src)="b.MAT.1.11.2"> Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni .
(trg)="b.MAT.1.11.1"> uYosiya wazala uYekoniya nabazalwana bakhe ngexesha lokufuduselwa kwabo eBhabhilon .
(src)="b.MAT.1.12.1"> Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishomi Babuloni : Yekonia alimzaa Shealtieli , Shealtieli alimzaa Zerobabeli ,
(trg)="b.MAT.1.12.1"> Emveni ke kokufuduselwa kwabo eBhabhilon , uYekoniya wazala uSalatiyeli ; uSalatiyeli wazala uZerubhabheli ;
(src)="b.MAT.1.13.1"> Zerobabeli alimzaa Abiudi , Abiudi alimzaa Eliakimu , Eliakimu alimzaa Azori ,
(trg)="b.MAT.1.13.1"> uZerubhabheli wazala uAbhihudi ; uAbhihudi wazala uEliyakim ; uEliyakim wazala uAzore ;
(src)="b.MAT.1.14.1"> Azori alimzaa Zadoki , Zadoki alimzaa Akimu , Akimu alimzaa Eliudi ,
(trg)="b.MAT.1.14.1"> uAzore wazala uTsadoki ; uTsadoki wazala uYakin ; uYakin wazala uElihudi ;
(src)="b.MAT.1.15.1"> Eliudi alimzaa Eleazeri , Eleazeri alimzaa Mathani , Mathani alimzaa Yakobo ,
(trg)="b.MAT.1.15.1"> uElihudi wazala uElazare ; uElazare wazala uMatan ; uMatan wazala uYakobi ;
(src)="b.MAT.1.16.1"> Yakobo alimzaa Yosefu , aliyekuwa mume wake Maria , mama yake Yesu , aitwaye Kristo .
(trg)="b.MAT.1.16.1"> uYakobi ke wazala uYosefu , indoda kaMariya , ekuthe ngaye kwazalwa uYesu , okuthiwa nguKristu .
(src)="b.MAT.1.17.1"> Basi , kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi , vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni , na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo .
(trg)="b.MAT.1.17.1"> Zonke izizukulwana ngoko , ezithabathela kuAbraham zizise kuDavide , zizizukulwana ezilishumi elinazine ; nezithabathela kuDavide zizise ekufuduselweni kwabo eBhabhilon , zizizukulwana ezilishumi elinazine ; nezithabathela ekufuduselweni kwabo eBhabhilon zizise kuKristu , zizizukulwana ezilishumi elinazine .
(src)="b.MAT.1.18.1"> Basi , hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa : Maria , mama yake , alikuwa ameposwa na Yosefu .
(src)="b.MAT.1.18.2"> Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke , alionekana kuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .
(trg)="b.MAT.1.18.1"> Ke kaloku ukuzalwa kukaYesu Kristu kwaye kungolu hlobo : Kwathi , akubon ukuba unina uMariya useleganelwe uYosefu , bengekahlangani , wafunyanwa emithi ngoMoya oyiNgcwele .
(src)="b.MAT.1.19.1"> Yosefu , mumewe , kwa vile alikuwa mwadilifu , hakutaka kumwaibisha hadharani ; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri .
(trg)="b.MAT.1.19.1"> Wathi ke uYosefu indoda yakhe , engolilungisa , engathandi ukumhlaza ekuhleni , wanga angamala ngasese .
(src)="b.MAT.1.20.1"> Alipokuwa bado anawaza jambo hilo , malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto , akamwambia , " Yosefu , mwana wa Daudi , usiogope kumchukua Maria awe mke wako , maana amekuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .
(trg)="b.MAT.1.20.1"> Akubon ukuba uyazicinga ezi zinto , naso isithunywa seNkosi sibonakala kuye ephupheni , sisithi , Yosefu , nyana kaDavide , musa ukoyika ukumthabathela kuwe uMariya , umfazi wakho ; kuba oko kukhawulweyo phakathi kwakhe kungoMoya oyiNgcwele .
(src)="b.MAT.1.21.1"> Atajifungua mtoto wa kiume , nawe utampa jina Yesu , kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao . "
(trg)="b.MAT.1.21.1"> Uya kuzala unyana ke , umbize ngegama elinguYesu ; kuba yena eya kubasindisa abantu bakhe ezonweni zabo .
