# jiv/Shuar-NT.xml.gz
# ss/Swahili-NT.xml.gz
(src)="b.MAT.1.1.1"> Jesukrístu Weatrí ju ainiawai .
(src)="b.MAT.1.1.2"> Tura Ashí nankaamas ti uunt weat Tawitcha Apraámsha ainiawai .
(trg)="b.MAT.1.1.1"> Yesu Kristo alikuwa mzawa wa Daudi , mzawa wa Abrahamu .
(trg)="b.MAT.1.1.2"> Hii ndiyo orodha ya ukoo wake :
(src)="b.MAT.1.2.1"> Apraáma Uchirí Isak .
(src)="b.MAT.1.2.2"> Tura Isaka Uchirí Jakup .
(src)="b.MAT.1.2.3"> Jakupa Uchirísha Jutá ni yachijiai .
(trg)="b.MAT.1.2.1"> Abrahamu alimzaa Isaka , Isaka alimzaa Yakobo , Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake ,
(src)="b.MAT.1.3.1"> Tura Jutá uchirin Páresan tura Sarancha Tamar jurermiayi .
(src)="b.MAT.1.3.2"> Páresa Uchirísha Esrum , nuna Uchirísha Aram .
(trg)="b.MAT.1.3.1"> Yuda alimzaa Faresi na Zera ( mama yao alikuwa Tamari ) , Faresi alimzaa Hesroni , Hesroni alimzaa Rami ,
(src)="b.MAT.1.4.1"> Nuna Uchirísha Aminiatáp .
(src)="b.MAT.1.4.2"> Nuna Uchirísha Nasun .
(src)="b.MAT.1.4.3"> Nuna Uchirísha Sarmun .
(trg)="b.MAT.1.4.1"> Rami alimzaa Aminadabu , Aminadabu alimzaa Nashoni , Nashoni alimzaa Salmoni ,
(src)="b.MAT.1.5.1"> Sarmunka Uchiríncha Púusan Raap jurermiayi .
(src)="b.MAT.1.5.2"> Puusa Uchirín Uwitian Ruut jurermiayi .
(src)="b.MAT.1.5.3"> Uwitia Uchirísha Isaí .
(trg)="b.MAT.1.5.1"> Salmoni alimzaa Boazi ( mama yake Boazi alikuwa Rahabu ) .
(trg)="b.MAT.1.5.2"> Boazi na Ruthi walikuwa wazazi wa Obedi , Obedi alimzaa Yese ,
(src)="b.MAT.1.6.1"> Nuna Uchirísha uunt akupin Tawit .
(src)="b.MAT.1.6.2"> Uunt akupin Tawitia Uchiríncha Sarumúnkan Patsepa jurermiayi .
(src)="b.MAT.1.6.3"> Patsepasha emka Uríasa nuweeyayi .
(trg)="b.MAT.1.6.1"> naye Yese alimzaa Mfalme Daudi .
(trg)="b.MAT.1.6.2"> Daudi alimzaa Solomoni ( mama yake Solomoni alikuwa mke wa Uria ) .
(src)="b.MAT.1.7.1"> Sarumúnka Uchirí Rupuam .
(src)="b.MAT.1.7.2"> Nuna Uchirísha Apías .
(src)="b.MAT.1.7.3"> Nuna Uchirísha Asa .
(trg)="b.MAT.1.7.1"> Solomoni alimzaa Rehoboamu , Rehoboamu alimzaa Abiya , Abiya alimzaa Asa ,
(src)="b.MAT.1.8.1"> Asa Uchirísha Jusapát .
(src)="b.MAT.1.8.2"> Nuna Uchirísha Juram .
(src)="b.MAT.1.8.3"> Nuna Uchirí Usías .
(trg)="b.MAT.1.8.1"> Asa alimzaa Yehoshafati , Yehoshafati alimzaa Yoramu , Yoramu alimzaa Uzia ,
(src)="b.MAT.1.9.1"> Usíasa Uchirí Jutam .
(src)="b.MAT.1.9.2"> Nuna Uchirí Akas .
(src)="b.MAT.1.9.3"> Nuna Uchirí Esekías .
(trg)="b.MAT.1.9.1"> Uzia alimzaa Yothamu , Yothamu alimzaa Ahazi , Ahazi alimzaa Hezekia ,
(src)="b.MAT.1.10.1"> Esekíasa Uchirí Manasés .
(src)="b.MAT.1.10.2"> Nuna Uchirí Amun .
(src)="b.MAT.1.10.3"> Nuna Uchirí Jusías .
(trg)="b.MAT.1.10.1"> Hezekia alimzaa Manase , Manase alimzaa Amoni , Amoni alimzaa Yosia ,
(src)="b.MAT.1.11.1"> Jusíasa Uchirí Jekunías ni yachi armia nujai .
(src)="b.MAT.1.11.2"> Nui Papirúnianmaya shuar Israer shuaran mesetjai nupetkar Papirúnia nunkanam achirar Júkiarmiayi .
(trg)="b.MAT.1.11.1"> Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake .
(trg)="b.MAT.1.11.2"> Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni .
(src)="b.MAT.1.12.1"> Nu ukunmanka Jekuníasa Uchirí Saratiár akiiniamiayi .
(src)="b.MAT.1.12.2"> Tura nuna Uchirí Surupapír .
(trg)="b.MAT.1.12.1"> Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishomi Babuloni : Yekonia alimzaa Shealtieli , Shealtieli alimzaa Zerobabeli ,
(src)="b.MAT.1.13.1"> Surupapíra Uchirí Awiut .
(src)="b.MAT.1.13.2"> Nuna Uchirí Iriakím .
