# af/ted2020-14392.xml.gz
# sw/ted2020-14392.xml.gz


(src)="1.1"> Ek is ’ n immigrant van Uganda .
(src)="1.2"> Ek woon in die VSA terwyl ek wag vir my asielaansoek om deur te gaan .
(trg)="1"> Mimi ni mhamiaji kutoka Uganda Naishi Marekani nikisubiri ombi langu la hifadhi kupita .

(src)="2"> Migrante geniet nie veel vryheid van beweging in vandag se wêreld nie .
(trg)="2"> Wahamiaji hawafaidi sana Uhuru wa kutembea Katika dunia yetu leo .

(src)="3"> Dis beslis van toepassing op diegene wat desperaat genoeg is om wilde en stormagtige seetoestande in bote aan te pak .
(trg)="3"> Hii hasa huwahusu wale walio tayari kwa lolote hata kusafiri kwenye bahari yenye mawimbi na dhoruba kwa mashua .

(src)="4"> Dít is die gevare wat my medeburgers uit Wes- en Noord-Afrika trotseer wanneer hulle probeer oorgaan na Europa toe .
(trg)="4"> Hizi ndizo hatari ambazo ndugu zangu wa Afrika Magharibi na Kaskazini huzipata wanapojaribu kuvuka kwenda Ulaya .

(src)="5"> Inderdaad is dit ’ n seldsame , maar gelukkige geleentheid vir ’ n migrant om ’ n samekoms soos hierdie toe te spreek .
(trg)="5"> Kweli , ni nadra lakini ni fursa ya bahati kwa mhamiaji kuhutubia kusanyiko kama hili .

(src)="6"> Dit openbaar egter ook wat gereeld ontbreek in die wêreldwye debat oor vlugtelinge , migrante en immigrante : die stemme van die benadeeldes .
(trg)="6"> Lakini hii pia inaonesha kitu gani hukosekana mara nyingi katika mdahalo wa kidunia juu ya wakimbizi , wahamaji na wahamiaji , sauti za wasio na haki ya uraia .

(src)="7"> Burgers van vele gasheerlande , selfs dié wat voorheen nuwe aankomelinge verwelkom het , is ongemaklik met die toename in die getalle mense wat in hulle lande inkom .
(trg)="7"> Wananchi wa nchi nyingi wenyeji , hata zile ambazo mwanzoni zilikaribisha wageni , wana wasiwasi juu ya ongezeko la namba ya watu wanaokuja kwenye nchi zao .

(src)="8"> Die onmiddellike kritiek is dat die nuwelinge die stabiliteit van maatskaplike welsyn en werksgeleenthede in die lande ontwrig .
(trg)="8"> Kasoro ya kwanza ni kuwa wageni wataangusha uthabiti wa huduma za kijamii na ajira katika nchi zao .

(src)="9"> Onsekere en skeptiese burgers soek antwoorde by politici wat teen mekaar meeding om te sien wie die prys kan kry vir die hardste populistiese en nasionalistiese stem .
(trg)="9"> Wanachi wenye mashaka na shuku huwaelekea wanasiasa wanaoshindana wao kwa wao kuona nani anaweza kushinda sauti kubwa kabisa ya uwingi na utaifa .

(src)="10"> Dis ’ n wedstryd om wie die mees onversetlike houding teenoor migrante het , die gewilligste is om ’ n reisverbod in te stel en die ywerigste is om muurbouprojekte voor te stel .
(trg)="10"> Ni ushindani juu ya nani ni mkali zaidi juu ya wahamaji , aliye tayari zaidi kuamuru mazuio ya kusafiri na mwenye hamu kubwa ya kupendekeza miradi ya kujenga kuta .

(src)="11"> Al hierdie beperkings spreek bloot die simptome van die probleem aan , nie die oorsake nie .
(trg)="11"> Vikwazo vyote hivi vinatatua viashiria vya tatizo sio visababishi .

(src)="12"> Hoekom is hulle besig om te kom ?
(trg)="12"> Kwa nini wanakuja ?

