# sn/Shona.xml.gz
# ss/Swahili-NT.xml.gz
(src)="b.MAT.1.1.1"> Mazita amadzitateguru aJesu Kristu , Mwanakomana waDhavhidhi , mwanakomana waAbhurahamu ;
(trg)="b.MAT.1.1.1"> Yesu Kristo alikuwa mzawa wa Daudi , mzawa wa Abrahamu .
(trg)="b.MAT.1.1.2"> Hii ndiyo orodha ya ukoo wake :
(src)="b.MAT.1.2.1"> Abhurahamu akabereka Isaka , Isaka akabereka Jakobho , Jakobho akabereka Judha navanununa vake ,
(trg)="b.MAT.1.2.1"> Abrahamu alimzaa Isaka , Isaka alimzaa Yakobo , Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake ,
(src)="b.MAT.1.3.1"> Judhasi akabereka Faresi naZara kumukadzi wake Tamari , Faresi akabereka Esiromi , Esromi akabereka Arami ,
(trg)="b.MAT.1.3.1"> Yuda alimzaa Faresi na Zera ( mama yao alikuwa Tamari ) , Faresi alimzaa Hesroni , Hesroni alimzaa Rami ,
(src)="b.MAT.1.4.1"> Arami akabereka Aminadhabhi , Aminadhabhi , Akabereka Nasoni , Nasoni akabereka Sarimoni ,
(trg)="b.MAT.1.4.1"> Rami alimzaa Aminadabu , Aminadabu alimzaa Nashoni , Nashoni alimzaa Salmoni ,
(src)="b.MAT.1.5.1"> Sarimoni akabereka Bhowasi kumukadzi wake Rahabhi , Bhowasi akabereka Obedi kumukadzi wake Rute , Obedi akabereka Jese ,
(trg)="b.MAT.1.5.1"> Salmoni alimzaa Boazi ( mama yake Boazi alikuwa Rahabu ) .
(trg)="b.MAT.1.5.2"> Boazi na Ruthi walikuwa wazazi wa Obedi , Obedi alimzaa Yese ,
(src)="b.MAT.1.6.1"> Jese akabereka mambo Dhavhidhi , Dhavhidhi akabereka Soromoni kumukadzi waUria ,
(trg)="b.MAT.1.6.1"> naye Yese alimzaa Mfalme Daudi .
(trg)="b.MAT.1.6.2"> Daudi alimzaa Solomoni ( mama yake Solomoni alikuwa mke wa Uria ) .
(src)="b.MAT.1.7.1"> Soromoni akabereka Robhoami , Robhoami akabereka Abhiya , Abhiya akabereka Asafa ,
(trg)="b.MAT.1.7.1"> Solomoni alimzaa Rehoboamu , Rehoboamu alimzaa Abiya , Abiya alimzaa Asa ,
(src)="b.MAT.1.8.1"> Asafa akabereka Josafati , Josafati akabereka Joramu , Joramu akabereka Ozia ,
(trg)="b.MAT.1.8.1"> Asa alimzaa Yehoshafati , Yehoshafati alimzaa Yoramu , Yoramu alimzaa Uzia ,
(src)="b.MAT.1.9.1"> Ozia akabereka Jotamu , Jotamu akabereka Ahazi , Ahazi akabereka Ezekia ,
(trg)="b.MAT.1.9.1"> Uzia alimzaa Yothamu , Yothamu alimzaa Ahazi , Ahazi alimzaa Hezekia ,
(src)="b.MAT.1.10.1"> Ezekia akabereka Manase , Manase akabereka Amoni , Amoni akabereka Josia ,
(trg)="b.MAT.1.10.1"> Hezekia alimzaa Manase , Manase alimzaa Amoni , Amoni alimzaa Yosia ,
(src)="b.MAT.1.11.1"> Josia akabereka Jekonia navanununa vake nenguva yokutapwa kwavo Bhabhironi .
(trg)="b.MAT.1.11.1"> Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake .
(trg)="b.MAT.1.11.2"> Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni .
(src)="b.MAT.1.12.1"> Shure kokutapwa kwavo Bhabhironi , Jekonia akabereka Saratieri , Saratieri akabereka Zorobhabheri ,
(trg)="b.MAT.1.12.1"> Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishomi Babuloni : Yekonia alimzaa Shealtieli , Shealtieli alimzaa Zerobabeli ,
(src)="b.MAT.1.13.1"> Zorobhabheri akabereka Abiudhi ; Abiudhi akabereka Eriakimi , Eriakimi akabereka Azori ;
(trg)="b.MAT.1.13.1"> Zerobabeli alimzaa Abiudi , Abiudi alimzaa Eliakimu , Eliakimu alimzaa Azori ,
(src)="b.MAT.1.14.1"> Azori akabereka Sadhoki , Sadhoki akabereka Akimi , Akimi akabereka Eriudhi ,
(trg)="b.MAT.1.14.1"> Azori alimzaa Zadoki , Zadoki alimzaa Akimu , Akimu alimzaa Eliudi ,
(src)="b.MAT.1.15.1"> Eriudhi akabereka Ereazari Ereazari akabereka Matani , Matani akabereka Jakobho ,
(trg)="b.MAT.1.15.1"> Eliudi alimzaa Eleazeri , Eleazeri alimzaa Mathani , Mathani alimzaa Yakobo ,
(src)="b.MAT.1.16.1"> Jakobho akabereka Josefa , murume waMaria , unova ndiye wakazvara Jesu , unonzi Kristu .
