# he/Hebrew.xml.gz
# ss/Swahili-NT.xml.gz
(src)="b.MAT.1.1.1"> ספר תולדת ישוע המשיח בן דוד בן אברהם ׃
(trg)="b.MAT.1.1.1"> Yesu Kristo alikuwa mzawa wa Daudi , mzawa wa Abrahamu .
(trg)="b.MAT.1.1.2"> Hii ndiyo orodha ya ukoo wake :
(src)="b.MAT.1.2.1"> אברהם הוליד את יצחק ויצחק הוליד את יעקב ויעקב הוליד את יהודה ואת אחיו ׃
(trg)="b.MAT.1.2.1"> Abrahamu alimzaa Isaka , Isaka alimzaa Yakobo , Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake ,
(src)="b.MAT.1.3.1"> ויהודה הוליד את פרץ ואת זרח מתמר ופרץ הוליד את חצרון וחצרון הוליד את רם ׃
(trg)="b.MAT.1.3.1"> Yuda alimzaa Faresi na Zera ( mama yao alikuwa Tamari ) , Faresi alimzaa Hesroni , Hesroni alimzaa Rami ,
(src)="b.MAT.1.4.1"> ורם הוליד את עמינדב ועמינדב הוליד את נחשון ונחשון הוליד את שלמון ׃
(trg)="b.MAT.1.4.1"> Rami alimzaa Aminadabu , Aminadabu alimzaa Nashoni , Nashoni alimzaa Salmoni ,
(src)="b.MAT.1.5.1"> ושלמון הוליד את בעז מרחב ובעז הוליד את עובד מרות ועובד הוליד את ישי ׃
(trg)="b.MAT.1.5.1"> Salmoni alimzaa Boazi ( mama yake Boazi alikuwa Rahabu ) .
(trg)="b.MAT.1.5.2"> Boazi na Ruthi walikuwa wazazi wa Obedi , Obedi alimzaa Yese ,
(src)="b.MAT.1.6.1"> וישי הוליד את דוד המלך ודוד המלך הוליד את שלמה מאשת אוריה ׃
(trg)="b.MAT.1.6.1"> naye Yese alimzaa Mfalme Daudi .
(trg)="b.MAT.1.6.2"> Daudi alimzaa Solomoni ( mama yake Solomoni alikuwa mke wa Uria ) .
(src)="b.MAT.1.7.1"> ושלמה הוליד את רחבעם ורחבעם הוליד את אביה ואביה הוליד את אסא ׃
(trg)="b.MAT.1.7.1"> Solomoni alimzaa Rehoboamu , Rehoboamu alimzaa Abiya , Abiya alimzaa Asa ,
(src)="b.MAT.1.8.1"> ואסא הוליד את יהושפט ויהושפט הוליד את יורם ויורם הוליד את עזיהו ׃
(trg)="b.MAT.1.8.1"> Asa alimzaa Yehoshafati , Yehoshafati alimzaa Yoramu , Yoramu alimzaa Uzia ,
(src)="b.MAT.1.9.1"> ועזיהו הוליד את יותם ויותם הוליד את אחז ואחז הוליד את יחזקיהו ׃
(trg)="b.MAT.1.9.1"> Uzia alimzaa Yothamu , Yothamu alimzaa Ahazi , Ahazi alimzaa Hezekia ,
(src)="b.MAT.1.10.1"> ויחזקיהו הוליד את מנשה ומנשה הוליד את אמון ואמון הוליד את יאשיהו ׃
(trg)="b.MAT.1.10.1"> Hezekia alimzaa Manase , Manase alimzaa Amoni , Amoni alimzaa Yosia ,
(src)="b.MAT.1.11.1"> ויאשיהו הוליד את יכניהו ואת אחיו לעת גלות בבל ׃
(trg)="b.MAT.1.11.1"> Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake .
(trg)="b.MAT.1.11.2"> Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni .
(src)="b.MAT.1.12.1"> ואחרי גלותם בבלה הוליד יכניה את שאלתיאל ושאלתיאל הוליד את זרבבל ׃
(trg)="b.MAT.1.12.1"> Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishomi Babuloni : Yekonia alimzaa Shealtieli , Shealtieli alimzaa Zerobabeli ,
(src)="b.MAT.1.13.1"> וזרבבל הוליד את אביהוד ואביהוד הוליד את אליקים ואליקים הוליד את עזור ׃
(trg)="b.MAT.1.13.1"> Zerobabeli alimzaa Abiudi , Abiudi alimzaa Eliakimu , Eliakimu alimzaa Azori ,
(src)="b.MAT.1.14.1"> ועזור הוליד את צדוק וצדוק הוליד את יכין ויכין הוליד את אליהוד ׃
(trg)="b.MAT.1.14.1"> Azori alimzaa Zadoki , Zadoki alimzaa Akimu , Akimu alimzaa Eliudi ,
(src)="b.MAT.1.15.1"> ואליהוד הוליד את אלעזר ואלעזר הוליד את מתן ומתן הוליד את יעקב ׃
(trg)="b.MAT.1.15.1"> Eliudi alimzaa Eleazeri , Eleazeri alimzaa Mathani , Mathani alimzaa Yakobo ,
(src)="b.MAT.1.16.1"> ויעקב הוליד את יוסף בעל מרים אשר ממנה נולד ישוע הנקרא משיח ׃
(trg)="b.MAT.1.16.1"> Yakobo alimzaa Yosefu , aliyekuwa mume wake Maria , mama yake Yesu , aitwaye Kristo .
(src)="b.MAT.1.17.1"> והנה כל הדרות מן אברהם עד דוד ארבעה עשר דרות ומן דוד עד גלות בבל ארבעה עשר דרות ומעת גלות בבל עד המשיח ארבעה עשר דרות ׃
(trg)="b.MAT.1.17.1"> Basi , kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi , vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni , na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo .
(src)="b.MAT.1.18.1"> והלדת ישוע המשיח כה היתה מרים אמו ארשה ליוסף ובטרם יבא אליה נמצאת הרה לרוח הקדש ׃
(trg)="b.MAT.1.18.1"> Basi , hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa : Maria , mama yake , alikuwa ameposwa na Yosefu .
(trg)="b.MAT.1.18.2"> Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke , alionekana kuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .
(src)="b.MAT.1.19.1"> ויוסף בעלה היה איש צדיק ולא אבה לתתה לבוז ויאמר בלבו לשלחה בסתר ׃
(trg)="b.MAT.1.19.1"> Yosefu , mumewe , kwa vile alikuwa mwadilifu , hakutaka kumwaibisha hadharani ; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri .
(src)="b.MAT.1.20.1"> הוא חשב כזאת והנה מלאך יהוה נראה אליו בחלום ויאמר יוסף בן דוד אל תירא מכנוס אליך את מרים אשתך כי אשר הרה בה מרוח הקדש הוא ׃
(trg)="b.MAT.1.20.1"> Alipokuwa bado anawaza jambo hilo , malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto , akamwambia , " Yosefu , mwana wa Daudi , usiogope kumchukua Maria awe mke wako , maana amekuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .
(src)="b.MAT.1.21.1"> והיא ילדת בן וקראת את שמו ישוע כי הוא יושיע את עמו מעונותיהם ׃
(trg)="b.MAT.1.21.1"> Atajifungua mtoto wa kiume , nawe utampa jina Yesu , kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao . "
(src)="b.MAT.1.22.1"> ותהי כל זאת למלאת את אשר דבר יהוה ביד הנביא לאמר ׃
(trg)="b.MAT.1.22.1"> Basi , haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii :
(src)="b.MAT.1.23.1"> הנה העלמה הרה וילדת בן וקראו שמו עמנואל אשר פרושו האל עמנו ׃
(trg)="b.MAT.1.23.1"> " Bikira atachukua mimba , atamzaa mtoto wa kiume , naye ataitwa Emanueli " ( maana yake , " Mungu yu pamoja nasi " ) .
(src)="b.MAT.1.24.1"> וייקץ יוסף משנתו ויעש כאשר צוהו מלאך יהוה ויקח אליו את אשתו ׃
(trg)="b.MAT.1.24.1"> Hivyo , Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia , akamchukua mke wake nyumbani .
(src)="b.MAT.1.25.1"> ולא ידעה עד כי ילדה בן את בכורה ויקרא את שמו ישוע ׃
(trg)="b.MAT.1.25.1"> Lakini hakumjua kamwe kimwili hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume .
(trg)="b.MAT.1.25.2"> Naye Yosefu akampa jina Yesu .
(src)="b.MAT.2.1.1"> ויהי כאשר נולד ישוע בבית לחם יהודה בימי הורדוס המלך ויבאו מגושים מארץ מזרח ירושלימה לאמר ׃
(trg)="b.MAT.2.1.1"> Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu , mkoani Yudea , wakati Herode alipokuwa mfalme .
(trg)="b.MAT.2.1.2"> Punde tu baada ya kuzaliwa kwake , wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu ,
(src)="b.MAT.2.2.1"> איה מלך היהודים הנולד כי ראינו את כוכבו במזרח ונבא להשתחות לו ׃
(trg)="b.MAT.2.2.1"> wakauliza , " Yuko wapi mtoto , Mfalme wa Wayahudi , aliyezaliwa ?
(trg)="b.MAT.2.2.2"> Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki , tukaja kumwabudu . "
(src)="b.MAT.2.3.1"> ויהי כשמע הורדוס המלך את דבריהם ויבהל הוא וכל ירושלים עמו ׃
(trg)="b.MAT.2.3.1"> Mfalme Herode aliposikia hayo , alifadhaika , yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu .
(src)="b.MAT.2.4.1"> ויקהל את כל ראשי הכהנים וסופרי העם וידרש מאתם לאמר איפה יולד המשיח ׃
(trg)="b.MAT.2.4.1"> Basi akawaita pamoja makuhani wakuu wote na walimu wa Sheria , akawauliza , " Kristo atazaliwa wapi ? "
(src)="b.MAT.2.5.1"> ויאמרו לו בבית לחם יהודה כי כן כתוב ביד הנביא ׃
(trg)="b.MAT.2.5.1"> Nao wakamjibu , " Mjini Bethlehemu , mkoani Yudea .
(trg)="b.MAT.2.5.2"> Ndivyo nabii alivyoandika :
(src)="b.MAT.2.6.1"> ואתה בית לחם ארץ יהודה אינך צעיר באלפי יהודה כי ממך יצא מושל אשר ירעה את עמי ישראל ׃
(trg)="b.MAT.2.6.1"> Ewe Bethlehemu katika nchi ya Yuda , kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda ; maana kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu , Israeli . "
(src)="b.MAT.2.7.1"> אז קרא הורדוס למגושים בסתר ויחקר אתם לדעת עת הראות הכוכב ׃
(trg)="b.MAT.2.7.1"> Hapo , Herode aliwaita faraghani hao wataalamu wa nyota , akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea .
(src)="b.MAT.2.8.1"> וישלחם בית לחם ויאמר לכו חקרו היטב על דבר הילד והיה כי תמצאון אתו והגדתם לי ואבאה להשתחות לו גם אני ׃
(trg)="b.MAT.2.8.1"> Kisha akawatuma Bethlehemu akisema , " Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo .
(trg)="b.MAT.2.8.2"> Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu . "
(src)="b.MAT.2.9.1"> ויהי כשמעם את דברי המלך וילכו והנה הכוכב אשר ראו במזרח דרך לפניהם עד באו אל מקום אשר שם הילד ויעמד ממעל לו ׃
(trg)="b.MAT.2.9.1"> Baada ya kumsikiliza mfalme , hao wataalamu wa nyota wakaenda .
(trg)="b.MAT.2.9.2"> Kumbe ile nyota waliyokuwa wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto .
(src)="b.MAT.2.10.1"> ויראו את הכוכב וישמחו שמחה גדולה עד מאד ׃
(trg)="b.MAT.2.10.1"> Walipoiona hiyo nyota , walifurahi mno .
(src)="b.MAT.2.11.1"> ויבאו הביתה וימצאו את הילד עם מרים אמו ויפל על פניהם וישתחוו לו ויפתחו את אוצרותם ויקריבו לו מנחה זהב ולבונה ומר ׃
(trg)="b.MAT.2.11.1"> Basi , wakaingia nyumbani , wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake ; wakapiga magoti , wakamsujudia .
(trg)="b.MAT.2.11.2"> Kisha wakafungua hazina zao , wakampa zawadi : dhahabu , ubani na manemane .
