# pck/Paite.xml.gz
# ss/Swahili-NT.xml.gz


(src)="b.MAT.1.1.1"> Abraham suan : David suan Jesu Kris khangthu bu :
(trg)="b.MAT.1.1.1"> Yesu Kristo alikuwa mzawa wa Daudi , mzawa wa Abrahamu .
(trg)="b.MAT.1.1.2"> Hii ndiyo orodha ya ukoo wake :

(src)="b.MAT.1.2.1"> Abrahamin Issak a suanga ; Isaakin Jakob a suanga ; Jakobin Juda leh anaute a suanga ;
(trg)="b.MAT.1.2.1"> Abrahamu alimzaa Isaka , Isaka alimzaa Yakobo , Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake ,

(src)="b.MAT.1.3.1"> Judain Tamar lakah Piriz leh Zira a suanga ; Pirizin Erom a suanga ; Eromin Aram a suanga
(trg)="b.MAT.1.3.1"> Yuda alimzaa Faresi na Zera ( mama yao alikuwa Tamari ) , Faresi alimzaa Hesroni , Hesroni alimzaa Rami ,

(src)="b.MAT.1.4.1"> Aramin Aminadab a suanga , Aminadabin Nasen a suanga ; Nasenin Salmon a suanga ;
(trg)="b.MAT.1.4.1"> Rami alimzaa Aminadabu , Aminadabu alimzaa Nashoni , Nashoni alimzaa Salmoni ,

(src)="b.MAT.1.5.1"> Salmonin Rahab lakah Boaz a suanga ; Boazin Ruthi lakah Obed a suanga ; Obedin Jessai a suanga .
(trg)="b.MAT.1.5.1"> Salmoni alimzaa Boazi ( mama yake Boazi alikuwa Rahabu ) .
(trg)="b.MAT.1.5.2"> Boazi na Ruthi walikuwa wazazi wa Obedi , Obedi alimzaa Yese ,

(src)="b.MAT.1.6.1"> Jessaiin kumpipa David a suang .
(src)="b.MAT.1.6.2"> Huan kumpipa Davidin Uria ji lakah Solomon a suanga
(trg)="b.MAT.1.6.1"> naye Yese alimzaa Mfalme Daudi .
(trg)="b.MAT.1.6.2"> Daudi alimzaa Solomoni ( mama yake Solomoni alikuwa mke wa Uria ) .

(src)="b.MAT.1.7.1"> Solomonin Rehoboam a suanga , Rehoboamin Abija a suanga , Abijain Asa a suanga ;
(trg)="b.MAT.1.7.1"> Solomoni alimzaa Rehoboamu , Rehoboamu alimzaa Abiya , Abiya alimzaa Asa ,

(src)="b.MAT.1.8.1"> Asain Jehosaphet a suanga Jehosaphetin Jeram a suanga , Jeramin Uzzia a suanga
(trg)="b.MAT.1.8.1"> Asa alimzaa Yehoshafati , Yehoshafati alimzaa Yoramu , Yoramu alimzaa Uzia ,

(src)="b.MAT.1.9.1"> Uzzianin Jotham a suanga ; Jothamin Ahaz a suanga ; Ahazin Hezekia a suanga ;
(trg)="b.MAT.1.9.1"> Uzia alimzaa Yothamu , Yothamu alimzaa Ahazi , Ahazi alimzaa Hezekia ,

(src)="b.MAT.1.10.1"> Hezekianin Manassi a suanga ; Manassiin Amon a suanga ; Amonin Josia a suanga ;
(trg)="b.MAT.1.10.1"> Hezekia alimzaa Manase , Manase alimzaa Amoni , Amoni alimzaa Yosia ,

(src)="b.MAT.1.11.1"> Babulon lama sala a pi lai un Josiain Jekonia leh a unaute a suang .
(trg)="b.MAT.1.11.1"> Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake .
(trg)="b.MAT.1.11.2"> Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni .

(src)="b.MAT.1.12.1"> Huan , Babulon lama sala a pi nung un Jekoniain Salathiel a suanga ; Salathielin Zerubbabel a suanga ;
(trg)="b.MAT.1.12.1"> Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishomi Babuloni : Yekonia alimzaa Shealtieli , Shealtieli alimzaa Zerobabeli ,

(src)="b.MAT.1.13.1"> Zerubabelin Abiud a suanga ; Abiudin Eliakim a suanga ;
(trg)="b.MAT.1.13.1"> Zerobabeli alimzaa Abiudi , Abiudi alimzaa Eliakimu , Eliakimu alimzaa Azori ,

(src)="b.MAT.1.14.1"> Eliakimin Azer a suanga ; Azerin Zadok a suanga , Zadokin Akim a suanga , Akimin Eluid a suanga ;
(trg)="b.MAT.1.14.1"> Azori alimzaa Zadoki , Zadoki alimzaa Akimu , Akimu alimzaa Eliudi ,

(src)="b.MAT.1.15.1"> Eliudin Eleazar a suanga , Eleazarin Mathan a suanga , Mathanin Jakob a suanga ;
(trg)="b.MAT.1.15.1"> Eliudi alimzaa Eleazeri , Eleazeri alimzaa Mathani , Mathani alimzaa Yakobo ,

(src)="b.MAT.1.16.1"> Jakobin Joseph , Mari pasal a suanga ; huai Mari lakah , Jesu Kris kichi a hong piangta .
(trg)="b.MAT.1.16.1"> Yakobo alimzaa Yosefu , aliyekuwa mume wake Maria , mama yake Yesu , aitwaye Kristo .

(src)="b.MAT.1.17.1"> Huchiin suan tengteng tuh Abraham apat David chiang suan sawm leh suan li ahi , David apat Babulon lama sala a pi tan un , suan sawm leh suan li ahi , Babulon lama sala a pi ua pat Kris tan suan sawm leh suan li ahi .
(trg)="b.MAT.1.17.1"> Basi , kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi , vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni , na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo .

(src)="b.MAT.1.18.1"> Huan , Jesu Kris hongpian dan tuh hichibang ahi ; A nu Mari Joseph toh a kikham lai ua a omkhawm ma un , Kha Siangthouin a gaisak chih a natheita ua .
(trg)="b.MAT.1.18.1"> Basi , hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa : Maria , mama yake , alikuwa ameposwa na Yosefu .
(trg)="b.MAT.1.18.2"> Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke , alionekana kuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .

(src)="b.MAT.1.19.1"> Huchiin , a pasal Joseph tuh , mi diktak ahi a , amah daisak a ut het keia , a gukin tawpsan a tum .
(trg)="b.MAT.1.19.1"> Yosefu , mumewe , kwa vile alikuwa mwadilifu , hakutaka kumwaibisha hadharani ; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri .

(src)="b.MAT.1.20.1"> Himahleh , huai thute a ngaihtuah laiin , ngaiin , a mangin Toupa angel a kiangah a hong kilaka , Joseph , nang David tapa , na ji Mari neih lau ken , a nau pai Kha Siangthou laka ahi ,
(trg)="b.MAT.1.20.1"> Alipokuwa bado anawaza jambo hilo , malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto , akamwambia , " Yosefu , mwana wa Daudi , usiogope kumchukua Maria awe mke wako , maana amekuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .

(src)="b.MAT.1.21.1"> Tapa a nei dia , a min dingin Jesu na sa ding , aman a mite a khelhna ua kipan a hotdam ding jiakin , a chi a .
(trg)="b.MAT.1.21.1"> Atajifungua mtoto wa kiume , nawe utampa jina Yesu , kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao . "

(src)="b.MAT.1.22.1"> Huan , TOUPAN jawlnei kama .
(trg)="b.MAT.1.22.1"> Basi , haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii :

(src)="b.MAT.1.23.1"> Ngai in , nungak siangthou a gai dia , tapa a nei dia , a min dingin Immanuel a sa ding uh. chia a nagen a hongtun theihna dingin huai tengteng tuh a hongom hi .
(src)="b.MAT.1.23.2"> Huai tuh , i kiang uah , Pathian a om , chihna ahi .
(trg)="b.MAT.1.23.1"> " Bikira atachukua mimba , atamzaa mtoto wa kiume , naye ataitwa Emanueli " ( maana yake , " Mungu yu pamoja nasi " ) .

(src)="b.MAT.1.24.1"> Huchiin , Joseph ihmu lai a thoukhia a , Toupa angel in a kianga thu a piak bangin a hiha , a ji tuh a neita a ; Himahleh , tapa a neih masiah a kithuahpih kei ; huan , a min dingin Jesu a sata .
(trg)="b.MAT.1.24.1"> Hivyo , Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia , akamchukua mke wake nyumbani .

(src)="b.MAT.1.25.1"> Himahleh , tapa a neih masiah a kithuahpih kei ; huan , a min dingin Jesu a sata .
(trg)="b.MAT.1.25.1"> Lakini hakumjua kamwe kimwili hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume .
(trg)="b.MAT.1.25.2"> Naye Yosefu akampa jina Yesu .