(src)="b.MAT.1.22.1"> Basi , haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii :
(trg)="b.MAT.1.22.1"> Ke kaloku oku konke kwenzeke , ukuze kuzaliseke okwathethwayo yiNkosi ngomprofeti , isithi ,
(src)="b.MAT.1.23.1"> " Bikira atachukua mimba , atamzaa mtoto wa kiume , naye ataitwa Emanueli " ( maana yake , " Mungu yu pamoja nasi " ) .
(trg)="b.MAT.1.23.1"> Yabonani , intombi le iya kumitha izale unyana , Bambize ngegama elinguImanuweli , oko kukuthi ngentetho evakalayo , uThixo unathi .
(src)="b.MAT.1.24.1"> Hivyo , Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia , akamchukua mke wake nyumbani .
(trg)="b.MAT.1.24.1"> Wathi ke uYosefu , evukile ebuthongweni , wenza ngoko besimmisele ngako isithunywa seNkosi , wamthabathela kuye umfazi wakhe ;
(src)="b.MAT.1.25.1"> Lakini hakumjua kamwe kimwili hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume .
(src)="b.MAT.1.25.2"> Naye Yosefu akampa jina Yesu .
(trg)="b.MAT.1.25.1"> waza ke akamazi , wada wazala unyana wakhe wamazibulo ; wambiza ke ngegama elinguYesu .
(src)="b.MAT.2.1.1"> Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu , mkoani Yudea , wakati Herode alipokuwa mfalme .
(src)="b.MAT.2.1.2"> Punde tu baada ya kuzaliwa kwake , wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu ,
(trg)="b.MAT.2.1.1"> Kuthe ke , akubon ukuba uYesu uzelwe eBhetelehem yelakwaYuda , emihleni kaHerode ukumkani , kwabonakala kufika eYerusalem izazi zivela empumalanga , zisithi ,
(src)="b.MAT.2.2.1"> wakauliza , " Yuko wapi mtoto , Mfalme wa Wayahudi , aliyezaliwa ?
(src)="b.MAT.2.2.2"> Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki , tukaja kumwabudu . "
(trg)="b.MAT.2.2.1"> Uphi na lo uzelweyo , ukumkani wamaYuda ?
(trg)="b.MAT.2.2.2"> Kuba sibone inkwenkwezi yakhe empumalanga ; size kumnqula .
(src)="b.MAT.2.3.1"> Mfalme Herode aliposikia hayo , alifadhaika , yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu .
(trg)="b.MAT.2.3.1"> Uthe ke uHerode ukumkani , akuva , wakhathazeka , yena nayo yonke iYerusalem naye .
(src)="b.MAT.2.4.1"> Basi akawaita pamoja makuhani wakuu wote na walimu wa Sheria , akawauliza , " Kristo atazaliwa wapi ? "
(trg)="b.MAT.2.4.1"> Wahlanganisa ke bonke ababingeleli abakhulu nababhali babantu , wababuza ukuba ubeya kuzalelwa phi na uKristu .
(src)="b.MAT.2.5.1"> Nao wakamjibu , " Mjini Bethlehemu , mkoani Yudea .
(src)="b.MAT.2.5.2"> Ndivyo nabii alivyoandika :
(trg)="b.MAT.2.5.1"> Bathe ke kuye , EBhetelehem yelakwaYuda ; kuba kubhaliwe ngomprofeti kwathiwa ,
(src)="b.MAT.2.6.1"> Ewe Bethlehemu katika nchi ya Yuda , kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda ; maana kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu , Israeli . "
(trg)="b.MAT.2.6.1"> Nawe Bhetelehem , mhlaba wakwaYuda , Akunguye nakanye omncinanana phakathi kwabalawuli bakwaYuda : Kuba kuwe apha kuya kuphuma uMlawuli , Onguyena uya kubalusa abantu bam amaSirayeli .
(src)="b.MAT.2.7.1"> Hapo , Herode aliwaita faraghani hao wataalamu wa nyota , akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea .
(trg)="b.MAT.2.7.1"> Kwakuba njalo , uHerode , ezibize ngasese izazi ezo , waqondisisa kakuhle kuzo ixesha lokubonakala kwenkwenkwezi leyo ;
(src)="b.MAT.2.8.1"> Kisha akawatuma Bethlehemu akisema , " Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo .
(src)="b.MAT.2.8.2"> Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu . "
(trg)="b.MAT.2.8.1"> wazithuma ke eBhetelehem , wathi , Hambani niye nicokise ukubuzisa ngomntwana lowo ; xa ke nithe namfumana , ze nindibikele , ukuze nam ndiye kumnqula .
(src)="b.MAT.2.9.1"> Baada ya kumsikiliza mfalme , hao wataalamu wa nyota wakaenda .
(src)="b.MAT.2.9.2"> Kumbe ile nyota waliyokuwa wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto .
(trg)="b.MAT.2.9.1"> Zimvile ke zona ukumkani , zahamba ; nantso inkwenkwezi leyo zayibonayo empumalanga izandulela , yada yaya kuma phezu kwendawo abekuyo umntwana lowo .
(src)="b.MAT.2.10.1"> Walipoiona hiyo nyota , walifurahi mno .
(trg)="b.MAT.2.10.1"> Zathi ke , zakuyibona inkwenkwezi , zavuya ngovuyo olukhulu kakhulu .
(src)="b.MAT.2.11.1"> Basi , wakaingia nyumbani , wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake ; wakapiga magoti , wakamsujudia .
(src)="b.MAT.2.11.2"> Kisha wakafungua hazina zao , wakampa zawadi : dhahabu , ubani na manemane .
(trg)="b.MAT.2.11.1"> Zingenile endlwini , zambona umntwana enoMariya unina , zawa phantsi , zaqubuda kuye ; zathi , zinqike impahla yazo , zanikela kuye iminikelo , igolide , nentlaka emhlophe , nemore .
(src)="b.MAT.2.12.1"> Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie Herode ; hivyo wakarudi makwao kwa njia nyingine .
(trg)="b.MAT.2.12.1"> Zathi , kuba zihlatyelwe nguThixo ephupheni ukuba zingabuyi ziye kuHerode , zemka ngayimbi indlela ukuya ezweni lakowazo .
(src)="b.MAT.2.13.1"> Baada ya wale wageni kuondoka , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto , akamwambia , " Amka !
(src)="b.MAT.2.13.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , mkimbilie Misri .
(src)="b.MAT.2.13.3"> Kaeni huko mpaka nitakapokwambia , maana Herode anakusudia kumwua huyu mtoto . "
(trg)="b.MAT.2.13.1"> Zithe zakubon ukuba zimkile ke zona , naso isithunywa seNkosi sibonakala kuYosefu ephupheni , sisithi , Vuka , umthabathe umntwana nonina , usabele eYiputa , uze ube khona apho ndide ndikuxelele ; kuba uHerode uhlalele ukumfuna umntwana lowo , ukuba amtshabalalise .
(src)="b.MAT.2.14.1"> Hivyo , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akaondoka usiku , akaenda Misri .
(trg)="b.MAT.2.14.1"> Evukile ke yena , wamthabatha umntwana nonina ebusuku , wemka waya eYiputa .
(src)="b.MAT.2.15.1"> Akakaa huko mpaka Herode alipokufa .
(src)="b.MAT.2.15.2"> Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie : " Nilimwita Mwanangu kutoka Misri . "
(trg)="b.MAT.2.15.1"> Waba khona apho wada wabhubha uHerode ; ukuze kuzaliseke okwathethwayo yiNkosi ngomprofeti isithi , Ndambiza unyana wam ukuba aphume eYiputa .
(src)="b.MAT.2.16.1"> Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa , alikasirika sana .
(src)="b.MAT.2.16.2"> Akaamuru watoto wote wa kiume mjini Bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe .
(src)="b.MAT.2.16.3"> Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota .
(trg)="b.MAT.2.16.1"> Ke kaloku uHerode , akubona ukuba izazi zidlale ngaye , waba nomsindo kunene , waza wathumela , wababulala bonke abantwana abaseBhetelehem , nakuyo yonke imida yayo , abaminyaka mibini bezelwe , nangaphantsi , elungelelanisa nexesha abeliqondisise kakuhle kuzo izazi .
