# gd/Gaelic-PART.xml.gz
# ss/Swahili-NT.xml.gz


(src)="b.MAR.1.1.1"> T oiseachd soisgeul Iosa Criosda , Mac Dhe
(trg)="b.MAR.1.1.1"> Habari Njema ya Yesu Kristo , Mwana wa Mungu .

(src)="b.MAR.1.2.1"> Air reir `s mar tha e sgriobhte san fhaidh Isaias: seall, cuiridh mi m` aingeal roimh do ghnuis, a reiticheas do shlighe romhad
(trg)="b.MAR.1.2.1"> Ilianza kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya : " Tazama , namtuma mjumbe wangu akutangulie ; yeye atakutayarishia njia yako .

(src)="b.MAR.1.3.1"> Guth neach ag eigheach san fhasach : Reitichibh slighe an Tighearna , agus dianaibh a rathadain direach
(trg)="b.MAR.1.3.1"> Sauti ya mtu imesikika jangwani : Mtayarishieni Bwana njia yake , nyoosheni mapito yake . "

(src)="b.MAR.1.4.1"> Bha Eoin anns an fhasach a baisteadh , `sa searmonachadh baisteadh an aithreachais gu mathanas pheacannan
(trg)="b.MAR.1.4.1"> Yohane Mbatizaji alitokea jangwani , akahubiri kwamba ni lazima watu watubu na kubatizwa ili Mungu awasamehe dhambi zao .

(src)="b.MAR.1.5.1"> Agus chaidh duthaich Iudea uile mach ga ionnsuidh , agus muinntir Ierusalem gu leir , is bhaisteadh iad leis ann an abhuinn Iordain ag aideachadh am peacannan
(trg)="b.MAR.1.5.1"> Watu kutoka sehemu zote za Yudea na wenyeji wote wa Yerusalemu walimwendea , wakaziungama dhambi zao , naye akawabatiza katika mto Yordani .

(src)="b.MAR.1.6.1"> Agus bha Eoin air eideadh le fionnadh chamhal , is crios leathair mu mheadhon ; agus dh` ith e locuist is mil fhiadhaich.
(src)="b.MAR.1.6.2"> Agus shearmonaich e ag radh
(trg)="b.MAR.1.6.1"> Yohane alikuwa amevaa vazi lililofumwa kwa manyoya ya ngamia , na mkanda wa ngozi kiunoni mwake .
(trg)="b.MAR.1.6.2"> Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni .

(src)="b.MAR.1.7.1"> Tha fear nas cumhachdaiche na mise tighinn as mo dheigh : neach nach airidh mise air cromadh sios is barail a bhrogan fhuasgladh
(trg)="b.MAR.1.7.1"> Naye alihubiri akisema , " Baada yangu anakuja mwenye uwezo zaidi kuliko mimi , ambaye mimi sistahili hata kuinama na kufungua kamba za viatu vyake .

(src)="b.MAR.1.8.1"> Bhaist mise sibh le uisge ; ach baistidh esan sibh leis an Spiorad Naomh
(trg)="b.MAR.1.8.1"> Mimi ninawabatiza kwa maji , lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu . "

(src)="b.MAR.1.9.1"> Is thachair , gun tainig Iosa anns na laithean sin bho Nasareth Ghalile ; agus bhaisteadh e le Eoin ann an abhuinn Iordan
(trg)="b.MAR.1.9.1"> Siku hizo , Yesu alifika kutoka Nazareti , mji wa Galilaya , akabatizwa na Yohane katika mto Yordani .

(src)="b.MAR.1.10.1">`S air ball a direadh as an uisge, chunnaic e neamh fosgailte, `s an Spiorad mar chalman a tearnadh `sa fantuinn air
(trg)="b.MAR.1.10.1"> Mara tu alipotoka majini , aliona mbingu zimefunguliwa , na Roho akishuka juu yake kama njiwa .

(src)="b.MAR.1.11.1"> Agus thainig guth bho neamh : Is tusa mo Mhac gaolach , is mor mo thlachd dhiot
(trg)="b.MAR.1.11.1"> Sauti ikasikika kutoka mbinguni : " Wewe ni Mwanangu mpendwa , nimependezwa nawe . "

(src)="b.MAR.1.12.1"> Agus ghrad-ghreas an Spiorad e dhan fhasach
(trg)="b.MAR.1.12.1"> Mara akaongozwa na Roho kwenda jangwani ,

(src)="b.MAR.1.13.1"> Agus bha e san fhasach da-fhichead latha , agus da-fhichead oidhche ; is bhuaireadh le Satan e ; `s bha e comhla ris na h-ainmhidhean, agus bha na h-ainglean a frithealadh dha
(trg)="b.MAR.1.13.1"> akakaa huko siku arubaini akijaribiwa na Shetani .
(trg)="b.MAR.1.13.2"> Alikuwa huko pamoja na wanyama wa porini , nao malaika wakawa wanamtumikia .

(src)="b.MAR.1.14.1">`S an deigh do dh` Eoin a bhith air a chuir an greim, thainig Iosa do Ghalile, a searmonachadh soisgeul rioghachd Dhe
(trg)="b.MAR.1.14.1"> Yohane alipokwisha fungwa gerezani , Yesu alikwenda Galilaya , akahubiri Habari Njema ya Mungu , akisema ,

(src)="b.MAR.1.15.1">`S ag radh: Tha `n t-am air a choimhlionadh, `s tha rioghachd Dhe aig laimh; deanaibh aithreachas, agus creidibh san t-soisgeul
(trg)="b.MAR.1.15.1"> " Wakati umetimia , na Ufalme wa Mungu umekaribia .
(trg)="b.MAR.1.15.2"> Tubuni na kuiamini Habari Njema ! "

(src)="b.MAR.1.16.1">`Sa gabhail ri taobh muir Ghalile, chunnaic e Simon,agus Anndra a bhrathair, a cur lion sa mhuir (oir b` iasgairean iad.)
(trg)="b.MAR.1.16.1"> Alipokuwa anapita kando ya ziwa Galilaya , aliwaona wavuvi wawili : Simoni na Andrea ndugu yake wakivua samaki kwa wavu .

(src)="b.MAR.1.17.1"> Agus thuirt Iosa riutha : Thigibh leanaibh mise , agus ni mi iasgairean dhaoine dhibh
(trg)="b.MAR.1.17.1"> Yesu akawaambia , " Nifuateni nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu . "

(src)="b.MAR.1.18.1"> Agus ghrad dh` fhag iad na lin, is lean iad e
(trg)="b.MAR.1.18.1"> Mara wakaziacha nyavu zao , wakamfuata .

(src)="b.MAR.1.19.1">`Sa gabhail as a sin ceum beag air adhart, chunnaic e Seumas mac Shebede agus Eoin a bhrathair, `s iad a caradh nan lion sa bhata
(trg)="b.MAR.1.19.1"> Alipokwenda mbele kidogo , aliwaona Yakobo na Yohane , wana wa Zebedayo .
(trg)="b.MAR.1.19.2"> Nao pia walikuwa ndani ya mashua yao wakizitengeneza nyavu zao .

(src)="b.MAR.1.20.1"> Agus ghairm e iad san uair . `Sa fagail an athar Sebede maille ris an luchd thuarasdail sa bhata, lean iad e
(trg)="b.MAR.1.20.1"> Yesu akawaita mara , nao wakamwacha baba yao Zebedayo katika mashua pamoja na wafanyakazi , wakamfuata .

(src)="b.MAR.1.21.1"> Agus chaidh iad a stigh do Chapharnaum ; agus air dha a dhol a stigh gun dail air na laithean sabaid dhan t-sinagog , theagaisg e iad
(trg)="b.MAR.1.21.1"> Wakafika mjini Kafarnaumu , na mara ilipofika Sabato , Yesu akaingia katika Sunagogi , akaanza kufundisha .

(src)="b.MAR.1.22.1"> Agus ghabh iad ioghnadh ri theagasg : oir bha e gan teagasg mar neach aig an robh cumhachd , `s chan ann mar na Sgriobhaich
(trg)="b.MAR.1.22.1"> Watu wote waliomsikia walishangazwa na mafundisho yake , maana hakuwa anafundisha kama walimu wao wa Sheria , bali kama mtu mwenye mamlaka .

(src)="b.MAR.1.23.1"> Agus bha san t-sinagag aca duine anns an robh spiorad neoghlan , is dh` eigh
(trg)="b.MAR.1.23.1"> Mara akatokea mle ndani ya sunagogi mtu mmoja mwenye pepo mchafu ,

(src)="b.MAR.1.24.1"> Ag radh : Ciod an comunn eadar sinn agus thusa , Iosa bho Nasareth ?
(src)="b.MAR.1.24.2"> An tainig thu gus ar sgrios ?
(src)="b.MAR.1.24.3"> Is aithne dhomh co thu , Aon Naomh Dhe
(trg)="b.MAR.1.24.1"> akapaaza sauti , " Una nini nasi , wewe Yesu wa Nazareti ?
(trg)="b.MAR.1.24.2"> Je , umekuja kutuangamiza ?
(trg)="b.MAR.1.24.3"> Najua wewe ni nani : wewe ni Mtakatifu wa Mungu ! "

(src)="b.MAR.1.25.1"> Is mhaoith Iosa air , ag radh : Bi samhach , agus gabh a-mach as an duine
(trg)="b.MAR.1.25.1"> Yesu akamkemea , " Nyamaza !
(trg)="b.MAR.1.25.2"> Mtoke mtu huyu . "

(src)="b.MAR.1.26.1">`S an spiorad neoghlan ga reubadh, `s ag eigheach le guth ard, chaidh e mach as
(trg)="b.MAR.1.26.1"> Basi , huyo pepo mchafu akamtikisatikisa mtu huyo , kisha akalia kwa sauti kubwa , akamtoka .

(src)="b.MAR.1.27.1"> Agus ghabh iad uile ioghnadh , ionnus gun d` fharraid iad `nam measg fhein, ag radh: De tha so?
(src)="b.MAR.1.27.2"> De an teagasg ur so ? oir tha e toirt orduigh le cumhachd do na spioraid neoghlan fhein , agus tha iad umhail dha
(trg)="b.MAR.1.27.1"> Watu wote wakashangaa , wakaulizana , " Ni mambo gani haya ?
(trg)="b.MAR.1.27.2"> Je , ni mafundisho mapya ?
(trg)="b.MAR.1.27.3"> Mtu huyu anayo mamlaka ya kuamuru hata pepo wachafu , nao wanamtii ! "

(src)="b.MAR.1.28.1">`Agus sgaoil iomradh air gun dail feadh duthaich Ghalile uile
(trg)="b.MAR.1.28.1"> Habari za Yesu zikaenea upesi kila mahali katika wilaya ya Galilaya .

(src)="b.MAR.1.29.1">`Sa dol a mach air ball as an t-sinagog, thainig iad maille ri Seumas is Eoin gu tigh Shimoin is Anndra
(trg)="b.MAR.1.29.1"> Wakatoka katika sunagogi , wakaenda moja kwa moja hadi nyumbani kwa Simoni na Andrea ; Yakobo na Yohane walikwenda pamoja nao .

(src)="b.MAR.1.30.1"> Agus bha mathair-cheile Shimoin `na laidhe ann am fiabhras; agus dh `innis iad dha gun dail mu deidhinn
(trg)="b.MAR.1.30.1"> Basi , mama mmoja , mkwewe Simoni , alikuwa kitandani ana homa kali .
(trg)="b.MAR.1.30.2"> Wakamwarifu Yesu mara alipowasili .

(src)="b.MAR.1.31.1"> Agus thainig e , `sa breith air laimh oirre thog e i is ghrad-dh` fhag am fiabhras i, agus fhreasdail i dhaibh
(trg)="b.MAR.1.31.1"> Yesu akamwendea huyo mama , akamshika mkono , akamwinua .
(trg)="b.MAR.1.31.2"> Na ile homa ikamwacha , akaanza kuwatumikia .

(src)="b.MAR.1.32.1">`S nuair thainig am feasgar, `sa chaidh a ghrian fodha, thug iad ga ionnsuidh iadsan uile a bha easlainteach, agus anns an robh deomhain
(trg)="b.MAR.1.32.1"> Jioni , jua lilipokwisha tua , wakamletea Yesu wagonjwa wote na watu waliopagawa na pepo .

(src)="b.MAR.1.33.1">`S bha am baile uile air cruinneachadh aig an dorus
(trg)="b.MAR.1.33.1"> Watu wote wa mji ule wakakusanyika nje ya mlango .

(src)="b.MAR.1.34.1"> Agus leighis e moran , a bha air an leireadh le iomadh gne ghalar , agus thilg e mach moran dheomhan , `s cha do leig e leo labhairt, a chionn `s gum b` aithne dhaibh e
(trg)="b.MAR.1.34.1"> Naye Yesu akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa mbalimbali ; aliwafukuza pepo wengi , lakini hakuwaruhusu kusema kitu maana walikuwa wanamjua yeye ni nani .

(src)="b.MAR.1.35.1">`S ag eirigh ro-mhoch, `sa dol a mach, chaidh e gu aite fas; is rinn e urnaigh an sin
(trg)="b.MAR.1.35.1"> Kesho yake , kabla ya mapambazuko , Yesu alitoka , akaenda mahali pa faragha kusali .

(src)="b.MAR.1.36.1"> Agus lean Simon e , agus iadsan a bha comhla ris
(trg)="b.MAR.1.36.1"> Simoni na wenzake wakaenda kumtafuta .

(src)="b.MAR.1.37.1">`S nuair a fhuair iad e, thuirt iad ris: Tha iad uile gad shireadh
(trg)="b.MAR.1.37.1"> Walipomwona wakamwambia , " Kila mtu anakutafuta . "

(src)="b.MAR.1.38.1"> Is thuirt e riutha : rachamaid dha na bailtean sa choimhearsnachd , gus an searmonaich mi an sin cuideachd : `s gur ann air son so a thainig mi
(trg)="b.MAR.1.38.1"> Yesu akawaambia , " Twendeni katika miji mingine ya jirani nikahubiri huko pia , maana nimekuja kwa sababu hiyo . "

(src)="b.MAR.1.39.1">`S bha e teagasg `nan sinagogan, `s feadh Ghalile uile, `sa tilgeadh a-mach dheomhan
(trg)="b.MAR.1.39.1"> Basi , akaenda kila mahali Galilaya akihubiri katika masunagogi na kufukuza pepo .

(src)="b.MAR.1.40.1"> Agus thainig lobhar ga ionnsuidh , a guidhe air ; `sa tuiteam air a ghluinean,thuirt e ris: Ma `s aill leat, is urrainn dhut mo ghlanadh
(trg)="b.MAR.1.40.1"> Mtu mmoja mwenye ukoma alimwendea Yesu , akapiga magoti , akamwomba , " Ukitaka , waweza kunitakasa ! "

(src)="b.MAR.1.41.1">`Sa gabhail truais ris, shin Iosa a lamh, `sa beantuinn dha, thuirt e ris : Is aill leam: bi glan
(trg)="b.MAR.1.41.1"> Yesu akamwonea huruma , akanyosha mkono wake , akamgusa na kumwambia , " Nataka , takasika ! "

(src)="b.MAR.1.42.1">`S nuair thuirt e so, ghrad-dh` fhag an luibhre e, agus bha e air a ghlanadh
(trg)="b.MAR.1.42.1"> Mara ukoma ukamwacha mtu huyo , akatakasika .

(src)="b.MAR.1.43.1">`S thug e sparradh cruaidh dha, agus leig e air falbh e gun dail
(trg)="b.MAR.1.43.1"> Kisha Yesu akamwambia aende zake upesi na kumwonya vikali ,

(src)="b.MAR.1.44.1">`S thuirt e ris: Fiach nach innis thu do neach sam bith : ach falbh, fiach thu fhein don ard-shagart, agus tairg air son do ghlanaidh na nithean a dh` orduich Maois, mar theisteanas dhaibh
(trg)="b.MAR.1.44.1"> " Usimwambie mtu yeyote jambo hili , ila nenda ukajionyeshe kwa kuhani ; kisha utoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama alivyoamuru Mose , iwe uthibitisho kwao kwamba umepona . "

(src)="b.MAR.1.45.1"> Ach air dhasan a dhol a mach , thoisich e ri innse , `s ri sgaoileadh an sgeoil; air chor `s nach b` urrainn dha a nis a dhol a stigh don bhaile gu follaiseach, ach dh` fhuirich e a mach ann an aiteachan fas, agus chrunnaich iad as gach aite ga ionnsuidh
(trg)="b.MAR.1.45.1"> Lakini huyo mtu akaenda , akaanza kueneza habari hiyo kila mahali na kusema mambo mengi hata Yesu hakuweza tena kuingia katika mji wowote waziwazi ; ikamlazimu kukaa nje , mahali pa faragha .
(trg)="b.MAR.1.45.2"> Hata hivyo , watu wakamwendea kutoka kila upande .

(src)="b.MAR.2.1.1"> Agus thill e gu Capharnaum an ceann beagan laithean , agus chualas gun robh e aig an tigh
(trg)="b.MAR.2.1.1"> Baada ya siku kadhaa , Yesu alirudi Kafarnaumu , watu wakapata habari kwamba alikuwa nyumbani .

(src)="b.MAR.2.2.1"> Agus chruinnich na h-uimhir , `s nach robh aite aca eadhon timcheall an dorais, is labhair e am facal riutha
(trg)="b.MAR.2.2.1"> Basi , wakaja watu wengi sana hata nafasi yoyote ikakosekana mlangoni .
(trg)="b.MAR.2.2.2"> Yesu alikuwa akiwahubiria ujumbe wake ,

(src)="b.MAR.2.3.1"> Agus thainig iad ga ionnsuidh a toirt leo duine , air an robh am pairilis , air a ghiulan le ceathrar
(trg)="b.MAR.2.3.1"> wakati mtu mmoja aliyepooza alipoletwa kwake akiwa amechukuliwa na watu wanne .

(src)="b.MAR.2.4.1">`Sa chionns nach b` urrainn dhaibh a chur `na lathair le domhlachd an t-sluaigh, ruisg iad mullach an tighe far an robh e; `S air dhaibh fosgladh a dhianamh, leig iad sios an leaba air an robh fear na crithe `na laidhe
(trg)="b.MAR.2.4.1"> Kwa sababu ya huo umati wa watu , hawakuweza kumpeleka karibu na Yesu .
(trg)="b.MAR.2.4.2"> Basi , wakatoboa sehemu ya dari iliyokuwa juu ya mahali alipokuwa Yesu .
(trg)="b.MAR.2.4.3"> Walipokwisha pata nafasi , wakamteremsha huyo mtu akiwa amelala juu ya mkeka .

(src)="b.MAR.2.5.1">`S nuair chunnaic Iosa an creideamh, thuirt e ri fear na crithe: A mhic, tha do pheacannan mathte dhut
(trg)="b.MAR.2.5.1"> Yesu alipoona imani yao , akamwambia huyo mtu aliyepooza , " Mwanangu , umesamehewa dhambi zako . "

(src)="b.MAR.2.6.1"> Ach bha cuid de na Sgriobhaich `nan suidhe an sin, `sa smaoineachadh `nan cridheachan
(trg)="b.MAR.2.6.1"> Baadhi ya walimu wa Sheria waliokuwa wameketi hapo wakawaza mioyoni mwao ,

(src)="b.MAR.2.7.1"> Carson a tha e a bruidhinn mar so ? tha e labhairt blaisbheum .
(src)="b.MAR.2.7.2"> Co is urrainn peacannan a mhathadh , ach Dia `na aonar
(trg)="b.MAR.2.7.1"> " Anathubutuje kusema hivyo ?
(trg)="b.MAR.2.7.2"> Anamkufuru Mungu !
(trg)="b.MAR.2.7.3"> Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake . "

(src)="b.MAR.2.8.1"> Dh` aithnich Iosa san uair `na spiorad fhein gun robh iad a smaoineachadh so aca fhein, is thuirt e riutha : Carson tha sibh a smaoineachadh nan nithean sin `nur cridheachan
(trg)="b.MAR.2.8.1"> Yesu alitambua mara mawazo yao , akawaambia , " Mbona mnawaza hivyo mioyoni mwenu ?

(src)="b.MAR.2.9.1"> Co dhiu is fhasa radh ri fear na crithe : Tha do pheacannan mathte dhut ; no radh : Eirich , tog do leaba , agus coisich
(trg)="b.MAR.2.9.1"> Ni lipi lililo rahisi zaidi : kumwambia mtu huyu aliyepooza , Umesamehewa dhambi zako , au kumwambia , Inuka !
(trg)="b.MAR.2.9.2"> Chukua mkeka wako utembee ?

(src)="b.MAR.2.10.1"> Ach los fios a bhith agaibh gu bheil comas aig Mac an duine peacannan a mhathadh air talamh ( thuirt e ri fear na crithe ,
(trg)="b.MAR.2.10.1"> Basi , nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anayo mamlaka ya kuwasamehe watu dhambi duniani . "
(trg)="b.MAR.2.10.2"> Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza ,

(src)="b.MAR.2.11.1"> Tha mi ag radh riut : Eirich , tog do leaba , agus falbh dhachaigh
(trg)="b.MAR.2.11.1"> " Nakwambia simama , chukua mkeka wako uende nyumbani ! "

(src)="b.MAR.2.12.1"> Agus ghrad-dh` eirich e: `sa togail a leaba, dh` fhalbh e `nam fianuis uile; air chors gun do ghabh iad ioghnadh air fad, `s thug iad gloir do Dhia, ag radh: Chan fhaca sinn riamh a leithid so
(trg)="b.MAR.2.12.1"> Mara , watu wote wakiwa wanamtazama , huyo mtu akainuka , akauchukua mkeka wake , akaenda zake .
(trg)="b.MAR.2.12.2"> Watu wote wakashangaa na kumtukuza Mungu wakisema , " Hatujapata kamwe kuona jambo kama hili . "

(src)="b.MAR.2.13.1"> Is chaidh e mach a-rithist gu taobh na mara ; agus thainig an sluagh uile ga ionnsuidh , is theagaisg e iad
(trg)="b.MAR.2.13.1"> Yesu alikwenda tena kando ya ziwa .
(trg)="b.MAR.2.13.2"> Umati wa watu ukamwendea , naye akaanza kuwafundisha .

(src)="b.MAR.2.14.1">`S nuair a bha e gabhail seachad, chunnaic e Lebhi Mac Alpheuis `na shuidhe an tigh na cise, is thuirt e ris: Lean mise. `S ag eirigh, lean e e
(trg)="b.MAR.2.14.1"> Alipokuwa akipita , akamwona Lawi mwana wa Alfayo , ameketi katika ofisi ya ushuru .
(trg)="b.MAR.2.14.2"> Yesu akamwambia , " Nifuate ! "
(trg)="b.MAR.2.14.3"> Lawi akasimama , akamfuata .

(src)="b.MAR.2.15.1"> Agus thachair , nuair a bha e `na shuidhe aig biadh `na thigh-san, gun do shuidh moran chismhaor is pheacach maille ri Iosa agus a dheisciopuil: oir bha moran ann, a lean e
(trg)="b.MAR.2.15.1"> Baadaye , Yesu alikuwa amekaa mezani , nyumbani kwa Lawi , kula chakula .
(trg)="b.MAR.2.15.2"> Watoza ushuru wengi na wenye dhambi walikuwa wamemfuata Yesu na wengi wao wakawa wamekaa mezani pamoja naye na wanafunzi wake .

(src)="b.MAR.2.16.1"> Agus na Sgriobhaich `s na Phairisich a faicinn gun robh e ag ithe comhla ri cismhaoir agus peacaich, thuirt iad ri dheisciopuil: Carson a tha ur maighistir ag ithe `s ag ol comhla ri cismhaoir agus peacaich
(trg)="b.MAR.2.16.1"> Basi , baadhi ya walimu wa Sheria ambao walikuwa Mafarisayo walipomwona Yesu akila pamoja na watu wenye dhambi na watoza ushuru , wakawauliza wanafunzi wake , " Kwa nini anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi ? "

(src)="b.MAR.2.17.1"> Air do Iosa so a chluinntinn , thuirt e riutha : Chan eil feum aig daoine slana air lighich , ach aig daoine tinne : oir cha tainig mi a ghairm nan naomh ach nam peacach
(trg)="b.MAR.2.17.1"> Yesu alipowasikia , akawaambia , " Watu wenye afya hawahitaji daktari ; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa .
(trg)="b.MAR.2.17.2"> Sikuja kuwaita watu wema , ila wenye dhambi . "

(src)="b.MAR.2.18.1"> Agus bha deisciopuil Eoin `s nam Phairiseach a trasgadh; agus thainig iad, is thuirt iad ris: Carson tha deisciopuil Eoin `s nan Phairiseach ri traisg, agus nach eil na deisciopuil agadsa ri traisg
(trg)="b.MAR.2.18.1"> Wakati mmoja wanafunzi wa Yohane na wanafunzi wa Mafarisayo walikuwa wanafunga .
(trg)="b.MAR.2.18.2"> Basi , watu wakaja , wakamwuliza Yesu , " Kwa nini wanafunzi wa Yohane na wa Mafarisayo wanafunga , lakini wanafunzi wako hawafungi ? "

(src)="b.MAR.2.19.1"> Is thuirt Iosa riutha : An urrainn clann na bainnse trasgadh , fhad sa bhitheas fear-na-bainnse comhla riutha ?
(src)="b.MAR.2.19.2"> Fhad sa bhitheas fear-na-bainnse comhla riutha , chan urrainn dhaibh trasgadh
(trg)="b.MAR.2.19.1"> Yesu akajibu , " Walioalikwa harusini wanawezaje kufunga kama bwana harusi yupo pamoja nao ?
(trg)="b.MAR.2.19.2"> Wakati wote wawapo pamoja na bwana harusi hawawezi kufunga .

(src)="b.MAR.2.20.1"> Ach thig na laithean anns an toirear bhuatha fear-na-bainnse : agus an sin ni iad traisg anns na laithean sin
(trg)="b.MAR.2.20.1"> Lakini wakati utafika ambapo bwana harusi ataondolewa kati yao ; wakati huo ndipo watakapofunga .

(src)="b.MAR.2.21.1"> Chan fhuaghail duine sam bith breid de dh` aodach ur air seann eideadh: air-neo bheir am breid ur a liad fhein as an t-seann aodach, is bithidh an stracadh nas mua
(trg)="b.MAR.2.21.1"> " Hakuna mtu anayekata kiraka kutoka katika nguo mpya na kukishonea katika nguo kuukuu .
(trg)="b.MAR.2.21.2"> Kama akifanya hivyo , hicho kiraka kipya kitararuka kutoka hilo vazi kuukuu , nalo litaharibika zaidi .

(src)="b.MAR.2.22.1"> Agus cha chuir duine sam bith fion ur ann an seann searragan : air-neo sgainidh am fion na searragan , is doirtear am fion , agus caillear na searragan : ach is coir fion ur a chur an searragan ura
(trg)="b.MAR.2.22.1"> Wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu .
(trg)="b.MAR.2.22.2"> Kama akifanya hivyo , divai itavipasua hivyo viriba , nayo divai pamoja na hivyo viriba vitaharibika .
(trg)="b.MAR.2.22.3"> Divai mpya hutiwa katika viriba vipya ! "

(src)="b.MAR.2.23.1"> Is thachair a rithist , nuair a bha an Tighearna triall tro achaidhean arbhair air an t-sabaid , gun do theann a dheisciopuil , `s iad a gabhail air adhart, ri spioladh dhias
(trg)="b.MAR.2.23.1"> Siku moja ya Sabato , Yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano .
(trg)="b.MAR.2.23.2"> Walipokuwa wanatembea , wanafunzi wake wakaanza kukwanyua masuke ya ngano .

(src)="b.MAR.2.24.1"> Is thuirt na Phairisich ris : Seall , carson tha iad a dianamh air latha na sabaid ni nach eil ceadaichte
(trg)="b.MAR.2.24.1"> Mafarisayo wakawaambia , " Tazama !
(trg)="b.MAR.2.24.2"> Kwa nini wanafanya jambo ambalo si halali kufanya wakati wa Sabato ? "

(src)="b.MAR.2.25.1"> Is thuirt e riutha : Nach do leugh sibh riamh , ciod a rinn Daibhidh , nuair a bha e feumach `s air acras, e fhein agus iadsan a bha cuideris
(trg)="b.MAR.2.25.1"> Yesu akawajibu , " Je , hamjapata kusoma juu ya kile alichofanya Daudi wakati alipohitaji chakula ?
(trg)="b.MAR.2.25.2"> Yeye pamoja na wenzake waliona njaa ,

(src)="b.MAR.2.26.1"> Mar a chaidh e stigh do thigh Dhe ri linn Abiathair an t-ard-shagart , agus dh` ith e an t-aran-tairgse, nach robh ceadaichte itheadh, ach do na sagairt, agus thug e dhaibhsan a bha comhla ris
(trg)="b.MAR.2.26.1"> naye akaingia ndani ya Nyumba ya Mungu , akala ile mikate iliyowekwa mbele ya Mungu .
(trg)="b.MAR.2.26.2"> Jambo hili lilifanyika wakati Abiathari alikuwa Kuhani Mkuu .
(trg)="b.MAR.2.26.3"> Na ni makuhani tu peke yao waliokuwa wameruhusiwa kula mikate hiyo .
(trg)="b.MAR.2.26.4"> Lakini Daudi aliila , tena akawapa na wenzake . "

(src)="b.MAR.2.27.1"> Is thuirt e riutha : Rinneadh an t-sabaid air son an duine , `s chan e an duine air son na sabaid
(trg)="b.MAR.2.27.1"> Basi , Yesu akawaambia , " Sabato iliwekwa kwa ajili ya binadamu na si binadamu kwa ajili ya Sabato !

(src)="b.MAR.2.28.1"> Mar sin se Mac an duine Tighearna na sabaid fhein
(trg)="b.MAR.2.28.1"> Kwa hiyo , Mwana wa Mtu ni Bwana hata wa Sabato . "

(src)="b.MAR.3.1.1"> Is chaidh e stigh a-rithist dhan t-sinagog , agus bha fear an sin aig an robh lamh sheargte
(trg)="b.MAR.3.1.1"> Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza .

(src)="b.MAR.3.2.1"> Agus bha suil aca air , fiach an dianadh e leigheas air latha sabaid ; los cuis dhitidh fhaighinn `na aghaidh
(trg)="b.MAR.3.2.1"> Humo baadhi ya watu walimngojea amponye mtu huyo siku ya sabato ili wapate kumshtaki .

(src)="b.MAR.3.3.1"> Agus thuirt e ris an duine aig an robh an lamh sheargte : Seas suas sa mhiadhon
(trg)="b.MAR.3.3.1"> Yesu akamwambia huyo mtu aliyekuwa na mkono uliopooza , " Njoo hapa katikati . "

(src)="b.MAR.3.4.1"> Is thuirt e riutha : A bheil e laghail math a dhianamh air na laithean sabaid , no olc ? beatha a thiarnadh , no cur as dhi ?
(src)="b.MAR.3.4.2"> Ach bha iadsan `nan tosd
(trg)="b.MAR.3.4.1"> Kisha , akawauliza , " Je , ni halali siku ya Sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya ; kuokoa maisha au kuua ? "
(trg)="b.MAR.3.4.2"> Lakini wao hawakusema neno .

(src)="b.MAR.3.5.1">`S ag amharc orra mun cuairt le feirg `s le duilichinn air son doille an cridhe, thuirt e ris an duine: Sin a mach do lamh.
(src)="b.MAR.3.5.2"> Agus shin e i : is rinneadh slan a lamh dha
(trg)="b.MAR.3.5.1"> Hapo akawatazama wote kwa hasira , akaona huzuni kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao .
(trg)="b.MAR.3.5.2"> Kisha akamwambia huyo mtu , " Nyosha mkono wako ! "
(trg)="b.MAR.3.5.3"> Naye akaunyosha mkono wake , ukawa mzima tena .

(src)="b.MAR.3.6.1">`S na Phairisich a dol a mach, ghabh iad comhairle san uair cuide ris na Herodianich na aghaidh, fiach ciamar a chuireadh iad as dha
(trg)="b.MAR.3.6.1"> Mara Mafarisayo wakatoka nje , wakafanya shauri pamoja na watu wa kikundi cha Herode jinsi ya kumwangamiza Yesu .

(src)="b.MAR.3.7.1"> Ach chaidh Iosa maille ri dheisciopuil a lethtaobh thun na mara ; agus lean moran sluaigh e bho Ghalile `s bho Iudea
(trg)="b.MAR.3.7.1"> Yesu aliondoka hapo pamoja na wanafunzi wake , akaenda kando ya ziwa , na umati wa watu ukamfuata .
(trg)="b.MAR.3.7.2"> Watu hao walikuwa wametoka Yerusalemu , Yudea ,

(src)="b.MAR.3.8.1"> Agus bho lerusalem , agus bho Idumea , `S bho thaobh thall Iordain; is iadsan mu thimchioll Thiruis agus Shidoin, cuideachda mhor, `s iad air cluinntinn nan nithean a rinn e, thainig iad ga ionnsuidh
(trg)="b.MAR.3.8.1"> Idumea , ng ' ambo ya mto Yordani , Tiro na Sidoni .
(trg)="b.MAR.3.8.2"> Watu hao wengi walimwendea Yesu kwa sababu ya kusikia mambo mengi aliyokuwa ameyatenda .

(src)="b.MAR.3.9.1"> Agus thuirt e ri dheisciopuil , bata beag a bhith ga fhreasdal as leth an sluaigh , eagal gun domhlaicheadh iad e
(trg)="b.MAR.3.9.1"> Yesu akawaambia wanafunzi wake wamtayarishie mashua moja , ili umati wa watu usije ukamsonga .

(src)="b.MAR.3.10.1"> Oir leighis e moran , air chor `s gun do bhruchd iad ga ionnsuidh gu beantuinn dha, a mhiad `sa bha easlainteach
(trg)="b.MAR.3.10.1"> Alikuwa amewaponya watu wengi , na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa .

(src)="b.MAR.3.11.1">`S nuair a chunnaic na spioraid neoghlan e, thuit iad sios air a bhialaobh: agus dheigh iad, ag radh
(trg)="b.MAR.3.11.1"> Na watu waliokuwa wamepagawa na pepo wachafu walipomwona , walijitupa chini mbele yake na kupaaza sauti , " Wewe ni Mwana wa Mungu ! "

(src)="b.MAR.3.12.1"> Is tusa Mac Dhe .
(src)="b.MAR.3.12.2"> Is mhaoith e gu fuathasach orra , gun iad ga dhianamh follaiseach
(trg)="b.MAR.3.12.1"> Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu .

(src)="b.MAR.3.13.1">`Sa dol suas gu beinn, ghairm e h-uige an fheadhainn a b` aill leis fhein; agus thainig iad ga ionnsuidh
(trg)="b.MAR.3.13.1"> Yesu alipanda kilimani , akawaita wale aliowataka .
(trg)="b.MAR.3.13.2"> Basi , wakamwendea ,

(src)="b.MAR.3.14.1"> Agus roghnaich e gum biodh da fhear dhiag maille ris ; agus gun cuireadh e a theagasg iad
(trg)="b.MAR.3.14.1"> naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume , wakae naye , awatume kuhubiri

(src)="b.MAR.3.15.1"> Is thug e comas dhaibh tinneasan a leigheas , agus deomhain a thilgeadh a mach
(trg)="b.MAR.3.15.1"> na wawe na mamlaka ya kuwafukuza pepo .

(src)="b.MAR.3.16.1"> Agus thug e Peadar mar ainm air Simon
(trg)="b.MAR.3.16.1"> Basi , hao kumi na wawili walioteuliwa ndio hawa : Simoni ( ambaye Yesu alimpa jina , Petro ) ,

(src)="b.MAR.3.17.1"> Agus Seumas Shebede , agus Eoin , brathair Sheumais , is thug e Boanerges mar ainm orra , se sin , mic an tairneanaich
(trg)="b.MAR.3.17.1"> Yakobo na Yohane , wana wa Zebedayo ( Yesu aliwapa hawa ndugu wawili jina Boanerge , maana yake " wanangurumo " ) ,

(src)="b.MAR.3.18.1"> Agus Anndra , agus Philip , agus Bartholome , agus Matu , agus Tomas , agus Seumas Alpheuis , agus Thadeus , agus Simon , an Cananeach
(trg)="b.MAR.3.18.1"> Andrea na Filipo , Batholomayo , Mathayo , Thoma , Yakobo mwana wa Alfayo , Thadayo , Simoni Mkanani na

(src)="b.MAR.3.19.1"> Agus Iudas Iscariot , esan mar an ciadna a bhrath e
(trg)="b.MAR.3.19.1"> Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu .

(src)="b.MAR.3.20.1"> Is thainig iad gu tigh ; agus chruinnich an sluagh a rithist , air chor `s nach b urrainn dhaibh urad agus aran ithe
(trg)="b.MAR.3.20.1"> Kisha Yesu alikwenda nyumbani .
(trg)="b.MAR.3.20.2"> Umati wa watu ukakusanyika tena , hata Yesu na wafuasi wake wasiweze kupata nafasi ya kula chakula .

(src)="b.MAR.3.21.1"> S nuair a chuala a chairdean so , chaidh iad a bhreith air ; oir thuirt iad : Gun do ghabh e an caothach
(trg)="b.MAR.3.21.1"> Basi , watu wa jamaa yake walipopata habari hiyo wakatoka kwenda kumchukua maana walikuwa wanasema kwamba amepatwa na wazimu .

(src)="b.MAR.3.22.1"> Is thuirt na Sgriobhaich , a thainig a nuas a Ierusalem : Tha Beelsebub aige , `s gur ann le prionnsa nan deomhan a tha e tilgeadh a mach dheomhan
(trg)="b.MAR.3.22.1"> Nao walimu wa Sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu , wakasema , " Ana Beelzebuli !
(trg)="b.MAR.3.22.2"> Tena , anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo . "

(src)="b.MAR.3.23.1">`S an deigh an gairm ri cheile, thuirt e riutha ann an dubhfhacail: Ciamar is urrainn Satan Satan a thilgeadh a mach
(trg)="b.MAR.3.23.1"> Hapo Yesu akawaita , akawaambia kwa mifano , " Shetani anawezaje kumfukuza Shetani ?

(src)="b.MAR.3.24.1"> Agus ma bhios rioghachd air a roinn na h-aghaidh fhein , chan urrainn dhan rioghachd sin seasamh
(trg)="b.MAR.3.24.1"> Ikiwa utawala mmoja umegawanyika makundimakundi yanayopigana , utawala huo hauwezi kudumu .

(src)="b.MAR.3.26.1"> Agus ma bhios tigh air a roinn `na aghaidh fhein, chan urrainn dhan tigh sin seasamh
(trg)="b.MAR.3.26.1"> Ikiwa basi , utawala wa Shetani umegawanyika vikundivikundi hauwezi kudumu , bali utaangamia kabisa .

(src)="b.MAR.3.27.1"> Chan urrainn do neach sam bith a dhol a stigh do thigh duine laidir , agus airneas a spuilleadh , mur ceangal e an toiseach an duine laidir , agus an sin creachaidh e a thigh
(trg)="b.MAR.3.27.1"> " Hakuna mtu awezaye kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang ' anya mali yake , isipokuwa kwanza amemfunga huyo mtu mwenye nguvu ; hapo ndipo atakapoweza kumnyang ' anya mali yake .