(src)="b.MAT.2.1.1"> Huan , kumpipa Herod a lal laia , Judia gama , Bethlehem khuaa Jesu a hongpianin , ngaiin , suahlam a kipan mi pilte Jerusalem khua ah a hongpai ua .
(trg)="b.MAT.2.1.1"> Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu , mkoani Yudea , wakati Herode alipokuwa mfalme .
(trg)="b.MAT.2.1.2"> Punde tu baada ya kuzaliwa kwake , wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu ,

(src)="b.MAT.2.2.1"> Koiah ahia Judate Kumpipa hongpian ? suahlam ah a aksi ka mu ua , amah be dia hongpai ka hi uh , a chi ua .
(trg)="b.MAT.2.2.1"> wakauliza , " Yuko wapi mtoto , Mfalme wa Wayahudi , aliyezaliwa ?
(trg)="b.MAT.2.2.2"> Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki , tukaja kumwabudu . "

(src)="b.MAT.2.3.1"> Huan kumpipa Herodin huai a jak phetin a lungjing a , Jerusalemte tengteng leng a lung uh a jing sam ua .
(trg)="b.MAT.2.3.1"> Mfalme Herode aliposikia hayo , alifadhaika , yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu .

(src)="b.MAT.2.4.1"> Huchiin , siampu liante leh mite laigelhmite tengteng a sam khawm a , Kris pianna ding tuh a dinga .
(trg)="b.MAT.2.4.1"> Basi akawaita pamoja makuhani wakuu wote na walimu wa Sheria , akawauliza , " Kristo atazaliwa wapi ? "

(src)="b.MAT.2.5.1"> Huan , amau tuh a kiangah Judia gama Bethlehem khua ah ; hichiin jawlneiin a gelh a kei hiam .
(trg)="b.MAT.2.5.1"> Nao wakamjibu , " Mjini Bethlehemu , mkoani Yudea .
(trg)="b.MAT.2.5.2"> Ndivyo nabii alivyoandika :

(src)="b.MAT.2.6.1"> Nang , Judia gama Bethlehem aw , Judia khopite lakah na neupen kei hial , Na sung akipana ukpa hongsuak ding ahi ngala , ka mi Israelte vengpa dingin , chih , a chi ua
(trg)="b.MAT.2.6.1"> Ewe Bethlehemu katika nchi ya Yuda , kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda ; maana kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu , Israeli . "

(src)="b.MAT.2.7.1"> Huai nungin Herodin a gukin mi pilte tuh a sama , ngentel takin aksi kilat lai a dong kheta a .
(trg)="b.MAT.2.7.1"> Hapo , Herode aliwaita faraghani hao wataalamu wa nyota , akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea .

(src)="b.MAT.2.8.1"> Huan , amau tuh Bethlehem khua ah a paisaka , Pai ta unla , naungek thu ngentel takin dong khia un , huan ken leng amah ka hongbiak theih samna dingin , na muh tak un , honghilh un , a chi a .
(trg)="b.MAT.2.8.1"> Kisha akawatuma Bethlehemu akisema , " Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo .
(trg)="b.MAT.2.8.2"> Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu . "

(src)="b.MAT.2.9.1"> Huan , kumpipa thu a jak un ; a paita ua ; huan ngaiin suahlama aksi a muh uh naunek omna tung jawn a tuna a khawl masiah a ma uah a paizel a .
(trg)="b.MAT.2.9.1"> Baada ya kumsikiliza mfalme , hao wataalamu wa nyota wakaenda .
(trg)="b.MAT.2.9.2"> Kumbe ile nyota waliyokuwa wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto .

(src)="b.MAT.2.10.1"> Huan , aksi tuh amuh un , a kipak lo mahmah ua
(trg)="b.MAT.2.10.1"> Walipoiona hiyo nyota , walifurahi mno .

(src)="b.MAT.2.11.1"> Huan , in sungah a valut ua , a nu Mari kianga naungek tuh a mu ua , a bok ua , a bia ua ; huan a gou bawm khawng uh a hong ua , a kiangah kipahna dangkaengte , begawte , murrate a lan ua .
(trg)="b.MAT.2.11.1"> Basi , wakaingia nyumbani , wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake ; wakapiga magoti , wakamsujudia .
(trg)="b.MAT.2.11.2"> Kisha wakafungua hazina zao , wakampa zawadi : dhahabu , ubani na manemane .

(src)="b.MAT.2.12.1"> Huan , Herod kianga kik nawnlou dingin a mang ua vauhilha a om jiak un , amau kho lamah lam tuam ah a paita uh .
(trg)="b.MAT.2.12.1"> Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie Herode ; hivyo wakarudi makwao kwa njia nyingine .

