# quw/Quichua-NT.xml.gz
# ss/Swahili-NT.xml.gz


(src)="b.MAT.1.1.1"> Jesucristo aillu quillca , Davidmanda mirai , David Abrahanmanda mirai .
(trg)="b.MAT.1.1.1"> Yesu Kristo alikuwa mzawa wa Daudi , mzawa wa Abrahamu .
(trg)="b.MAT.1.1.2"> Hii ndiyo orodha ya ukoo wake :

(src)="b.MAT.1.2.1"> Abrahamba churi Isac aca , Isacpa churi Jacob aca , Jacobpa churiuna Judá aca paihua uquiunandi .
(trg)="b.MAT.1.2.1"> Abrahamu alimzaa Isaka , Isaka alimzaa Yakobo , Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake ,

(src)="b.MAT.1.3.1"> Judá churiuna Fares Zarandi aca , Tamarmanda llucshijguna , Farespa churi Esrom aca , Esromba churi Aram aca .
(trg)="b.MAT.1.3.1"> Yuda alimzaa Faresi na Zera ( mama yao alikuwa Tamari ) , Faresi alimzaa Hesroni , Hesroni alimzaa Rami ,

(src)="b.MAT.1.4.1"> Aramba churi Aminadab aca , Aminadabpa churi Naason aca , Naasomba churi Salmón aca .
(trg)="b.MAT.1.4.1"> Rami alimzaa Aminadabu , Aminadabu alimzaa Nashoni , Nashoni alimzaa Salmoni ,

(src)="b.MAT.1.5.1"> Salmomba churi Booz aca , Rahabmanda llucshij , Boozpa churi Obed aca , Rutmanda llucshij , Obedpa churi Isai aca .
(trg)="b.MAT.1.5.1"> Salmoni alimzaa Boazi ( mama yake Boazi alikuwa Rahabu ) .
(trg)="b.MAT.1.5.2"> Boazi na Ruthi walikuwa wazazi wa Obedi , Obedi alimzaa Yese ,

(src)="b.MAT.1.6.1"> Isaihua churi rey apu David aca , rey apu Davidpa churi Salomón aca , Uriaspa huarmimanda llucshij .
(trg)="b.MAT.1.6.1"> naye Yese alimzaa Mfalme Daudi .
(trg)="b.MAT.1.6.2"> Daudi alimzaa Solomoni ( mama yake Solomoni alikuwa mke wa Uria ) .

(src)="b.MAT.1.7.1"> Salomomba churi Roboam aca , Roboamba churi Abías aca , Abíaspa churi Asa aca .
(trg)="b.MAT.1.7.1"> Solomoni alimzaa Rehoboamu , Rehoboamu alimzaa Abiya , Abiya alimzaa Asa ,

(src)="b.MAT.1.8.1"> Asajpa churi Josafat aca , Josafatpa churi Joram aca , Joramba churi Uzías aca .
(trg)="b.MAT.1.8.1"> Asa alimzaa Yehoshafati , Yehoshafati alimzaa Yoramu , Yoramu alimzaa Uzia ,

(src)="b.MAT.1.9.1"> Uzíaspa churi Jotam aca , Jotamba churi Acaz aca , Acazpa churi Ezequías aca .
(trg)="b.MAT.1.9.1"> Uzia alimzaa Yothamu , Yothamu alimzaa Ahazi , Ahazi alimzaa Hezekia ,

(src)="b.MAT.1.10.1"> Ezequíaspa churi Manases aca , Manasespa churi Amón aca , Amomba churi Josías aca .
(trg)="b.MAT.1.10.1"> Hezekia alimzaa Manase , Manase alimzaa Amoni , Amoni alimzaa Yosia ,

(src)="b.MAT.1.11.1"> Josíaspa churiuna Jeconías aca paihua uquiunandi , Babilonia llactama apashca horas .
(trg)="b.MAT.1.11.1"> Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake .
(trg)="b.MAT.1.11.2"> Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni .

(src)="b.MAT.1.12.1"> Babiloniama apashca huasha , Jeconíaspa churi Salatiel aca , Salatielba churi Zorobabel aca .
(trg)="b.MAT.1.12.1"> Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishomi Babuloni : Yekonia alimzaa Shealtieli , Shealtieli alimzaa Zerobabeli ,

(src)="b.MAT.1.13.1"> Zorobabelba churiuna Abiud aca , Eliaquindi , Eliaquimba churi Azor aca .
(trg)="b.MAT.1.13.1"> Zerobabeli alimzaa Abiudi , Abiudi alimzaa Eliakimu , Eliakimu alimzaa Azori ,

(src)="b.MAT.1.14.1"> Azorba churi Sadoc aca , Sadocpa churi Aquim aca , Aquimba churi Eliud aca .
(trg)="b.MAT.1.14.1"> Azori alimzaa Zadoki , Zadoki alimzaa Akimu , Akimu alimzaa Eliudi ,