(src)="b.MAT.2.12.1"> ויצוו בחלום לבלתי שוב אל הורדוס וילכו בדרך אחר אל ארצם ׃
(trg)="b.MAT.2.12.1"> Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie Herode ; hivyo wakarudi makwao kwa njia nyingine .
(src)="b.MAT.2.13.1"> הם הלכו משם והנה מלאך יהוה נראה אל יוסף בחלום לאמר קום קח את הילד ואת אמו וברח לך מצרימה והיה שם עד אשר אמר אליך כי הורדוס צדה את הילד לאבדו ׃
(trg)="b.MAT.2.13.1"> Baada ya wale wageni kuondoka , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto , akamwambia , " Amka !
(trg)="b.MAT.2.13.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , mkimbilie Misri .
(trg)="b.MAT.2.13.3"> Kaeni huko mpaka nitakapokwambia , maana Herode anakusudia kumwua huyu mtoto . "
(src)="b.MAT.2.14.1"> ויקם ויקח את הילד ואת אמו בלילה ויברח מצרימה ׃
(trg)="b.MAT.2.14.1"> Hivyo , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akaondoka usiku , akaenda Misri .
(src)="b.MAT.2.15.1"> ויהי שם עד מות הורדוס למלאת את אשר דבר יהוה ביד הנביא לאמר ממצרים קראתי לבני ׃
(trg)="b.MAT.2.15.1"> Akakaa huko mpaka Herode alipokufa .
(trg)="b.MAT.2.15.2"> Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie : " Nilimwita Mwanangu kutoka Misri . "
(src)="b.MAT.2.16.1"> וירא הורדוס כי התלו בו המגושים ויקצף מאד וישלח וימת את כל הילדים אשר בבית לחם ובכל גבוליה מבן שנתים ולמטה כפי העת אשר חקרה מפי המגושים ׃
(trg)="b.MAT.2.16.1"> Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa , alikasirika sana .
(trg)="b.MAT.2.16.2"> Akaamuru watoto wote wa kiume mjini Bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe .
(trg)="b.MAT.2.16.3"> Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota .
(src)="b.MAT.2.17.1"> וימלא הדבר הנאמר בפי ירמיה הנביא לאמר ׃
(trg)="b.MAT.2.17.1"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia :
(src)="b.MAT.2.18.1"> קול ברמה נשמע נהי ובכי תמרורים רחל מבכה על בניה מאנה להנחם כי אינם ׃
(trg)="b.MAT.2.18.1"> " Sauti imesikika mjini Rama , kilio na maombolezo mengi .
(trg)="b.MAT.2.18.2"> Raheli anawalilia watoto wake , wala hataki kutulizwa , maana wote wamefariki . "
(src)="b.MAT.2.19.1"> ויהי אחרי מות הורדוס והנה מלאך יהוה נראה בחלום אל יוסף בארץ מצרים ׃
(trg)="b.MAT.2.19.1"> Baada ya kifo cha Herode , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri ,
(src)="b.MAT.2.20.1"> ויאמר אליו קום קח את הילד ואת אמו ולך שוב אל ארץ ישראל כי מתו המבקשים את נפש הילד ׃
(trg)="b.MAT.2.20.1"> akamwambia , " Amka !
(trg)="b.MAT.2.20.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , urudi tena katika nchi ya Israeli , maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa . "
(src)="b.MAT.2.21.1"> ויקם ויקח את הילד ואת אמו ויבא ארצה ישראל ׃
(trg)="b.MAT.2.21.1"> Basi , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akarejea katika nchi ya Israeli .
(src)="b.MAT.2.22.1"> וכשמעו כי ארקלוס מלך ביהודה תחת הורדוס אביו ירא ללכת שמה ויצוה בחלום וילך לו אל ארצות הגליל ׃
(trg)="b.MAT.2.22.1"> Lakini Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake , aliogopa kwenda huko .
(trg)="b.MAT.2.22.2"> Naye baada ya kuonywa katika ndoto , alikwenda katika mkoa wa Galilaya ,
(src)="b.MAT.2.23.1"> ויבא וישב בעיר אשר שמה נצרת למלאת הדבר הנאמר על פי הנביאים כי נצרי יקרא לו ׃
(trg)="b.MAT.2.23.1"> akahamia katika mji uitwao Nazareti .