(src)="b.MAT.2.13.1"> Huan , a pai nung un , ngaiin , Toupa angel Joseph kiangah a mangin a kilaka , Thou inla ; naungek leh a nu pi inla , Aigupta gamah taimang in , kon hilh nawn masiah huailaiah om gige in ; Herodin naungek hihmang dia zong ding a hih jiakin , a chi a .
(trg)="b.MAT.2.13.1"> Baada ya wale wageni kuondoka , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto , akamwambia , " Amka !
(trg)="b.MAT.2.13.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , mkimbilie Misri .
(trg)="b.MAT.2.13.3"> Kaeni huko mpaka nitakapokwambia , maana Herode anakusudia kumwua huyu mtoto . "

(src)="b.MAT.2.14.1"> Huchiin , a thou a , a jan ajanin naungek leh a nu a pi a , Aigupta gamah a paita a .
(trg)="b.MAT.2.14.1"> Hivyo , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akaondoka usiku , akaenda Misri .

(src)="b.MAT.2.15.1"> Huan , Herod sih mateng hualai ah a om gige a ; Toupan jawlnei kama , Ka tapa tuh Aigupta gam apat ka sam khia , chia a gen tuh a hongtun theihna dingin .
(trg)="b.MAT.2.15.1"> Akakaa huko mpaka Herode alipokufa .
(trg)="b.MAT.2.15.2"> Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie : " Nilimwita Mwanangu kutoka Misri . "

(src)="b.MAT.2.16.1"> Huchihlaiin Herodin mi pilte khem a hih a kitheih tak in a heh mahmah a , mi a sawla , a hun lai tak thu ngentel taka mi pilte a dot khiak bangin , Bethlehem khua leh a kim tengtenga pasal naupang kum nih chiang nuai lam tuh a vek un a that a .
(trg)="b.MAT.2.16.1"> Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa , alikasirika sana .
(trg)="b.MAT.2.16.2"> Akaamuru watoto wote wa kiume mjini Bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe .
(trg)="b.MAT.2.16.3"> Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota .

(src)="b.MAT.2.17.1"> Huchihlaiin jawlnei Jeremiain
(trg)="b.MAT.2.17.1"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia :

(src)="b.MAT.2.18.1"> Rama khua ah husa a ja uh , kah khawng , misi ngaia mau vengvung khawng , Rakelin a tate a kah a , a om nawn louh jiak un a khamuan theih kei , chia a gen tuh a hongtung ta .
(trg)="b.MAT.2.18.1"> " Sauti imesikika mjini Rama , kilio na maombolezo mengi .
(trg)="b.MAT.2.18.2"> Raheli anawalilia watoto wake , wala hataki kutulizwa , maana wote wamefariki . "

(src)="b.MAT.2.19.1"> Himahleh Herod a sih nungin , ngaiin , Toupa angel Aigupta gamah Joseph kiangah a mangin a kilaka .
(trg)="b.MAT.2.19.1"> Baada ya kifo cha Herode , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri ,

(src)="b.MAT.2.20.1"> Thou inla , naungek leh a nu pi inla , Israel gamah pai in ; naungek thah tumte a sihtak jiak un , a chi a .
(trg)="b.MAT.2.20.1"> akamwambia , " Amka !
(trg)="b.MAT.2.20.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , urudi tena katika nchi ya Israeli , maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa . "

(src)="b.MAT.2.21.1"> Huchiin a thou a , naungek leh a nu tuh a pi a , Israel gamah a lut taa .
(trg)="b.MAT.2.21.1"> Basi , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akarejea katika nchi ya Israeli .

(src)="b.MAT.2.22.1"> Himahleh , Arkelausi a pa Herod sikin Judia gamah a lal chih a jakin , huai lama pai a lauta a ; huan a manga vauhilha a om jiakin Galili lamah a paita a ; Nazaret kichi khua khatah a va omta a ; Amah jaw Nazaret mi a chi ding uh , chia jawlneite nagen a hongtun theihna dingin .
(trg)="b.MAT.2.22.1"> Lakini Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake , aliogopa kwenda huko .
(trg)="b.MAT.2.22.2"> Naye baada ya kuonywa katika ndoto , alikwenda katika mkoa wa Galilaya ,

(src)="b.MAT.2.23.1"> Nazaret kichi khua khatah a va omta a ; Amah jaw Nazaret mi a chi ding uh , chia jawlneite nagen a hongtun theihna dingin .
(trg)="b.MAT.2.23.1"> akahamia katika mji uitwao Nazareti .
(trg)="b.MAT.2.23.2"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii : " Ataitwa Mnazare . "