(src)="b.MAT.1.15.1"> Eliudpa churi Eleazar aca , Eleazarba churi Matan aca , Matamba churi Jacob aca .
(trg)="b.MAT.1.15.1"> Eliudi alimzaa Eleazeri , Eleazeri alimzaa Mathani , Mathani alimzaa Yakobo ,

(src)="b.MAT.1.16.1"> Jacobpa churi José aca , Josega María cari aca .
(src)="b.MAT.1.16.2"> Maríamanda Cristo nishca Jesús pagarimuca .
(src)="b.MAT.1.16.3"> Cristo Dios ajllashca nin .
(trg)="b.MAT.1.16.1"> Yakobo alimzaa Yosefu , aliyekuwa mume wake Maria , mama yake Yesu , aitwaye Kristo .

(src)="b.MAT.1.17.1"> Shinajpi , Abrahanmanda Davidgama chunga chuscu cuti mirashcauna tianauca .
(src)="b.MAT.1.17.2"> Davidmanda Babiloniama apanagama chunga chuscu miraiguna tiaca .
(src)="b.MAT.1.17.3"> Babiloniama apashcamanda Cristogama chunga chuscu miraiguna aca .
(trg)="b.MAT.1.17.1"> Basi , kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi , vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni , na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo .

(src)="b.MAT.1.18.1"> Jesucristo pagarina casnami aca .
(src)="b.MAT.1.18.2"> Paihua mama María , Josehua pactachishca asha , manaraj llutarijllaira , huahuara tupaca icsai , Santo Espiritumanda .
(trg)="b.MAT.1.18.1"> Basi , hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa : Maria , mama yake , alikuwa ameposwa na Yosefu .
(trg)="b.MAT.1.18.2"> Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke , alionekana kuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .

(src)="b.MAT.1.19.1"> Paihua cari José , ali shungu runa asha , huarmi ama manali rimashca achu nisha , pacalla pacalla paita saquinara iyaca .
(trg)="b.MAT.1.19.1"> Yosefu , mumewe , kwa vile alikuwa mwadilifu , hakutaka kumwaibisha hadharani ; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri .

(src)="b.MAT.1.20.1"> Casna iyasha tiaushcai , shu Diosmanda ángel paita ricurimuca , pai puñusha nuspaushcai .
(src)="b.MAT.1.20.2"> Angel paita nica : José , Davidpa Churi , ama manzhaichu camba huarmi Mariara apingaj .
(src)="b.MAT.1.20.3"> Paihua icsai tupashca huahuaga Santo Espiritumandami .
(trg)="b.MAT.1.20.1"> Alipokuwa bado anawaza jambo hilo , malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto , akamwambia , " Yosefu , mwana wa Daudi , usiogope kumchukua Maria awe mke wako , maana amekuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .

(src)="b.MAT.1.21.1"> Shu churira pagarichinga , paita shutichingui Jesús , paihua runaunara quishpichinga paiguna uchaunamanda .
(trg)="b.MAT.1.21.1"> Atajifungua mtoto wa kiume , nawe utampa jina Yesu , kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao . "

(src)="b.MAT.1.22.1"> Cai tucui tucuca , Señorba rimashca shimiuna pactaringaj , profeta nishca Diosmanda rimaj rimashcasna .
(trg)="b.MAT.1.22.1"> Basi , haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii :

(src)="b.MAT.1.23.1"> Shu huanra huarmi huahuara taringami , shu churira pagarichingami .
(src)="b.MAT.1.23.2"> Paita Emanuel nishca shutichingui .
(src)="b.MAT.1.23.3"> Cai shuti nin : Dios ñucanchihuami .
(trg)="b.MAT.1.23.1"> " Bikira atachukua mimba , atamzaa mtoto wa kiume , naye ataitwa Emanueli " ( maana yake , " Mungu yu pamoja nasi " ) .

(src)="b.MAT.1.24.1"> José pai nuspashcamanda lliccharisha Señorba ángel rimashcasna rasha , paihua huarmira apica .
(trg)="b.MAT.1.24.1"> Hivyo , Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia , akamchukua mke wake nyumbani .

(src)="b.MAT.1.25.1"> Shinasha , paihua mana llutaricachu ñaupa churi pagarina huashagama .
(src)="b.MAT.1.25.2"> Paita shutichica JESÚS .
(trg)="b.MAT.1.25.1"> Lakini hakumjua kamwe kimwili hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume .
(trg)="b.MAT.1.25.2"> Naye Yosefu akampa jina Yesu .