(trg)="b.MAT.1.16.1"> Yakobo alimzaa Yosefu , aliyekuwa mume wake Maria , mama yake Yesu , aitwaye Kristo .
(src)="b.MAT.1.17.1"> Naizvozvo marudzi ose kubva kuna Abhurahamu kusvikira kuna Dhavhidhi aiva marudzi anegumi namana , kubva kuna Dhavhidhi kusvikira pakutapwa kweBhabhironi , marudzi anegumi namana kubva pakutapwa Bhabhironi kusvikira kuna Jesu Kristu , marudzi anegumi namana .
(src)="b.MAT.1.17.2"> Kuberekwa kwaJesu Kristu
(trg)="b.MAT.1.17.1"> Basi , kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi , vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni , na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo .
(src)="b.MAT.1.18.1"> Kuberekwa kwaJesu Kristu kwaiva kudai , Maria mai vake , wakati anyengwa naJosefa , vasati vasangana , wakavonekwa ava nemimba noMweya Mutsvene .
(trg)="b.MAT.1.18.1"> Basi , hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa : Maria , mama yake , alikuwa ameposwa na Yosefu .
(trg)="b.MAT.1.18.2"> Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke , alionekana kuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .
(src)="b.MAT.1.19.1"> Zvino Josefa murume wake zvaakanga ari munhu wakarurama , asingadi kumunyadzisa , wakafunga kumurega chinyararire .
(trg)="b.MAT.1.19.1"> Yosefu , mumewe , kwa vile alikuwa mwadilifu , hakutaka kumwaibisha hadharani ; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri .
(src)="b.MAT.1.20.1"> Zvino wakati acharangarira izvozvo , tarira mutumwa washe akazviratidza kwaari pakurota akati , Josefa mwanakomana waDhavhidhi , usatya kutora Maria , mukadzi wako , nokuti icho chakagamuchidzwa mukati make ndechoMweya Mutsvene .
(trg)="b.MAT.1.20.1"> Alipokuwa bado anawaza jambo hilo , malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto , akamwambia , " Yosefu , mwana wa Daudi , usiogope kumchukua Maria awe mke wako , maana amekuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .
(src)="b.MAT.1.21.1"> Iye uchazvara Mwanakomana , ugomutumidza zita rinonzi Jesu , nokuti ndiye uchaponesa vanhu vake pazvivi zvavo .
(trg)="b.MAT.1.21.1"> Atajifungua mtoto wa kiume , nawe utampa jina Yesu , kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao . "
(src)="b.MAT.1.22.1"> Izvozvi zvose zvakaitwa kuti zviitike zvakarebwa naShe , nomuromo womuporofita achiti ,
(trg)="b.MAT.1.22.1"> Basi , haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii :
(src)="b.MAT.1.23.1"> Tarira mhandara ichava nemimba , ichazvara Mwanakomana , vachamutumidza zita rinonzi Emanueri , ndokuti kana zvichishandurwa , Mwari unesu .
(trg)="b.MAT.1.23.1"> " Bikira atachukua mimba , atamzaa mtoto wa kiume , naye ataitwa Emanueli " ( maana yake , " Mungu yu pamoja nasi " ) .
(src)="b.MAT.1.24.1"> Zvino Josefa akamuka pahope dzake , akaita sezvaakarairwa nomutumwa waShe , akatora mukadzi wake .
(trg)="b.MAT.1.24.1"> Hivyo , Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia , akamchukua mke wake nyumbani .
(src)="b.MAT.1.25.1"> Akasamuziva kusvikira azvara mwanakomana wake wedangwe , ndokumutumidza zita rinonzi Jesu .
(trg)="b.MAT.1.25.1"> Lakini hakumjua kamwe kimwili hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume .
(trg)="b.MAT.1.25.2"> Naye Yosefu akampa jina Yesu .
(src)="b.MAT.2.1.1"> Jesu wakati aberekwa paBhetirehemu reJudhea , pamazuva amambo Herodhe , tarira vachenjeri vakasvika Jerusarema vachibva mabvazuva ,
(trg)="b.MAT.2.1.1"> Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu , mkoani Yudea , wakati Herode alipokuwa mfalme .