(src)="b.MAT.3.1.1"> Huan , huchihlaiin Baptispa Johanin ,
(trg)="b.MAT.3.1.1"> Siku hizo Yohane Mbatizaji alitokea , akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea :

(src)="b.MAT.3.2.1"> Kisik un ! vangam a naita , chiin , Judia gamdai ah thu genin a hongpai a .
(trg)="b.MAT.3.2.1"> " Tubuni , maana Ufalme wa mbinguni umekaribia . "

(src)="b.MAT.3.3.1"> Amah ahi , jawlnei Isaiin .
(src)="b.MAT.3.3.2"> Gamdaia mi kikou awin , Toupa lamlian sial unla a lampi khawng bawl tang un , a chi , chia a nagen .
(trg)="b.MAT.3.3.1"> Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema : " Sauti ya mtu imesikika jangwani : Mtayarishieni Bwana njia yake , nyoosheni vijia vyake . "

(src)="b.MAT.3.4.1"> Huan , huai Johanin sangawngsaw mul puan a silha , a kawng savun kawnggakin a gaka , a an tuh khaukhup leh khuaiju ahi .
(trg)="b.MAT.3.4.1"> Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya ya ngamia , na ukanda wa ngozi kiunoni mwake .
(trg)="b.MAT.3.4.2"> Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni .

(src)="b.MAT.3.5.1"> Huchihlaiin Jerusalem khuate , Judia gamte tengteng , Jordan lui dung kim khawng ate tengteng a hongpai khia ua ,
(trg)="b.MAT.3.5.1"> Basi , watu kutoka Yerusalemu , kutoka mkoa wote wa Yudea na sehemu zote za kandokando ya mto Yordani , walimwendea ,

(src)="b.MAT.3.6.1"> a kianglamah a pai ua , a khelhna uh thupha tawiin Jordan lui ah amah kiangah Baptisma a tang ua .
(trg)="b.MAT.3.6.1"> wakaziungama dhambi zao , naye akawabatiza katika mto Yordani .

(src)="b.MAT.3.7.1"> Himahleh , Pharisaite leh Saddukaite tampi amah baptisma tang dinga hongpai a muh takin , a kiang uah , Gul suante ! hehna hongtung ding taisan dingin kuan honthuhilh a ?
(trg)="b.MAT.3.7.1"> Lakini alipowaona Mafarisayo wengi na Masadukayo wanamjia ili awabatize , aliwaambia , " Enyi kizazi cha nyoka !
(trg)="b.MAT.3.7.2"> Ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja ?

(src)="b.MAT.3.8.1"> Huchiin kisikna toh kilawm gah honsuang khia un ;
(trg)="b.MAT.3.8.1"> Onyesheni basi kwa matendo , kwamba mmetubu kweli .

(src)="b.MAT.3.9.1"> Abraham ka pu uh ahi , chiin , kingaihtuah kei un , Pathianin hiai suangte khawng Abraham suantein a dingsak thei hi , ka honchi ahi .
(trg)="b.MAT.3.9.1"> Msidhani kwamba mtaweza kujitetea kwa kusema , Baba yetu ni Abrahamu !
(trg)="b.MAT.3.9.2"> Nawaambieni hakika , Mungu anaweza kuyafanya mawe haya yawe watoto wa Abrahamu .

(src)="b.MAT.3.10.1"> Tua kipanin heipi sing bul tengah a koih ta uh ; huchiin , sing chih gah hoiha gah lou peuhpeuh a phuk ua , mei ah a pai lut jel uh .
(trg)="b.MAT.3.10.1"> Basi , shoka liko tayari kuikata mizizi ya miti ; hivyo , kila mti usiozaa matunda mazuri , utakatwa na kutupwa motoni .

(src)="b.MAT.3.11.1"> Ken jaw kisikna dingin tui in ka honbaptis ngei a , himahleh , amah ka nunga hong pai tuh keimah sangin a thupijaw a , a khedap tawi tak leng ka hi kei , Aman jaw Kha Siangthou leh meiin noute a hon baptis ding .
(trg)="b.MAT.3.11.1"> Mimi ninawabatizeni kwa maji kuonyesha kwamba mmetubu .
(trg)="b.MAT.3.11.2"> Lakini yule anayekuja baada yangu ana uwezo kuliko mimi .
(trg)="b.MAT.3.11.3"> Mimi sistahili hata kubeba viatu vyake .
(trg)="b.MAT.3.11.4"> Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto .

(src)="b.MAT.3.12.1"> A khutin phazah a tawia , a phual a jap siang sipsip ding a , buhpang ah a buh a sung ding , a si bel mei mit theilouin a hal mang ding , a chi a .
(trg)="b.MAT.3.12.1"> Yeye anashika mkononi chombo cha kupuria nafaka , ili aipure nafaka yake ; akusanye ngano ghalani , na makapi ayachome kwa moto usiozimika . "

(src)="b.MAT.3.13.1"> Huchihlaiin a kianga baptisma tang dingin Jesu Galili gam akipan Jordan luiah Johan kiangah a hongpai a .
(trg)="b.MAT.3.13.1"> Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani , akamwendea Yohane ili abatizwe naye .

(src)="b.MAT.3.14.1"> Johan in bel , Nang kei na honbaptis kiphamoh zopia , ka kiangah na hongzosop ahi maw ? chiin , kham a tum a .
(trg)="b.MAT.3.14.1"> Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema , " Je , wewe unakuja kwangu ?
(trg)="b.MAT.3.14.2"> Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe . "

(src)="b.MAT.3.15.1"> Himahleh , Jesun a akiangah , Tuin lemsak teitei in , hichi banga diktatna tengteng hihtangtun ei adia kilawm hi , chiin , a dawnga .
(src)="b.MAT.3.15.2"> Huchiin lem a sata a .
(trg)="b.MAT.3.15.1"> Lakini Yesu akamjibu , " Acha tu iwe hivyo kwa sasa , maana kwa namna hii inafaa tuyatekeleze yale yote Mungu anayotaka . "
(trg)="b.MAT.3.15.2"> Hapo Yohane akakubali .

(src)="b.MAT.3.16.1"> Huan , Jesu baptisma a tan takin tui a kipanin a pawt pah ngala , huan , ngaiin , amah adingin van ahong kihonga , Pathian Kha tuh vakhu banga hongsukin , a tunga hongtu a mu a.Huan , ngaiin , vana kipanin aw in , Hiai ka Tapa deih tak , ka kipahna mahmah ahi , a chi a .
(trg)="b.MAT.3.16.1"> Mara tu Yesu alipokwisha batizwa , alitoka majini ; na ghafla mbingu zikafunguka , akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kutua juu yake .

(src)="b.MAT.3.17.1"> Huan , ngaiin , vana kipanin aw in , Hiai ka Tapa deih tak , ka kipahna mahmah ahi , a chi a .
(trg)="b.MAT.3.17.1"> Sauti kutoka mbinguni ikasema , " Huyu ndiye Mwanangu mpendwa , nimependezwa naye . "

(src)="b.MAT.4.1.1"> Huaikhitin Jesu tuh diabol khema om dingin gamdai ah Kha pi lutin a omta a .
(trg)="b.MAT.4.1.1"> Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi .

(src)="b.MAT.4.2.1"> Huan , ni sawmli leh jan sawmli an a ngolh nungin a gil a hongkialta a
(trg)="b.MAT.4.2.1"> Akafunga siku arubaini mchana na usiku , na mwishowe akaona njaa .

(src)="b.MAT.4.3.1"> Huan , khempa tuh a hongpaia , a kiangah , Pathian Tapa na hih leh hiai suangte tanghou suak dingin thu pe ve , a chi a ,
(trg)="b.MAT.4.3.1"> Basi , mshawishi akamjia , akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , amuru mawe haya yawe mikate . "

(src)="b.MAT.4.4.1"> Himahleh , aman , Mihing tanghou kiain a hong kei dinga , Pathian kama thu chin pawtin a hing zo ding. chih gelh ahi , chiin a dawnga
(trg)="b.MAT.4.4.1"> Yesu akamjibu , " Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu : Binadamu hataishi kwa mikate tu , ila kwa kila neno asemalo Mungu . "

(src)="b.MAT.4.5.1"> Huaizoh in , diabolin kho siangthou ah a pi luta , Pathian biakin tungzum ah a koiha
(trg)="b.MAT.4.5.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu , mji mtakatifu , akamweka juu ya mnara wa hekalu ,

(src)="b.MAT.4.6.1"> Huan a kiangah Pathian Tapa na hih leh kikesakin ; Na tung thu ah jaw angelte thu a pe dinga , a khut un hondom ding ua , huchilou injaw na khein suang na sui khading. chih gelh ahi ngala , a chi a .
(trg)="b.MAT.4.6.1"> akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , jitupe chini ; maana imeandikwa : Mungu atawaamuru malaika wake kwa ajili yako ; watakuchukua mikononi mwao , usije ukajikwaa kwenye jiwe . "

