# pot/Potawatomi-PART.xml.gz
# ss/Swahili-NT.xml.gz


(src)="b.MAT.1.1.1"> OTISU ie ' i msInukIn iaianke ' pmatse ' cuk iukwan Cisus Knayst we ' kwIsmukot Te ' pItun , ipi Te ' pIt we ' kwusmukcIn E ' pIne ' amun ;
(trg)="b.MAT.1.1.1"> Yesu Kristo alikuwa mzawa wa Daudi , mzawa wa Abrahamu .
(trg)="b.MAT.1.1.2"> Hii ndiyo orodha ya ukoo wake :

(src)="b.MAT.1.2.1"> E ' pIne ' e ' m okiwosmukon AysIkIn , ipi AysIk kiwosmukon Ce ' kapIn , ipi Ce ' kap kiwosmukon CotusIn , ipi niw wikane ' iIn ;
(trg)="b.MAT.1.2.1"> Abrahamu alimzaa Isaka , Isaka alimzaa Yakobo , Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake ,

(src)="b.MAT.1.3.1"> IcI Cotus kiwosmukon Pe ' nIsIn , ipi Se ' ne ' , Te ' me ' cI kao kie ' iwat , ipi Pe ' nIs kiwosmukon E ' snumIn , ipi E ' snum kiwosmukon E ' numIn ,
(trg)="b.MAT.1.3.1"> Yuda alimzaa Faresi na Zera ( mama yao alikuwa Tamari ) , Faresi alimzaa Hesroni , Hesroni alimzaa Rami ,

(src)="b.MAT.1.4.1"> Ipi E ' num kiwosmukon E ' mInite ' pIn , ipi E ' mInite ' p kiwosmukon Ne ' e ' sunIn , ipi Ne ' e ' sun kiwosmukon SanmunIn ,
(trg)="b.MAT.1.4.1"> Rami alimzaa Aminadabu , Aminadabu alimzaa Nashoni , Nashoni alimzaa Salmoni ,

(src)="b.MAT.1.5.1"> Ipi Sanmun kiwosmukon Poe ' sIn , niwcI kaokie ' icIn Ne ' ke ' pIn , ipi Poe ' s kiwosmukon , OpItIn , kaokie ' icIn NwtIn ipi OpIt kiwosmukon Ce ' siIn ;
(trg)="b.MAT.1.5.1"> Salmoni alimzaa Boazi ( mama yake Boazi alikuwa Rahabu ) .
(trg)="b.MAT.1.5.2"> Boazi na Ruthi walikuwa wazazi wa Obedi , Obedi alimzaa Yese ,

(src)="b.MAT.1.6.1"> Ipi Ce ' si kiwosmukon Te ' pItIn kaokumawIt , ipi Te ' pIt kaokumawIt kiwosmukon Sanumun ; kaokie ' cIn kaowiwpninIn Ionaie ' s ;
(trg)="b.MAT.1.6.1"> naye Yese alimzaa Mfalme Daudi .
(trg)="b.MAT.1.6.2"> Daudi alimzaa Solomoni ( mama yake Solomoni alikuwa mke wa Uria ) .

(src)="b.MAT.1.7.1"> Ipi Sanumun kiwosmukon NopoumIn , ipi Nopoum , kiwosmukon E ' pie ' In , ipi E ' pie ' kiwosmukon E ' se ' In ;
(trg)="b.MAT.1.7.1"> Solomoni alimzaa Rehoboamu , Rehoboamu alimzaa Abiya , Abiya alimzaa Asa ,

(src)="b.MAT.1.8.1"> Ipi E ' se ' kiwosmukon Cose ' pe ' tIn , ipi CosIpe ' t kiwosmukon Cone ' mIn , ipi Cone ' m kiwosmukon Osaye ' sIn :
(trg)="b.MAT.1.8.1"> Asa alimzaa Yehoshafati , Yehoshafati alimzaa Yoramu , Yoramu alimzaa Uzia ,

(src)="b.MAT.1.9.1"> Ipi Osaye ' s kiwosmukon Cote ' mIn ipi Cote ' m kiwosmukon E ' ke ' sIn ipi E ' ke ' s kiwosmukon IsikayusIn ;
(trg)="b.MAT.1.9.1"> Uzia alimzaa Yothamu , Yothamu alimzaa Ahazi , Ahazi alimzaa Hezekia ,

(src)="b.MAT.1.10.1"> Ipi Isikayus kiwosmukon Me ' ne ' se ' sIn , ipi Me ' ne ' se ' s kiwosmukon E ' munIn , ipi E ' mun kiwosmukon CosayusIn ;
(trg)="b.MAT.1.10.1"> Hezekia alimzaa Manase , Manase alimzaa Amoni , Amoni alimzaa Yosia ,

(src)="b.MAT.1.11.1"> Ipi Cosayus kiwosmukon Ce ' koniasIn , ipi wikane ' iIn , iwcI ipic e ' kimacintwa Pe ' pinun ;
(trg)="b.MAT.1.11.1"> Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake .
(trg)="b.MAT.1.11.2"> Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni .

(src)="b.MAT.1.12.1"> IcI kapie ' ntwa , ipI Pe ' pinun Ce ' konias kiwosmukon Se ' ne ' tie ' nIn , ipi Se ' ne ' tie ' n kiwosmukon Sonope ' pe ' nIn :
(trg)="b.MAT.1.12.1"> Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishomi Babuloni : Yekonia alimzaa Shealtieli , Shealtieli alimzaa Zerobabeli ,

(src)="b.MAT.1.13.1"> Ipi Sonope ' pe ' n kiwosmukon E ' ipie ' tIn , ipi E ' pie ' t kiwosmukon E ' naye ' kumIn , ipi E ' naye ' kum kiwosmukon E ' sunIn ;
(trg)="b.MAT.1.13.1"> Zerobabeli alimzaa Abiudi , Abiudi alimzaa Eliakimu , Eliakimu alimzaa Azori ,

(src)="b.MAT.1.14.1"> Ipi E ' sun kiwosmukon Se ' takIn , ipi Se ' tak kiwosmukon E ' kImIn , ipi E ' kIm kiwosmukon InayiatIn ;
(trg)="b.MAT.1.14.1"> Azori alimzaa Zadoki , Zadoki alimzaa Akimu , Akimu alimzaa Eliudi ,

(src)="b.MAT.1.15.1"> Ipi Inayiat kiwosmukon Inie ' se ' nIn , ipi Inie ' se ' kiwosmukon Me ' te ' nIn , ipi Me ' te ' n kiwosmukon Ce ' kapIn ;
(trg)="b.MAT.1.15.1"> Eliudi alimzaa Eleazeri , Eleazeri alimzaa Mathani , Mathani alimzaa Yakobo ,

(src)="b.MAT.1.16.1"> Ipi Ce ' kap kiwosmukon CosipIn , onape ' mIn o Me ' ni kanikukocIn Cisus oie ' o kashInkanIt Knayst .
(trg)="b.MAT.1.16.1"> Yakobo alimzaa Yosefu , aliyekuwa mume wake Maria , mama yake Yesu , aitwaye Kristo .

(src)="b.MAT.1.17.1"> OtIcI ie ' i cak iaianke ' pmatsowunIn kaocukwat E ' pIne ' -e ' m nash Te ' pIt , Ke ' iapI mtatso shItnie ' w iaianke ' pmatsowunIn , ipi Te ' pIt nash kamacintwa Pe ' pe ' nunuk ke ' iapI mtatso shItInie ' w iaianke ' pmatsowunIn icI pic kamacintwa Pe ' pe ' nunuk nash Knayst , ke ' iapI mtatso shItInie ' w iaianke ' pmatsowunIn .
(trg)="b.MAT.1.17.1"> Basi , kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi , vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni , na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo .

(src)="b.MAT.1.18.1"> OtIcI KanikIt Cisus Knayst otI kanomkuk , ni okie ' iIn Me ' niIn kakishknontwat ni CosipIn e ' pwamshI witike ' twat okikukIshkwan pInoce ' iIn e ' ki ne ' nmukot Kshe ' mIne ' ton .
(trg)="b.MAT.1.18.1"> Basi , hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa : Maria , mama yake , alikuwa ameposwa na Yosefu .
(trg)="b.MAT.1.18.2"> Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke , alionekana kuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .

(src)="b.MAT.1.19.1"> IcI CosipIn onape ' mun kimnoshuwe ' psin cowi kine ' ntusi , e ' wipwakuke ' ncukasnIt , ntawac kimoc e ' wipke ' at kine ' ntum .
(trg)="b.MAT.1.19.1"> Yosefu , mumewe , kwa vile alikuwa mwadilifu , hakutaka kumwaibisha hadharani ; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri .

(src)="b.MAT.1.20.1"> Me ' kwacI otI e ' ie ' shite ' at , PInI Kshe ' mIne ' to omIshIne ' we ' mIn nkipie ' otusuk kinapitum , OtI okikon , Cosip we ' kwIsmukwiIn Te ' pIt ke ' ko kwtukIn e ' wiwicIt Me ' ni kiwish , iwsI otI e ' ncukot kane ' nmukot Kshe ' mIne ' to OcipamIn .
(trg)="b.MAT.1.20.1"> Alipokuwa bado anawaza jambo hilo , malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto , akamwambia , " Yosefu , mwana wa Daudi , usiogope kumchukua Maria awe mke wako , maana amekuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .

(src)="b.MAT.1.21.1"> KuokwIsI , Cisus cI kIshInkana , wino kuke ' skonan otInIshInape ' mIn , i e ' patasnIt .
(trg)="b.MAT.1.21.1"> Atajifungua mtoto wa kiume , nawe utampa jina Yesu , kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao . "

(src)="b.MAT.1.22.1"> Caye ' k otI kanomkuk e ' wi te ' pwe ' mkuk Kshe ' mIne ' to ni iacimot otI kikIto :
(trg)="b.MAT.1.22.1"> Basi , haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii :

(src)="b.MAT.1.23.1"> PInI ! she ' shksi kIncuko ku ' okwIsIcI otI okishInkanawan Ime ' niun ; i ie ' i KshmIne ' to kuwice ' okonan e ' kItok .
(trg)="b.MAT.1.23.1"> " Bikira atachukua mimba , atamzaa mtoto wa kiume , naye ataitwa Emanueli " ( maana yake , " Mungu yu pamoja nasi " ) .

(src)="b.MAT.1.24.1"> Pic cI Cosip kaonIshkat me ' kwa e ' npapIt oki te ' pwe ' twan Kshe ' mIne ' ton omIshIne ' we ' mIn kakot , icI e ' kiw otapInImatsot ni wiwun .
(trg)="b.MAT.1.24.1"> Hivyo , Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia , akamchukua mke wake nyumbani .

(src)="b.MAT.1.25.1"> CocI okikuke ' nmasin nash ni onutmoshanIn okwIsIn ; kaniknIt Cisus cI okishInkanan .
(trg)="b.MAT.1.25.1"> Lakini hakumjua kamwe kimwili hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume .
(trg)="b.MAT.1.25.2"> Naye Yosefu akampa jina Yesu .