(src)="13"> Migrante kan perspektiewe deel , as die politici maar net gewillig sou wees om te luister .
(trg)="13"> Wahamaji waweza kutoa mitazamo yao , ikiwa tu wanasiasa watakuwa tayari kusikiliza .

(src)="14"> In Dubai het ek die ongeregtigede en ongelykhede gedokumenteer waaraan die migrante werkers gedurig uitgelewer is .
(trg)="14"> Nikiwa Dubai , nimeandika ukiukwaji wa haki na usawa unaofanywa mara nyingi kwa wafanyakazi wahamiaji .

(src)="15"> Vanweë druk van die regerings van die betrokke lande is ek uit my beroep as joernalis in die Midde-Ooste gedwing .
(trg)="15"> Matokeo yake , mashinikizo toka serikali za nchi husika zimepelekea mimi kuacha kazi yangu ya uandishi habari katika Mashariki ya Kati .

(src)="16"> Ek is na Uganda gedeporteer , waar ekonomiese ontbering almal aan die risiko van hongersnood blootstel .
(trg)="16"> Nilirudishwa Uganda , ambapo uchumi uliokengeuka humweka kila mtu katika hatari ya kukosa chakula .

(src)="17"> Ek het Uganda ontvlug en na die VSA toe gekom met die hoop om my broers en susters se stemme krag te gee , vir die wat as migrante aan ’ n baie erger lot uitgelewer is .
(trg)="17"> Nilikimbia Uganda kuja Marekani Katika tumaini la kudumisha sauti ya kaka na dada zangu ambao wanapata majanga makubwa zaidi kama wahamiaji

(src)="18"> My pa het my gesê hy is nie gelukkig dat ek ’ n boek skryf wat deportasie en werkloosheid kon veroorsaak nie .
(trg)="18"> Baba yangu aliniambia hakuwa na furaha kwa mimi kuandika kitabu kilichohatarisha kurudishwa nyumbani na kukosa kazi

(src)="19"> Hy was al vir etlike jare ’ n diabeet , terwyl ek nog in Dubai gewerk het , en my salaris was altyd voldoende om sy behandelings te dek .
(trg)="19"> Alikuwa na kisukari kwa miaka mingi nilipokuwa bado nikifanya kazi Dubai , na mshahara wangu ulitosha wakati wote kulipia matibabu yake .

(src)="20"> Na ek uitgesit is , kon ek nie bekostig om steeds sy behandeling te betaal nie en in die laaste dae van sy lewe kon ek nie eens bekostig om hom hospitaal toe te neem nie .
(trg)="20"> Baada ya mimi kufukuzwa , Sikuweza kugharamia matibabu yake , na hata katika siku zake za mwisho , sikuweza kumpeleka hospitali .

(src)="21"> Toe ek sy liggaam in my arms gedra het hom om te begrawe , laas jaar Junie , het ek besef dat ek ’ n geweldige prys betaal het om my stem sterker uit te dra .
(trg)="21"> Nilipobeba mwili wake mikononi mwangu kumlaza ardhini Mwezi juni mwaka jana , Nilitambua nimelipa bei kubwa sana kwa ajili ya kukuza sauti yangu .

(src)="22"> Om jou te verset teen ongeregtighede met veelvoudige lae is nooit maklik nie , want die probleme vereis meer as blote retoriek .
(trg)="22"> Kitendo cha kuongelea juu ya udhalimu ulio na matabaka mengi si rahisi , sababu matatizo haya huhitaji zaidi ya elimu ya usemaji .

(src)="23"> Terwyl goudmyne , olievelde en groot plase in Afrika steeds deur buitelandse beleggers besit word en al daai belangrike hulpbronne na die Weste uitgevoer word , sal die stroom migrante uit Afrika aanhou om te vloei .
(trg)="23"> Iwapo migodi ya dhahabu , visima vya mafuta na mashamba makubwa Afrika yataendelea kumilikiwa na wawekezaji wa kigeni na zile rasilimali muhimu zikisafirishwa magharibi , mkodo wa wahamaji wa Kiafrika utaendelea bila kukata .