(src)="b.MAT.2.1.1"> Jesús Judea partii tiaj Belén llactai pagarimushca horas , Herodes rey apu tiashcai , indi llucshina partimanda huaquin yachajguna Jerusalenma shamunauca .
(trg)="b.MAT.2.1.1"> Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu , mkoani Yudea , wakati Herode alipokuwa mfalme .
(trg)="b.MAT.2.1.2"> Punde tu baada ya kuzaliwa kwake , wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu ,

(src)="b.MAT.2.2.1"> ¿ Maibira pagarishcai judioguna rey apu ? ninauca .
(src)="b.MAT.2.2.2"> Paihua estrellasta ricushcanchi indi llucshina partii .
(src)="b.MAT.2.2.3"> Paita adorangaj shamushcanchi .
(trg)="b.MAT.2.2.1"> wakauliza , " Yuko wapi mtoto , Mfalme wa Wayahudi , aliyezaliwa ?
(trg)="b.MAT.2.2.2"> Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki , tukaja kumwabudu . "

(src)="b.MAT.2.3.1"> Herodes rey apuga caita uyasha turbarica , tucui Jerusalen llactandi .
(trg)="b.MAT.2.3.1"> Mfalme Herode aliposikia hayo , alifadhaika , yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu .

(src)="b.MAT.2.4.1"> Herodes tucui sacerdote apuunara , runaunamanda yachaira yachachijgunaras cayasha , paigunara tapuca : ¿ Cristoga maibira pagarina acai ? nisha .
(trg)="b.MAT.2.4.1"> Basi akawaita pamoja makuhani wakuu wote na walimu wa Sheria , akawauliza , " Kristo atazaliwa wapi ? "

(src)="b.MAT.2.5.1"> Paiguna ninauca : Judeamanda Belembi ; Diosmanda rimaj casnami quillcashca :
(trg)="b.MAT.2.5.1"> Nao wakamjibu , " Mjini Bethlehemu , mkoani Yudea .
(trg)="b.MAT.2.5.2"> Ndivyo nabii alivyoandika :

(src)="b.MAT.2.6.1"> Can Belén , Judea partii tiaj , Judá apuunamanda mana yali ichillachu angui .
(src)="b.MAT.2.6.2"> Canmanda shu pushaj runa llucshinga , ñuca aillu Israelda cuirangaj .
(trg)="b.MAT.2.6.1"> Ewe Bethlehemu katika nchi ya Yuda , kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda ; maana kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu , Israeli . "

(src)="b.MAT.2.7.1"> Shinajpi Herodes chi yachajgunara pacalla pacalla cayasha , paigunamanda ali tapucami estrellas ricurishca tiempora .
(trg)="b.MAT.2.7.1"> Hapo , Herode aliwaita faraghani hao wataalamu wa nyota , akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea .

(src)="b.MAT.2.8.1"> Paigunara cachaca Belén llactama , Chima richi , nisha , huahuamanda sumajlla tapuichi .
(src)="b.MAT.2.8.2"> Paita tarishaga cuentahuaichi , ñuca shinallara shamusha huahuara adorangaj .
(trg)="b.MAT.2.8.1"> Kisha akawatuma Bethlehemu akisema , " Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo .
(trg)="b.MAT.2.8.2"> Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu . "

(src)="b.MAT.2.9.1"> Paiguna rey apura uyashca huasha rinaucami .
(src)="b.MAT.2.9.2"> Indi llucshina partii ricushca estrellas paiguna ñaupajpi rica pactai ringama , shinajpi huahua tiaushca huasi ahuai shayarica .
(trg)="b.MAT.2.9.1"> Baada ya kumsikiliza mfalme , hao wataalamu wa nyota wakaenda .
(trg)="b.MAT.2.9.2"> Kumbe ile nyota waliyokuwa wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto .

(src)="b.MAT.2.10.1"> Estrellasta ricusha cushiyanauca ashcara .
(trg)="b.MAT.2.10.1"> Walipoiona hiyo nyota , walifurahi mno .

(src)="b.MAT.2.11.1"> Huasii icusha huahuara ricunauca paihua mama Mariandi .
(src)="b.MAT.2.11.2"> Tuama urmasha , huahuara adoranauca .
(src)="b.MAT.2.11.3"> Paiguna valijgunara pascasha , huahuara cunauca curiras , incienso nishca gusto asnaj ambiras , mirra nishca asnaj iraras .
(trg)="b.MAT.2.11.1"> Basi , wakaingia nyumbani , wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake ; wakapiga magoti , wakamsujudia .
(trg)="b.MAT.2.11.2"> Kisha wakafungua hazina zao , wakampa zawadi : dhahabu , ubani na manemane .

(src)="b.MAT.2.12.1"> Astaun , nuspashcaunai rimashca aca ama tigrangaj Herodesma , paiguna rinauca shu nambira .
(trg)="b.MAT.2.12.1"> Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie Herode ; hivyo wakarudi makwao kwa njia nyingine .