(src)="b.MAT.2.17.1"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia :
(trg)="b.MAT.2.17.1"> Kwandula ukuzaliseka okwathethwayo ngoYeremiya umprofeti esithi ,
(src)="b.MAT.2.18.1"> " Sauti imesikika mjini Rama , kilio na maombolezo mengi .
(src)="b.MAT.2.18.2"> Raheli anawalilia watoto wake , wala hataki kutulizwa , maana wote wamefariki . "
(trg)="b.MAT.2.18.1"> Kwavakala izwi eRama , Isimema nesililo nesijwili esikhulu , URakeli elilela abantwana bakhe , Engavumi ukuthuthuzeleka , ngokuba bengasekho .
(src)="b.MAT.2.19.1"> Baada ya kifo cha Herode , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri ,
(trg)="b.MAT.2.19.1"> Akubon ukuba ubhubhile ke uHerode , sabonakala isithunywa seNkosi sibonakala ephupheni kuYosefu eYiputa sisithi ,
(src)="b.MAT.2.20.1"> akamwambia , " Amka !
(src)="b.MAT.2.20.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , urudi tena katika nchi ya Israeli , maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa . "
(trg)="b.MAT.2.20.1"> Vuka , umthabathe umntwana nonina , uye ezweni lakwaSirayeli ; kuba bafile abo babezonda ubomi bomntwana .
(src)="b.MAT.2.21.1"> Basi , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akarejea katika nchi ya Israeli .
(trg)="b.MAT.2.21.1"> Wavuka ke , wamthabatha umntwana nonina , weza ezweni lakwaSirayeli .
(src)="b.MAT.2.22.1"> Lakini Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake , aliogopa kwenda huko .
(src)="b.MAT.2.22.2"> Naye baada ya kuonywa katika ndoto , alikwenda katika mkoa wa Galilaya ,
(trg)="b.MAT.2.22.1"> Ke kaloku , akuva ukuba uArkelawo ungukumkani kwelakwaYuda esikhundleni sikaHerode uyise , woyika ukuhamba asinge khona ; wathi ke , ehlatyelwe nguThixo ephupheni , wemka waya kumacala elaseGalili .
(src)="b.MAT.2.23.1"> akahamia katika mji uitwao Nazareti .
(src)="b.MAT.2.23.2"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii : " Ataitwa Mnazare . "
(trg)="b.MAT.2.23.1"> Ufike wema emzini ekuthiwa yiNazarete ; ukuze kuzaliseke okwathethwayo ngabaprofeti , okokuba wobizwa ngokuthi ungowase Nazarete .
(src)="b.MAT.3.1.1"> Siku hizo Yohane Mbatizaji alitokea , akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea :
(trg)="b.MAT.3.1.1"> Ke kaloku , kuthi ngaloo mihla kufike uYohane umbhaptizi , ememeza entlango yelakwaYuda , esithi ,
(src)="b.MAT.3.2.1"> " Tubuni , maana Ufalme wa mbinguni umekaribia . "
(trg)="b.MAT.3.2.1"> Guqukani , kuba ubukumkani bamazulu busondele .
(src)="b.MAT.3.3.1"> Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema : " Sauti ya mtu imesikika jangwani : Mtayarishieni Bwana njia yake , nyoosheni vijia vyake . "
(trg)="b.MAT.3.3.1"> Kuba lo nguye awayethetha yena uIsaya umprofeti , esithi , Izwi lodandulukayo entlango , lisithi , Yilungiseni indlela yeNkosi , Wutyenenezeni umendo wayo .
(src)="b.MAT.3.4.1"> Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya ya ngamia , na ukanda wa ngozi kiunoni mwake .
(src)="b.MAT.3.4.2"> Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni .
(trg)="b.MAT.3.4.1"> Ke uYohane lowo ingubo yakhe ibiyeyoboya benkamela , enombhinqo wentlonze esinqeni sakhe ; kwaye ke ukudla kwakhe kuziinkumbi nobusi basendle .
(src)="b.MAT.3.5.1"> Basi , watu kutoka Yerusalemu , kutoka mkoa wote wa Yudea na sehemu zote za kandokando ya mto Yordani , walimwendea ,
(trg)="b.MAT.3.5.1"> Babephuma oko besiya kuye abaseYerusalem , nabelakwaYuda bonke , nabommandla wonke waseYordan .