(src)="24"> Daar is geen beperking wat so streng is , dat dit die migrasie kan stop wat die geskiedenis van die mens bepaal het nie .
(trg)="24"> Hakuna mazuio ambayo yangeweza kuwa madhubuti sana kuzuia wimbi la uhamaji ambalo limeamua historia yetu ya binadamu .

(src)="25"> Voor grensbeheer versterk kan word en nuwe visumbeperkings ingestel kan word , moet lande wat jare lank al migrante ontvang deelneem in oper gesprekke .
(trg)="25"> Kabla ulinzi wa mipaka haujaimarishwa na masharti mapya ya viza kuwekwa , nchi ambazo zimekuwa zikipokea wahamiaji zinatakiwa kujishughulisha na majadiliano ya wazi zaidi .

(src)="26"> Dis die enigste praktiese begin vir die uiteindelike versoening van ’ n nalatenskap van uitbuiting , slawerny , kolonialisme en imperialisme , sodat ons saam vorentoe kan beweeg om ’ n meer regverdige wêreldekonomie te skep in die 21ste eeu -- een waarby almal kan baat .
(trg)="26"> Huo ndio mwanzo pekee wa kitendaji wa kupatanisha , hatimaye , hiba ya unyonyaji , utumwa , ukoloni na ubeberu , ili sote kwa pamoja , tuweze kwenda mbele kujenga uchumi wa dunia wa usawa zaidi katika karne ya 21 -- ambao unanufaisha wote .

# af/ted2020-652.xml.gz
# sw/ted2020-652.xml.gz


(src)="1"> Ek is ’ n storieverteller .
(trg)="1"> Mimi ni msimuliaji wa hadithi

(src)="2"> Ek wil julle ’ n paar persoonlike stories vertel oor " die gevaar van die enkele storie " .
(trg)="2"> Ningependa kuwasimulia kidogo maisha yangu juu ya kile ninachopenda kuita " hatari ya simulizi moja "

(src)="3"> Ek 't op ’ n universiteitskampus in oos-Nigerië grootgeword .
(trg)="3"> Nilikulia mazingira ya chuo kikuu magharibi mwa Nigeria

(src)="4"> My ma sê ek 't op twee begin lees , alhoewel ek dink vier nader aan die waarheid is .
(trg)="4"> Mama yangu anasema nilianza kusoma nikiwa na miaka miwili japo nadhani miaka minne ni sahihi zaidi

(src)="5"> So ek was ’ n vroeë leser en ek 't Britse en Amerikaanse kinderboeke gelees .
(trg)="5"> Niliwahi sana kuanza kusoma Nilisoma vitabu vya watoto vya Uingereza na Marekani

(src)="6.1"> Ek was ook ’ n vroeë skrywer .
(src)="6.2"> Toe ek begin skryf , op omtrent sewe , stories in potlood met krytillustrasies , wat my arme ma móés lees , skryf ek presies die tipe stories wat ek gelees het : Al my karakters was wit met blou oë , hulle 't in die sneeu gespeel , hulle 't appels geëet ( Gelag ) en hulle 't baie oor die weer gepraat , hoe lieflik dit was , dat die son uitgekom het .
(trg)="6.1"> Pia nilianza kuandika katika umri mdogo Na nilipoanza kuandika , nikiwa na takriban miaka saba , hadithi za penseli na michoro ya rangi ambazo mama yangu alilazimika kuzisoma , niliandika hadithi sawa na zile nilizokuwa nazisoma : Wahusika wangu wote walikuwa wazungu na wenye macho ya bluu .
(trg)="6.2"> Walicheza katika theluji .
(trg)="6.3"> Walikula matofaa ( Kicheko ) Na walizungumza sana kuhusu hali ya hewa , jinsi ilivyo vizuri kuona jua limechomoza .

(src)="7"> ( Gelag ) Ondanks die feit dat ek in Nigerië gewoon het .
(trg)="7"> ( Kicheko ) Yote haya , ingawa niliishi Nigeria .

(src)="8"> Ek was toe nog nooit buite Nigerië nie .
(trg)="8"> Nilikuwa sijawahi kwenda nje ya Nigeria .