(src)="b.MAT.1.13.3"> Nuna Uchirí Asur .
(trg)="b.MAT.1.13.1"> Zerobabeli alimzaa Abiudi , Abiudi alimzaa Eliakimu , Eliakimu alimzaa Azori ,
(src)="b.MAT.1.14.1"> Asura Uchirí Satuk .
(src)="b.MAT.1.14.2"> Nuna Uchirí Akim .
(src)="b.MAT.1.14.3"> Nuna Uchirí Eriut .
(trg)="b.MAT.1.14.1"> Azori alimzaa Zadoki , Zadoki alimzaa Akimu , Akimu alimzaa Eliudi ,
(src)="b.MAT.1.15.1"> Eriuta Uchirí Ereasár .
(src)="b.MAT.1.15.2"> Nuna Uchirí Matan .
(src)="b.MAT.1.15.3"> Nuna Uchirí Jakup .
(trg)="b.MAT.1.15.1"> Eliudi alimzaa Eleazeri , Eleazeri alimzaa Mathani , Mathani alimzaa Yakobo ,
(src)="b.MAT.1.16.1"> Jakupa Uchirí Jusé Marí aishriya nu .
(src)="b.MAT.1.16.2"> Marisha Jesusan jurermiayi .
(src)="b.MAT.1.16.3"> Nu Jesuska Shuáran uwemtikiartin asa Kristu tu anaikiamuiti .
(trg)="b.MAT.1.16.1"> Yakobo alimzaa Yosefu , aliyekuwa mume wake Maria , mama yake Yesu , aitwaye Kristo .
(src)="b.MAT.1.17.1"> Tuma asamtai Apraámnumia Tawitnium Jesusa Weatrí katurse ( 14 ) ainiawai .
(src)="b.MAT.1.17.2"> Tawitniumiasha Papirúnianam jukimiunma nuisha katurse weat ainiawai .
(src)="b.MAT.1.17.3"> Papirúnianam jukimiunmayasha Krístunam ataksha katurse ainiawai .
(trg)="b.MAT.1.17.1"> Basi , kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi , vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni , na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo .
(src)="b.MAT.1.18.1"> Jesukrístu akiiniamu Júnis ámiayi .
(src)="b.MAT.1.18.2"> Ni Nukurí Marí Jusejai anajmanairuyayi .
(src)="b.MAT.1.18.3"> Tura Tsaníatsain Yusa Wakaní ajaprumtikiamiayi .
(trg)="b.MAT.1.18.1"> Basi , hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa : Maria , mama yake , alikuwa ameposwa na Yosefu .
(trg)="b.MAT.1.18.2"> Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke , alionekana kuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .
(src)="b.MAT.1.19.1"> Ajaprukmataisha Jusé Marin iniatsaatsuk niin ajapatniun Enentáimpramiayi .
(src)="b.MAT.1.19.2"> Tura ti pénker asa aya iniaisatniun wakerimiayi aents nékainiatsain .
(trg)="b.MAT.1.19.1"> Yosefu , mumewe , kwa vile alikuwa mwadilifu , hakutaka kumwaibisha hadharani ; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri .
(src)="b.MAT.1.20.1"> Nuna tu Enentáimia Pujái , mesekranam Yusa suntari Tarí chicharuk Tímiayi " Juséá , ame weatrum Tawitchakait .
(src)="b.MAT.1.20.2"> Tuma asam Marijiai nuatnaikiatin ashamkaip .
(src)="b.MAT.1.20.3"> Uchin jurertatna nuka Yusa Wakaníniuiti .
(trg)="b.MAT.1.20.1"> Alipokuwa bado anawaza jambo hilo , malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto , akamwambia , " Yosefu , mwana wa Daudi , usiogope kumchukua Maria awe mke wako , maana amekuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .
(src)="b.MAT.1.21.1"> Uchin aishmankan takustatui tura nuna naari JESUS anaikiattame .
(src)="b.MAT.1.21.2"> Ashí ni Shuárin ni tunaariya uwemtikkiartin asa Jesus anaikiatniuiti " Tímiayi .
(trg)="b.MAT.1.21.1"> Atajifungua mtoto wa kiume , nawe utampa jina Yesu , kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao . "
(src)="b.MAT.1.22.1"> Yus ni etserniurijiai yaunchu timia nu uminkiati tusa nu Túrunamiayi .
(src)="b.MAT.1.22.2"> Juna aamtikramiayi :
(trg)="b.MAT.1.22.1"> Basi , haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii :
(src)="b.MAT.1.23.1"> " Nuwa natsa ajapruktatui tura uchin takustatui .
(src)="b.MAT.1.23.2"> Nuna Náarisha Emanuér anainiaktatui . "
(src)="b.MAT.1.23.3"> Tu aarmaiti .
(src)="b.MAT.1.23.4"> Emanuérsha nu chichamnum " Yus iijiai pujuwiti " tawai .
(trg)="b.MAT.1.23.1"> " Bikira atachukua mimba , atamzaa mtoto wa kiume , naye ataitwa Emanueli " ( maana yake , " Mungu yu pamoja nasi " ) .
(src)="b.MAT.1.24.1"> Jusesha mesekranmaya shintiar Yusa suntari timia Núnisan Marin nuatkamiayi .
(trg)="b.MAT.1.24.1"> Hivyo , Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia , akamchukua mke wake nyumbani .
(src)="b.MAT.1.25.1"> Tura uchin Júreatsain tsaninchamiayi .
(src)="b.MAT.1.25.2"> Tura jurermatai uchin Jesus anaikiamiayi .
(trg)="b.MAT.1.25.1"> Lakini hakumjua kamwe kimwili hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume .
(trg)="b.MAT.1.25.2"> Naye Yosefu akampa jina Yesu .
(src)="b.MAT.2.1.1"> Jutía nunkanam Pirin pépru ana nui Jesus akiiniamiayi .
(src)="b.MAT.2.1.2"> Nuisha Nú nunka akupniuri Irutisauyayi .
(src)="b.MAT.2.1.3"> Akiiniamtai ti neka apach nantu Tátainmaaniya Jerusarén péprunam Táarmiayi .
(trg)="b.MAT.2.1.1"> Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu , mkoani Yudea , wakati Herode alipokuwa mfalme .
(trg)="b.MAT.2.1.2"> Punde tu baada ya kuzaliwa kwake , wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu ,
(src)="b.MAT.2.2.1"> Taar inintruiniak " ṡIsraer shuara uunt akupniuri tui akiiniait ? tiarmiayi .
(src)="b.MAT.2.2.2"> Nantu Tátainmaani pujaati ni yaari Wáinkiamji .
(src)="b.MAT.2.2.3"> Tura tikishmatratai tusar winiaji " tiarmiayi .
(trg)="b.MAT.2.2.1"> wakauliza , " Yuko wapi mtoto , Mfalme wa Wayahudi , aliyezaliwa ?
(trg)="b.MAT.2.2.2"> Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki , tukaja kumwabudu . "
(src)="b.MAT.2.3.1"> Irutis nuna antuk Nusháa Enentáimpramiayi .
(src)="b.MAT.2.3.2"> Tuma asamtai Ashí Jerusarénnumia shuarsha antukar Nusháa Enentáimprarmiayi .
(trg)="b.MAT.2.3.1"> Mfalme Herode aliposikia hayo , alifadhaika , yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu .
(src)="b.MAT.2.4.1"> Irutis nuikia Ashí Israer-patri uuntrincha tura yaunchu akupkamun jintinniuncha untsukarmiayi .
(src)="b.MAT.2.4.2"> Tura Kristu akiiniatniurin inintrusmiayi .
(trg)="b.MAT.2.4.1"> Basi akawaita pamoja makuhani wakuu wote na walimu wa Sheria , akawauliza , " Kristo atazaliwa wapi ? "
(src)="b.MAT.2.5.1"> Tutai chichainiak " Jutía nunkanam Pirin pepru ana nui akiiniatniuiti , tiarmiayi .
(src)="b.MAT.2.5.2"> Yaunchu Yúsnan etserin tu aaruiti :
(trg)="b.MAT.2.5.1"> Nao wakamjibu , " Mjini Bethlehemu , mkoani Yudea .
(trg)="b.MAT.2.5.2"> Ndivyo nabii alivyoandika :
(src)="b.MAT.2.6.1"> " Jutía nunkanam , Pirin pepru , Ishitiápchich ana Nuyá nekas uunt akupin winittiawai .
(src)="b.MAT.2.6.2"> Nii Ashí Israer shuaran , Wíi shuar ásarmatai , pénker Wáinkiattawai , " tawai Yus . "
(src)="b.MAT.2.6.3"> Tu tiarmiayi .
(trg)="b.MAT.2.6.1"> Ewe Bethlehemu katika nchi ya Yuda , kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda ; maana kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu , Israeli . "
(src)="b.MAT.2.7.1"> Nuna Tuíniakui Irutis ti neka apachin úusan , Urutía yaa emka Wáinkiamarum tusa aniasarmiayi .
(trg)="b.MAT.2.7.1"> Hapo , Herode aliwaita faraghani hao wataalamu wa nyota , akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea .
(src)="b.MAT.2.8.1"> Nuyá Pirinnum akupeak " Nui werum uchi pénker inintrusrum Wáinkiatarum .
(src)="b.MAT.2.8.2"> Tura Wáinkiarum ujatkatarum .
(src)="b.MAT.2.8.3"> Wisha werin Tikishmátuutaj " Tímiayi .
(trg)="b.MAT.2.8.1"> Kisha akawatuma Bethlehemu akisema , " Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo .
(trg)="b.MAT.2.8.2"> Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu . "
(src)="b.MAT.2.10.1"> Tutai ti neka apach wearmiayi .
(src)="b.MAT.2.10.2"> Tura yaa , yajaya Wáinkiarmiania nu , tuke eem wémiayi .
(src)="b.MAT.2.10.3"> Tura yaan Wáinkiar ti wararsarmiayi .
(src)="b.MAT.2.10.4"> Tura Nú yaa uchi pujumia nui ejeniarmiayi .
(trg)="b.MAT.2.10.1"> Walipoiona hiyo nyota , walifurahi mno .
(src)="b.MAT.2.11.1"> Jeá wayawar uchincha ni Nukurí Marijiai Wáinkiarmiayi .
(src)="b.MAT.2.11.2"> Tura uchin tikishmatrarmiayi .
(src)="b.MAT.2.11.3"> Nuyá ni Kajuntríyan kurincha , Mirá kunkuinniasha , Chíkich kunkuinniasha Súsarmiayi .
(trg)="b.MAT.2.11.1"> Basi , wakaingia nyumbani , wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake ; wakapiga magoti , wakamsujudia .
(trg)="b.MAT.2.11.2"> Kisha wakafungua hazina zao , wakampa zawadi : dhahabu , ubani na manemane .
(src)="b.MAT.2.12.1"> Nuyá mesekranam Yus " Irutisaini weerap " tutai Chíkich jintianam waketkiarmiayi .
(trg)="b.MAT.2.12.1"> Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie Herode ; hivyo wakarudi makwao kwa njia nyingine .
(src)="b.MAT.2.13.1"> Ti neka apach waketramtai Yusa suntari mesekranam Jusen ujakmiayi .