(src)="b.MAT.3.6.1"> wakaziungama dhambi zao , naye akawabatiza katika mto Yordani .
(trg)="b.MAT.3.6.1"> Babhaptizwa nguye eYordan apho , bezixela izono zabo .
(src)="b.MAT.3.7.1"> Lakini alipowaona Mafarisayo wengi na Masadukayo wanamjia ili awabatize , aliwaambia , " Enyi kizazi cha nyoka !
(src)="b.MAT.3.7.2"> Ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja ?
(trg)="b.MAT.3.7.1"> Ke kaloku , akubona into eninzi yabaFarisi nabaSadusi besiza ekubhaptizeni kwakhe , wathi kubo , Nzalandini yamarhamba , ngubani na onibonisileyo ukuba niyibaleke ingqumbo ezayo ?
(src)="b.MAT.3.8.1"> Onyesheni basi kwa matendo , kwamba mmetubu kweli .
(trg)="b.MAT.3.8.1"> Velisani ngoko iziqhamo eziyifaneleyo inguquko ; ize ningabi nithi phakathi kwenu ,
(src)="b.MAT.3.9.1"> Msidhani kwamba mtaweza kujitetea kwa kusema , Baba yetu ni Abrahamu !
(src)="b.MAT.3.9.2"> Nawaambieni hakika , Mungu anaweza kuyafanya mawe haya yawe watoto wa Abrahamu .
(trg)="b.MAT.3.9.1"> Thina sinobawo uAbraham ; kuba ndithi kuni , Unako uThixo kuwo la matye ukumvelisela abantwana uAbraham .
(src)="b.MAT.3.10.1"> Basi , shoka liko tayari kuikata mizizi ya miti ; hivyo , kila mti usiozaa matunda mazuri , utakatwa na kutupwa motoni .
(trg)="b.MAT.3.10.1"> Kananjalo izembe selibekiwe engcanjini yemithi ; ngoko yonke imithi engavelisi siqhamo sihle , iyagawulwa iphoswe emlilweni .
(src)="b.MAT.3.11.1"> Mimi ninawabatizeni kwa maji kuonyesha kwamba mmetubu .
(src)="b.MAT.3.11.2"> Lakini yule anayekuja baada yangu ana uwezo kuliko mimi .
(src)="b.MAT.3.11.3"> Mimi sistahili hata kubeba viatu vyake .
(src)="b.MAT.3.11.4"> Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto .
(trg)="b.MAT.3.11.1"> Mna okunene ndinibhaptizela enguqukweni ngamanzi ; kodwa lowo uzayo emva kwam unamandla kunam , ozimbadada ndingakulingeneyo ukuziphatha ; yena ke uya kunibhaptiza ngoMoya oyiNgcwele nangomlilo :
(src)="b.MAT.3.12.1"> Yeye anashika mkononi chombo cha kupuria nafaka , ili aipure nafaka yake ; akusanye ngano ghalani , na makapi ayachome kwa moto usiozimika . "
(trg)="b.MAT.3.12.1"> omnyazi wokwela usesandleni sakhe ; uya kusicokisa kuthi tu isanda sakhe , ayibuthele kuvimba ingqolowa yakhe , kodwa wona umququ uya kuwutshisa ngomlilo ongacimekiyo .
(src)="b.MAT.3.13.1"> Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani , akamwendea Yohane ili abatizwe naye .
(trg)="b.MAT.3.13.1"> Kuthi ngelo xa afike uYesu eYordan kuYohane , evela kwelaseGalili , ukuba abhaptizwe nguye .
(src)="b.MAT.3.14.1"> Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema , " Je , wewe unakuja kwangu ?
(src)="b.MAT.3.14.2"> Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe . "
(trg)="b.MAT.3.14.1"> Ke kaloku uYohane wayemalela , esithi , Mna kufuneka ndibhaptizwe nguwe nje , uza kum na wena ?
(src)="b.MAT.3.15.1"> Lakini Yesu akamjibu , " Acha tu iwe hivyo kwa sasa , maana kwa namna hii inafaa tuyatekeleze yale yote Mungu anayotaka . "
(src)="b.MAT.3.15.2"> Hapo Yohane akakubali .
(trg)="b.MAT.3.15.1"> Uphendule ke uYesu wathi kuye , Vuma okwakaloku ; kuba kusifanele thina ukwenjenjalo ukuzalisa bonke ubulungisa .