(src)="9"> Ons 't niks sneeu gehad nie , ons het mangoes geëet , en ons 't nooit oor die weer gepraat nie , want dit was onnodig .
(trg)="9.1"> Hatukuwa na theluji , tulikula maembe .
(trg)="9.2"> Na hatukuzungumza kuhusu hali ya hewa , sababu hakukuwa na haja ya kufanya hivyo .

(src)="10"> My karakters het ook baie gemmerbier gedrink , want die karakters in die Britse boeke het gemmerbier gedrink .
(trg)="10"> Wahusika wangu pia walikunywa sana bia ya tangawizi kwa sababu wahusika katika vitabu vya Uingereza walikunywa bia ya tangawizi .

(src)="11"> Ongeag dat ek g 'n benul van gemmerbier gehad het nie .
(trg)="11"> Ijapokuwa sikuifahamu bia ya tangawizi

(src)="12"> ( Gelag ) En vir baie jare daarna sou ek ’ n brandende begeerte hê om gemmerbier te proe .
(trg)="12"> ( Kicheko ) Na kwa miaka mingi baadaye nilikuwa na shauku ya kuonja bia ya tangawizi .

(src)="13"> Maar dis ’ n ander storie .
(trg)="13"> Lakini hiyo ni hadithi nyingine .

(src)="14"> Wat hierdie wys , dink ek , is hoe ontvanklik en vatbaar ons is met ’ n storie voor oë , veral as kinders .
(trg)="14"> Ambacho hii inaonyesha , nafikiri Ni namna tulivyo wajinga na wanyonge Tunapokabiliana na simulizi hasa hasa kama watoto

(src)="15"> Omdat ek nét boeke gelees het waarin karakters anders was , was ek oortuig dat boeke vanselfsprekend vreemdelinge moes in hê en oor dinge moes gaan waarmee ek nie kon identifiseer nie .
(trg)="15"> Sababu nilisoma vitabu vyenye wahusika wa kigeni Nilikuwa nimeaminishwa kwamba vitabu kwa asili lazima viwe na wahusika wageni Na vielezo kuhusu mambo ambayo binafsi siyafahamu

(src)="16"> Dinge het verander toe ek Afrikaboeke ontdek het .
(trg)="16"> Mambo yalibadilika Nilipopata vitabu vya Afrika

(src)="17"> Daar was nie veel beskikbaar nie en hulle was nie so verkrygbaar soos die buitelandse boeke nie .
(trg)="17"> havikuwepo kwa wingi Na haikuwa rahisi kuvipata kama vya kigeni

(src)="18"> Maar dank skrywers soos Chinua Achebe en Camara Laye , het ek ’ n sielsverskuiwing in my begrip van letterkunde beleef .
(trg)="18"> Lakini sababu ya waandishi kama Chinua Achebe na Camara Laye Nilipata badiliko la akili ninavyoiona fasihi

(src)="19"> Ek het besef dat mense soos ek , meisies met vel die kleur van sjokolade , wat se kroes hare nie kon poniesterte maak nie , ook in literatuur kon bestaan .
(trg)="19"> Niligundua kwamba watu kama mimi , wasichana weusi wenye nywele ngumu pia wapo katika fasihi .

(src)="20"> Ek 't oor vertroude dinge begin skryf .
(trg)="20"> Nilianza kuandika vitu nilivyovifahamu

(src)="21"> Ek was wel versot op die Amerikaanse en Britse boeke .
(trg)="21"> Nilikuwa navipenda hivyo vitabu vya Marekani na Uingereza

(src)="22"> Hulle 't my verbeelding aangegryp , vir my nuwe wêrelde oopgemaak .
(trg)="22"> Viliamsha fikra zangu Vilifunua vitu vipya .

(src)="23"> Maar die gevolg was per abuis dat ek nie geweet het mense soos ek kon in literatuur bestaan nie .
(trg)="23"> Lakini matokeo yasiyokusudiwa yalikuwa ; sikufahamu kuwa watu kama mimi waweza kuwepo katika fasihi .