(trg)="b.MAT.2.1.2"> Punde tu baada ya kuzaliwa kwake , wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu ,
(src)="b.MAT.2.2.1"> vakati , Uripiko Mambo wavaJudha wakazvarwa ?
(src)="b.MAT.2.2.2"> Nokuti takavona nyeredzi yake kumabvazuva , tavuya kuzomunamata .
(trg)="b.MAT.2.2.1"> wakauliza , " Yuko wapi mtoto , Mfalme wa Wayahudi , aliyezaliwa ?
(trg)="b.MAT.2.2.2"> Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki , tukaja kumwabudu . "
(src)="b.MAT.2.3.1"> Mambo Herodhe achizvinzwa wakamanikidzwa neJerusarema rose naye .
(trg)="b.MAT.2.3.1"> Mfalme Herode aliposikia hayo , alifadhaika , yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu .
(src)="b.MAT.2.4.1"> Akakokera vaPirisita vakuru vose navanyori vavanhu , akabvunza kuti Kristu uchaberekwepi .
(trg)="b.MAT.2.4.1"> Basi akawaita pamoja makuhani wakuu wote na walimu wa Sheria , akawauliza , " Kristo atazaliwa wapi ? "
(src)="b.MAT.2.5.1"> Vakati kwaari , PaBhetirehemu reJudhea , nokuti ndizvo zvakanyorwa nomuporofita zvichinzi ,
(trg)="b.MAT.2.5.1"> Nao wakamjibu , " Mjini Bethlehemu , mkoani Yudea .
(trg)="b.MAT.2.5.2"> Ndivyo nabii alivyoandika :
(src)="b.MAT.2.6.1"> Newe Bhetirehemu , nyika yeJudhea , Hauzi muduku kwazvo kuvabati vaJudha , Nokuti kwauri kuchabuda Mutungamiriri , Uchafudza vanhu vangu vaIsraeri .
(trg)="b.MAT.2.6.1"> Ewe Bethlehemu katika nchi ya Yuda , kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda ; maana kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu , Israeli . "
(src)="b.MAT.2.7.1"> Zvino Herodhe wakadana vachenjeri , vari voga , akavabvunzisisa nguva yakavonekwa nyeredzi nayo ,
(trg)="b.MAT.2.7.1"> Hapo , Herode aliwaita faraghani hao wataalamu wa nyota , akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea .
(src)="b.MAT.2.8.1"> akavatuma Bhetirehemu , akati Endai munatso-bvunzisisa zvomwana , kana mamuwana mundivudze , kuti nenivo ndivuye kuzomunamata .
(trg)="b.MAT.2.8.1"> Kisha akawatuma Bethlehemu akisema , " Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo .
(trg)="b.MAT.2.8.2"> Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu . "
(src)="b.MAT.2.9.1"> Vakati vanzwa mambo , vakaenda , zvino tarira nyeredzi yavakanga vavona kumabvazuva yakavatungamirira kusvikira yandomira pamusoro peimba pakanga panomwana .
(trg)="b.MAT.2.9.1"> Baada ya kumsikiliza mfalme , hao wataalamu wa nyota wakaenda .
(trg)="b.MAT.2.9.2"> Kumbe ile nyota waliyokuwa wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto .
(src)="b.MAT.2.10.1"> Vakati vavona nyeredzi vakafara nomufaro mukuru-kuru .
(trg)="b.MAT.2.10.1"> Walipoiona hiyo nyota , walifurahi mno .
(src)="b.MAT.2.11.1"> Vakapinda mumba , vakawanaMwana naMaria mai vake , vakawira pasi vakamunamata , vakasunungura fuma yavo , vakamupa zvipo zvendarama , nezvinonhuwira nemura .
(trg)="b.MAT.2.11.1"> Basi , wakaingia nyumbani , wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake ; wakapiga magoti , wakamsujudia .
(trg)="b.MAT.2.11.2"> Kisha wakafungua hazina zao , wakampa zawadi : dhahabu , ubani na manemane .
(src)="b.MAT.2.12.1"> Vakati vanyeverwa pakurota naMwari , kuti varege kudzokera kunaHerode , vakaenda kunyika yavo neimwe nzira .
(src)="b.MAT.2.12.2"> Kutizira Egipta nokuvurawa kwavana .
(trg)="b.MAT.2.12.1"> Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie Herode ; hivyo wakarudi makwao kwa njia nyingine .
(src)="b.MAT.2.13.1"> Vakati vaenda , tarira mutumwa waShe wakavonekwa naJosefa pakurota achiti , Simuka utore mwana namai vake , utizire Ijipiti ugareko kusvikira ndichikuvudza , nokuti Herodhe uchatsvaka mwana kuti amuvuraye .