(src)="b.MAT.2.1.1"> UPIC cI Cisus kanikIt , iukwanuk Pe ' tne ' um Otanuk Cwtie ' uk , me ' kwa E ' nut e ' ie ' okimawut ; PInI e ' pianIt ne ' pwakancIn nInwun we ' cmokuk Cinwse ' ne ' muk ; e ' pie ' shiawat ;
(trg)="b.MAT.2.1.1"> Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu , mkoani Yudea , wakati Herode alipokuwa mfalme .
(trg)="b.MAT.2.1.2"> Punde tu baada ya kuzaliwa kwake , wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu ,

(src)="b.MAT.2.2.1"> OtIcI kikItwuk , TInipicI okanikIt otokumamwan Cwiuk ?
(src)="b.MAT.2.2.2"> NkiwaptumwamIn otInukomIn we ' cmokuk ; ie ' i we ' cpie ' shiaiak e ' winume ' kItokIt .
(trg)="b.MAT.2.2.1"> wakauliza , " Yuko wapi mtoto , Mfalme wa Wayahudi , aliyezaliwa ?
(trg)="b.MAT.2.2.2"> Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki , tukaja kumwabudu . "

(src)="b.MAT.2.3.1"> Pic E ' nut okuma kanotuk , notI kikicum mkoshkate ' ntum , ipi caye ' k Cinose ' ne ' muk kaie ' cuk .
(trg)="b.MAT.2.3.1"> Mfalme Herode aliposikia hayo , alifadhaika , yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu .

(src)="b.MAT.2.4.1"> IcI pic kakishmaosomat caye ' k kcI-me ' matmokcIn , ipi otonpie ' ke ' mwan ki nIshInape ' k , kakishmaoce ' tiwat win okinatawan , TInipi Knayst ke ' cInikIt ?
(trg)="b.MAT.2.4.1"> Basi akawaita pamoja makuhani wakuu wote na walimu wa Sheria , akawauliza , " Kristo atazaliwa wapi ? "

(src)="b.MAT.2.5.1"> IcI otI okinawan iukwanuksI Pe ' tnium Cwtie ' uk e ' kiwuk ; iw kashupie ' ike ' t iacimot :
(trg)="b.MAT.2.5.1"> Nao wakamjibu , " Mjini Bethlehemu , mkoani Yudea .
(trg)="b.MAT.2.5.2"> Ndivyo nabii alivyoandika :

(src)="b.MAT.2.6.1"> Ipi kin Pe ' tnium e ' kiwuk Cwtie ' uk , cosu kin , otapine ' kitupite ' ntakwsusi we ' kmaocuk Cwtie ' uk ; kin su kaotIna okuma ke ' tupakwnat ntInIshInape ' muk Isne ' iIn .
(trg)="b.MAT.2.6.1"> Ewe Bethlehemu katika nchi ya Yuda , kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda ; maana kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu , Israeli . "

(src)="b.MAT.2.7.1"> IcI E ' nut pic kimoc e ' kintomat ni ne ' pwakancIn nInwun , e ' kin natowat me ' me ' cIk ; TInicI pic nuk kanakwsIt ?
(trg)="b.MAT.2.7.1"> Hapo , Herode aliwaita faraghani hao wataalamu wa nyota , akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea .

(src)="b.MAT.2.8.1"> IcI e ' kinokanat Pe ' tniumuk , otI okinan , Wishiak , ipi pmawike ' ntone ' ok we ' shknikIt opInoce ' , icI kimkawe ' k , pie ' witumoshike ' k , ninke ' e ' wishiaian e ' wiwInume ' kituwuk .
(trg)="b.MAT.2.8.1"> Kisha akawatuma Bethlehemu akisema , " Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo .
(trg)="b.MAT.2.8.2"> Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu . "

(src)="b.MAT.2.9.1"> IcI pInI , pic cI kanotwawat ni okuman kinmumacik , icI niw onukon kawapmawapIt we ' cmokuk , kinmInikanin , pama kinkase ' shikacIiIt we ' shknikIt pInoce ' kacIiIt .
(trg)="b.MAT.2.9.1"> Baada ya kumsikiliza mfalme , hao wataalamu wa nyota wakaenda .
(trg)="b.MAT.2.9.2"> Kumbe ile nyota waliyokuwa wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto .

(src)="b.MAT.2.10.1"> Pic cI kawapmawat ni nukon kikcImnwe ' ntumwuk , ipi kimnawan koswuk .
(trg)="b.MAT.2.10.1"> Walipoiona hiyo nyota , walifurahi mno .

(src)="b.MAT.2.11.1"> IcI pic kapiawat wikwamuk okiwapmawan , niw kaoshkIniknIt pInoce ' iIn , ipi Me ' ni okie ' iIn , icI e ' kipmukocnowat , ipi e ' nume ' kitowawat ; icI pic kapaknumwat iukwanIn we ' onItnukIn , e ' kimawan mikwe ' wunIn osaw shonia , ipi mnomiakowun .
(trg)="b.MAT.2.11.1"> Basi , wakaingia nyumbani , wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake ; wakapiga magoti , wakamsujudia .
(trg)="b.MAT.2.11.2"> Kisha wakafungua hazina zao , wakampa zawadi : dhahabu , ubani na manemane .

(src)="b.MAT.2.12.1"> IcI e ' kiwitumakwat , Kshe ' mIne ' ton e ' kiapwawat ke ' kowi minI shiake ' k E ' nut e ' iIt , icI e ' kishiawat e ' tnukie ' wat ototanwak , pkan kinImIshie ' k .
(trg)="b.MAT.2.12.1"> Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie Herode ; hivyo wakarudi makwao kwa njia nyingine .