(src)="24"> So die ontdekking van Afrikaskrywers het my gered van ' n enkele storie hê oor wat boeke in wese is .
(trg)="24"> hivyo ufumbuzi wa waandishi Waafrika : Uliniokoa na mtazamo mmoja juu ya vitabu

(src)="25"> Ek was uit ’ n gewone , middelklas Nigeriese gesin .
(trg)="25"> Ninatoka kwenye familia ya kawaida

(src)="26"> My pa was ’ n professor .
(trg)="26"> Baba yangu alikuwa mhadhiri

(src)="27"> My ma was ’ n administratiewe beampte .
(trg)="27"> Mama yangu ni afisa wa utawala

(src)="28"> En , soos die norm was , het ons inwoon-huishulpe gehad , wat van nabye dorpies af gekom het .
(trg)="28"> Kwa hiyo kama kawaida , tulikuwa na , mtumishi wa nyumbani anayetoka vijiji vya jirani

(src)="29"> Die jaar wat ek agt geword het , het ons ’ n nuwe huisknaap gekry .
(trg)="29"> Nilipokuwa na miaka nane tulipata mtumishi wa kiume

(src)="30"> Sy naam was Fide .
(trg)="30"> Jina lake aliitwa Fide

(src)="31"> My ma het ons net een ding oor hom vertel : sy familie was baie arm .
(trg)="31"> Mama alituambia kuwa familia yake ni masikini sana

(src)="32"> My ma het jamswortels en rys en ons ou klere na sy familie toe gestuur .
(trg)="32"> Mama alituma magimbi na mchele na nguo zetu za zamani kwa familia yao

(src)="33.1"> As ek nie my aandete opgeëet het nie , sou sy sê : " Eet jou kos !
(src)="33.2"> Weet jy dan nie ?
(src)="33.3"> Mense soos Fide se familie het niks nie . "
(trg)="33"> Na niliposhindwa kumaliza chakula mama alisema , " Maliza chakula ! kuna watu ambao hawana chochote

(src)="34"> So ek was baie jammer vir Fide se familie .
(trg)="34"> Niliwahurumia sana familia ya Fide

(src)="35"> Toe een Saterdag gaan ons na sy dorpie op besoek , en sy ma wys vir ons ’ n pragtige gepatroonde mandjie gemaak van gekleurde raffia , wat sy broer gemaak het .
(trg)="35"> Jumamosi moja tukaenda kijijini kwao kutembelea na mama yake akatuonyesha kikapu kizuri kilichosukwa kwa ukili uliopakwa rangi na kaka yake Fide

(src)="36"> Ek was verbaas .
(trg)="36"> Nilishangaa

(src)="37"> Ek 't nie besef dat iemand in sy familie sowaar iets kon máák nie .
(trg)="37"> Sikudhani kuwa yeyote katika familia yake angeweza kutengeneza chochote

(src)="38"> Al wat ek van hulle gehoor het , was hoe arm hulle was , sodat dit vir my onmoontlik geword het om hulle as enigiets buiten arm te sien .
(trg)="38"> yote niliyowahi kusikia kuhusu wao ni namna walivyo masikini Kwa hiyo ilikuwa haiwezekani kwangu kuwaona tofauti na umasikini wao

(src)="39"> Hulle armoede was my enkele storie oor hulle .
(trg)="39"> umasikini wao ilikuwa ni simulizi moja kwangu

(src)="40"> Ek 't later hieroor gedink toe ek weg is uit Nigerië om universiteit toe te gaan in die VSA .
(trg)="40"> baadaye niliwaza hili nilipotoka Nigeria Kwenda Marekani kusoma chuo kikuu

(src)="41"> Ek was 19 .
(trg)="41"> Nilikuwa na miaka 19

(src)="42"> My Amerikaanse kamermaat is deur my geskok .
(trg)="42"> Mmarekani niliyekuwa naishi naye chumba kimoja alinishangaa

(src)="43"> Sy 't my gevra waar ek so goed Engels leer praat het en was verward toe ek sê dat Engels toevallig genoeg die amptelike taal van Nigerië is .
(trg)="43"> Aliuliza wapi nimefunza kuzungumza kiingereza vizuri Alishangaa nilipomwambia kuwa Nigeria wanatumia kiingereza kama lugha ya taifa