(src)="b.MAT.2.13.1"> Paiguna rishca huasha , shu Señormanda ángel ricurimuca Josema pai nuspashcaunai , paita nisha : Atari , huahuara paihua mamandi pushari , Egipto nishca llactama miticuiri .
(src)="b.MAT.2.13.2"> Chihui chapai ñuca canda rimanagama .
(src)="b.MAT.2.13.3"> Herodes huahuara mascangami huañuchingaj .
(trg)="b.MAT.2.13.1"> Baada ya wale wageni kuondoka , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto , akamwambia , " Amka !
(trg)="b.MAT.2.13.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , mkimbilie Misri .
(trg)="b.MAT.2.13.3"> Kaeni huko mpaka nitakapokwambia , maana Herode anakusudia kumwua huyu mtoto . "

(src)="b.MAT.2.14.1"> Pai lliccharisha , tuta huahuara paihua mamandi pushasha , Egipto llactama rinauca .
(trg)="b.MAT.2.14.1"> Hivyo , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akaondoka usiku , akaenda Misri .

(src)="b.MAT.2.15.1"> Chihui tianauca Herodes huañunagama , Señor rimashcara pactachingaj , Diosmanda rimaj rimashcasna : Egiptomanda ñuca Churira cayacani .
(trg)="b.MAT.2.15.1"> Akakaa huko mpaka Herode alipokufa .
(trg)="b.MAT.2.15.2"> Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie : " Nilimwita Mwanangu kutoka Misri . "

(src)="b.MAT.2.16.1"> Shinajpi Herodes yachajguna paita umachinaupi ricusha , ashcara piñarisha , huahuaunara huañuchingaj cachaca , tucui ichilla cari huahuanara , ishqui huata tupumanda pishiunara , Belembi tiajgunara , chi rayai tiajgunaras , yachajguna rimashca tiempomanda yupasha .
(trg)="b.MAT.2.16.1"> Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa , alikasirika sana .
(trg)="b.MAT.2.16.2"> Akaamuru watoto wote wa kiume mjini Bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe .
(trg)="b.MAT.2.16.3"> Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota .

(src)="b.MAT.2.17.1"> Chi horasllai Jeremías nishca Diosmanda rimaj rimashca shimi pactarica , pai nishca :
(trg)="b.MAT.2.17.1"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia :

(src)="b.MAT.2.18.1"> Rama nishca llactai shimi uyarica , Atun caparina , atun huacai , atun llaquirina , Raquel paihua churiunamanda huacasha .
(src)="b.MAT.2.18.2"> Cariyanara mana munacachu paiguna huañushcamanda .
(trg)="b.MAT.2.18.1"> " Sauti imesikika mjini Rama , kilio na maombolezo mengi .
(trg)="b.MAT.2.18.2"> Raheli anawalilia watoto wake , wala hataki kutulizwa , maana wote wamefariki . "

(src)="b.MAT.2.19.1"> Shinashas , Herodes huañushca huasha , Señorba ángel cuti ricurimuca Josera pai nuspashcaunai , Egipto llactai .
(trg)="b.MAT.2.19.1"> Baada ya kifo cha Herode , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri ,

(src)="b.MAT.2.20.1"> Atari , nica , huahuara paihua mamandi pushari , Israel llactara ri .
(src)="b.MAT.2.20.2"> Huahuara huañuchingaj niuguna ña huañunaushcami .
(trg)="b.MAT.2.20.1"> akamwambia , " Amka !
(trg)="b.MAT.2.20.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , urudi tena katika nchi ya Israeli , maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa . "

(src)="b.MAT.2.21.1"> Shinajpi atarica , huahuara paihua mamandi pushaca .
(src)="b.MAT.2.21.2"> Israel llactama shamuca .
(trg)="b.MAT.2.21.1"> Basi , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akarejea katika nchi ya Israeli .

(src)="b.MAT.2.22.1"> Josega , Arquelao nishca Judea partii rey apu tucushcara uyashaga , paihua yaya Herodes randimanda , chima rinara manzhacami .
(src)="b.MAT.2.22.2"> Astaun nuspashcaunai uyasha , pai Galilea partima rica .
(trg)="b.MAT.2.22.1"> Lakini Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake , aliogopa kwenda huko .
(trg)="b.MAT.2.22.2"> Naye baada ya kuonywa katika ndoto , alikwenda katika mkoa wa Galilaya ,

(src)="b.MAT.2.23.1"> Nazaret nishca llactama pactamuca chihui tiangaj , Diosmanda rimajguna rimashcara pactachingaj , casna nisha : Pai Nazaret runa nishca anga .
(trg)="b.MAT.2.23.1"> akahamia katika mji uitwao Nazareti .
(trg)="b.MAT.2.23.2"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii : " Ataitwa Mnazare . "