(trg)="b.MAT.3.15.2"> Andule ke ukumvumela .
(src)="b.MAT.3.16.1"> Mara tu Yesu alipokwisha batizwa , alitoka majini ; na ghafla mbingu zikafunguka , akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kutua juu yake .
(trg)="b.MAT.3.16.1"> Ebhaptiziwe ke uYesu , wenyuka kwaoko emanzini ; asuka amazulu avuleka kuye , wambona uMoya kaThixo esihla njengehobe , esiza phezu kwakhe .
(src)="b.MAT.3.17.1"> Sauti kutoka mbinguni ikasema , " Huyu ndiye Mwanangu mpendwa , nimependezwa naye . "
(trg)="b.MAT.3.17.1"> Nalo izwi liphuma ezulwini , lisithi , Lo nguNyana wam oyintanda , endikholisiweyo nguye .
(src)="b.MAT.4.1.1"> Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi .
(trg)="b.MAT.4.1.1"> Waza uYesu wenyuswa nguMoya , wasiwa entlango , ukuba ahendwe nguMtyholi .
(src)="b.MAT.4.2.1"> Akafunga siku arubaini mchana na usiku , na mwishowe akaona njaa .
(trg)="b.MAT.4.2.1"> Uthe akuba ezile ukudla iimini ezimashumi mane nobusuku obumashumi mane , ekupheleni kwazo walamba .
(src)="b.MAT.4.3.1"> Basi , mshawishi akamjia , akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , amuru mawe haya yawe mikate . "
(trg)="b.MAT.4.3.1"> Efikile ke umhendi kuye , uthe , Ukuba unguNyana kaThixo , yitsho la matye abe zizonka .
(src)="b.MAT.4.4.1"> Yesu akamjibu , " Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu : Binadamu hataishi kwa mikate tu , ila kwa kila neno asemalo Mungu . "
(trg)="b.MAT.4.4.1"> Waphendula ke yena wathi , Kubhaliwe kwathiwa , Akaphili ngasonka sodwa umntu , uphila ngamazwi onke aphuma emlonyeni kaThixo .
(src)="b.MAT.4.5.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu , mji mtakatifu , akamweka juu ya mnara wa hekalu ,
(trg)="b.MAT.4.5.1"> Eze uMtyholi , amthabathe amse kuwo umzi ongcwele , ammise eluchochoyini lwetempile , athi ke kuye ,
(src)="b.MAT.4.6.1"> akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , jitupe chini ; maana imeandikwa : Mungu atawaamuru malaika wake kwa ajili yako ; watakuchukua mikononi mwao , usije ukajikwaa kwenye jiwe . "
(trg)="b.MAT.4.6.1"> Ukuba unguNyana kaThixo , ziphose ezantsi ; kuba kubhaliwe kwathiwa , Uya kuziwisela umthetho ngawe izithunywa zakhe zasemazulwini , Zikufukule ngezandla , Hleze ubetheke ngonyawo lwakho etyeni .
(src)="b.MAT.4.7.1"> Yesu akamwambia , " Imeandikwa pia : Usimjaribu Bwana , Mungu wako . "
(trg)="b.MAT.4.7.1"> Wathi uYesu kuye , Kubhaliwe kanjalo kwathiwa , Uze ungayihendahendi iNkosi uThixo wakho .
(src)="b.MAT.4.8.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu , akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake ,
(trg)="b.MAT.4.8.1"> Ubuya uMtyholi amthabathe amse entabeni ephakame kakhulu , ambonise zonke izikumkani zehlabathi , nozuko lwazo ;
(src)="b.MAT.4.9.1"> akamwambia , " Hivi vyote nitakupa kama tu ukipiga magoti na kuniabudu . "
(trg)="b.MAT.4.9.1"> athi kuye , Zonke ezi zinto ndokunika , ukuba uthe wawa phantsi , waqubuda kum .
(src)="b.MAT.4.10.1"> Hapo , Yesu akamwambia , " Nenda zako Shetani !
(src)="b.MAT.4.10.2"> Imeandikwa : Utamwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake . "
(trg)="b.MAT.4.10.1"> Aze athi uYesu kuye , Suka umke , Sathana ; kuba kubhaliwe kwathiwa , YiNkosi uThixo wakho oya kuqubuda kuyo , ukhonze yona yodwa .