(src)="b.MAT.2.13.2"> " Nantakim uchi ni Nukuríjiai Ejiptu nunkanam jukim nui Pujustá .
(src)="b.MAT.2.13.3"> Irutis uchin Máataj tusa eaktatui .
(src)="b.MAT.2.13.4"> Tura ukunam ankant ajasmatai ujaktajme " Tímiayi .
(trg)="b.MAT.2.13.1"> Baada ya wale wageni kuondoka , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto , akamwambia , " Amka !
(trg)="b.MAT.2.13.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , mkimbilie Misri .
(trg)="b.MAT.2.13.3"> Kaeni huko mpaka nitakapokwambia , maana Herode anakusudia kumwua huyu mtoto . "
(src)="b.MAT.2.14.1"> Tutai Jusé kurat shintiar Nú Káshik uchincha Nukuríjiai Ejiptunam jukimiayi .
(trg)="b.MAT.2.14.1"> Hivyo , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akaondoka usiku , akaenda Misri .
(src)="b.MAT.2.15.1"> Irutis Jáatsain nui pujusarmiayi .
(src)="b.MAT.2.15.2"> Ejiptunam pujusmatai Yus yaunchu timia nu uminkiamiayi .
(src)="b.MAT.2.15.3"> Iis , Yúsnan etserin aak Tímiayi : " Ejiptunmayan winia Uchirun untsukmajai . "
(src)="b.MAT.2.15.4"> Tu aarmiayi .
(trg)="b.MAT.2.15.1"> Akakaa huko mpaka Herode alipokufa .
(trg)="b.MAT.2.15.2"> Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie : " Nilimwita Mwanangu kutoka Misri . "
(src)="b.MAT.2.16.1"> Irutissha ti neka apach niin ananka Yajá waketran Nekáa ti kajekmiayi .
(src)="b.MAT.2.16.2"> Ti kajek Ashí aishmanchin Pirinnumsha tura yantamach pujuarmia nunasha maawaarat tusa akupkamiayi .
(src)="b.MAT.2.16.3"> Ti neka apach ujakmia nuna Enentáimias Ashí Jimiará uwin takakun tura Nú uchichin Máawarat tusa akupkamiayi .
(trg)="b.MAT.2.16.1"> Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa , alikasirika sana .
(trg)="b.MAT.2.16.2"> Akaamuru watoto wote wa kiume mjini Bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe .
(trg)="b.MAT.2.16.3"> Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota .
(src)="b.MAT.2.17.1"> Nuka Yusnan etserin Jeremías aarmia nu uminkiamiayi .
(src)="b.MAT.2.17.2"> Juna aarmiayi :
(trg)="b.MAT.2.17.1"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia :
(src)="b.MAT.2.18.1"> " Ramá nunkanam ti uutainiak uur ajainiawai .
(src)="b.MAT.2.18.2"> Raker ti uutu asa atsankrachminiaiti ni Uchirí Jákarmatai . "
(src)="b.MAT.2.18.3"> Tu aarmiayi .
(trg)="b.MAT.2.18.1"> " Sauti imesikika mjini Rama , kilio na maombolezo mengi .
(trg)="b.MAT.2.18.2"> Raheli anawalilia watoto wake , wala hataki kutulizwa , maana wote wamefariki . "
(src)="b.MAT.2.19.1"> Tura Irutis jakamtai Yusa suntari mesekranam Jusen ujakmiayi .
(trg)="b.MAT.2.19.1"> Baada ya kifo cha Herode , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri ,
(src)="b.MAT.2.20.1"> " Uchin Máataj tiarmia nuka Jákarai .
(src)="b.MAT.2.20.2"> Yamaikia ataksha uchi ni Nukuríjiai jukim Israer nunkanam waketkitia " Tímiayi .
(trg)="b.MAT.2.20.1"> akamwambia , " Amka !
(trg)="b.MAT.2.20.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , urudi tena katika nchi ya Israeli , maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa . "
(src)="b.MAT.2.21.1"> Tutai Jusé nantaki uchincha Nukuríjiai jukin Ejiptunmaya Israer nunkanam waketkimiayi .
(trg)="b.MAT.2.21.1"> Basi , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akarejea katika nchi ya Israeli .
(src)="b.MAT.2.22.1"> Túrasha Irutisa Uchirí Arkiráu Jutía nunkanam uunt akupin ajasun Nekáa nui wétinian Aránkámiayi .
(src)="b.MAT.2.22.2"> Mesekranmasha ujakma asa nui pujutsuk Kariréa nunkanam wémiayi .
(trg)="b.MAT.2.22.1"> Lakini Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake , aliogopa kwenda huko .
(trg)="b.MAT.2.22.2"> Naye baada ya kuonywa katika ndoto , alikwenda katika mkoa wa Galilaya ,
(src)="b.MAT.2.23.1"> Nui Jeá Nasarét péprunam pujusmiayi .
(src)="b.MAT.2.23.2"> " Nasarétnumia átatui " Yusnan etserin yaunchu tu etserkamu nujai uminkiamiayi .
(trg)="b.MAT.2.23.1"> akahamia katika mji uitwao Nazareti .
(trg)="b.MAT.2.23.2"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii : " Ataitwa Mnazare . "
(src)="b.MAT.3.1.1"> Nuyá imiakratin Juan Jutía nunkanam aents atsamunam etserki Támiayi .
(trg)="b.MAT.3.1.1"> Siku hizo Yohane Mbatizaji alitokea , akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea :
(src)="b.MAT.3.2.1"> " Enentáim Yapajiátarum .