(trg)="b.MAT.2.23.2"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii : " Ataitwa Mnazare . "
(src)="b.MAT.3.1.1"> בימים ההם בא יוחנן המטביל ויהי קרא במדבר יהודה לאמר ׃
(trg)="b.MAT.3.1.1"> Siku hizo Yohane Mbatizaji alitokea , akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea :
(src)="b.MAT.3.2.1"> שובו כי מלכות השמים הגיעה ׃
(trg)="b.MAT.3.2.1"> " Tubuni , maana Ufalme wa mbinguni umekaribia . "
(src)="b.MAT.3.3.1"> הלא זה הוא אשר נבא עליו ישעיהו הנביא לאמר קול קורא במדבר פנו דרך יהוה ישרו מסלותיו ׃
(trg)="b.MAT.3.3.1"> Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema : " Sauti ya mtu imesikika jangwani : Mtayarishieni Bwana njia yake , nyoosheni vijia vyake . "
(src)="b.MAT.3.4.1"> והוא יוחנן לבושו שער גמלים ואזור עור במתניו ומאכלו חגבים ודבש היער ׃
(trg)="b.MAT.3.4.1"> Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya ya ngamia , na ukanda wa ngozi kiunoni mwake .
(trg)="b.MAT.3.4.2"> Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni .
(src)="b.MAT.3.5.1"> ויצאו אליו ישבי ירושלים וכל יהודה וכל ככר הירדן ׃
(trg)="b.MAT.3.5.1"> Basi , watu kutoka Yerusalemu , kutoka mkoa wote wa Yudea na sehemu zote za kandokando ya mto Yordani , walimwendea ,
(src)="b.MAT.3.6.1"> ויטבלו על ידו בירדן מתודים את חטאתם ׃
(trg)="b.MAT.3.6.1"> wakaziungama dhambi zao , naye akawabatiza katika mto Yordani .
(src)="b.MAT.3.7.1"> ויהי כראותו רבים מן הפרושים והצדוקים נגשים לטבילתו ויאמר להם ילדי הצפעונים מי השכיל אתכם להמלט מן הקצף הבא ׃
(trg)="b.MAT.3.7.1"> Lakini alipowaona Mafarisayo wengi na Masadukayo wanamjia ili awabatize , aliwaambia , " Enyi kizazi cha nyoka !
(trg)="b.MAT.3.7.2"> Ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja ?
(src)="b.MAT.3.8.1"> לכן עשו פרי הראוי לתשובה ׃
(trg)="b.MAT.3.8.1"> Onyesheni basi kwa matendo , kwamba mmetubu kweli .
(src)="b.MAT.3.9.1"> ואל תחשבו בלבבכם לאמר אברהם הוא אבינו כי אני אמר לכם כי מן האבנים האלה יכול האלהים להקים בנים לאברהם ׃
(trg)="b.MAT.3.9.1"> Msidhani kwamba mtaweza kujitetea kwa kusema , Baba yetu ni Abrahamu !
(trg)="b.MAT.3.9.2"> Nawaambieni hakika , Mungu anaweza kuyafanya mawe haya yawe watoto wa Abrahamu .
(src)="b.MAT.3.10.1"> וכבר הושם הגרזן על שרש העצים והנה כל עץ אשר איננו עשה פרי טוב יגדע וישלך באש ׃
(trg)="b.MAT.3.10.1"> Basi , shoka liko tayari kuikata mizizi ya miti ; hivyo , kila mti usiozaa matunda mazuri , utakatwa na kutupwa motoni .
(src)="b.MAT.3.11.1"> הן אנכי טובל אתכם במים לתשובה והבא אחרי חזק הוא ממני אשר אינני כדי לשאת נעליו והוא יטבל אתכם ברוח הקדש ובאש ׃
(trg)="b.MAT.3.11.1"> Mimi ninawabatizeni kwa maji kuonyesha kwamba mmetubu .
(trg)="b.MAT.3.11.2"> Lakini yule anayekuja baada yangu ana uwezo kuliko mimi .
(trg)="b.MAT.3.11.3"> Mimi sistahili hata kubeba viatu vyake .
(trg)="b.MAT.3.11.4"> Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto .
(src)="b.MAT.3.12.1"> אשר בידו המזרה וזרה את גרנו ואסף את דגנו אל אוצרו ואת המץ ישרפנו באש אשר לא תכבה ׃
(trg)="b.MAT.3.12.1"> Yeye anashika mkononi chombo cha kupuria nafaka , ili aipure nafaka yake ; akusanye ngano ghalani , na makapi ayachome kwa moto usiozimika . "
(src)="b.MAT.3.13.1"> ויבא ישוע מן הגליל הירדנה אל יוחנן להטבל על ידו ׃
(trg)="b.MAT.3.13.1"> Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani , akamwendea Yohane ili abatizwe naye .
(src)="b.MAT.3.14.1"> ויוחנן חשך אותו לאמר אני צריך להטבל על ידך ואתה בא אלי ׃
(trg)="b.MAT.3.14.1"> Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema , " Je , wewe unakuja kwangu ?
(trg)="b.MAT.3.14.2"> Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe . "
(src)="b.MAT.3.15.1"> ויען ישוע ויאמר אליו הניחה לי כי כן נאוה לנו למלא כל הצדקה וינח לו ׃
(trg)="b.MAT.3.15.1"> Lakini Yesu akamjibu , " Acha tu iwe hivyo kwa sasa , maana kwa namna hii inafaa tuyatekeleze yale yote Mungu anayotaka . "
(trg)="b.MAT.3.15.2"> Hapo Yohane akakubali .
(src)="b.MAT.3.16.1"> ויהי כאשר נטבל ישוע וימהר לעלות מן המים והנה נפתחו לו השמים וירא את רוח אלהים יורדת כיונה ונחה עליו ׃
(trg)="b.MAT.3.16.1"> Mara tu Yesu alipokwisha batizwa , alitoka majini ; na ghafla mbingu zikafunguka , akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kutua juu yake .
(src)="b.MAT.3.17.1"> והנה קול מן השמים אומר זה בני ידידי אשר רצתה נפשי בו ׃
(trg)="b.MAT.3.17.1"> Sauti kutoka mbinguni ikasema , " Huyu ndiye Mwanangu mpendwa , nimependezwa naye . "
(src)="b.MAT.4.1.1"> אז נשא הרוח את ישוע המדברה למען ינסהו השטן ׃
(trg)="b.MAT.4.1.1"> Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi .
(src)="b.MAT.4.2.1"> ויהי אחרי צומו ארבעים יום וארבעים לילה וירעב ׃
(trg)="b.MAT.4.2.1"> Akafunga siku arubaini mchana na usiku , na mwishowe akaona njaa .
(src)="b.MAT.4.3.1"> ויגש אליו המנסה ויאמר אם בן האלהים אתה אמר לאבנים האלה ותהיין ללחם ׃
(trg)="b.MAT.4.3.1"> Basi , mshawishi akamjia , akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , amuru mawe haya yawe mikate . "
(src)="b.MAT.4.4.1"> ויען ויאמר הן כתוב לא על הלחם לבדו יחיה האדם כי על כל מוצא פי יי ׃
(trg)="b.MAT.4.4.1"> Yesu akamjibu , " Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu : Binadamu hataishi kwa mikate tu , ila kwa kila neno asemalo Mungu . "
(src)="b.MAT.4.5.1"> וישאהו השטן אל עיר הקדש ויעמידהו על פנת בית המקדש ׃
(trg)="b.MAT.4.5.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu , mji mtakatifu , akamweka juu ya mnara wa hekalu ,
(src)="b.MAT.4.6.1"> ויאמר אליו אם בן האלהים אתה התנפל למטה כי כתוב כי מלאכיו יצוה לך ועל כפים ישאונך פן תגף באבן רגלך ׃
(trg)="b.MAT.4.6.1"> akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , jitupe chini ; maana imeandikwa : Mungu atawaamuru malaika wake kwa ajili yako ; watakuchukua mikononi mwao , usije ukajikwaa kwenye jiwe . "
(src)="b.MAT.4.7.1"> ויאמר אליו ישוע ועוד כתוב לא תנסה את יהוה אלהיך ׃
(trg)="b.MAT.4.7.1"> Yesu akamwambia , " Imeandikwa pia : Usimjaribu Bwana , Mungu wako . "
(src)="b.MAT.4.8.1"> ויוסף השטן וישאהו אל הר גבה מאד ויראהו את כל ממלכות תבל וכבודן ׃
(trg)="b.MAT.4.8.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu , akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake ,
(src)="b.MAT.4.9.1"> ויאמר אליו את כל זאת לך אתננה אם תקד ותשתחוה לי ׃
(trg)="b.MAT.4.9.1"> akamwambia , " Hivi vyote nitakupa kama tu ukipiga magoti na kuniabudu . "
(src)="b.MAT.4.10.1"> ויאמר אליו ישוע סור ממני השטן כי כתוב ליהוה אלהיך תשתחוה ואותו לבדו תעבד ׃
(trg)="b.MAT.4.10.1"> Hapo , Yesu akamwambia , " Nenda zako Shetani !
