# ch/Chamorro-PART.xml.gz
# ss/Swahili-NT.xml.gz


(src)="b.MAT.1.1.1"> LEBLON y rasan Jesucristo lajin David , lajin Abraham .
(trg)="b.MAT.1.1.1"> Yesu Kristo alikuwa mzawa wa Daudi , mzawa wa Abrahamu .
(trg)="b.MAT.1.1.2"> Hii ndiyo orodha ya ukoo wake :

(src)="b.MAT.1.2.1"> Si Abraham jalilis si Ysaac ; ya si Ysaac jalilis si Jacob ; ya si Jacob jalilis si Judas yan y mañeluña .
(trg)="b.MAT.1.2.1"> Abrahamu alimzaa Isaka , Isaka alimzaa Yakobo , Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake ,

(src)="b.MAT.1.3.1"> Ya si Judas jalilis , gui as Tamar , si Fares yan si Sara ; ya si Fares jalilis si Esrom ; ya si Esrom jalilis si Aram ;
(trg)="b.MAT.1.3.1"> Yuda alimzaa Faresi na Zera ( mama yao alikuwa Tamari ) , Faresi alimzaa Hesroni , Hesroni alimzaa Rami ,

(src)="b.MAT.1.4.1"> Ya si Aram jalilis si Aminadab ; ya si Aminadab jalilis si Naason ; ya si Naason jalilis si Salmon ;
(trg)="b.MAT.1.4.1"> Rami alimzaa Aminadabu , Aminadabu alimzaa Nashoni , Nashoni alimzaa Salmoni ,

(src)="b.MAT.1.5.1"> Ya si Salmon jalilis , gui as Rahab , si Boos ; ya si Boos jalilis , gui as Rut , si Obed ; ya si Obed jalilis si Isai ;
(trg)="b.MAT.1.5.1"> Salmoni alimzaa Boazi ( mama yake Boazi alikuwa Rahabu ) .
(trg)="b.MAT.1.5.2"> Boazi na Ruthi walikuwa wazazi wa Obedi , Obedi alimzaa Yese ,

(src)="b.MAT.1.6.1"> Ya si Isai jalilis si ray David ; ya si ray David jalilis si Salomon ni guinin güiya nii ampmam palaoan Urias ;
(trg)="b.MAT.1.6.1"> naye Yese alimzaa Mfalme Daudi .
(trg)="b.MAT.1.6.2"> Daudi alimzaa Solomoni ( mama yake Solomoni alikuwa mke wa Uria ) .

(src)="b.MAT.1.7.1"> Ya si Salomon jalilis si Roboam ; ya si Roboam jalilis si Abias ; ya si Abias jalilis si Asa ;
(trg)="b.MAT.1.7.1"> Solomoni alimzaa Rehoboamu , Rehoboamu alimzaa Abiya , Abiya alimzaa Asa ,

(src)="b.MAT.1.8.1"> Ya si Asa jalilis si Josafat ; ya si Josafat jalilis si Joram ; ya si Joram jalilis si Osias ;
(trg)="b.MAT.1.8.1"> Asa alimzaa Yehoshafati , Yehoshafati alimzaa Yoramu , Yoramu alimzaa Uzia ,

(src)="b.MAT.1.9.1"> Ya si Osias jalilis si Joatam ; ya si Joatam jalilis si Acas ; ya si Acas jalilis si Esequias ;
(trg)="b.MAT.1.9.1"> Uzia alimzaa Yothamu , Yothamu alimzaa Ahazi , Ahazi alimzaa Hezekia ,

(src)="b.MAT.1.10.1"> Ya si Esequias jalilis si Manases ; si Manases jalilis si Amon ; ya si Amon jalilis si Josias ;
(trg)="b.MAT.1.10.1"> Hezekia alimzaa Manase , Manase alimzaa Amoni , Amoni alimzaa Yosia ,

(src)="b.MAT.1.11.1"> Ya si Josias jalilis si Joaquim ; si Joaquim jalilis si Jeconias , yan y mañeluña anae manmacone guiya Babilonia .
(trg)="b.MAT.1.11.1"> Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake .
(trg)="b.MAT.1.11.2"> Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni .

(src)="b.MAT.1.12.1"> Ya mapos y manmacone guiya Babilonia , si Jeconias jalilis si Salatiel ; si Salatiel jalilis si Sorobabel ;
(trg)="b.MAT.1.12.1"> Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishomi Babuloni : Yekonia alimzaa Shealtieli , Shealtieli alimzaa Zerobabeli ,

(src)="b.MAT.1.13.1"> Ya si Sorobabel jalilis si Abiud ; si Abiud jalilis si Eliaquim ; si Eliaquim jalilis si Asor ;
(trg)="b.MAT.1.13.1"> Zerobabeli alimzaa Abiudi , Abiudi alimzaa Eliakimu , Eliakimu alimzaa Azori ,

(src)="b.MAT.1.14.1"> Si Asor jalilis si Sadog ; si Sadog jalilis si Achim ; si Achim si Eliud ;
(trg)="b.MAT.1.14.1"> Azori alimzaa Zadoki , Zadoki alimzaa Akimu , Akimu alimzaa Eliudi ,

(src)="b.MAT.1.15.1"> Si Eliud jalilis si Eleasar ; si Eleasar jalilis si Matan ; si Matan jalilis si Jacob ;
(trg)="b.MAT.1.15.1"> Eliudi alimzaa Eleazeri , Eleazeri alimzaa Mathani , Mathani alimzaa Yakobo ,

(src)="b.MAT.1.16.1"> Si Jacob jalilis si José , asaguan Maria , na finañago si Jesus na mafanaan si Cristo .
(trg)="b.MAT.1.16.1"> Yakobo alimzaa Yosefu , aliyekuwa mume wake Maria , mama yake Yesu , aitwaye Kristo .

(src)="b.MAT.1.17.1"> Enao mina todo y generasion desde as Abraham asta as David , catotse sija na generasion ; ya desde as David asta manmacone guiya Babilonia , catotse na generasion ; ya desde qui manmacone guiya Babilonia asta as Cristo , catotse na generasion .
(trg)="b.MAT.1.17.1"> Basi , kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi , vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni , na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo .

(src)="b.MAT.1.18.1"> N 1 18 24790 ¶ Y mafañagon Jesucristo taegüine : Y nanaña as Maria , nobian José , antes de ujadaña , güiya esta masoda mapotgue pot y Espiritu Santo .
(trg)="b.MAT.1.18.1"> Basi , hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa : Maria , mama yake , alikuwa ameposwa na Yosefu .
(trg)="b.MAT.1.18.2"> Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke , alionekana kuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .

(src)="b.MAT.1.19.1"> Ya si José asaguaña , sa mauleg na taotao , ti malago pinelo güe gui ninamamajlao , lao malagoña upinelo güe gui secreto .
(trg)="b.MAT.1.19.1"> Yosefu , mumewe , kwa vile alikuwa mwadilifu , hakutaka kumwaibisha hadharani ; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri .

(src)="b.MAT.1.20.1"> Ya anae jajajaso este , mato para güiya y angjet Señot , anae jagüife gui minaegoña , na ilegña : José , lajin David , chamo maañao na unresibe si Maria asaguamo , sa y gaegue guiya güiya y linilis Espiritu Santo .
(trg)="b.MAT.1.20.1"> Alipokuwa bado anawaza jambo hilo , malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto , akamwambia , " Yosefu , mwana wa Daudi , usiogope kumchukua Maria awe mke wako , maana amekuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu .

(src)="b.MAT.1.21.1"> Ya ufañago un laje ya ufanaan si Jesus ; sa güiya unafanlibre y taotaoña nu y isaoñija .
(trg)="b.MAT.1.21.1"> Atajifungua mtoto wa kiume , nawe utampa jina Yesu , kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao . "

(src)="b.MAT.1.22.1"> Todo sija masusede para umacumple y esta jasangan y Señot pot y profeta , ni ilegña :
(trg)="b.MAT.1.22.1"> Basi , haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii :

(src)="b.MAT.1.23.1"> Estagüe , un vitgen na umapotgue , ya ufañago un laje ya ufanaan si Emanuel , na comoqueilegña na si Yuus gaegue guiya jita .
(trg)="b.MAT.1.23.1"> " Bikira atachukua mimba , atamzaa mtoto wa kiume , naye ataitwa Emanueli " ( maana yake , " Mungu yu pamoja nasi " ) .

(src)="b.MAT.1.24.1"> Anae magmata si José gui minaegoña , jafatinas taegüije y tinago y angjet , ya jaresibe y asaguaña .
(trg)="b.MAT.1.24.1"> Hivyo , Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia , akamchukua mke wake nyumbani .

(src)="b.MAT.1.25.1"> Ya ti matungo asta qui mañago ni lajiña finenana ; ya nae y naanña si Jesus .
(trg)="b.MAT.1.25.1"> Lakini hakumjua kamwe kimwili hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume .
(trg)="b.MAT.1.25.2"> Naye Yosefu akampa jina Yesu .

(src)="b.MAT.2.1.1"> YA mafañago si Jesus guiya Betlehem Judea gui jaanin ray Herodes , estagüe y manfaye na manmato guinin y sancatan para Jerusalem ,
(trg)="b.MAT.2.1.1"> Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu , mkoani Yudea , wakati Herode alipokuwa mfalme .
(trg)="b.MAT.2.1.2"> Punde tu baada ya kuzaliwa kwake , wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu ,

(src)="b.MAT.2.2.1"> Ylegñija : mangue y ray Judios , ni mafañago ?
(src)="b.MAT.2.2.2"> Sa y estreyasña inlie gui sancatan ya manmatojam para inadoragüe .
(trg)="b.MAT.2.2.1"> wakauliza , " Yuko wapi mtoto , Mfalme wa Wayahudi , aliyezaliwa ?
(trg)="b.MAT.2.2.2"> Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki , tukaja kumwabudu . "

(src)="b.MAT.2.3.1"> Ya anae jajungog este , si ray Herodes , inistotba yan todo y taotao Jerusalem locue .
(trg)="b.MAT.2.3.1"> Mfalme Herode aliposikia hayo , alifadhaika , yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu .

(src)="b.MAT.2.4.1"> Ya anae maagange todo y prinsipen mamale yan y escriba sija güije na tano , manfinaesen mano nae mafañago si Cristo .
(trg)="b.MAT.2.4.1"> Basi akawaita pamoja makuhani wakuu wote na walimu wa Sheria , akawauliza , " Kristo atazaliwa wapi ? "

(src)="b.MAT.2.5.1"> Sija ilegñija : Iya Betlehem Judea ; sa taegüine y munjayan matugue pot y profeta :
(trg)="b.MAT.2.5.1"> Nao wakamjibu , " Mjini Bethlehemu , mkoani Yudea .
(trg)="b.MAT.2.5.2"> Ndivyo nabii alivyoandika :

(src)="b.MAT.2.6.1"> Ya jago Betlehem , tano Juda , ada ti sendiquique jao gui entalo y prinsipen Juda , sa iya jago nae ujuyong y magalaje , para upasto y taotaojo , Israel .
(trg)="b.MAT.2.6.1"> Ewe Bethlehemu katika nchi ya Yuda , kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda ; maana kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu , Israeli . "

(src)="b.MAT.2.7.1"> Entonses si Herodes , anae jaagang y manfaye gui secreto , jaquequetungo guiya sija , ngaean y estreyas nae malie .
(trg)="b.MAT.2.7.1"> Hapo , Herode aliwaita faraghani hao wataalamu wa nyota , akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea .

(src)="b.MAT.2.8.1"> Ya Jatago sija para Betlehem , ilegña : Janao fanmalag ayo guato ya inalula manmamaesen pot y patgon ; yaguin esta inseda , insangane yo ; ya jufato locue ya juadora güe .
(trg)="b.MAT.2.8.1"> Kisha akawatuma Bethlehemu akisema , " Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo .
(trg)="b.MAT.2.8.2"> Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu . "

(src)="b.MAT.2.9.1"> Ya anae munjayan jajungog y sinangan ray , manmapos ; ya estagüe y estreyas ni y jalie gui sancatan , na mofona gui menañija asta qui mato ya sumaga gui anae estaba y patgon .
(trg)="b.MAT.2.9.1"> Baada ya kumsikiliza mfalme , hao wataalamu wa nyota wakaenda .
(trg)="b.MAT.2.9.2"> Kumbe ile nyota waliyokuwa wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto .

(src)="b.MAT.2.10.1"> Anae malie y estreyas , gosdangculo minagofñija .
(trg)="b.MAT.2.10.1"> Walipoiona hiyo nyota , walifurahi mno .

(src)="b.MAT.2.11.1"> N 2 11 24970 ¶ Anae manjalom gui guima , jasoda y patgon yan y nanaña , as Maria , ya mandimo ya maadora ; ya mababa y güinajañija ya manae güe : oro , insenso , yan mira .
(trg)="b.MAT.2.11.1"> Basi , wakaingia nyumbani , wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake ; wakapiga magoti , wakamsujudia .
(trg)="b.MAT.2.11.2"> Kisha wakafungua hazina zao , wakampa zawadi : dhahabu , ubani na manemane .

(src)="b.MAT.2.12.1"> Ya manmasangane pot si Yuus gui güinife , na ti ufanmalag as Herodes , manjanao para y tanoñija gui otro chalan .
(trg)="b.MAT.2.12.1"> Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie Herode ; hivyo wakarudi makwao kwa njia nyingine .

(src)="b.MAT.2.13.1"> N 2 13 24990 ¶ Ya anae manmapos sija , y angjet y Señot mato gui as José gui güinife , ya ilegña : Cajulo ya uncone y patgon yan si nanaña , ya infanjanao para Egipto , ya infañaga güije , asta qui guajojao sumangane ; sa si Herodes jaaligao y patgon para umapuno .
(trg)="b.MAT.2.13.1"> Baada ya wale wageni kuondoka , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto , akamwambia , " Amka !
(trg)="b.MAT.2.13.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , mkimbilie Misri .
(trg)="b.MAT.2.13.3"> Kaeni huko mpaka nitakapokwambia , maana Herode anakusudia kumwua huyu mtoto . "

(src)="b.MAT.2.14.1"> Ya cajulo güe , ya jacone y patgon yan si nanaña gui puenge ya manjanao para Egipto ;
(trg)="b.MAT.2.14.1"> Hivyo , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akaondoka usiku , akaenda Misri .

(src)="b.MAT.2.15.1"> Ya sumaga güije asta que matae si Herodes , sa para umacumple y sinangan y Señot pot y profeta , na ilegña : Iya Egipto nae , juagang y Lajijo .
(trg)="b.MAT.2.15.1"> Akakaa huko mpaka Herode alipokufa .
(trg)="b.MAT.2.15.2"> Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie : " Nilimwita Mwanangu kutoka Misri . "

(src)="b.MAT.2.16.1"> N 2 16 25020 ¶ Si Herodes , anae jalie na mamofea güe ni manfaye , gueflalalo ya manago na ufanmapuno todo y famaguon ni guaja guiya Betlehem yan gui todo oriyaña ni dos años sacanñija para papa , jaftaemanoja y tiempo anae ninatungo ni y manfaye .
(trg)="b.MAT.2.16.1"> Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa , alikasirika sana .
(trg)="b.MAT.2.16.2"> Akaamuru watoto wote wa kiume mjini Bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe .
(trg)="b.MAT.2.16.3"> Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota .

(src)="b.MAT.2.17.1"> Ayo nae macumple esta , ni y guinin masangan pot y profeta Jeremias , na ilegña :
(trg)="b.MAT.2.17.1"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia :

(src)="b.MAT.2.18.1"> Inagang na majungog guiya Rama umagang , tumangis yan cumasao na dangculo ; si Raquel cumasao pot y famaguonña , ya ti malago maconsuela sa manaegüe .
(trg)="b.MAT.2.18.1"> " Sauti imesikika mjini Rama , kilio na maombolezo mengi .
(trg)="b.MAT.2.18.2"> Raheli anawalilia watoto wake , wala hataki kutulizwa , maana wote wamefariki . "

(src)="b.MAT.2.19.1"> N 2 19 25050 ¶ Anae esta matae si Herodes , mato y angjet y Señot gui as José gui güinife , guiya Egipto ,
(trg)="b.MAT.2.19.1"> Baada ya kifo cha Herode , malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri ,

(src)="b.MAT.2.20.1"> Ya ilegña : Cajulo , cone y patgon yan si nanaña , ya infanjanao para y tano Israel ; sa matae y cumequepuno y patgon .
(trg)="b.MAT.2.20.1"> akamwambia , " Amka !
(trg)="b.MAT.2.20.2"> Mchukue mtoto pamoja na mama yake , urudi tena katika nchi ya Israeli , maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa . "

(src)="b.MAT.2.21.1"> Ayo nae cajulo ya jacone y patgon yan si nanaña ya manmalag y tano Israel .
(trg)="b.MAT.2.21.1"> Basi , Yosefu aliamka , akamchukua mtoto pamoja na mama yake , akarejea katika nchi ya Israeli .

(src)="b.MAT.2.22.1"> Ya jajungog na si Arquelao , güiya y ray guiya Judea gui sagan tataña as Herodes , maañao malag guato ; lao pot si Yuus ninatungo güe claro gui güinifeña , mapos malag y tanon Galilea .
(trg)="b.MAT.2.22.1"> Lakini Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake , aliogopa kwenda huko .
(trg)="b.MAT.2.22.2"> Naye baada ya kuonywa katika ndoto , alikwenda katika mkoa wa Galilaya ,

(src)="b.MAT.2.23.1"> Ya anae mato , sumaga gui siuda na mafanaan Nasaret ; para ucumple y masanganña pot y profeta sija , na umafanaan taotao Nasaret .
(trg)="b.MAT.2.23.1"> akahamia katika mji uitwao Nazareti .
(trg)="b.MAT.2.23.2"> Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii : " Ataitwa Mnazare . "

(src)="b.MAT.3.1.1"> AYO sija na jaane , mato si Juan Bautista ya sumetmon gui desierton Judea ,
(trg)="b.MAT.3.1.1"> Siku hizo Yohane Mbatizaji alitokea , akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea :

(src)="b.MAT.3.2.1"> Ylegña : Fanmañotsot sa y raenon langet jumijijot .
(trg)="b.MAT.3.2.1"> " Tubuni , maana Ufalme wa mbinguni umekaribia . "

(src)="b.MAT.3.3.1"> Sa esta güiya uje y guinin jasangan y profeta Isaias , na ilegña : Inagang ni umagang gui desierto : Famauleg y chalan y Señot , natunas y chalanña .
(trg)="b.MAT.3.3.1"> Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema : " Sauti ya mtu imesikika jangwani : Mtayarishieni Bwana njia yake , nyoosheni vijia vyake . "

(src)="b.MAT.3.4.1"> Y magaguña si Juan y pilon cameyo yan y godeña cuero na jachaflileg gui senturaña , ya y naña y apacha sija yan y miet jalom tano .
(trg)="b.MAT.3.4.1"> Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya ya ngamia , na ukanda wa ngozi kiunoni mwake .
(trg)="b.MAT.3.4.2"> Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni .

(src)="b.MAT.3.5.1"> Ayo nae mapos malag para güiya , Jerusalem yan Judea yan todo y tano gui oriyan Jordan ,
(trg)="b.MAT.3.5.1"> Basi , watu kutoka Yerusalemu , kutoka mkoa wote wa Yudea na sehemu zote za kandokando ya mto Yordani , walimwendea ,

(src)="b.MAT.3.6.1"> Ya esta manmatagpange pot güiya , guiya Jordan , jasangan claro y isaoñija .
(trg)="b.MAT.3.6.1"> wakaziungama dhambi zao , naye akawabatiza katika mto Yordani .

(src)="b.MAT.3.7.1"> N 3 7 25160 ¶ Ya jalie megae na Fariseo yan Saduseo sija na manmamaela para y tinagpangeña ya ilegña : Rasan culebla , jaye jamyo fumanagüe na insujaye y binibo ni mamaela ?
(trg)="b.MAT.3.7.1"> Lakini alipowaona Mafarisayo wengi na Masadukayo wanamjia ili awabatize , aliwaambia , " Enyi kizazi cha nyoka !
(trg)="b.MAT.3.7.2"> Ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja ?

(src)="b.MAT.3.8.1"> Fanmamatinas tinegcha digno ni y sinetsot .
(trg)="b.MAT.3.8.1"> Onyesheni basi kwa matendo , kwamba mmetubu kweli .

(src)="b.MAT.3.9.1"> Ya chamiyo jumajaso sumangan gui sanjalommiyo , na si Abraham tatata ; ya guajo sumangane jamyo , na siña si Yuus janacajulo este sija na acho famaguon gui as Abraham .
(trg)="b.MAT.3.9.1"> Msidhani kwamba mtaweza kujitetea kwa kusema , Baba yetu ni Abrahamu !
(trg)="b.MAT.3.9.2"> Nawaambieni hakika , Mungu anaweza kuyafanya mawe haya yawe watoto wa Abrahamu .

(src)="b.MAT.3.10.1"> Pago , esta locue y gachae gaegue na mapolo gui jale y trongcon jayo sija ; ya todo y trongcon jayo ni ti manogcha mauleg , umautut ya umapolo gui guafe .
(trg)="b.MAT.3.10.1"> Basi , shoka liko tayari kuikata mizizi ya miti ; hivyo , kila mti usiozaa matunda mazuri , utakatwa na kutupwa motoni .

(src)="b.MAT.3.11.1"> Guajo magajet jutagpange jamyo nu y janom para minañotsot , lao y mamamaela gui tateco , mas guaja ninasiñaña qui guajo : y sapatosña ti mauleg yo na jupula ; güiya infantinagpange ni Espiritu Santo yan y guafe .
(trg)="b.MAT.3.11.1"> Mimi ninawabatizeni kwa maji kuonyesha kwamba mmetubu .
(trg)="b.MAT.3.11.2"> Lakini yule anayekuja baada yangu ana uwezo kuliko mimi .
(trg)="b.MAT.3.11.3"> Mimi sistahili hata kubeba viatu vyake .
(trg)="b.MAT.3.11.4"> Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto .

(src)="b.MAT.3.12.1"> Y abanicoña gaegue gui canaeña , ya unagasgas y tablaña , ya unaetnon y triguña jalom gui jalom camalin , ya usonggue y pajan trigo gui taejinecog na guafe .
(trg)="b.MAT.3.12.1"> Yeye anashika mkononi chombo cha kupuria nafaka , ili aipure nafaka yake ; akusanye ngano ghalani , na makapi ayachome kwa moto usiozimika . "

(src)="b.MAT.3.13.1"> N 3 13 25220 ¶ Anae mato si Jesus guinin Galilea , malag Jordan gui as Juan para utinagpange .
(trg)="b.MAT.3.13.1"> Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani , akamwendea Yohane ili abatizwe naye .

(src)="b.MAT.3.14.1"> Lao si Juan ti malago , ilegña : Nesesita yo matagpange pot jago , enaojao na mamaela guiya guajo ?
(trg)="b.MAT.3.14.1"> Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema , " Je , wewe unakuja kwangu ?
(trg)="b.MAT.3.14.2"> Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe . "

(src)="b.MAT.3.15.1"> Inepe as Jesus ilegña : Diejaloja , sa taegüenao mauleg para utacumple y todo na tininas .
(src)="b.MAT.3.15.2"> Ayo nae pinelo .
(trg)="b.MAT.3.15.1"> Lakini Yesu akamjibu , " Acha tu iwe hivyo kwa sasa , maana kwa namna hii inafaa tuyatekeleze yale yote Mungu anayotaka . "
(trg)="b.MAT.3.15.2"> Hapo Yohane akakubali .

(src)="b.MAT.3.16.1"> Ya si Jesus , anae munjayan matagpange , cajulo gusisija guine y janom , y langet mababa pot güiya ya malie y Espiritun Yuus tumunog calang paluma y sumaga gui jiloña .
(trg)="b.MAT.3.16.1"> Mara tu Yesu alipokwisha batizwa , alitoka majini ; na ghafla mbingu zikafunguka , akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kutua juu yake .

(src)="b.MAT.3.17.1"> Ya estagüe , un vos guinin y langet na ilegña : Estagüiya y lajijo ni y guefyajo .
(trg)="b.MAT.3.17.1"> Sauti kutoka mbinguni ikasema , " Huyu ndiye Mwanangu mpendwa , nimependezwa naye . "

(src)="b.MAT.4.1.1"> AYO nae quinene si Jesus ni Espiritu para y jalomtano para umatienta ni anite ;
(trg)="b.MAT.4.1.1"> Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi .

(src)="b.MAT.4.2.1"> Ya estaba umayunat cuarenta na jaane yan cuarenta na puenge ya despues ñalang .
(trg)="b.MAT.4.2.1"> Akafunga siku arubaini mchana na usiku , na mwishowe akaona njaa .

(src)="b.MAT.4.3.1"> Ya mato guiya güiya y manienienta , ya ilegña : Yaguin jago lajin Yuus , tago este y acho ya ufamapan .
(trg)="b.MAT.4.3.1"> Basi , mshawishi akamjia , akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , amuru mawe haya yawe mikate . "

(src)="b.MAT.4.4.1"> Güiya manope ilegña : Matugue esta : Ti y panja uninalâlâ y taotao , lao y todo y sinangan ni y jumuyong gui pachot Yuus .
(trg)="b.MAT.4.4.1"> Yesu akamjibu , " Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu : Binadamu hataishi kwa mikate tu , ila kwa kila neno asemalo Mungu . "

(src)="b.MAT.4.5.1"> Ayo nae ninamalofan ni anite gui santa na siuda ; pinelo gui jilo torren diquique , iyon y templo .
(trg)="b.MAT.4.5.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu , mji mtakatifu , akamweka juu ya mnara wa hekalu ,

(src)="b.MAT.4.6.1"> Y ilegña : Yaguin jago lajin Yuus , yutejao güine papa , sa matugue esta : Y angjet sija uninadje ya unquinajat ni canaeñija , para chaña y adengmo umatotpe contra y acho .
(trg)="b.MAT.4.6.1"> akamwambia , " Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu , jitupe chini ; maana imeandikwa : Mungu atawaamuru malaika wake kwa ajili yako ; watakuchukua mikononi mwao , usije ukajikwaa kwenye jiwe . "

(src)="b.MAT.4.7.1"> Si Jesus ilegña : Locue esta matugue , chamo tietienta y Señot , Yuusmo .
(trg)="b.MAT.4.7.1"> Yesu akamwambia , " Imeandikwa pia : Usimjaribu Bwana , Mungu wako . "

(src)="b.MAT.4.8.1"> Tumalo ninamalofan ni anite gui un sabana na sentáquilo ya jafanue todo y raeno sija gui jilo y tano yan y minagofñija ,
(trg)="b.MAT.4.8.1"> Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu , akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake ,

(src)="b.MAT.4.9.1"> Ya ilegña : Todo este sija junaejao yaguin dumimojao ya unadora yo .
(trg)="b.MAT.4.9.1"> akamwambia , " Hivi vyote nitakupa kama tu ukipiga magoti na kuniabudu . "

(src)="b.MAT.4.10.1"> Ayonae si Jesus ilegña nu güiya : Janao Satanas , sa matugue esta , y Señot Yuusmo na güiyaja unadora yan güiyaja unsetbe .
(trg)="b.MAT.4.10.1"> Hapo , Yesu akamwambia , " Nenda zako Shetani !
(trg)="b.MAT.4.10.2"> Imeandikwa : Utamwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake . "

(src)="b.MAT.4.11.1"> Ayo nae diningo ni anite , ya y angjet sija manmato ya masetbe güe .
(trg)="b.MAT.4.11.1"> Basi , Ibilisi akamwacha , na malaika wakaja , wakamhudumia .

(src)="b.MAT.4.12.1"> N 4 12 25380 ¶ Anae jajungog si Jesus na si Juan esta mapongle , tumalo guato Galilea .
(trg)="b.MAT.4.12.1"> Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya .

(src)="b.MAT.4.13.1"> Ya jadingo Nasaret , mato Capernaum ya sumaga gui oriyan tase gui oriyan tanon Sabulon yan Neftalim .
(trg)="b.MAT.4.13.1"> Aliondoka Nazareti , akaenda Kafarnaumu , mji ulio kando ya bahari ya Genesareti , mpakani mwa wilaya za Zabuloni na Naftali , akakaa huko .

(src)="b.MAT.4.14.1"> Para umacumple y guinin jasangan y profeta Isaias , na ilegña :
(trg)="b.MAT.4.14.1"> Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya :

(src)="b.MAT.4.15.1"> Y tano Sabulon yan y tano Neftalim , chalan tase yan para otro banda guiya Jordan , Galilea y Gentiles .
(trg)="b.MAT.4.15.1"> " Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali , kuelekea baharini ng ' ambo ya mto Yordani , Galilaya nchi ya watu wa Mataifa !

(src)="b.MAT.4.16.1"> Ya y taotao sija nu y mañasaga gui jemjom , dangculo na manana liniiñija ; y ayo sija nu y mañasaga tanon anineng y finatae , candet ufaninina .
(trg)="b.MAT.4.16.1"> Watu waliokaa gizani wameona mwanga mkubwa .
(trg)="b.MAT.4.16.2"> Nao walioishi katika nchi ya giza na kivuli cha kifo , mwanga umewaangazia ! "

(src)="b.MAT.4.17.1"> N 4 17 25430 ¶ Desde ayo jatutujon si Jesus sumetmon ya ilegña : Fanmañotsot , sa y raenon langet jijijot .
(trg)="b.MAT.4.17.1"> Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema , " Tubuni , maana ufalme wa mbinguni umekaribia ! "

(src)="b.MAT.4.18.1"> N 4 18 25440 ¶ Ya anae jumajanao si Jesus gui tasen Galilea , jalie dos chumelo ; si Simon mafanaan Pedro yan si Andres cheluña , na janatutunog y lagua gui tase sa manpescadot .
(trg)="b.MAT.4.18.1"> Yesu alipokuwa anatembea kando ya ziwa Galilaya , aliwaona ndugu wawili wavuvi ; Simoni ( aitwae Petro ) na Andrea , ndugu yake ; walikuwa wakivua samaki kwa nyavu ziwani .

(src)="b.MAT.4.19.1"> Ya ilegña nu sija : Dalalag yo ya junafanpescadot taotao jamyo .
(trg)="b.MAT.4.19.1"> Basi , akawaambia , " Nifuateni , nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu . "

(src)="b.MAT.4.20.1"> Sija japolo y lagua sija ya madalalag güe .
(trg)="b.MAT.4.20.1"> Mara wakaziacha nyavu zao , wakamfuata .

(src)="b.MAT.4.21.1"> Anae jumanao güije , jalie otro dos chumelo , si Santiago lajin Sebedeo , yan si Juan cheluña , gui sajyan yan si tatañija as Sebedeo na jalememenda y laguañija ; ya jaagang .
(trg)="b.MAT.4.21.1"> Alipokwenda mbele kidogo , aliwaona ndugu wengine wawili : Yakobo na Yohane , wana wa Zebedayo .
(trg)="b.MAT.4.21.2"> Hao walikuwa ndani ya mashua pamoja na baba yao Zebedayo , wakitengeneza nyavu zao .
(trg)="b.MAT.4.21.3"> Basi Yesu akawaita ,

(src)="b.MAT.4.22.1"> Sija enseguidas japolo y sajyan yan si tatañija ya madalalag güe .
(trg)="b.MAT.4.22.1"> nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao , wakamfuata .

(src)="b.MAT.4.23.1"> N 4 23 25490 ¶ Ya jalilicue si Jesus iya Galilea mamanagüe gui sinagoga sija ya sumetmetmon ni raenon y evangelio , ya janafanjomlo todo y chetnot yan todo y pinite gui taotao ;
(trg)="b.MAT.4.23.1"> Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani Galilaya , akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme wa Mungu .
(trg)="b.MAT.4.23.2"> Aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu .

(src)="b.MAT.4.24.1"> Ya y matunaña matungo todo guiya Siria ; ya maquenenee güe guato todo manmalango , ni guaja todo clasen chetnot yan pinite ; y maninanite yan y manbababa yan y manparalitico ; ya janafanjomlo .
(trg)="b.MAT.4.24.1"> Habari zake zikaenea katika mkoa wote wa Siria .
(trg)="b.MAT.4.24.2"> Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu : waliopagawa na pepo , wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa , walipelekwa kwake ; naye akawaponya wote .

(src)="b.MAT.4.25.1"> Ya madalalag güe linajyan taotao , guinin Galilea , yan guinin Decapolis , yan guinin Jerusalem , yan guinin Judea , yan y otro banda guiya Jordan .
(trg)="b.MAT.4.25.1"> Makundi mengi ya watu kutoka Galilaya , Dekapoli , Yerusalemu , Yudea na ng ' ambo ya mto Yordani , walimfuata .

(src)="b.MAT.5.1.1"> ANAE jalie si Jesus y linajyan taotao , cajulo gui un sabana , ya matachong ; ya y disipuluña manmato guiya güiya .
(trg)="b.MAT.5.1.1"> Yesu alipoyaona makundi ya watu , alipanda mlimani , akaketi .
(trg)="b.MAT.5.1.2"> Wanafunzi wake wakamwendea ,

(src)="b.MAT.5.2.1"> Ya jababa y pachotña ya jafanagüe , ilegña :
(trg)="b.MAT.5.2.1"> naye akaanza kuwafundisha :

(src)="b.MAT.5.3.1"> Mandichoso y mamoble gui Espiritu , sa uiyonñija y raenon langet .
(trg)="b.MAT.5.3.1"> " Heri walio maskini rohoni , maana ufalme wa mbinguni ni wao .

(src)="b.MAT.5.4.1"> Mandichoso y mantriste , sa sija umanafanmagof .
(trg)="b.MAT.5.4.1"> Heri walio na huzuni , maana watafarijiwa .

(src)="b.MAT.5.5.1"> Mandichoso y manmanso , sa sija ufanmaereda ni y tano .
(trg)="b.MAT.5.5.1"> Heri walio wapole , maana watairithi nchi .

(src)="b.MAT.5.6.1"> Mandichoso y manñalang yan manmajo ni tininas , sa sija umanafanjaspog .
(trg)="b.MAT.5.6.1"> Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu , maana watashibishwa .

(src)="b.MAT.5.7.1"> Mandichoso y manyóase , sa sija ufantinaca ni minaase .
(trg)="b.MAT.5.7.1"> Heri walio na huruma , maana watahurumiwa .

(src)="b.MAT.5.8.1"> Mandichoso y mangasgas corasonñija , sa sija ujalie si Yuus .
(trg)="b.MAT.5.8.1"> Heri wenye moyo safi , maana watamwona Mungu .

(src)="b.MAT.5.9.1"> Mandichoso y fumatitinas y pas , sa sija ufanmafanaan famaguon Yuus .
(trg)="b.MAT.5.9.1"> Heri wenye kuleta amani , maana wataitwa watoto wa Mungu .

(src)="b.MAT.5.10.1"> Mandichoso y manmapetsigue pot causa y tininas ; sa uiyonñija y raenon langet .
(trg)="b.MAT.5.10.1"> Heri wanaoteswa kwa sababu ya kufanya atakavyo Mungu , maana ufalme wa mbinguni ni wao .