(trg)="b.MAT.2.13.1"> Baada ya wale wageni kuondoka , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto , akamwambia , " Amka !
(trg)="b.MAT.2.13.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , mkimbilie Misri .
(trg)="b.MAT.2.13.3"> Kaeni huko mpaka nitakapokwambia , maana Herode anakusudia kumwua huyu mtoto . "
(src)="b.MAT.2.14.1"> Akasimuka , akatora mwananamai vake vusiku akaenda Ijipiti .
(trg)="b.MAT.2.14.1"> Hivyo , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akaondoka usiku , akaenda Misri .
(src)="b.MAT.2.15.1"> Akagarako kusvikira Herodhe afa , kuti zviitike zvakarebwa naShe nomuromo womuporofita achiti , Ndakadana mwanakomana wangu abve Ijipiti .
(trg)="b.MAT.2.15.1"> Akakaa huko mpaka Herode alipokufa .
(trg)="b.MAT.2.15.2"> Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie : " Nilimwita Mwanangu kutoka Misri . "
(src)="b.MAT.2.16.1"> Zvino Herodhe wakati avona kuti anyengerwa navachenjeri , akatsamwa kwazvo-kwazvo , akatuma vanhu kundovuraya vana vavakomana vose vaiva muBhetirehemu napanyika yose yakapoteredza , vaiva namakore maviri navaduku kwavari , iri nguva yaakanzwisisa kuvachenjeri .
(trg)="b.MAT.2.16.1"> Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa , alikasirika sana .
(trg)="b.MAT.2.16.2"> Akaamuru watoto wote wa kiume mjini Bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe .
(trg)="b.MAT.2.16.3"> Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota .
(src)="b.MAT.2.17.1"> Zvikaitika zvakarebwa nomuporofita Jeremia achiti .
(trg)="b.MAT.2.17.1"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia :
(src)="b.MAT.2.18.1"> Inzwi rakanzwika muRama , rokuchema nokurira kukuru , Rakeri achichema vana vake , asingadi kunyaradzwa nokuti havachipo .
(src)="b.MAT.2.18.2"> Kudzoka paIjipiti
(trg)="b.MAT.2.18.1"> " Sauti imesikika mjini Rama , kilio na maombolezo mengi .
(trg)="b.MAT.2.18.2"> Raheli anawalilia watoto wake , wala hataki kutulizwa , maana wote wamefariki . "
(src)="b.MAT.2.19.1"> Herodhe wakati afa , tarira mutumwa waShe akavonekwa naJosefa pakurota paIjipiti ,
(trg)="b.MAT.2.19.1"> Baada ya kifo cha Herode , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri ,
(src)="b.MAT.2.20.1"> akati simuka utore mwana namai vake , uende kunyika yavaIsraeri nokuti vaitsvaka kuvuraya mwana vafa .
(trg)="b.MAT.2.20.1"> akamwambia , " Amka !
(trg)="b.MAT.2.20.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , urudi tena katika nchi ya Israeli , maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa . "
(src)="b.MAT.2.21.1"> Akasimuka ndokutora mwana namai vake akasvika kunyika yavaIsraeri .
(trg)="b.MAT.2.21.1"> Basi , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akarejea katika nchi ya Israeli .
(src)="b.MAT.2.22.1"> Asi wakati achinzwa kuti Arkerao wava mambo panzvimbo yababa vake Herodhe akatya kuendako , akanyeverwa pakurota , akaenda kumativi enyika yeGarirea .
(trg)="b.MAT.2.22.1"> Lakini Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake , aliogopa kwenda huko .
(trg)="b.MAT.2.22.2"> Naye baada ya kuonywa katika ndoto , alikwenda katika mkoa wa Galilaya ,
(src)="b.MAT.2.23.1"> Akandogarako muguta rinonzi Nazareta kuti zvakarebwa navaporofita zviitike , kuti uchanzi muNazareta .
(trg)="b.MAT.2.23.1"> akahamia katika mji uitwao Nazareti .
(trg)="b.MAT.2.23.2"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii : " Ataitwa Mnazare . "
(src)="b.MAT.3.1.1"> Namazuva iwayo Johane Mubhabhatidzi wakavuya achiparidza parenje reJudhea ,
(trg)="b.MAT.3.1.1"> Siku hizo Yohane Mbatizaji alitokea , akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea :
(src)="b.MAT.3.2.1"> achiti , tendevukai nokuti vushe hwokudenga hwaswedera pedo .
(trg)="b.MAT.3.2.1"> " Tubuni , maana Ufalme wa mbinguni umekaribia . "
(src)="b.MAT.3.3.1"> Nokuti uyu ndiwakarebwa nomuporofita Isaya achiti , Inzwi rounodana murenje , gadzirai nzira yaShe , ruramisai migwagwa yake .