(trg)="b.MAT.4.10.2"> Imeandikwa : Utamwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake . "
(src)="b.MAT.4.11.1"> וירף ממנו השטן והנה נגשו אליו מלאכים וישרתוהו ׃
(trg)="b.MAT.4.11.1"> Basi , Ibilisi akamwacha , na malaika wakaja , wakamhudumia .
(src)="b.MAT.4.12.1"> ויהי כשמעו כי הסגירו את יוחנן וילך לו ארץ הגליל ׃
(trg)="b.MAT.4.12.1"> Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya .
(src)="b.MAT.4.13.1"> ויעזב את נצרת ויבא וישב בכפר נחום אשר על שפת הים בגבול זבלון ונפתלי ׃
(trg)="b.MAT.4.13.1"> Aliondoka Nazareti , akaenda Kafarnaumu , mji ulio kando ya bahari ya Genesareti , mpakani mwa wilaya za Zabuloni na Naftali , akakaa huko .
(src)="b.MAT.4.14.1"> למלאת הנאמר על פי ישעיהו הנביא לאמר ׃
(trg)="b.MAT.4.14.1"> Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya :
(src)="b.MAT.4.15.1"> ארצה זבלון וארצה נפתלי דרך הים עבר הירדן גליל הגוים ׃
(trg)="b.MAT.4.15.1"> " Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali , kuelekea baharini ng ' ambo ya mto Yordani , Galilaya nchi ya watu wa Mataifa !
(src)="b.MAT.4.16.1"> העם ההלכים בחשך ראו אור גדול וישבי בארץ צלמות אור נגה עליהם ׃
(trg)="b.MAT.4.16.1"> Watu waliokaa gizani wameona mwanga mkubwa .
(trg)="b.MAT.4.16.2"> Nao walioishi katika nchi ya giza na kivuli cha kifo , mwanga umewaangazia ! "
(src)="b.MAT.4.17.1"> מן העת ההיא החל ישוע לקרא קרוא ואמור שובו כי הגיעה מלכות השמים ׃
(trg)="b.MAT.4.17.1"> Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema , " Tubuni , maana ufalme wa mbinguni umekaribia ! "
(src)="b.MAT.4.18.1"> ויהי בהתהלכו על יד ים הגליל וירא שני אנשים אחים את שמעון הנקרא פטרוס ואת אנדרי אחיו והמה משליכים מצודה בים כי דיגים היו ׃
(trg)="b.MAT.4.18.1"> Yesu alipokuwa anatembea kando ya ziwa Galilaya , aliwaona ndugu wawili wavuvi ; Simoni ( aitwae Petro ) na Andrea , ndugu yake ; walikuwa wakivua samaki kwa nyavu ziwani .
(src)="b.MAT.4.19.1"> ויאמר אליהם לכו אחרי ואשימכם לדיגי אנשים ׃
(trg)="b.MAT.4.19.1"> Basi , akawaambia , " Nifuateni , nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu . "
(src)="b.MAT.4.20.1"> ויעזבו מהרה את המכמרות וילכו אחריו ׃
(trg)="b.MAT.4.20.1"> Mara wakaziacha nyavu zao , wakamfuata .
(src)="b.MAT.4.21.1"> ויהי כעברו משם וירא שני אנשים אחים אחרים את יעקב בן זבדי ואת יוחנן אחיו באניה עם זבדי אביהם מתקנים את מכמרותם ויקרא אליהם ׃
(trg)="b.MAT.4.21.1"> Alipokwenda mbele kidogo , aliwaona ndugu wengine wawili : Yakobo na Yohane , wana wa Zebedayo .
(trg)="b.MAT.4.21.2"> Hao walikuwa ndani ya mashua pamoja na baba yao Zebedayo , wakitengeneza nyavu zao .
(trg)="b.MAT.4.21.3"> Basi Yesu akawaita ,
(src)="b.MAT.4.22.1"> ויעזבו מיד את האניה ואת אביהם וילכו אחריו ׃
(trg)="b.MAT.4.22.1"> nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao , wakamfuata .
(src)="b.MAT.4.23.1"> ויסב ישוע בכל הגליל וילמד בבתי כנסיותיהם ויבשר בשורת המלכות וירפא כל מחלה וכל מדוה בעם ׃
(trg)="b.MAT.4.23.1"> Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani Galilaya , akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme wa Mungu .
(trg)="b.MAT.4.23.2"> Aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu .
(src)="b.MAT.4.24.1"> ויצא שמעו בכל ארץ סוריא ויביאו אליו את כל החולים המענים בכל חלים ומכאובים ואחוזי שדים ומכי ירח ונכי אברים וירפאם ׃
(trg)="b.MAT.4.24.1"> Habari zake zikaenea katika mkoa wote wa Siria .
(trg)="b.MAT.4.24.2"> Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu : waliopagawa na pepo , wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa , walipelekwa kwake ; naye akawaponya wote .
(src)="b.MAT.4.25.1"> וילכו אחריו המנים המנים מן הגליל ומן עשר הערים ומירושלים ויהודה ומעבר לירדן ׃
(trg)="b.MAT.4.25.1"> Makundi mengi ya watu kutoka Galilaya , Dekapoli , Yerusalemu , Yudea na ng ' ambo ya mto Yordani , walimfuata .
(src)="b.MAT.5.1.1"> ויהי כראותו את המון העם ויעל ההרה וישב שם ויגשו אליו תלמידיו ׃
(trg)="b.MAT.5.1.1"> Yesu alipoyaona makundi ya watu , alipanda mlimani , akaketi .
(trg)="b.MAT.5.1.2"> Wanafunzi wake wakamwendea ,
(src)="b.MAT.5.2.1"> ויפתח את פיהו וילמד אותם לאמר ׃
(trg)="b.MAT.5.2.1"> naye akaanza kuwafundisha :
(src)="b.MAT.5.3.1"> אשרי עניי רוח כי להם מלכות השמים ׃
(trg)="b.MAT.5.3.1"> " Heri walio maskini rohoni , maana ufalme wa mbinguni ni wao .
(src)="b.MAT.5.4.1"> אשרי האבלים כי הם ינחמו ׃
(trg)="b.MAT.5.4.1"> Heri walio na huzuni , maana watafarijiwa .
(src)="b.MAT.5.5.1"> אשרי הענוים כי המה יירשו הארץ ׃
(trg)="b.MAT.5.5.1"> Heri walio wapole , maana watairithi nchi .
(src)="b.MAT.5.6.1"> אשרי הרעבים והצמאים לצדקה כי הם ישבעו ׃
(trg)="b.MAT.5.6.1"> Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu , maana watashibishwa .
(src)="b.MAT.5.7.1"> אשרי הרחמנים כי הם ירחמו ׃
(trg)="b.MAT.5.7.1"> Heri walio na huruma , maana watahurumiwa .
(src)="b.MAT.5.8.1"> אשרי ברי לבב כי הם יחזו את האלהים ׃
(trg)="b.MAT.5.8.1"> Heri wenye moyo safi , maana watamwona Mungu .
(src)="b.MAT.5.9.1"> אשרי רדפי שלום כי בני אלהים יקראו ׃
(trg)="b.MAT.5.9.1"> Heri wenye kuleta amani , maana wataitwa watoto wa Mungu .
(src)="b.MAT.5.10.1"> אשרי הנרדפים על דבר הצדקה כי להם מלכות השמים ׃
(trg)="b.MAT.5.10.1"> Heri wanaoteswa kwa sababu ya kufanya atakavyo Mungu , maana ufalme wa mbinguni ni wao .