(src)="b.MAT.3.2.2"> Tsawant ishichik ajasai Yus jui akupin ajastin . "
(src)="b.MAT.3.2.3"> Tu etserkamiayi .
(trg)="b.MAT.3.2.1"> " Tubuni , maana Ufalme wa mbinguni umekaribia . "
(src)="b.MAT.3.3.1"> Nú Juankan yaunchu Yúsnan etserin Isayas juna aarmiayi : " Shuar atsamunam aents untsumui .
(src)="b.MAT.3.3.2"> Untsumuk " Atumí Enentái Uunta jinti iwiarturtarum tura naka awajsatarum " tawai . "
(src)="b.MAT.3.3.3"> Tu aarmiayi .
(trg)="b.MAT.3.3.1"> Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema : " Sauti ya mtu imesikika jangwani : Mtayarishieni Bwana njia yake , nyoosheni vijia vyake . "
(src)="b.MAT.3.4.1"> Nu Juansha kamiyu ure najantramun entsauyayi .
(src)="b.MAT.3.4.2"> Emenmamkesha nuapeyayi .
(src)="b.MAT.3.4.3"> Tura yutai-Títikriátsnasha chinijiai Yúuyayi .
(trg)="b.MAT.3.4.1"> Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya ya ngamia , na ukanda wa ngozi kiunoni mwake .
(trg)="b.MAT.3.4.2"> Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni .
(src)="b.MAT.3.5.1"> Tura Jerusarén péprunmaya shuarsha tura Ashí Jutía nunkanmaya shuarsha Jurtan entsanam matsamiarmia Nú shuarsha mash Juánkan tariarmiayi ni chichamen anturkatai tusar .
(trg)="b.MAT.3.5.1"> Basi , watu kutoka Yerusalemu , kutoka mkoa wote wa Yudea na sehemu zote za kandokando ya mto Yordani , walimwendea ,
(src)="b.MAT.3.6.1"> Tura ni tunaarin paant etserkarmatai Juan Jurtan entsanam imiainiarmiayi .
(trg)="b.MAT.3.6.1"> wakaziungama dhambi zao , naye akawabatiza katika mto Yordani .
(src)="b.MAT.3.7.1"> Juansha Pariséuncha Satuséuncha imiatti tusa wininian Wáiniak Tímiayi " Napia aaniutirmincha , ṡya atumniasha ti Asutniátniunmaya uwempratniuncha ujatmakmarum ?
(src)="b.MAT.3.7.2"> Tímiayi .
(src)="b.MAT.3.7.3"> Asutiátin tsawant ishichik ajasai .
(trg)="b.MAT.3.7.1"> Lakini alipowaona Mafarisayo wengi na Masadukayo wanamjia ili awabatize , aliwaambia , " Enyi kizazi cha nyoka !
(trg)="b.MAT.3.7.2"> Ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja ?
(src)="b.MAT.3.8.1"> Tuma asamtai Enentáim Yapajiámuitkiuinkia pénker wekaamurmijiai paant iniakmastarum .
(trg)="b.MAT.3.8.1"> Onyesheni basi kwa matendo , kwamba mmetubu kweli .
(src)="b.MAT.3.9.1"> Atumsha " Iikia Apraám weeaitji " tu Enentáimtumasairap .
(src)="b.MAT.3.9.2"> Nujai uwemprashtatrume .
(src)="b.MAT.3.9.3"> Yus wakerakka ju kayan Apraáman tiranki najankainti , Tímiayi .
(trg)="b.MAT.3.9.1"> Msidhani kwamba mtaweza kujitetea kwa kusema , Baba yetu ni Abrahamu !
(trg)="b.MAT.3.9.2"> Nawaambieni hakika , Mungu anaweza kuyafanya mawe haya yawe watoto wa Abrahamu .
(src)="b.MAT.3.10.1"> Numi ajaktinia aintsan Kampuwárin jacha atuttsamuiti .
(src)="b.MAT.3.10.2"> Tura numi pénker nereatsna nuka tsupikia jinium apeamu ártatui .
(trg)="b.MAT.3.10.1"> Basi , shoka liko tayari kuikata mizizi ya miti ; hivyo , kila mti usiozaa matunda mazuri , utakatwa na kutupwa motoni .
(src)="b.MAT.3.11.1"> Wikia aya entsajain imiajrume atumi Enentái Yapajiáwakrumin .
(src)="b.MAT.3.11.2"> Antsu winia ukurui winiana nuka pénker awajtamsataj tusa imiantinia aanis tura Jía aanis Yusa Wakanin enketramprattarme .
(src)="b.MAT.3.11.3"> Wijiai nankaamantu asamtai wikia tsuntsumpruan ni Sapatrínkisha atitrachminiaitjai .
(trg)="b.MAT.3.11.1"> Mimi ninawabatizeni kwa maji kuonyesha kwamba mmetubu .
(trg)="b.MAT.3.11.2"> Lakini yule anayekuja baada yangu ana uwezo kuliko mimi .
(trg)="b.MAT.3.11.3"> Mimi sistahili hata kubeba viatu vyake .
(trg)="b.MAT.3.11.4"> Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto .
(src)="b.MAT.3.12.1"> Aruusa nerejai Túruinia aintsan átatui .
(src)="b.MAT.3.12.2"> Awajtiutairin achikiuiti tura nujai saepen awajtittiawai .
(src)="b.MAT.3.12.3"> Tura neren pénker ikiustatui , antsu saepenka jinium apeattawai .
(src)="b.MAT.3.12.4"> Nu jisha tuke kajinchaiti . "
(src)="b.MAT.3.12.5"> Tu Tímiayi Juan .