(trg)="b.MAT.3.3.1"> Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema : " Sauti ya mtu imesikika jangwani : Mtayarishieni Bwana njia yake , nyoosheni vijia vyake . "
(src)="b.MAT.3.4.1"> Iye Johane waiva nenguvo yamakushe ekamera nebhanhire reganda pachivuno chake zvokudya zvake zvaiva mhashu novuchi bwebundo .
(trg)="b.MAT.3.4.1"> Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya ya ngamia , na ukanda wa ngozi kiunoni mwake .
(trg)="b.MAT.3.4.2"> Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni .
(src)="b.MAT.3.5.1"> Zvino veJerusarema neJudhea rose vakabudira kwaari nenyika yose yakapoteredza Jorodhani .
(trg)="b.MAT.3.5.1"> Basi , watu kutoka Yerusalemu , kutoka mkoa wote wa Yudea na sehemu zote za kandokando ya mto Yordani , walimwendea ,
(src)="b.MAT.3.6.1"> Vakabhabhatidzwa naye murwizi rwaJoridhani vachizvirevurura zvivi zvavo .
(trg)="b.MAT.3.6.1"> wakaziungama dhambi zao , naye akawabatiza katika mto Yordani .
(src)="b.MAT.3.7.1"> Asi wakati achivona vazhinji vavaFarise navaSadhuse vachivuya kuzobhabhatidzwa naye , akati kwavari vana venyoka , ndianiko wakakunyeverai kuti mutize kutsamwa kunovuya ?
(trg)="b.MAT.3.7.1"> Lakini alipowaona Mafarisayo wengi na Masadukayo wanamjia ili awabatize , aliwaambia , " Enyi kizazi cha nyoka !
(trg)="b.MAT.3.7.2"> Ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja ?
(src)="b.MAT.3.8.1"> Naizvozvo berekai zvibereko zvakafanira kutendevuka .
(trg)="b.MAT.3.8.1"> Onyesheni basi kwa matendo , kwamba mmetubu kweli .
(src)="b.MAT.3.9.1"> Musafunga kutaura mumoyo menyu muchiti , Abhurahamu ndibaba vedu , nokuti ndinoti kwamuri Mwari ungamutsira Abhurahamu vana pamabwe awa .
(trg)="b.MAT.3.9.1"> Msidhani kwamba mtaweza kujitetea kwa kusema , Baba yetu ni Abrahamu !
(trg)="b.MAT.3.9.2"> Nawaambieni hakika , Mungu anaweza kuyafanya mawe haya yawe watoto wa Abrahamu .
(src)="b.MAT.3.10.1"> Zvino sanhu ratoiswa pamudzi wemiti , saka muti mumwe nomumwe usingabereki zvibereko zvakanaka unotemwa ukakandirwa mumoto .
(trg)="b.MAT.3.10.1"> Basi , shoka liko tayari kuikata mizizi ya miti ; hivyo , kila mti usiozaa matunda mazuri , utakatwa na kutupwa motoni .
(src)="b.MAT.3.11.1"> Ini ndinokubhabhatidzai nemvura mutendevuke , asi unovuya shure kwangu unesimba kupfuvureni , uyo wandisakafanira kutakura shangu dzake , Iye uchakubhabhatidzai noMweya Mutsvene nomoto .
(trg)="b.MAT.3.11.1"> Mimi ninawabatizeni kwa maji kuonyesha kwamba mmetubu .
(trg)="b.MAT.3.11.2"> Lakini yule anayekuja baada yangu ana uwezo kuliko mimi .
(trg)="b.MAT.3.11.3"> Mimi sistahili hata kubeba viatu vyake .
(trg)="b.MAT.3.11.4"> Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto .
(src)="b.MAT.3.12.1"> Rusero rwake ruri muruvoko rwake , uchanatsa buriro rake kwazvo .
(src)="b.MAT.3.12.2"> Uchavunganidzira zviyo mudura .
(src)="b.MAT.3.12.3"> Asi hundi uchaipisa mumoto usingadzimwi .
(src)="b.MAT.3.12.4"> Kubhabhatidzwa kwaJesu ( Mar .
(src)="b.MAT.3.12.5"> 1 .
(src)="b.MAT.3.12.6"> 9-11 ; Ruka 3 .
(src)="b.MAT.3.12.7"> 21-22 ; Joh .
(src)="b.MAT.3.12.8"> 1 .
(src)="b.MAT.3.12.9"> 31-34 . )
(trg)="b.MAT.3.12.1"> Yeye anashika mkononi chombo cha kupuria nafaka , ili aipure nafaka yake ; akusanye ngano ghalani , na makapi ayachome kwa moto usiozimika . "
(src)="b.MAT.3.13.1"> Zvino Jesu wakabva Garirea akasvika paJoridhani kuna Johane kuzobhabhatidzwa naye .