(src)="b.MAT.3.1.1"> Chi punzhaunai Bautisaj Juan Judeai tiaj runa illashca partima rimaj shamuca .
(trg)="b.MAT.3.1.1"> Siku hizo Yohane Mbatizaji alitokea , akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea :

(src)="b.MAT.3.2.1"> Arrepentirichi , nica , ahua pacha mandana mayanllayashcami .
(trg)="b.MAT.3.2.1"> " Tubuni , maana Ufalme wa mbinguni umekaribia . "

(src)="b.MAT.3.3.1"> Caimi Isaías nishca Diosmanda rimaj rimaushca , nisha : Caparij shimi , runa illashca partii caparisha : Señor purina nambira alichichi , paihua ñambiunara dirichuichi .
(trg)="b.MAT.3.3.1"> Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema : " Sauti ya mtu imesikika jangwani : Mtayarishieni Bwana njia yake , nyoosheni vijia vyake . "

(src)="b.MAT.3.4.1"> Juan camello nishca illmahua ahuashcara churarishca aca , cara chumbillinahua chumbillishca aca .
(src)="b.MAT.3.4.2"> Atun ijiunara sacha mishquiras micuj aca .
(trg)="b.MAT.3.4.1"> Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya ya ngamia , na ukanda wa ngozi kiunoni mwake .
(trg)="b.MAT.3.4.2"> Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni .

(src)="b.MAT.3.5.1"> Paihuajma shamunauca Jerusalenmanda tucui Judeamanda , tucui Jordan rayai tiaj partiunamanda .
(trg)="b.MAT.3.5.1"> Basi , watu kutoka Yerusalemu , kutoka mkoa wote wa Yudea na sehemu zote za kandokando ya mto Yordani , walimwendea ,

(src)="b.MAT.3.6.1"> Juan paigunara bautisaca Jordan yacui , paiguna ucharashcaunara cuentajpi .
(trg)="b.MAT.3.6.1"> wakaziungama dhambi zao , naye akawabatiza katika mto Yordani .

(src)="b.MAT.3.7.1"> Ashca fariseo nishcauna saduceo nishcaunandi paihuajma shamujta ricusha , Juan paigunara nica : Machacuimanda miraiguna , ¿ pi cangunara yachachica shamuj piñarishcamanda miticungaj ?
(trg)="b.MAT.3.7.1"> Lakini alipowaona Mafarisayo wengi na Masadukayo wanamjia ili awabatize , aliwaambia , " Enyi kizazi cha nyoka !
(trg)="b.MAT.3.7.2"> Ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja ?

(src)="b.MAT.3.8.1"> Arrepentirina tonora raichi .
(trg)="b.MAT.3.8.1"> Onyesheni basi kwa matendo , kwamba mmetubu kweli .

(src)="b.MAT.3.9.1"> Ama iyaichichu canguna quiquin shungüi ningaj : Abrahanga ñucanchi yaya , nisha .
(src)="b.MAT.3.9.2"> Cangunara nini , Dios cai quiquin rumiunamanda churiunara Abrahambajta sicachinara ushanmi .
(trg)="b.MAT.3.9.1"> Msidhani kwamba mtaweza kujitetea kwa kusema , Baba yetu ni Abrahamu !
(trg)="b.MAT.3.9.2"> Nawaambieni hakika , Mungu anaweza kuyafanya mawe haya yawe watoto wa Abrahamu .

(src)="b.MAT.3.10.1"> Maspas , cunallara hachara churashcami yura sapii .
(src)="b.MAT.3.10.2"> Chimanda maican yura mana ali muyura aparijpi cuchushca anga , ninai shitashca anga .
(trg)="b.MAT.3.10.1"> Basi , shoka liko tayari kuikata mizizi ya miti ; hivyo , kila mti usiozaa matunda mazuri , utakatwa na kutupwa motoni .

(src)="b.MAT.3.11.1"> Ñuca cierto pacha cangunara bautisauni yacui , arrepentirishcamanda .
(src)="b.MAT.3.11.2"> Astaun ñuca huashai shamuj cangunara Santo Espiritui ninais bautisangami .
(src)="b.MAT.3.11.3"> Ñucaga mana valijchu ani paihua zapatosllas apangaj .
(src)="b.MAT.3.11.4"> Pai ñucamanda yali ushajmi .
(trg)="b.MAT.3.11.1"> Mimi ninawabatizeni kwa maji kuonyesha kwamba mmetubu .
(trg)="b.MAT.3.11.2"> Lakini yule anayekuja baada yangu ana uwezo kuliko mimi .
(trg)="b.MAT.3.11.3"> Mimi sistahili hata kubeba viatu vyake .
(trg)="b.MAT.3.11.4"> Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto .

(src)="b.MAT.3.12.1"> Paihua maquii huairachinara chariun , llushtina pambara pichangami , trigo muyura apingami huacachina huasii , carara rupachingami mana tucurij ninai .
(trg)="b.MAT.3.12.1"> Yeye anashika mkononi chombo cha kupuria nafaka , ili aipure nafaka yake ; akusanye ngano ghalani , na makapi ayachome kwa moto usiozimika . "

(src)="b.MAT.3.13.1"> Shinajpi Galilea partimanda Jesús Jordanma shamuca Juanbajma , pai bautisai tucungaj .
(trg)="b.MAT.3.13.1"> Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani , akamwendea Yohane ili abatizwe naye .

(src)="b.MAT.3.14.1"> Juanga mana munacachu .
(src)="b.MAT.3.14.2"> Canmi ñucara bautisana angui , nica .
(src)="b.MAT.3.14.3"> ¿ Astaun canzhu ñucajma shamungui ?
(trg)="b.MAT.3.14.1"> Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema , " Je , wewe unakuja kwangu ?
(trg)="b.MAT.3.14.2"> Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe . "

(src)="b.MAT.3.15.1"> Jesús paita cutipaca : Saquilla , ministirinmi ñucanchi tucui aliranara pactachingaj .
(src)="b.MAT.3.15.2"> Shinajpi Juan lugarda cuca .
(trg)="b.MAT.3.15.1"> Lakini Yesu akamjibu , " Acha tu iwe hivyo kwa sasa , maana kwa namna hii inafaa tuyatekeleze yale yote Mungu anayotaka . "
(trg)="b.MAT.3.15.2"> Hapo Yohane akakubali .

(src)="b.MAT.3.16.1"> Bautisashca huasha , Jesús yacumanda sicaca , shinajpi anua pacha pascarica .
(src)="b.MAT.3.16.2"> Diospa Espiritura palomasna irgumujta ricuca , paihua ahuai shamucami .
(trg)="b.MAT.3.16.1"> Mara tu Yesu alipokwisha batizwa , alitoka majini ; na ghafla mbingu zikafunguka , akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kutua juu yake .

(src)="b.MAT.3.17.1"> Shu shimi anua pachamanda uyarimuca nisha : Caimi ñuca llaquishca Churi , paihuajpi yapa cushi ani .
(trg)="b.MAT.3.17.1"> Sauti kutoka mbinguni ikasema , " Huyu ndiye Mwanangu mpendwa , nimependezwa naye . "

(src)="b.MAT.4.1.1"> Shinajpi Santo Espíritu Jesusta pushaca runa illashca partima , Supai Apu paita tentangaj .
(trg)="b.MAT.4.1.1"> Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi .

(src)="b.MAT.4.2.1"> Chuscu chunga punzhara , tutandi punzhandi sasishca huasha , mana micusha , Jesús yarcachica .
(trg)="b.MAT.4.2.1"> Akafunga siku arubaini mchana na usiku , na mwishowe akaona njaa .

(src)="b.MAT.4.3.1"> Supai paihuajma tentangaj shamusha , paita nica : Can Diospa Churi ashaga , cai rumiunara rimai : Tanda tucui , nisha .
(trg)="b.MAT.4.3.1"> Basi , mshawishi akamjia , akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , amuru mawe haya yawe mikate . "

(src)="b.MAT.4.4.1"> Jesús cutipasha nica : Quillcashcami tian : Mana tandallahua runa causangachu , astaun Dios tucui rimashca shimimandas .
(trg)="b.MAT.4.4.1"> Yesu akamjibu , " Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu : Binadamu hataishi kwa mikate tu , ila kwa kila neno asemalo Mungu . "

(src)="b.MAT.4.5.1"> Shinajpi Supai Apu paita Dios ajllashca llactama pushaca , templo nishca Diospa huasi ahua pundai paita shayachica .
(trg)="b.MAT.4.5.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu , mji mtakatifu , akamweka juu ya mnara wa hekalu ,

(src)="b.MAT.4.6.1"> Paita nica : Can Diospa Churi ashaga , allpama urmai ; casna quillcashcami tian : Paihua angelgunara cambajma cachangami .
(src)="b.MAT.4.6.2"> Shinallara , Canda apinaungami paiguna maquiunai , ama camba chaqui nijtaringaj rumii .
(trg)="b.MAT.4.6.1"> akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , jitupe chini ; maana imeandikwa : Mungu atawaamuru malaika wake kwa ajili yako ; watakuchukua mikononi mwao , usije ukajikwaa kwenye jiwe . "

(src)="b.MAT.4.7.1"> Jesús paita cutipaca : Shinallara quillcashcami tian : Señorda camba Diosta ama tentanguichu .
(trg)="b.MAT.4.7.1"> Yesu akamwambia , " Imeandikwa pia : Usimjaribu Bwana , Mungu wako . "

(src)="b.MAT.4.8.1"> Cutillara , Supai Apu paita shu yapa ahua urcuma pushaca , chimanda tucui mundu llactaunara ricuchica paiguna sumajndi .
(trg)="b.MAT.4.8.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu , akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake ,

(src)="b.MAT.4.9.1"> Supai paita nica : Cai tucuira canda cushami can tuama urmasha ñucara adorajpi .
(trg)="b.MAT.4.9.1"> akamwambia , " Hivi vyote nitakupa kama tu ukipiga magoti na kuniabudu . "

(src)="b.MAT.4.10.1"> Shinajpi Jesús paita nica : Ri , Satanás , quillcashcami tian : Señorda camba Diosta adorana mangui , paulara sirvina mangui .
(trg)="b.MAT.4.10.1"> Hapo , Yesu akamwambia , " Nenda zako Shetani !
(trg)="b.MAT.4.10.2"> Imeandikwa : Utamwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake . "

(src)="b.MAT.4.11.1"> Shinajpi Supai Apu paita saquica .
(src)="b.MAT.4.11.2"> Angelguna shamunauca , paita sirvinauca .
(trg)="b.MAT.4.11.1"> Basi , Ibilisi akamwacha , na malaika wakaja , wakamhudumia .

(src)="b.MAT.4.12.1"> Jesús Juan chonda cularbi ishcashcara uyasha , Galileama tigraca .
(trg)="b.MAT.4.12.1"> Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya .

(src)="b.MAT.4.13.1"> Nazaret llactara saquisha , Capernaum nishca lamar patai tiaj llactama shamuca , chihui causauca .
(src)="b.MAT.4.13.2"> Capernaum llacta Zabulón Neftalí nishca partiunai tian .
(trg)="b.MAT.4.13.1"> Aliondoka Nazareti , akaenda Kafarnaumu , mji ulio kando ya bahari ya Genesareti , mpakani mwa wilaya za Zabuloni na Naftali , akakaa huko .

(src)="b.MAT.4.14.1"> Jesús caima shamuca Isaías nishca Diosmanda rimaj rimashcara pactachingaj , casna nisha :
(trg)="b.MAT.4.14.1"> Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya :

(src)="b.MAT.4.15.1"> Zabulón llactas , Neftalí llactas , lamar ñambii , Jordan huashai , gentil nishcauna Galilea partii ;
(trg)="b.MAT.4.15.1"> " Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali , kuelekea baharini ng ' ambo ya mto Yordani , Galilaya nchi ya watu wa Mataifa !

(src)="b.MAT.4.16.1"> Llandu tutai tiarij runauna atun velara ricunauca .
(src)="b.MAT.4.16.2"> Huañuna llandui tiarijgunara vela punzhayachicami .
(trg)="b.MAT.4.16.1"> Watu waliokaa gizani wameona mwanga mkubwa .
(trg)="b.MAT.4.16.2"> Nao walioishi katika nchi ya giza na kivuli cha kifo , mwanga umewaangazia ! "

(src)="b.MAT.4.17.1"> Chi horasmanda pacha , Jesús yachachingaj callarica .
(src)="b.MAT.4.17.2"> Rimai callarica : Arrepentirichi , nisha , ahua pacha mandana mayanllayashcami .
(trg)="b.MAT.4.17.1"> Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema , " Tubuni , maana ufalme wa mbinguni umekaribia ! "

(src)="b.MAT.4.18.1"> Jesús , Galilea lamar rayai puriusha , ishquindi uquira ricuca , Pedro nishca Simón aca , paihua uqui Andresndi , licarinauca lamarbi .
(src)="b.MAT.4.18.2"> Aichahuara apijguna anauca .
(trg)="b.MAT.4.18.1"> Yesu alipokuwa anatembea kando ya ziwa Galilaya , aliwaona ndugu wawili wavuvi ; Simoni ( aitwae Petro ) na Andrea , ndugu yake ; walikuwa wakivua samaki kwa nyavu ziwani .

(src)="b.MAT.4.19.1"> Paigunara nica : Ñucara catihuaichi , cangunara runara licajgunara rasha .
(trg)="b.MAT.4.19.1"> Basi , akawaambia , " Nifuateni , nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu . "

(src)="b.MAT.4.20.1"> Paiguna licaunara dsas saquisha , paita catinauca .
(trg)="b.MAT.4.20.1"> Mara wakaziacha nyavu zao , wakamfuata .