(src)="b.MAT.2.13.1"> IcI pic kamaciwat PInI Cosip kiwapman Kshe ' mune ' to omIshInIwe ' mIn e ' napituk otI otukon , Psukwin ipi otapIn we ' shknikIt pInoce ' , ipi niw okie ' iIn , ipI cI Iciptuk oshumok ; icI shi iuk ; pama pie ' toian kikitowun , iukwanwi E ' nut okupantone ' wan we ' shknikIt pInoce ' iIn e ' winsat .
(trg)="b.MAT.2.13.1"> Baada ya wale wageni kuondoka , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto , akamwambia , " Amka !
(trg)="b.MAT.2.13.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , mkimbilie Misri .
(trg)="b.MAT.2.13.3"> Kaeni huko mpaka nitakapokwambia , maana Herode anakusudia kumwua huyu mtoto . "

(src)="b.MAT.2.14.1"> PicI win kapsukwit kiwtapInan niw we ' shkniknIt , pInoce ' iIn , ipi niw okie ' iIn , nipatipuk e ' kishumaciwat iukwanuk Iciptuk .
(trg)="b.MAT.2.14.1"> Hivyo , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akaondoka usiku , akaenda Misri .

(src)="b.MAT.2.15.1"> IcI shi pIne ' e ' ikiiIt , pama kanponIt E ' nutIn , iwsI ie ' i ote ' pwe ' wun kakItot , Kshe ' munIto otacimonInwun , kItwak , iw ie ' i kaocIntomuk O nkwIs iukwanuk Iciptuk .
(trg)="b.MAT.2.15.1"> Akakaa huko mpaka Herode alipokufa .
(trg)="b.MAT.2.15.2"> Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie : " Nilimwita Mwanangu kutoka Misri . "

(src)="b.MAT.2.16.1"> IcI E ' nut e ' kikike ' ntuk e ' ki papnInmukot ni ne ' pwakancIn nInwun , kikcInshkatsI e ' kinokashwe ' t , icI kaye ' k e ' kinsIckasnIt pInoce ' iIn e ' inIcIn shi Pe ' tniumuk ; ipi caye ' k pe ' shoc e ' inIcIn nashponkIsnIcIn , ipi iwpic e ' kiwi ke ' nata ‘ wat niw ne ' pwakancIn nInwun .
(trg)="b.MAT.2.16.1"> Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa , alikasirika sana .
(trg)="b.MAT.2.16.2"> Akaamuru watoto wote wa kiume mjini Bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe .
(trg)="b.MAT.2.16.3"> Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota .

(src)="b.MAT.2.17.1"> Iw ie ' i , te ' pwe ' wun kakitot , iukwan Ce ' nimaye ' , iacimot otI kakItot ;
(trg)="b.MAT.2.17.1"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia :

(src)="b.MAT.2.18.1"> Iukwanuk Ne ' me ' uk okinotanawa notakwsuwun wishkwe ' we ' ksuwun , ipi moik , ipi kcIshke ' ntumwun ; Ne ' ce ' n otumwuman onicanse ' iIn , cowi kshkumnowankosi ; osam co wuie ' iwin .
(trg)="b.MAT.2.18.1"> " Sauti imesikika mjini Rama , kilio na maombolezo mengi .
(trg)="b.MAT.2.18.2"> Raheli anawalilia watoto wake , wala hataki kutulizwa , maana wote wamefariki . "

(src)="b.MAT.2.19.1"> Pic cI E ' nut kanpot PInI Kshe ' mIne ' to omIshIne ' we ' mIn okiwtuskon Cosip kinaptum shi Iciptuk ,
(trg)="b.MAT.2.19.1"> Baada ya kifo cha Herode , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri ,

(src)="b.MAT.2.20.1"> OtI okikon , Psukwin , ipi otapIn we ' shknikIt pInoce ' , ipi niw okie ' iIn , icIshiak e ' kiwuk Isne ' iIn , kinpokwshIki kapmIntone ' kuk , niw we ' shkniknIncIn pInoce ' iIn opumatsiwnInIn .
(trg)="b.MAT.2.20.1"> akamwambia , " Amka !
(trg)="b.MAT.2.20.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , urudi tena katika nchi ya Israeli , maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa . "

(src)="b.MAT.2.21.1"> IcI win e ' kipsukwit , e ' kiwtapnat , niw we ' shkniknIncIn pInoce ' iIn , ipi niw okie ' iIn , icI e ' kishiawat e ' kiwuk Isne ' iIn .
(trg)="b.MAT.2.21.1"> Basi , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akarejea katika nchi ya Israeli .

(src)="b.MAT.2.22.1"> Pic cI kanotuk Akine ' us kaokumawnIt Cwtie ' uk , e ' kinapshkumwat ni osIn E ' nutIn win kikwtacI ipI e ' wishiat ; kaian wuwitmakot Kshe ' mIne ' ton e ' kinaptuk , icI kipke ' wak e ' kishiat Ke ' niniuk .
(trg)="b.MAT.2.22.1"> Lakini Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake , aliogopa kwenda huko .
(trg)="b.MAT.2.22.2"> Naye baada ya kuonywa katika ndoto , alikwenda katika mkoa wa Galilaya ,

(src)="b.MAT.2.23.1"> IcI kapiat e ' kiwutat kcI otanuk Ne ' sune ' t kishInkate ' , iw ie ' i te ' pwe ' wun kakItot iacimocuk Win kshInkaso Ne ' sIni nInI .
(trg)="b.MAT.2.23.1"> akahamia katika mji uitwao Nazareti .
(trg)="b.MAT.2.23.2"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii : " Ataitwa Mnazare . "

(src)="b.MAT.3.1.1"> ICI niw e ' kishkiwuk kipie ' wak Can , Ke ' ctapie ' nwe ' t , e ' pmukie ' kwe ' t no ‘ wmtukwakukik Cwtie ' uk .
(trg)="b.MAT.3.1.1"> Siku hizo Yohane Mbatizaji alitokea , akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea :

(src)="b.MAT.3.2.1"> OtIcI kItwak , Kisate ' ntmok ; osam otokumauwun shpumuk pe ' shoc pie ' te ' mkIt .
(trg)="b.MAT.3.2.1"> " Tubuni , maana Ufalme wa mbinguni umekaribia . "

(src)="b.MAT.3.3.1"> OtI ie ' o kaiacImukocIn iacimoncIn Ise ' iusIn , kItwak , OwIiu otInwe ' wun nkot pe ' motnakwsIt na ‘ mtukwakukikumuk , Nikan oshInwitak , Te ' pe ' n mukwie ' kon wshItwuk tupasI mie ' we ' sIn .
(trg)="b.MAT.3.3.1"> Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema : " Sauti ya mtu imesikika jangwani : Mtayarishieni Bwana njia yake , nyoosheni vijia vyake . "

(src)="b.MAT.3.4.1"> OpshIie ' o Can , kamtItIkIn kcowe ' si wisiumIn , ipi mishakIn kcipsonIn , pe ' mkcipsocIn , ipi kaotumicimowut , iukwan e ' tsawe ' ncIn , ipi amo sispakwut ,
(trg)="b.MAT.3.4.1"> Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya ya ngamia , na ukanda wa ngozi kiunoni mwake .
(trg)="b.MAT.3.4.2"> Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni .

(src)="b.MAT.3.5.1"> IwcI e ' kipie ' naskakot Cinose ' ne ' m , ipi caye ' k Cwtie ' , ipi caye ' k kiwtayiukwan e ' pmukiwuk Cantanuk .
(trg)="b.MAT.3.5.1"> Basi , watu kutoka Yerusalemu , kutoka mkoa wote wa Yudea na sehemu zote za kandokando ya mto Yordani , walimwendea ,

(src)="b.MAT.3.6.1"> IcI e ' ki kcitapie ' nat shi Cantanuk , e ' kiwitumake ' wat omIcshuwe ' psiwnawan .
(trg)="b.MAT.3.6.1"> wakaziungama dhambi zao , naye akawabatiza katika mto Yordani .

(src)="b.MAT.3.7.1"> Pic kawapmat e ' mane ' nIt Pe ' nIsiIn , ipi Se ' cwsiIn , e ' pianIt e ' tshI kcItapie ' nwe ' t , otIcI okinan , O ! pe ' matsie ' k pwatacke ' ie ' k mIntoie ' k ! we ' nicI kakoie ' k e ' wioshImotme ' k , iw nshkatsowun wapiamkuk .
(trg)="b.MAT.3.7.1"> Lakini alipowaona Mafarisayo wengi na Masadukayo wanamjia ili awabatize , aliwaambia , " Enyi kizazi cha nyoka !
(trg)="b.MAT.3.7.2"> Ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja ?

(src)="b.MAT.3.8.1"> Pie ' toke ' , i we ' wnunuk pmatsowun e ' wiwapitI wuie ' k , kisate ' ntumwun .
(trg)="b.MAT.3.8.1"> Onyesheni basi kwa matendo , kwamba mmetubu kweli .

(src)="b.MAT.3.9.1"> Ke ' kowi , ke ' ko , ne ' ntuke ' k kiiwawa , E ' pIne ' -e ' mntoosmamIn , ktInum cI nin , Kshe ' mIne ' to otakshkIton , notI sIniIn , e ' wipsukwipnat pInoce ' iIn iukwanIn E ' pIne ' - e ' mIn .
(trg)="b.MAT.3.9.1"> Msidhani kwamba mtaweza kujitetea kwa kusema , Baba yetu ni Abrahamu !
(trg)="b.MAT.3.9.2"> Nawaambieni hakika , Mungu anaweza kuyafanya mawe haya yawe watoto wa Abrahamu .

(src)="b.MAT.3.10.1"> Ipi iw iukwan pkumsakIn okitonawa e ' wce ' pkiwuk , iukwanIn ni mtukon , ipi cI niw mtukon pwapie ' tomkItnuk we ' onItnuk micum kukishkukaso , ipi cI , shkote ' k kupukcikaso .
(trg)="b.MAT.3.10.1"> Basi , shoka liko tayari kuikata mizizi ya miti ; hivyo , kila mti usiozaa matunda mazuri , utakatwa na kutupwa motoni .

(src)="b.MAT.3.11.1"> Nin we ' we ' nI , kitakcItapie ' num shi npik , e ' kisate ' ntume ' k , win cie ' ko ke ' pie ' pukwnIshkowut nin , win wusimI pite ' ntakwsI icI nin , coiI nin ntupit e ' ntakwsIsi , icIi e ' wipmaotawuk omuksInIn , win ie ' k kukcitapie ' nkowa shi Kshe ' mIne ' to ocipamIn ipi iukwan shkote ' k .
(trg)="b.MAT.3.11.1"> Mimi ninawabatizeni kwa maji kuonyesha kwamba mmetubu .
(trg)="b.MAT.3.11.2"> Lakini yule anayekuja baada yangu ana uwezo kuliko mimi .
(trg)="b.MAT.3.11.3"> Mimi sistahili hata kubeba viatu vyake .
(trg)="b.MAT.3.11.4"> Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto .

(src)="b.MAT.3.12.1"> WinsI kie ' nuk nonouwun one ' cik , icI we ' we ' nI okupinakwan opIskakomIn , ipi okumawtoston opukwe ' shkInum ; okIton mukukok , icIie ' k okIdakswan oshIikwe ' mnIn , shi kakuk shkote ' k .
(trg)="b.MAT.3.12.1"> Yeye anashika mkononi chombo cha kupuria nafaka , ili aipure nafaka yake ; akusanye ngano ghalani , na makapi ayachome kwa moto usiozimika . "

(src)="b.MAT.3.13.1"> IcI e ' pie ' ocupiat Cisus iukwanuk Ke ' nIniuk , e ' shiat Catanuk e ' iInIt CanIn e ' wikcItapie ' nkot .
(trg)="b.MAT.3.13.1"> Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani , akamwendea Yohane ili abatizwe naye .

(src)="b.MAT.3.14.1"> CancI okikna ‘ moan , otI okinan , NinsI ie ' k ktakcItapie ' n ; TacI e ' pie ' naska ‘ wiIn , nin .
(trg)="b.MAT.3.14.1"> Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema , " Je , wewe unakuja kwangu ?
(trg)="b.MAT.3.14.2"> Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe . "

(src)="b.MAT.3.15.1"> Cisus cI okinkwe ' twan otI okinan , NocImasI i kInomkIt nkom , Iw ke ' shuwe ' pse ' ikon e ' wite ' pwe ' k , caye ' k mInoshuwe ' psiwun .
(src)="b.MAT.3.15.2"> IwcI e ' kite ' pwe ' twat .
(trg)="b.MAT.3.15.1"> Lakini Yesu akamjibu , " Acha tu iwe hivyo kwa sasa , maana kwa namna hii inafaa tuyatekeleze yale yote Mungu anayotaka . "
(trg)="b.MAT.3.15.2"> Hapo Yohane akakubali .

(src)="b.MAT.3.16.1"> IcI Cisus kakishkcItapie ' nkot , iwcI papuk kashIpie ' kwashuk , icI pInI e ' kinsakwsanuk , Kishuk , ipi kiwapman Kshe ' mIne ' to OcipamIn , e ' pie ' nisashkanIt , ke ' cwa mIne ' to mimi ; e ' pie ' pkIshnInIt wiiwuk .
(trg)="b.MAT.3.16.1"> Mara tu Yesu alipokwisha batizwa , alitoka majini ; na ghafla mbingu zikafunguka , akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kutua juu yake .

(src)="b.MAT.3.17.1"> IcI pInI , notakwsowun shpumuk , otI kikItomkIt , OtI ie ' o te ' panuk NkwIs , nin ke ' cmInonwe ' It .
(trg)="b.MAT.3.17.1"> Sauti kutoka mbinguni ikasema , " Huyu ndiye Mwanangu mpendwa , nimependezwa naye . "

(src)="b.MAT.4.1.1"> IWCI Cisus e ' kimacinkot KcI CipamIn now ' mtukwakik , e ' wikwcItupe ' nmukot ni mIcImIne ' ton .
(trg)="b.MAT.4.1.1"> Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi .

(src)="b.MAT.4.2.1"> IcI pic , KapwawisnIt nie ' waptuk tso kishuk , ipi nie ' waptuk tso tpuk ; iwcI e ' pkIte ' t .
(trg)="b.MAT.4.2.1"> Akafunga siku arubaini mchana na usiku , na mwishowe akaona njaa .

(src)="b.MAT.4.3.1"> IcI pic kakocItpe ' nmukocIn kapianIt e ' cIiIt otI okikon ; KishpIn kin We ' kwIsmukwiIn Kshe ' mIne ' to , kIton notI sIniIn e ' wiwshIckate ' k e ' wikwe ' shkInwuk .
(trg)="b.MAT.4.3.1"> Basi , mshawishi akamjia , akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , amuru mawe haya yawe mikate . "

(src)="b.MAT.4.4.1"> Okinkwe ' twancI ipi otI okinan otI e ' shonupie ' kate ' k ; NInI cowitapmatsIsi , pe ' pshuk pkwe ' shkIn mtIno ; mtIno ie ' ki cak kikitowun we ' cpie ' sakumom kuk otonik Kshe ' mIne ' to .
(trg)="b.MAT.4.4.1"> Yesu akamjibu , " Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu : Binadamu hataishi kwa mikate tu , ila kwa kila neno asemalo Mungu . "

(src)="b.MAT.4.5.1"> IucI mIcImIne ' ton okisho ' wnukon iukwuanuk kcI otanuk , e ' kiw cipitupukot shi kwItupuk nume ' okumkok .
(trg)="b.MAT.4.5.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu , mji mtakatifu , akamweka juu ya mnara wa hekalu ,

(src)="b.MAT.4.6.1"> OtIcI otukon , KishpIn kin , okwIsmukwiIn Kshe ' mIne ' to , pie ' ocIniswe ' pnItson ; otukwshI e ' shonIpie ' kate ' k , Win okuwitmowan omIshInIwe ' mIn , e ' wikuwapmukwiIn ipi onIciwak kupumukwitInukok wikake ' e ' wipwapaksite ' shnIn sInik .
(trg)="b.MAT.4.6.1"> akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , jitupe chini ; maana imeandikwa : Mungu atawaamuru malaika wake kwa ajili yako ; watakuchukua mikononi mwao , usije ukajikwaa kwenye jiwe . "

(src)="b.MAT.4.7.1"> Cisus cI otI okinan , otukwshI e ' shwunIpie ' ka te ' k minI , Ke ' kowi kwcItupe ' nmakIn Te ' pe ' nmukwiIn Kshe ' mIne ' to .
(trg)="b.MAT.4.7.1"> Yesu akamwambia , " Imeandikwa pia : Usimjaribu Bwana , Mungu wako . "