(trg)="b.MAT.3.13.1"> Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani , akamwendea Yohane ili abatizwe naye .
(src)="b.MAT.3.14.1"> Asi Johane wakaidza kumudzivisa akati , ndini ndinofanira kubhabhatidzwa nemi , ko movuya kwandiri sei ?
(trg)="b.MAT.3.14.1"> Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema , " Je , wewe unakuja kwangu ?
(trg)="b.MAT.3.14.2"> Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe . "
(src)="b.MAT.3.15.1"> Asi Jesu wakapindura akati kwaari , chirega hako zvino nokuti saizvozvo zvakafanira kuti tizadzise kururama kwose .
(src)="b.MAT.3.15.2"> Ipapo akamurega .
(trg)="b.MAT.3.15.1"> Lakini Yesu akamjibu , " Acha tu iwe hivyo kwa sasa , maana kwa namna hii inafaa tuyatekeleze yale yote Mungu anayotaka . "
(trg)="b.MAT.3.15.2"> Hapo Yohane akakubali .
(src)="b.MAT.3.16.1"> Jesu wakati abhabhatidzwa , Pakarepo akabuda mumvura .
(src)="b.MAT.3.16.2"> Zvino tarira denga rakamuzarurirwa akavona Mweya waMwari achiburuka senjiva .
(src)="b.MAT.3.16.3"> Akavuya pamusoro pake .
(trg)="b.MAT.3.16.1"> Mara tu Yesu alipokwisha batizwa , alitoka majini ; na ghafla mbingu zikafunguka , akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kutua juu yake .
(src)="b.MAT.3.17.1"> Zvino tarira inzwi rakabva kudenga richiti , Uyu ndiye Mwanakomana wangu unodikanwa wandinofarira !
(trg)="b.MAT.3.17.1"> Sauti kutoka mbinguni ikasema , " Huyu ndiye Mwanangu mpendwa , nimependezwa naye . "
(src)="b.MAT.4.1.1"> Zvino Jesu wakatungamirirwa noMweya kurenje kuzoidzwa naDhiabhorosi .
(trg)="b.MAT.4.1.1"> Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi .
(src)="b.MAT.4.2.1"> Wakati azvinyima zvokudya mazuva anamakumi mana novusiku bwunamakumi mana , akabva oziya .
(trg)="b.MAT.4.2.1"> Akafunga siku arubaini mchana na usiku , na mwishowe akaona njaa .
(src)="b.MAT.4.3.1"> Zvino muidzi akavuya kwaari , akati kwaari , kana uri Mwanakomana waMwari raira kuti mabwe awa zvive zvingwa .
(trg)="b.MAT.4.3.1"> Basi , mshawishi akamjia , akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , amuru mawe haya yawe mikate . "
(src)="b.MAT.4.4.1"> Asi wakapindura akati , kwakanyorwa kuchinzi , munhu haangararami nechingwa bedzi , asi namashoko ose anobuda mumuromo maMwari .
(trg)="b.MAT.4.4.1"> Yesu akamjibu , " Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu : Binadamu hataishi kwa mikate tu , ila kwa kila neno asemalo Mungu . "
(src)="b.MAT.4.5.1"> Zvino Dhiabhorosi akamuisa muguta dzvene , akamuisa pachiruvu chetembere .
(trg)="b.MAT.4.5.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu , mji mtakatifu , akamweka juu ya mnara wa hekalu ,
(src)="b.MAT.4.6.1"> Akati kwaari , kana uri Mwanakomana waMwari uzviwisire pasi nokuti kwakanyorwa kuchinzi , Iye ucharaira vatumwa vake pamusoro pako .
(src)="b.MAT.4.6.2"> Pamavoko avo vacha kusimudza .
(src)="b.MAT.4.6.3"> Kuti urege kugumbusa rutsoka rwako pabwe .
(trg)="b.MAT.4.6.1"> akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , jitupe chini ; maana imeandikwa : Mungu atawaamuru malaika wake kwa ajili yako ; watakuchukua mikononi mwao , usije ukajikwaa kwenye jiwe . "
(src)="b.MAT.4.7.1"> Jesu akati kwaari , kwakanyorwavo , usaidza Ishe Mwari wako .
(trg)="b.MAT.4.7.1"> Yesu akamwambia , " Imeandikwa pia : Usimjaribu Bwana , Mungu wako . "
(src)="b.MAT.4.8.1"> Dhiabhorosi akamuisazve pagomo refu-refu , akamuratidza vushe bwose bwenyika nokubwinya kwabwo .