(src)="b.MAT.4.11.1"> Basi , Ibilisi akamwacha , na malaika wakaja , wakamhudumia .
(trg)="b.MAT.4.11.1"> Andule ke uMtyholi ukumyeka ; nanko kufika izithunywa zezulu zimlungiselela .
(src)="b.MAT.4.12.1"> Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya .
(trg)="b.MAT.4.12.1"> Ke kaloku , akuva uYesu ukuba uYohane unikelwe entolongweni , wemka waya kwelaseGalili .
(src)="b.MAT.4.13.1"> Aliondoka Nazareti , akaenda Kafarnaumu , mji ulio kando ya bahari ya Genesareti , mpakani mwa wilaya za Zabuloni na Naftali , akakaa huko .
(trg)="b.MAT.4.13.1"> Wathi esukile eNazarete , weza wahlala eKapernahum engaselwandle , emideni yakwaZebhulon neyakwaNafetali ;
(src)="b.MAT.4.14.1"> Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya :
(trg)="b.MAT.4.14.1"> ukuze kuzaliseke okwathethwayo ngoIsaya umprofeti , esithi ,
(src)="b.MAT.4.15.1"> " Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali , kuelekea baharini ng ' ambo ya mto Yordani , Galilaya nchi ya watu wa Mataifa !
(trg)="b.MAT.4.15.1"> Umhlaba wakwaZebhulon nomhlaba wakwaNafetali , Wendlela yaselwandle , phesheya kweYordan , WaseGalili yeentlanga ,
(src)="b.MAT.4.16.1"> Watu waliokaa gizani wameona mwanga mkubwa .
(src)="b.MAT.4.16.2"> Nao walioishi katika nchi ya giza na kivuli cha kifo , mwanga umewaangazia ! "
(trg)="b.MAT.4.16.1"> Abantu abo bahleli ebumnyameni Babone ukukhanya okukhulu ; Nabo bahleli ezweni nasethunzini lokufa Bavelelwe kukukhanya .
(src)="b.MAT.4.17.1"> Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema , " Tubuni , maana ufalme wa mbinguni umekaribia ! "
(trg)="b.MAT.4.17.1"> Waqala oko uYesu ukumemeza , esithi , Guqukani , kuba ubukumkani bamazulu busondele .
(src)="b.MAT.4.18.1"> Yesu alipokuwa anatembea kando ya ziwa Galilaya , aliwaona ndugu wawili wavuvi ; Simoni ( aitwae Petro ) na Andrea , ndugu yake ; walikuwa wakivua samaki kwa nyavu ziwani .
(trg)="b.MAT.4.18.1"> Uthe ke uYesu , ehamba ngaselwandle lwaseGalili wabona abazalwana ababini , uSimon ekuthiwa nguPetros noAndreya , umzalwana wakhe , bephosa umnatha elwandle ; kuba babengababambisi beentlanzi .
(src)="b.MAT.4.19.1"> Basi , akawaambia , " Nifuateni , nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu . "
(trg)="b.MAT.4.19.1"> Athi ke kubo , Yizani apha nindilandele ; ndonenza nibe ngababambisi babantu .
(src)="b.MAT.4.20.1"> Mara wakaziacha nyavu zao , wakamfuata .
(trg)="b.MAT.4.20.1"> Bayishiya kwaoko iminatha , bamlandela ke .
(src)="b.MAT.4.21.1"> Alipokwenda mbele kidogo , aliwaona ndugu wengine wawili : Yakobo na Yohane , wana wa Zebedayo .
(src)="b.MAT.4.21.2"> Hao walikuwa ndani ya mashua pamoja na baba yao Zebedayo , wakitengeneza nyavu zao .
(src)="b.MAT.4.21.3"> Basi Yesu akawaita ,
(trg)="b.MAT.4.21.1"> Uhambele phambili esuka apho , wabona abanye abazalwana ababini , uYakobi lo kaZebhedi , noYohane umzalwana wakhe , besemkhombeni noZebhedi uyise , belungisa iminatha yabo ; wababiza ke .
(src)="b.MAT.4.22.1"> nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao , wakamfuata .