(src)="b.MAT.4.8.1"> MinI cI , mIcImIne ' to okishonan e ' cI kcI pkotnianuk e ' kiwaptuat , caye ' k okumauwun shotI kik , e ' pic wuntInuk .
(trg)="b.MAT.4.8.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu , akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake ,

(src)="b.MAT.4.9.1"> Ipi otI okinan , caye ' k notI , kuminIn , KishpIn pmukocnIn , ipi nume ' kItoiIn .
(trg)="b.MAT.4.9.1"> akamwambia , " Hivi vyote nitakupa kama tu ukipiga magoti na kuniabudu . "

(src)="b.MAT.4.10.1"> OtIcI Cisus okinan , Nkoci , shian , MIcImIne ' to , otukwshI e ' shwunupie ' kate ' k , Nume ' kito ‘ w Te ' pe ' nmukwuiIn , Kshe ' mIne ' to wintIno kie ' pmItwut .
(trg)="b.MAT.4.10.1"> Hapo , Yesu akamwambia , " Nenda zako Shetani !
(trg)="b.MAT.4.10.2"> Imeandikwa : Utamwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake . "

(src)="b.MAT.4.11.1"> IwcIni , mIcImIne ' ton kashInkInkot , ipi pInI mIshInwe ' n e ' pianIt , icI e ' pie ' pmitakot .
(trg)="b.MAT.4.11.1"> Basi , Ibilisi akamwacha , na malaika wakaja , wakamhudumia .

(src)="b.MAT.4.12.1"> IcI pic Cisus kanotuk , ni CanIn e ' kikpakwukasnIt , kishImaci shi Ke ' niniuk ;
(trg)="b.MAT.4.12.1"> Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya .

(src)="b.MAT.4.13.1"> IcI e ' nkItuk Ne ' se ' nIt ; e ' kishiat e ' wIiIt cikcukum Ke ' panium e ' te ' nuk , ipi e ' pie ' kokumukianuk Se ' pwnIn , ipi Ne ' ptInum .
(trg)="b.MAT.4.13.1"> Aliondoka Nazareti , akaenda Kafarnaumu , mji ulio kando ya bahari ya Genesareti , mpakani mwa wilaya za Zabuloni na Naftali , akakaa huko .

(src)="b.MAT.4.14.1"> Niiw ie ' ni te ' pwe ' onIn kakitot Ise ' us iacimot otI kItwak ,
(trg)="b.MAT.4.14.1"> Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya :

(src)="b.MAT.4.15.1"> Iw e ' kiwuk Se ' pwnIn , ipi e ' kiwuk Ne ' ptInum shiw cikcukum wus ipI Catan : o Ke ' nIni mawak Me ' ikIscIk ;
(trg)="b.MAT.4.15.1"> " Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali , kuelekea baharini ng ' ambo ya mto Yordani , Galilaya nchi ya watu wa Mataifa !

(src)="b.MAT.4.16.1"> Kiw nIshInape ' k kacipitupcuk , e ' kiskupkonianuk okiwaptanawa e ' kikcI wase ' anuk , kiw cI kacipitupIcuk , e ' tnukie ' wat , ipi e ' cipamtomkuk npowIn ; wase ' iak kipie ' mokse ' mkIt .
(trg)="b.MAT.4.16.1"> Watu waliokaa gizani wameona mwanga mkubwa .
(trg)="b.MAT.4.16.2"> Nao walioishi katika nchi ya giza na kivuli cha kifo , mwanga umewaangazia ! "

(src)="b.MAT.4.17.1"> IwcI pic Cisus e ' pmowe ' pkie ' kwe ' t , otI kikIto ; Kisate ' ntumok ; iukwankwshI okumauwun e ' te ' k shpumuk kishkot pe ' shoc pie ' iumkIt .
(trg)="b.MAT.4.17.1"> Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema , " Tubuni , maana ufalme wa mbinguni umekaribia ! "

(src)="b.MAT.4.18.1"> IcI Cisus e ' pmose ' t cikcukum Ke ' nIniuk , okiwapman nish we ' wikane ' itIncIn ; Sayiman e ' shnukasot Pitu , ipi E ' nto , ni wikane ' iIn , e ' tshI pukInanIt supiIn kiukumik ; kikikoske ' ‘ onInwuk .
(trg)="b.MAT.4.18.1"> Yesu alipokuwa anatembea kando ya ziwa Galilaya , aliwaona ndugu wawili wavuvi ; Simoni ( aitwae Petro ) na Andrea , ndugu yake ; walikuwa wakivua samaki kwa nyavu ziwani .

(src)="b.MAT.4.19.1"> IcI otI okinan , Naktone ' o ‘ shuk ; kaoshe ' num e ' wikikoskawe ' p nInwuk .
(trg)="b.MAT.4.19.1"> Basi , akawaambia , " Nifuateni , nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu . "

(src)="b.MAT.4.20.1"> IcI papuk e ' kinkaawat otIsupimwan , icI e ' kinaktone ' wawat .
(trg)="b.MAT.4.20.1"> Mara wakaziacha nyavu zao , wakamfuata .

(src)="b.MAT.4.21.1"> IcI e ' nmaocImacit shiw , okiwapman minI , anIt nish we ' wikane ' itIncIn , Ce ' ms , We ' kwIsmukot Se ' pitiIn , ipi Can wikane ' iIn pic napkwanuk , Se ' pitiIn , oswan e ' na ' towat , otusupimwan ; icI e ' kintomat .
(trg)="b.MAT.4.21.1"> Alipokwenda mbele kidogo , aliwaona ndugu wengine wawili : Yakobo na Yohane , wana wa Zebedayo .
(trg)="b.MAT.4.21.2"> Hao walikuwa ndani ya mashua pamoja na baba yao Zebedayo , wakitengeneza nyavu zao .
(trg)="b.MAT.4.21.3"> Basi Yesu akawaita ,

(src)="b.MAT.4.22.1"> IcI papuk e ' kinkItmowat onapkwanwa ipi oswan ; e ' kinaktone ' wawat .
(trg)="b.MAT.4.22.1"> nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao , wakamfuata .