(trg)="b.MAT.3.12.1"> Yeye anashika mkononi chombo cha kupuria nafaka , ili aipure nafaka yake ; akusanye ngano ghalani , na makapi ayachome kwa moto usiozimika . "
(src)="b.MAT.3.13.1"> Nuyá Jesus Kariréa nunkanmaya winis Jurtan entsanam Támiayi Juan imiatti tusa .
(trg)="b.MAT.3.13.1"> Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani , akamwendea Yohane ili abatizwe naye .
(src)="b.MAT.3.14.1"> Juansha emka nakitiak Jesusan Tímiayi " Ame winia imiatminiaitme .
(src)="b.MAT.3.14.2"> Túrutamniaitiatmesha ṡurukamtai winia tarutnium ? "
(src)="b.MAT.3.14.3"> Tímiayi .
(trg)="b.MAT.3.14.1"> Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema , " Je , wewe unakuja kwangu ?
(trg)="b.MAT.3.14.2"> Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe . "
(src)="b.MAT.3.15.1"> Tura Jesus Tímiayi " Antsan asati yamaikia .
(src)="b.MAT.3.15.2"> Núnisrik Ashí Yus akupkamu umirkatniuitji . "
(src)="b.MAT.3.15.3"> Tutai Juan iniaisamiayi .
(trg)="b.MAT.3.15.1"> Lakini Yesu akamjibu , " Acha tu iwe hivyo kwa sasa , maana kwa namna hii inafaa tuyatekeleze yale yote Mungu anayotaka . "
(trg)="b.MAT.3.15.2"> Hapo Yohane akakubali .
(src)="b.MAT.3.16.1"> Tura Jesus imiani entsaya Jíinkímtai nayaimp ~ i uranmiayi .
(src)="b.MAT.3.16.2"> Tura Yusa Wakaní Yámpitsa aintsan Jesusan tarimiayi .
(src)="b.MAT.3.16.3"> Niisha Wáinkiámiayi .
(trg)="b.MAT.3.16.1"> Mara tu Yesu alipokwisha batizwa , alitoka majini ; na ghafla mbingu zikafunguka , akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kutua juu yake .
(src)="b.MAT.3.17.1"> Túramtai nayaimpinmaya Yus chichaak " Juka winia Uchiruiti .
(src)="b.MAT.3.17.2"> Ti aneamuiti .
(src)="b.MAT.3.17.3"> Ti shiir Enentáimtajai " Tímiayi .
(trg)="b.MAT.3.17.1"> Sauti kutoka mbinguni ikasema , " Huyu ndiye Mwanangu mpendwa , nimependezwa naye . "
(src)="b.MAT.4.1.1"> Nu Túrunamtai Yusa Wakaní Jesusan iwianchjai nekapmamtiksattsa aents atsamunam jukimiayi .
(trg)="b.MAT.4.1.1"> Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi .
(src)="b.MAT.4.2.1"> Nui kuarenta ( 40 ) tsawant , Káshisha tsawaisha yurumtsuk pujak tsukarmiayi .
(trg)="b.MAT.4.2.1"> Akafunga siku arubaini mchana na usiku , na mwishowe akaona njaa .
(src)="b.MAT.4.3.1"> Nui uunt iwianch Jesusan nekapsataj tusa Tarí Tímiayi " Nekas Yusa Uchirinkiumka ju kaya apatuk najanata . "
(trg)="b.MAT.4.3.1"> Basi , mshawishi akamjia , akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , amuru mawe haya yawe mikate . "
(src)="b.MAT.4.4.1"> Tutai Jesus Tímiayi " Yus-Papinium aarmaiti : " Aents aya apatkujain iwiaaku pujuschamniaiti .
(src)="b.MAT.4.4.2"> Antsu Yus Táman Enentáimtuiniak nekas iwiaaku pujusartatui " tawai " Tímiayi .
(trg)="b.MAT.4.4.1"> Yesu akamjibu , " Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu : Binadamu hataishi kwa mikate tu , ila kwa kila neno asemalo Mungu . "
(src)="b.MAT.4.5.1"> Tutai uunt iwianch Jerusarén péprunam Jukí Yusa Uunt Jee Cháikin iwiak
(trg)="b.MAT.4.5.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu , mji mtakatifu , akamweka juu ya mnara wa hekalu ,
(src)="b.MAT.4.6.1"> Tímiayi " Nekas Yusa Uchirínkiumka juya akaikim iniaata .
(src)="b.MAT.4.6.2"> Kame Yus-Papinium aarmaiti : " Yus ni suntarin akatar Akúptúrmaktatui .
(src)="b.MAT.4.6.3"> Nawemin kayanam ajiintsumnin wenkurmaktatui " tawai " Tímiayi .
(trg)="b.MAT.4.6.1"> akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , jitupe chini ; maana imeandikwa : Mungu atawaamuru malaika wake kwa ajili yako ; watakuchukua mikononi mwao , usije ukajikwaa kwenye jiwe . "
(src)="b.MAT.4.7.1"> Tutai Jesus Tímiayi " Núnisan Yus-Papinium aarmaiti : " Ame uuntrum Yus " Nekapsataj " tiip " tawai " Tímiayi .
(trg)="b.MAT.4.7.1"> Yesu akamwambia , " Imeandikwa pia : Usimjaribu Bwana , Mungu wako . "
(src)="b.MAT.4.8.1"> Ataksha uunt iwianch naint Yakí Wájakmanum iwiakmiayi tura Nuyá Ashí nunkanmaya péprun shiira nuna iniaktusmiayi .
(trg)="b.MAT.4.8.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu , akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake ,
(src)="b.MAT.4.9.1"> Tura Tímiayi " Winia tikishmatrurakminkia juna mash amastatjai . "
(trg)="b.MAT.4.9.1"> akamwambia , " Hivi vyote nitakupa kama tu ukipiga magoti na kuniabudu . "
(src)="b.MAT.4.10.1"> Tutai Jesus Tímiayi " Werumta , uunt iwianchi .