(src)="b.MAT.4.21.1"> Chimanda rijpi , shu ishquindi uquira ricuca , Jacobo Zebedeo churi paihua uqui Juandi .
(src)="b.MAT.4.21.2"> Paiguna yaya Zebedeohua canoai tianauca licaunara sirasha .
(src)="b.MAT.4.21.3"> Jesús paigunara cayaca : Shamichi , nisha .
(trg)="b.MAT.4.21.1"> Alipokwenda mbele kidogo , aliwaona ndugu wengine wawili : Yakobo na Yohane , wana wa Zebedayo .
(trg)="b.MAT.4.21.2"> Hao walikuwa ndani ya mashua pamoja na baba yao Zebedayo , wakitengeneza nyavu zao .
(trg)="b.MAT.4.21.3"> Basi Yesu akawaita ,

(src)="b.MAT.4.22.1"> Paiguna dsaslla canoara yayaras saquisha , paita catinauca .
(trg)="b.MAT.4.22.1"> nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao , wakamfuata .

(src)="b.MAT.4.23.1"> Jesús tucui Galilea partiunama risha , paiguna tandarina huasiunai yachachisha , Dios mandana pacha ali shimira camachisha , tucui ungüigunaras tucui nanaigunaras alichisha purica .
(trg)="b.MAT.4.23.1"> Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani Galilaya , akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme wa Mungu .
(trg)="b.MAT.4.23.2"> Aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu .

(src)="b.MAT.4.24.1"> Paihua shuti uyarica tucui Siria nishca partiunai .
(src)="b.MAT.4.24.2"> Paihuajma pushamunauca nanachijgunara , imahua ungusha tormendarishcaunaras , supai apishcaunaras , loco tucushcaunaras , suchu nishca mana purina ushajgunaras .
(src)="b.MAT.4.24.3"> Paigunara alichica .
(trg)="b.MAT.4.24.1"> Habari zake zikaenea katika mkoa wote wa Siria .
(trg)="b.MAT.4.24.2"> Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu : waliopagawa na pepo , wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa , walipelekwa kwake ; naye akawaponya wote .

(src)="b.MAT.4.25.1"> Ashca runauna paita catimunauca , Galileamandas Decápolis nishca partimandas , Jerusalenmandas , Judeamandas , Jordan yacu chimbamandas .
(trg)="b.MAT.4.25.1"> Makundi mengi ya watu kutoka Galilaya , Dekapoli , Yerusalemu , Yudea na ng ' ambo ya mto Yordani , walimfuata .

(src)="b.MAT.5.1.1"> Jesús chi ashca runaunara ricusha , urcuma sicaca ; pai tiarijpi pai yachachishca runauna paihuajma shamunauca .
(trg)="b.MAT.5.1.1"> Yesu alipoyaona makundi ya watu , alipanda mlimani , akaketi .
(trg)="b.MAT.5.1.2"> Wanafunzi wake wakamwendea ,

(src)="b.MAT.5.2.1"> Jesús rimasha paigunara yachachica nisha :
(trg)="b.MAT.5.2.1"> naye akaanza kuwafundisha :

(src)="b.MAT.5.3.1"> Cushiunami almai pugri anchi nijguna .
(src)="b.MAT.5.3.2"> Paigunajmi ahua pacha mandana .
(trg)="b.MAT.5.3.1"> " Heri walio maskini rohoni , maana ufalme wa mbinguni ni wao .

(src)="b.MAT.5.4.1"> Cushiunami huacajguna , paiguna cushi tucunaungami .
(trg)="b.MAT.5.4.1"> Heri walio na huzuni , maana watafarijiwa .

(src)="b.MAT.5.5.1"> Cushiunami mansouna , paiguna cai pachara cui tucunaungami .
(trg)="b.MAT.5.5.1"> Heri walio wapole , maana watairithi nchi .

(src)="b.MAT.5.6.1"> Cushiunami alirangaj yarcachijguna upinaichijguna , sajsachisca anaunga .
(trg)="b.MAT.5.6.1"> Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu , maana watashibishwa .

(src)="b.MAT.5.7.1"> Cushiunami llaquij shunguyujguna , paiguna llaquishca tucunaungami .
(trg)="b.MAT.5.7.1"> Heri walio na huruma , maana watahurumiwa .

(src)="b.MAT.5.8.1"> Cushiunami chuyaj shunguuna , paiguna Diosta ricunaungami .
(trg)="b.MAT.5.8.1"> Heri wenye moyo safi , maana watamwona Mungu .

(src)="b.MAT.5.9.1"> Cushiunami macanaujpurara alichijguna , Diospa churiuna nishca anaunga .
(trg)="b.MAT.5.9.1"> Heri wenye kuleta amani , maana wataitwa watoto wa Mungu .

(src)="b.MAT.5.10.1"> Cushiunami aliranamanda tormendachishcauna , paigunajmi ahua pacha mandana .
(trg)="b.MAT.5.10.1"> Heri wanaoteswa kwa sababu ya kufanya atakavyo Mungu , maana ufalme wa mbinguni ni wao .