(trg)="b.MAT.4.22.1"> Bawushiya kwaoko umkhombe noyise , bamlandela ke .
(src)="b.MAT.4.23.1"> Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani Galilaya , akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme wa Mungu .
(src)="b.MAT.4.23.2"> Aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu .
(trg)="b.MAT.4.23.1"> Waye uYesu elihamba lonke elaseGalili , efundisa ezindlwini zabo zesikhungu , evakalisa iindaba ezilungileyo zobukumkani , ephilisa izifo zonke nezikhuhlane zonke ebantwini .
(src)="b.MAT.4.24.1"> Habari zake zikaenea katika mkoa wote wa Siria .
(src)="b.MAT.4.24.2"> Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu : waliopagawa na pepo , wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa , walipelekwa kwake ; naye akawaponya wote .
(trg)="b.MAT.4.24.1"> Lwaphuma ke udumo lwakhe lwaya kulo lonke elaseSiriya , babazisa kuye bonke abafayo , bebanjwe zizifo ngezifo naziintuthumbo ngeentuthumbo , nabaphethwe ziidemon , nabanesathuthwane , nabanedumbe , wabaphilisa ke .
(src)="b.MAT.4.25.1"> Makundi mengi ya watu kutoka Galilaya , Dekapoli , Yerusalemu , Yudea na ng ' ambo ya mto Yordani , walimfuata .
(trg)="b.MAT.4.25.1"> Walandelwa zizihlwele ezininzi zivela kwelaseGalili , naseDekapoli , naseYerusalem , nakwelakwaYuda , naphesheya kweYordan .
(src)="b.MAT.5.1.1"> Yesu alipoyaona makundi ya watu , alipanda mlimani , akaketi .
(src)="b.MAT.5.1.2"> Wanafunzi wake wakamwendea ,
(trg)="b.MAT.5.1.1"> Uthe ke , akuzibona izihlwele ezo , wenyuka intaba ; waza akuhlala phantsi , beza kuye abafundi bakhe .
(src)="b.MAT.5.2.1"> naye akaanza kuwafundisha :
(trg)="b.MAT.5.2.1"> Wawuvula umlomo wakhe , wabafundisa , esithi ,
(src)="b.MAT.5.3.1"> " Heri walio maskini rohoni , maana ufalme wa mbinguni ni wao .
(trg)="b.MAT.5.3.1"> Banoyolo abangamahlwempu ngomoya ; ngokuba ubukumkani bamazulu bobabo .
(src)="b.MAT.5.4.1"> Heri walio na huzuni , maana watafarijiwa .
(trg)="b.MAT.5.4.1"> Banoyolo abakhedamileyo ; ngokuba baya konwatyiswa bona .
(src)="b.MAT.5.5.1"> Heri walio wapole , maana watairithi nchi .
(trg)="b.MAT.5.5.1"> Banoyolo abanobulali ; ngokuba umhlaba baya kuwudla ilifa bona .
(src)="b.MAT.5.6.1"> Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu , maana watashibishwa .
(trg)="b.MAT.5.6.1"> Banoyolo abalambela banxanelwe ubulungisa ; ngokuba baya kuhluthiswa bona .
(src)="b.MAT.5.7.1"> Heri walio na huruma , maana watahurumiwa .
(trg)="b.MAT.5.7.1"> Banoyolo abanenceba ; ngokuba baya kwenzelwa inceba bona .
(src)="b.MAT.5.8.1"> Heri wenye moyo safi , maana watamwona Mungu .
(trg)="b.MAT.5.8.1"> Banoyolo abahlambulukileyo intliziyo ; ngokuba baya kumbona uThixo bona .
(src)="b.MAT.5.9.1"> Heri wenye kuleta amani , maana wataitwa watoto wa Mungu .
(trg)="b.MAT.5.9.1"> Banoyolo abaxolisi ; ngokuba baya kubizwa ngokuthi bangoonyana bakaThixo bona .
(src)="b.MAT.5.10.1"> Heri wanaoteswa kwa sababu ya kufanya atakavyo Mungu , maana ufalme wa mbinguni ni wao .
(trg)="b.MAT.5.10.1"> Banoyolo abatshutshiswa ngenxa yobulungisa ; ngokuba ubukumkani bamazulu bobabo .