(src)="b.MAT.4.7.1"> Jesun a kiangah , Toupa na Pathian zeet ken , chih gelh ahi sam hi , a chi a
(trg)="b.MAT.4.7.1"> Yesu akamwambia , " Imeandikwa pia : Usimjaribu Bwana , Mungu wako . "

(src)="b.MAT.4.8.1"> Huan , diabolin tangsang takah a pi nawna , khovel gam tengteng leh a thupina a ensak a .
(trg)="b.MAT.4.8.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu , akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake ,

(src)="b.MAT.4.9.1"> Huan , a kiangah Khupbohin honbe lechin , hiai tengteng ka honpe ding a chi a .
(trg)="b.MAT.4.9.1"> akamwambia , " Hivi vyote nitakupa kama tu ukipiga magoti na kuniabudu . "

(src)="b.MAT.4.10.1"> Huaitakin Jesun a kiangah , Setan , hia kipanin pai mangin , Toupa na Pathian na biak dinga amah na kia na sep ding ahi chih gelh ahi , a chi a .
(trg)="b.MAT.4.10.1"> Hapo , Yesu akamwambia , " Nenda zako Shetani !
(trg)="b.MAT.4.10.2"> Imeandikwa : Utamwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake . "

(src)="b.MAT.4.11.1"> Huaizohin diabolin a paisanta a Huan ngaiin angelten amah na hongsep sak uh .
(trg)="b.MAT.4.11.1"> Basi , Ibilisi akamwacha , na malaika wakaja , wakamhudumia .

(src)="b.MAT.4.12.1"> Huan Johan a man uh chih Jesun ajak phetin , Galili lamah a kihemkhia a
(trg)="b.MAT.4.12.1"> Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya .

(src)="b.MAT.4.13.1"> Huan , Nazaret khua a paisan a , Kapernaum khua ah a om nilouh a , huai tuh Zebulun leh Nephtali uka , dil geia om ahi ,
(trg)="b.MAT.4.13.1"> Aliondoka Nazareti , akaenda Kafarnaumu , mji ulio kando ya bahari ya Genesareti , mpakani mwa wilaya za Zabuloni na Naftali , akakaa huko .

(src)="b.MAT.4.14.1"> Jawlnei Isai kama
(trg)="b.MAT.4.14.1"> Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya :

(src)="b.MAT.4.15.1"> Dil lama , Jordan gala , Zebulun gam leh Nephtali gam , Jentelte Galili
(trg)="b.MAT.4.15.1"> " Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali , kuelekea baharini ng ' ambo ya mto Yordani , Galilaya nchi ya watu wa Mataifa !

(src)="b.MAT.4.16.1"> mial nuaia tuten vak thupi a mu uh a , sihnamun leh a lim a tute tungah vak a hong suakta a , chia a gen tuh a hongtun theihna din .
(trg)="b.MAT.4.16.1"> Watu waliokaa gizani wameona mwanga mkubwa .
(trg)="b.MAT.4.16.2"> Nao walioishi katika nchi ya giza na kivuli cha kifo , mwanga umewaangazia ! "

(src)="b.MAT.4.17.1"> Huainung siah Jesun , Kisik un ! vangam a naita hi , chiin , thugen a panta a .
(trg)="b.MAT.4.17.1"> Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema , " Tubuni , maana ufalme wa mbinguni umekaribia ! "

(src)="b.MAT.4.18.1"> Huan , Galili dil geia a vak kawmin , unau nih simon Peter kichi a unau Andru toh , dil ah len paiin a mu a ; nga man mi him ahi ua .
(trg)="b.MAT.4.18.1"> Yesu alipokuwa anatembea kando ya ziwa Galilaya , aliwaona ndugu wawili wavuvi ; Simoni ( aitwae Petro ) na Andrea , ndugu yake ; walikuwa wakivua samaki kwa nyavu ziwani .

(src)="b.MAT.4.19.1"> Huan , aman tuh a kiang uah , Honjui un , huchiin mihing man dingin ka honbawl ding , a chi a .
(trg)="b.MAT.4.19.1"> Basi , akawaambia , " Nifuateni , nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu . "

(src)="b.MAT.4.20.1"> Huan lente khawng nusepahin amah a juita ua ,
(trg)="b.MAT.4.20.1"> Mara wakaziacha nyavu zao , wakamfuata .

(src)="b.MAT.4.21.1"> Huan , huailaia kipanin a pai jel a unau dang nih , Zebedai tapa Jakob leh a unau Johan , a pa uh Zebedai kianga longa a lente khawng uh bawlphain a mu a ; huan , amau tuh a samta a .
(trg)="b.MAT.4.21.1"> Alipokwenda mbele kidogo , aliwaona ndugu wengine wawili : Yakobo na Yohane , wana wa Zebedayo .
(trg)="b.MAT.4.21.2"> Hao walikuwa ndani ya mashua pamoja na baba yao Zebedayo , wakitengeneza nyavu zao .
(trg)="b.MAT.4.21.3"> Basi Yesu akawaita ,

(src)="b.MAT.4.22.1"> Huchiin , long leh a pa uh nuse pahin amah a juita ua .
(trg)="b.MAT.4.22.1"> nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao , wakamfuata .

(src)="b.MAT.4.23.1"> Huan , Jesun a kikhopna in khawng ua hilhin , gam Tanchin Hoih tuh genin , mite laka natna chiteng leh hatlouhna chiteng hihdamin Galili gam tengteng ah a pai vialvial a .
(trg)="b.MAT.4.23.1"> Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani Galilaya , akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme wa Mungu .
(trg)="b.MAT.4.23.2"> Aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu .

(src)="b.MAT.4.24.1"> Huan , Suria gam tengtengah a tanchin a thangta a ; huchiin , mi damlou tengteng dam louhna leh natna chih thuakte , dawi matte , kaihveite , jawte , a kiangah a honpi ua , a na hihdamta a.Galili gam akipan , Dekapoli kua akipan , Jerusalem leh Judia akipan leh Jordan gal akipan bangin mipi tampi takin amah a jui uh .
(trg)="b.MAT.4.24.1"> Habari zake zikaenea katika mkoa wote wa Siria .
(trg)="b.MAT.4.24.2"> Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu : waliopagawa na pepo , wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa , walipelekwa kwake ; naye akawaponya wote .

(src)="b.MAT.4.25.1"> Galili gam akipan , Dekapoli kua akipan , Jerusalem leh Judia akipan leh Jordan gal akipan bangin mipi tampi takin amah a jui uh .
(trg)="b.MAT.4.25.1"> Makundi mengi ya watu kutoka Galilaya , Dekapoli , Yerusalemu , Yudea na ng ' ambo ya mto Yordani , walimfuata .

(src)="b.MAT.5.1.1"> Huchiin , mipite tuh a muhin tangah a pai tou a , huan , a tu a , a nungjuite a kiangah a hongpai ua ; huan thu a gen a ,
(trg)="b.MAT.5.1.1"> Yesu alipoyaona makundi ya watu , alipanda mlimani , akaketi .
(trg)="b.MAT.5.1.2"> Wanafunzi wake wakamwendea ,

(src)="b.MAT.5.2.1"> amau thu a hilh a :
(trg)="b.MAT.5.2.1"> naye akaanza kuwafundisha :

(src)="b.MAT.5.3.1"> Lungsima gentheite a hampha uh vangam amaua ahi ngala .
(trg)="b.MAT.5.3.1"> " Heri walio maskini rohoni , maana ufalme wa mbinguni ni wao .

(src)="b.MAT.5.4.1"> Lungkhamte a hampha uh ; khamuan a om ding ahi ngal ua
(trg)="b.MAT.5.4.1"> Heri walio na huzuni , maana watafarijiwa .

(src)="b.MAT.5.5.1"> Thunuailutte a hampha uh ; lei gou luah ding ahi ngal ua .
(trg)="b.MAT.5.5.1"> Heri walio wapole , maana watairithi nchi .

(src)="b.MAT.5.6.1"> Diktatna lunggulha gilkiala dangtak te a hampha uh ; tai ding ahi ngal ua .
(trg)="b.MAT.5.6.1"> Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu , maana watashibishwa .

(src)="b.MAT.5.7.1"> Zahngai theite a hampha uh ; zahngaihna mu ding ahi ngal ua .
(trg)="b.MAT.5.7.1"> Heri walio na huruma , maana watahurumiwa .

(src)="b.MAT.5.8.1"> Lungsima siangthoute a hampha uh ; Pathian mu ding ahi ngal ua .
(trg)="b.MAT.5.8.1"> Heri wenye moyo safi , maana watamwona Mungu .

(src)="b.MAT.5.9.1"> Lemna bawlte a hampha uh ; Pathian tate chih ding ahi ngal ua .
(trg)="b.MAT.5.9.1"> Heri wenye kuleta amani , maana wataitwa watoto wa Mungu .

(src)="b.MAT.5.10.1"> Diktakna jiak a sawina thuakte a hampha uh , vangam amaua ahi ngal a .
(trg)="b.MAT.5.10.1"> Heri wanaoteswa kwa sababu ya kufanya atakavyo Mungu , maana ufalme wa mbinguni ni wao .