(src)="b.MAT.4.10.2"> Yus-Papinium aarma awai : " Ame uuntrum Yúsak tikishmatrata tura Ninki shiir awajsata " tawai " Tímiayi .
(trg)="b.MAT.4.10.1"> Hapo , Yesu akamwambia , " Nenda zako Shetani !
(trg)="b.MAT.4.10.2"> Imeandikwa : Utamwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake . "
(src)="b.MAT.4.11.1"> Tutai uunt iwianch Jesusan ikiuak wémiayi .
(src)="b.MAT.4.11.2"> Túramtai Yusa suntari tariar atsumamurin Súsarmiayi .
(trg)="b.MAT.4.11.1"> Basi , Ibilisi akamwacha , na malaika wakaja , wakamhudumia .
(src)="b.MAT.4.12.1"> Juan sepunam enketui taman antuk Jesus Kariréa nunkanam wémiayi .
(trg)="b.MAT.4.12.1"> Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya .
(src)="b.MAT.4.13.1"> Tura Nasarét péprunam pujutsuk Kapernáum péprunam we pujusmiayi .
(src)="b.MAT.4.13.2"> Kapernáumsha Kariréa antumianka Kánmatkariin pujumiayi .
(src)="b.MAT.4.13.3"> Ti yaunchusha Jakupu uchiri Sapurúnsha tura Niptarísha nu nunkanak nui pujustaitsar achikiaruyayi .
(trg)="b.MAT.4.13.1"> Aliondoka Nazareti , akaenda Kafarnaumu , mji ulio kando ya bahari ya Genesareti , mpakani mwa wilaya za Zabuloni na Naftali , akakaa huko .
(src)="b.MAT.4.14.1"> Jesus nuna Túramtai yaunchu Yúsnan etserin Isayas aarmia nu uminkiamiayi .
(src)="b.MAT.4.14.2"> Juna aarmiayi :
(trg)="b.MAT.4.14.1"> Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya :
(src)="b.MAT.4.15.1"> " Sapurúnsha Niptarísha nayaantsanam Tíjiuch Jurtan entsa amainini nunkan achikiarmiayi .
(src)="b.MAT.4.15.2"> Nuka Kariréaiti Israer-shuarcha matsatainia nui .
(trg)="b.MAT.4.15.1"> " Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali , kuelekea baharini ng ' ambo ya mto Yordani , Galilaya nchi ya watu wa Mataifa !
(src)="b.MAT.4.16.1"> Nu aents kiritniunam pujuiniayatan ti Tsáapninian Wáinkiarmiayi .
(src)="b.MAT.4.16.2"> Jákatniunam pujuiniai Tsáapin Tsáapnirmiayi . "
(src)="b.MAT.4.16.3"> Tu aarmaiti .
(trg)="b.MAT.4.16.1"> Watu waliokaa gizani wameona mwanga mkubwa .
(trg)="b.MAT.4.16.2"> Nao walioishi katika nchi ya giza na kivuli cha kifo , mwanga umewaangazia ! "
(src)="b.MAT.4.17.1"> Nuyá Jesus étseruk Tímiayi " Tunaarum Enentáimturum Enentáim Yapajiátarum .
(src)="b.MAT.4.17.2"> Ju nunkanam Yus akupkatin tsawant ishichik ajasai . "
(trg)="b.MAT.4.17.1"> Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema , " Tubuni , maana ufalme wa mbinguni umekaribia ! "
(src)="b.MAT.4.18.1"> Jesus Kariréa antumianka Kánmatkarin wesa Jimiará aentsun Nuámtak Yáchinniun Wáinkiámiayi .
(src)="b.MAT.4.18.2"> Chikichik Antresauyayi , chikichcha Semunkauyayi .
(src)="b.MAT.4.18.3"> Nu Semun Núnisan Pitru Náartiniuyayi .
(src)="b.MAT.4.18.4"> Namakan achin ásar namakan nekajai Nankíak yujaarmiayi .
(trg)="b.MAT.4.18.1"> Yesu alipokuwa anatembea kando ya ziwa Galilaya , aliwaona ndugu wawili wavuvi ; Simoni ( aitwae Petro ) na Andrea , ndugu yake ; walikuwa wakivua samaki kwa nyavu ziwani .
(src)="b.MAT.4.19.1"> Nuna Jesus Wáinkiar tiarmiayi " Nemartustarum .
(src)="b.MAT.4.19.2"> Túrakrumin shuarsha Yusna arti tusan Yamái namak Achíarmena Núnisan shuaran-eau awajsatjarme . "
(trg)="b.MAT.4.19.1"> Basi , akawaambia , " Nifuateni , nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu . "
(src)="b.MAT.4.20.1"> Tutai ni nekarin ikiukiar Niin nemariarmiayi .
(trg)="b.MAT.4.20.1"> Mara wakaziacha nyavu zao , wakamfuata .
(src)="b.MAT.4.21.1"> Nuyá ishichik wésan ataksha Nuámtak yachinniun Wáinkiámiayi .
(src)="b.MAT.4.21.2"> Jakupu Juanjai mai Sepetéu Uchirí ármiayi .
(src)="b.MAT.4.21.3"> Niisha kanunam enkemsar ni nekarin ni Aparíjiai iwiarainiak pujuriarmiayi .
(src)="b.MAT.4.21.4"> Tura Jesus " Nemartusta " tutai
(trg)="b.MAT.4.21.1"> Alipokwenda mbele kidogo , aliwaona ndugu wengine wawili : Yakobo na Yohane , wana wa Zebedayo .