(src)="b.MAT.4.23.1"> IcI Cisus e ' kipashiat Ke ' nIniuk e ' pmuknomake ' t ; iukwanuk otInume ' okumkomwak , ipi e ' pmukie ' kwe ' t mnoacImowun , iukwan okumauwun , ipi e ' pmIne ' se ' we ' t cak , e ' shnakwuk iakwnoke ' wun , ipi cak e ' shnakwuk kwtuke ' ntumwun ki nIshInape ' k .
(trg)="b.MAT.4.23.1"> Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani Galilaya , akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme wa Mungu .
(trg)="b.MAT.4.23.2"> Aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu .

(src)="b.MAT.4.24.1"> IcIi , otI win wiacmukwsIwun e ' kipashiamke ' tnuk kiswe ' shkie ' nI shi caye ' k Sinie ' uk ; okipie ' twawancI niw caye ' k iakwnokancIn ni nIshInape ' n , ipi ni na ‘ we ' napinIncIn , ipi kwe ' tukitoncIn , ipi niw packakwancIn mIcImIne ' ton , ipi ni ne ' kaptIncIn , ipi niw ne ' nie ' psIncIn , icI win e ' kine ' se ' at .
(trg)="b.MAT.4.24.1"> Habari zake zikaenea katika mkoa wote wa Siria .
(trg)="b.MAT.4.24.2"> Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu : waliopagawa na pepo , wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa , walipelekwa kwake ; naye akawaponya wote .

(src)="b.MAT.4.25.1"> IcI okipme ' nashkakon ke ' cmaoce ' ‘ tincIn nIshInape ' n , pie ' ocupie ' n Ke ' nIniuk , ipi kiwcupie ' n Tike ' ponIsuk , ipi kiwcupie ' n Cinose ' ne ' muk , ipi kiwcupie ' n Cwtie ' uk , ipi kiwcupie ' n wus ipI Catanuk .
(trg)="b.MAT.4.25.1"> Makundi mengi ya watu kutoka Galilaya , Dekapoli , Yerusalemu , Yudea na ng ' ambo ya mto Yordani , walimfuata .

(src)="b.MAT.5.1.1"> ICI kawapmat niw maoce ' tincIn , e ' okwIcowe ' t , e ' shpItnianuk , icI kacipitupIt ni e ' knomowacIn okipie ' naskakon .
(trg)="b.MAT.5.1.1"> Yesu alipoyaona makundi ya watu , alipanda mlimani , akaketi .
(trg)="b.MAT.5.1.2"> Wanafunzi wake wakamwendea ,

(src)="b.MAT.5.2.1"> IcI e ' ki pakinuk ioton ; icI e ' ki knomowat , otI kikIto .
(trg)="b.MAT.5.2.1"> naye akaanza kuwafundisha :

(src)="b.MAT.5.3.1"> Shuwe ' ntakwsik , ki ke ' tmake ' nkuk , ocipamwan ki ie ' ki , te ' pe ' ntukuk okumauwuni shpumuk kishkok .
(trg)="b.MAT.5.3.1"> " Heri walio maskini rohoni , maana ufalme wa mbinguni ni wao .

(src)="b.MAT.5.4.1"> Shuwe ' ntakwsik ki kasate ' ntukuk ; ki ie ' ki ke ' mnwe ' ntukuk .
(trg)="b.MAT.5.4.1"> Heri walio na huzuni , maana watafarijiwa .

(src)="b.MAT.5.5.1"> Shuwe ' ntakwsik ki pwakcIne ' ntukuk wio ’ wawa ; ki ie ' ki ke ' tpe ' ntumwat kI .
(trg)="b.MAT.5.5.1"> Heri walio wapole , maana watairithi nchi .

(src)="b.MAT.5.6.1"> Shuwe ' ntakwsik ki , pe ' kIte ' we ' ntukuk , ipi e ' kakaskite ' e ' skuk , iukwan mnoshuwe ' psowun ; ki ie ' ki ke ' moshkIne ' sanuk
(trg)="b.MAT.5.6.1"> Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu , maana watashibishwa .

(src)="b.MAT.5.7.1"> Shuwe ' ntakwsik ki she ' we ' ncIke ' cIk ; ki ie ' ki ke ' kshkItocuk , she ' we ' ncuke ' wun .
(trg)="b.MAT.5.7.1"> Heri walio na huruma , maana watahurumiwa .

(src)="b.MAT.5.8.1"> Shuwe ' ntakwsik ki , kiw pante ' acIk ; kiie ' ki ke ' wapmacIk Kshe ' mIne ' ton .
(trg)="b.MAT.5.8.1"> Heri wenye moyo safi , maana watamwona Mungu .

(src)="b.MAT.5.9.1"> Shuwe ' ntakwsik ki , tpantowun we ' shtocuk ; ki ie ' ki , ke ' shInkascIk Kshe ' mIne ' to onicansIn .
(trg)="b.MAT.5.9.1"> Heri wenye kuleta amani , maana wataitwa watoto wa Mungu .

(src)="b.MAT.5.10.1"> Shuwe ' ntakwsik ki mnoshuwe ' psuwun , we ' ckwtukitowat ki ie ' ki te ' pe ' ntukuk okumauwun shpumuk kishkok .
(trg)="b.MAT.5.10.1"> Heri wanaoteswa kwa sababu ya kufanya atakavyo Mungu , maana ufalme wa mbinguni ni wao .