(trg)="b.MAT.4.8.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu , akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake ,
(src)="b.MAT.4.9.1"> Akati kwaari , izvi zvose ndichakupa kana ukawira pasi ukandimata .
(trg)="b.MAT.4.9.1"> akamwambia , " Hivi vyote nitakupa kama tu ukipiga magoti na kuniabudu . "
(src)="b.MAT.4.10.1"> Ipapo Jesu akati kwaari , ibva Satani nokuti kwakanyorwa kuchinzi , namata Ishe Mwari wako , umushumire Iye woga .
(trg)="b.MAT.4.10.1"> Hapo , Yesu akamwambia , " Nenda zako Shetani !
(trg)="b.MAT.4.10.2"> Imeandikwa : Utamwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake . "
(src)="b.MAT.4.11.1"> Zvino Dhiabhorosi akamurega .
(src)="b.MAT.4.11.2"> Vatumwa vakavuya vakamushumira .
(src)="b.MAT.4.11.3"> Jesu paGarirea .
(src)="b.MAT.4.11.4"> Vadzidzi vokutanga .
(src)="b.MAT.4.11.5"> ( Mar .
(src)="b.MAT.4.11.6"> 1 .
(src)="b.MAT.4.11.7"> 14 ; Ruka 4.14 ; 5 .
(src)="b.MAT.4.11.8"> 1-11 . )
(trg)="b.MAT.4.11.1"> Basi , Ibilisi akamwacha , na malaika wakaja , wakamhudumia .
(src)="b.MAT.4.12.1"> Jesu wakati anzwa kuti Johane wasungwa .
(src)="b.MAT.4.12.2"> Akaenda Garirea .
(trg)="b.MAT.4.12.1"> Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya .
(src)="b.MAT.4.13.1"> Zvino wakabva Nazareta akandogara Kapenaume pagungwa .
(src)="b.MAT.4.13.2"> Pamiganhu yeZabhuroni neNaftarimi .
(trg)="b.MAT.4.13.1"> Aliondoka Nazareti , akaenda Kafarnaumu , mji ulio kando ya bahari ya Genesareti , mpakani mwa wilaya za Zabuloni na Naftali , akakaa huko .
(src)="b.MAT.4.14.1"> Kuti zviitike zvakarebwa nomuporofita Isaya achiti ,
(trg)="b.MAT.4.14.1"> Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya :
(src)="b.MAT.4.15.1"> Nyika yeZabhuroni nenyika yeNeftarimi , panzira yegungwa mhiri kwaJoridhani .
(src)="b.MAT.4.15.2"> Garirea ravahedheni .
(trg)="b.MAT.4.15.1"> " Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali , kuelekea baharini ng ' ambo ya mto Yordani , Galilaya nchi ya watu wa Mataifa !
(src)="b.MAT.4.16.1"> Vanhu vakanga vagere murima vakavona chiedza chikuru .
(src)="b.MAT.4.16.2"> Navakanga vagere panyika nomumumvuri worufu , chiedza chakavabudira .
(trg)="b.MAT.4.16.1"> Watu waliokaa gizani wameona mwanga mkubwa .
(trg)="b.MAT.4.16.2"> Nao walioishi katika nchi ya giza na kivuli cha kifo , mwanga umewaangazia ! "
(src)="b.MAT.4.17.1"> Kubva panguva iyeyo Jesu wakatanga kuparidza achiti , tendevukai nokuti vushe bwokudenga bwaswedera pedo .
(trg)="b.MAT.4.17.1"> Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema , " Tubuni , maana ufalme wa mbinguni umekaribia ! "
(src)="b.MAT.4.18.1"> Jesu wakati achifamba pagungwa reGarirea akavona varume vaviri , vana vomunhu mumwe , Simoni unonzi Petro naAndrea munununa wake vachikandira vutava mugungwa nokuti vakanga vari vabati vehove .
(trg)="b.MAT.4.18.1"> Yesu alipokuwa anatembea kando ya ziwa Galilaya , aliwaona ndugu wawili wavuvi ; Simoni ( aitwae Petro ) na Andrea , ndugu yake ; walikuwa wakivua samaki kwa nyavu ziwani .
(src)="b.MAT.4.19.1"> Akati kwavari nditeverei , ndigokuitai vabati vavanhu .
(trg)="b.MAT.4.19.1"> Basi , akawaambia , " Nifuateni , nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu . "
(src)="b.MAT.4.20.1"> Pakarepo vakasiya vutava bwavo vakamutevera .
(trg)="b.MAT.4.20.1"> Mara wakaziacha nyavu zao , wakamfuata .
(src)="b.MAT.4.21.1"> Zvino wakati apfuvura mberi akavona vamwe varume vaviri mugwa , vana vomunhu mumwe , Jakobho mwanakomana waZebhedi naJohane munun una wake vana Zebedi baba vavo , vachigadzira vutava bwavo , akavadana .