(trg)="b.MAT.4.21.2"> Hao walikuwa ndani ya mashua pamoja na baba yao Zebedayo , wakitengeneza nyavu zao .
(trg)="b.MAT.4.21.3"> Basi Yesu akawaita ,
(src)="b.MAT.4.22.1"> nu chichamaik kanuncha tura Aparíncha ikiukiar Jesusan nemariarmiayi .
(trg)="b.MAT.4.22.1"> nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao , wakamfuata .
(src)="b.MAT.4.23.1"> Ashí Kariréa nunkanam Jesus Israer-shuar iruntainiam etserki wémiayi .
(src)="b.MAT.4.23.2"> Yus ju nunkanam akupkatin chichaman etserkamiayi .
(src)="b.MAT.4.23.3"> Tura Untsurí sunkurjai Jáinian Ashí Tsuármiayi .
(trg)="b.MAT.4.23.1"> Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani Galilaya , akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme wa Mungu .
(trg)="b.MAT.4.23.2"> Aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu .
(src)="b.MAT.4.24.1"> Ashí Siria nunkanam Jesus Tsuákratman nekaawar Ashí Nánkamas sunkurjai Wáitin armia nuna Jesusan tsuarti tusa itiariarmiayi .
(src)="b.MAT.4.24.2"> Ashí jaancha , najaimiancha , yajauch wakantrukuncha , Wáuruncha , tampemaruncha Jesus Tsuármiayi .
(trg)="b.MAT.4.24.1"> Habari zake zikaenea katika mkoa wote wa Siria .
(trg)="b.MAT.4.24.2"> Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu : waliopagawa na pepo , wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa , walipelekwa kwake ; naye akawaponya wote .
(src)="b.MAT.4.25.1"> Tura Untsurí shuar Jesusan nemariarmiayi .
(src)="b.MAT.4.25.2"> Kariréa nunkanmayasha , Tekapurisnumiasha , Jerusarén péprunmayasha , Jutía nunkanmayasha , Jurtan entsa amainiyasha Jesusan nemariarmiayi .
(trg)="b.MAT.4.25.1"> Makundi mengi ya watu kutoka Galilaya , Dekapoli , Yerusalemu , Yudea na ng ' ambo ya mto Yordani , walimfuata .
(src)="b.MAT.5.1.1"> Jesus Untsurí shuar Káunkarun Wáiniak Náinnium waka nui pujusmiayi .
(src)="b.MAT.5.1.2"> Tura ni unuiniamurisha taar pujusarmiayi .
(trg)="b.MAT.5.1.1"> Yesu alipoyaona makundi ya watu , alipanda mlimani , akaketi .
(trg)="b.MAT.5.1.2"> Wanafunzi wake wakamwendea ,
(src)="b.MAT.5.2.1"> Nuyá Jesus Júnis unuiniamiayi .
(trg)="b.MAT.5.2.1"> naye akaanza kuwafundisha :
(src)="b.MAT.5.3.1">`Ame wakanim atsumamu nekamarum kakaram ajasrum warastarum.
(src)="b.MAT.5.3.2"> Tuma asarum Yus akupeamunam pachiinniuitrume .
(trg)="b.MAT.5.3.1"> " Heri walio maskini rohoni , maana ufalme wa mbinguni ni wao .
(src)="b.MAT.5.4.1"> Kúntuts pujarum nu warastarum .
(src)="b.MAT.5.4.2"> Yus atsantamprattarme .
(trg)="b.MAT.5.4.1"> Heri walio na huzuni , maana watafarijiwa .
(src)="b.MAT.5.5.1"> Péejchach Enentáimtumarmena nu warastarum .
(src)="b.MAT.5.5.2"> Yus Ashí nunkan amastatrume .
(trg)="b.MAT.5.5.1"> Heri walio wapole , maana watairithi nchi .
(src)="b.MAT.5.6.1"> Eseer wekasataj tusa aya kitiamarum nu warastarum .
(src)="b.MAT.5.6.2"> Yus imiktamprattarme .
(trg)="b.MAT.5.6.1"> Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu , maana watashibishwa .
(src)="b.MAT.5.7.1"> Waitnenkratniutiram warastarum .
(src)="b.MAT.5.7.2"> Yus waitnentramprattarme .
(trg)="b.MAT.5.7.1"> Heri walio na huruma , maana watahurumiwa .
(src)="b.MAT.5.8.1"> Pénker Enentáimniutiram warastarum .
(src)="b.MAT.5.8.2"> Yus Wáinkiáttarme .
(trg)="b.MAT.5.8.1"> Heri wenye moyo safi , maana watamwona Mungu .
(src)="b.MAT.5.9.1"> Chicham iwiarin árum nu warastarum .
(src)="b.MAT.5.9.2"> Yusa uchiri turamartatui .
(trg)="b.MAT.5.9.1"> Heri wenye kuleta amani , maana wataitwa watoto wa Mungu .
(src)="b.MAT.5.10.1"> Pénker Túrakrumin yajauch awajtamainiakui warastarum .
(src)="b.MAT.5.10.2"> Yus akupeamunam pachiiniuitrume .
(trg)="b.MAT.5.10.1"> Heri wanaoteswa kwa sababu ya kufanya atakavyo Mungu , maana ufalme wa mbinguni ni wao .
(src)="b.MAT.5.11.1"> Wíi shuar asakrumin katsekramainiakuisha , itit awajtamainiakuisha , tura Ashí tsanumprutmainiakuisha warastarum .
(trg)="b.MAT.5.11.1"> " Heri yenu ninyi watu wakiwatukana , wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu .