Ndagukunda.
Ninakupenda.
Niki?
Nini?
Ntutwibagira!
Hutusahau!
Sinzi.
Sijui.
Ikibazo ciza.
Swali nzuri.
Uribuka?
Unakumbuka?
Fata itagisi ikujana mw ihoteri.
Kwenda kwa teksi hotelini.
Nzogaruka.
Nitarudi.
Ndafise ikibazo.
Nina swali.
Ndagukunda.
Nakupenda.
Ntiwibagire gutwara ikete.
Usisahau kupeleka barua.
Ntiwibagire gutwara ibaruwa.
Usisahau kupeleka barua.
Ahari ugushaka haba inzira.
Penye nia, pana njia.
Ni akazi kiwe.
Ni kazi yake.
Biramuraba.
Ni kazi yake.
Iki kintu kimaze iki?
Kazi yake nini kitu hiki?
Iki kintu bimaze iki?
Kazi yake nini kitu hiki?
Nashoboye kugira.
Nimepata kufanya.
Amakuru maki?
Habari gani?
Nagasaga, Sayoko.
Kwa heri, Sayoko.
Turashaka kuriha.
Naomba kulipa!
Ryama neza, Timmy.
Lala salama, Timmy.
Amakuru yawe?
Habari zako?
Witwa nde?
Je, unaitwa nani?
Nitwa Jack.
Mimi ninaitwa Jack.
Uba ngaha?
Je, unakaa hapa?
Abana bagiye kw ishure?
Watoto wanakwenda shuleni?
Ndameneka umutwe.
Kichwa kinauma.
Iyo udategereye, baza.
Usipofahamu, uliza.
Umuhungu arasimba.
Mvulana anaruka.
Igitwazi kirasimba.
Farasi anaruka.
Ninde asoma?
Nani anasoma?
Magdalena na Ania ni abagenzi pfampfe.
Magdalena na Ania ni marafiki wazuri
Namerewe nabi.
Nilijisikia vibaya.
Ntiyasomaye iki gitabo.
Yeye hakusoma kitabu.
Iyo menya nari kugenda.
Kama ningejua, ningekwenda.
Iyo menya sinari kuza.
Kama ningejua, nisingekuja.
Vyiza kuruta vyobaye iyo utajaho.
Bora usingekwenda hapo.
Iyo aguma imuhira, ntiyogize ingorane.
Kama angekaa nyumbani, asingepata taabu.
Sinzi ico novuga...
Sijui niambie nini...
Umuryango umerewe gute?
Hamjambo nyumbani?
Tuzobonana ejo!
Tutaonana kesho!
Ndi umwigisha.
Mimi ni mwalimu.
Sindi ikijuju.
Mimi si mjinga.
Ntibaza uyu munsi.
Hawaji leo.
Namaki?
Habari?
Bite uyu munsi?
Habari za leo?
Ukora iki?
Unafanya nini?
Mukora iki?
Mnafanya nini?
Ndabasavye, mumpe ifagitiri.
Naweza kupata bili, tafadhali?