(trg)="b.MAT.4.21.1"> Alipokwenda mbele kidogo , aliwaona ndugu wengine wawili : Yakobo na Yohane , wana wa Zebedayo .
(trg)="b.MAT.4.21.2"> Hao walikuwa ndani ya mashua pamoja na baba yao Zebedayo , wakitengeneza nyavu zao .
(trg)="b.MAT.4.21.3"> Basi Yesu akawaita ,
(src)="b.MAT.4.22.1"> Pakarepo vakasiya igwa nababa vavo vakamutevera .
(trg)="b.MAT.4.22.1"> nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao , wakamfuata .
(src)="b.MAT.4.23.1"> Jesu akapota neGarirea rose akadzidzisa mumasinagoge avo .
(src)="b.MAT.4.23.2"> Achiparidza Evhangeri yovushe , achiporesa hosha dzose namarwere ose avanhu .
(trg)="b.MAT.4.23.1"> Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani Galilaya , akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme wa Mungu .
(trg)="b.MAT.4.23.2"> Aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu .
(src)="b.MAT.4.24.1"> Mukurumbira wake ukanzwikwa kunyika yose yeSiria .
(src)="b.MAT.4.24.2"> Vakavuya kwaari navairwara vose , navakabatwa nehosha dzamarudzi mazhinji namarwadzo , navakanga vanemweya yakaipa , navanezvipusha , navakanga vakafa mitezo , akavaporesa .
(trg)="b.MAT.4.24.1"> Habari zake zikaenea katika mkoa wote wa Siria .
(trg)="b.MAT.4.24.2"> Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu : waliopagawa na pepo , wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa , walipelekwa kwake ; naye akawaponya wote .
(src)="b.MAT.4.25.1"> Vanhu vazhinji-zhinji vaibva Garirea neDhekapori , neJerusarema , neJudhea , nemhiri kwaJoridhani vakamutevera .
(trg)="b.MAT.4.25.1"> Makundi mengi ya watu kutoka Galilaya , Dekapoli , Yerusalemu , Yudea na ng ' ambo ya mto Yordani , walimfuata .
(src)="b.MAT.5.1.1"> Wakati achivona vanhu vazhinji , akakwira mugomo , akagara pasi .
(src)="b.MAT.5.1.2"> Vadzidzi vake vakaswedera kwaari .
(trg)="b.MAT.5.1.1"> Yesu alipoyaona makundi ya watu , alipanda mlimani , akaketi .
(trg)="b.MAT.5.1.2"> Wanafunzi wake wakamwendea ,
(src)="b.MAT.5.2.1"> Akashamisa muromo wake akavadzidzisa achiti ,
(trg)="b.MAT.5.2.1"> naye akaanza kuwafundisha :
(src)="b.MAT.5.3.1"> Vakaropafadzwa varombo pamweya nokuti vushe hwokudenga ndohwavo .
(trg)="b.MAT.5.3.1"> " Heri walio maskini rohoni , maana ufalme wa mbinguni ni wao .
(src)="b.MAT.5.4.1"> Vakaropafadzwa vanochema nokuti vachanyaradzwa .
(trg)="b.MAT.5.4.1"> Heri walio na huzuni , maana watafarijiwa .
(src)="b.MAT.5.5.1"> Vakaropafadzwa vanyoro nokuti vachagara nhaka yenyika .
(trg)="b.MAT.5.5.1"> Heri walio wapole , maana watairithi nchi .
(src)="b.MAT.5.6.1"> Vakaropafadzwa vanenzara nenyota yokururama nokuti vachagutiswa kwazvo .
(trg)="b.MAT.5.6.1"> Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu , maana watashibishwa .
(src)="b.MAT.5.7.1"> Vakaropafadzwa vanengoni nokuti vachaitirwa ngoni .
(trg)="b.MAT.5.7.1"> Heri walio na huruma , maana watahurumiwa .
(src)="b.MAT.5.8.1"> Vakaropafadzwa vakachena pamoyo nokuti vachavona Mwari .
(trg)="b.MAT.5.8.1"> Heri wenye moyo safi , maana watamwona Mungu .
(src)="b.MAT.5.9.1"> Vakaropafadzwa vanoyananisa nokuti vachanzi vana vaMwari .
(trg)="b.MAT.5.9.1"> Heri wenye kuleta amani , maana wataitwa watoto wa Mungu .
(src)="b.MAT.5.10.1"> Vakaropafadzwa vanotambudzwa nokuda kwokururama nokuti vushe hwokudenga ndohwavo .
(trg)="b.MAT.5.10.1"> Heri wanaoteswa kwa sababu ya kufanya atakavyo Mungu , maana ufalme wa mbinguni ni wao .