(src)="44"> Sy 't gevra om na my " tribal music " te luister en was gevolglik baie teleurgesteld toe ek my Mariah Carey-kasset uithaal .
(trg)="44"> Aliomba kusikiliza " nyimbo za kikabila " na alipigwa butwaa vile vile Nilipompa kanda yangu ya Mariah Carey

(src)="45"> ( Gelag ) Sy 't aangeneem dat ek nie weet hoe om ’ n stoof te gebruik nie .
(trg)="45"> ( kicheko ) Alidhani kuwa sifahamu kutumia jiko la umeme

(src)="46"> Dít het my getref : Sy 't my al bejammer nog voor sy my gesien het .
(trg)="46"> Kilichonishangaza mimi ni hiki Alikuwa ananihurimia hata kabla ya kuniona

(src)="47"> Haar verstekposisie teenoor my , as ’ n Afrikaan , was ’ n soort neerbuigende , goed-bedoelde jammerhartigheid .
(trg)="47"> Mtazamo wake mbovu , kunihusu , kama Mwafrika , Ulikuwa wa huruma ya kudhalilisha , yenye kujali

(src)="48"> My kamermaat het ’ n enkele Afrikastorie gehad : ’ n enkele storie oor katastrofe .
(trg)="48"> Alikuwa na simulizi moja kuhusu Afrika : Simulizi ya majanga .

(src)="49"> In dié enkele storie kon Afrikane geensins soos sy wees nie , was daar geen gevoelens meer kompleks as bejammering nie en geen moontlikheid van ’ n verbinding as gelyke mense nie .
(trg)="49"> Kwenye simulizi hii moja , Hakukuwa na uwezekano wa Mwafrika kufanana naye kwa namna yeyote , Hakukuwa na uwezekano wa hisia ngumu zaidi ya huruma , Hakukuwa na uwezekano wa ushirikiano kama binadamu walio sawa .

(src)="50"> Voor ek VSA toe is , het ek nie bewustelik geïdentifiseer as ’ n Afrikaan nie .
(trg)="50"> Lazima niseme kuwa kabla ya kwenda Marekani , Sikuwa nikijitambua kwa undani kama Mwafrika .

(src)="51"> Maar as Afrika ter sprake was , het almal na my gekyk .
(trg)="51"> Lakini Marekani , popote Afrika ilipotajwa , watu walinigeukia .

(src)="52"> Ondanks dat ek niks geweet het oor plekke soos Namibië nie .
(trg)="52"> Bila kujali kuwa sifahamu chochote kuhusu nchi kama Namibia .

(src)="53"> Ek 't op die ou end dié nuwe identiteit aangeneem , en op baie maniere dink ek nou aan myself as Afrikaan .
(trg)="53"> Lakini nilikuja kuupokea huu utambulisho mpya , Na kwa namna nyingi sasa ninajitazama kama Mwafrika .

(src)="54"> Dit ontstem my wel steeds wanneer Afrika as ’ n land beskou word , die mees onlangse voorbeeld was op my andersins wonderlike vlug , vanaf Lagos twee dae gelede , met die Virgin-aankondiging oor hulle liefdadigheidswerk in " Indië , Afrika en ander lande " .
(trg)="54"> Ijapokuwa bado ninakasirishwa sana pale Afrika inapoelezewa kama ni nchi Mfano wa karibu , ni safari yangu ya ndege Kutoka Lagos hivi juzi , Ambapo kulikuwa na tangazo Kuhusu kazi ya kujitolea kule " India , Afika na nchi nyingine "

(src)="55"> ( Gelag ) So na ek ’ n paar jaar in die VSA as ’ n Afrikaan spandeer het , het ek my kamermaat se reaksie teenoor my begin verstaan .
(trg)="55"> Kicheko Baada ya kuishi Marekani kama Mwafrica Nikaanza kuelewa mwitikio wa niliyekuwa naishi naye chumba kimoja

(src)="56"> As ek nie in Nigerië grootgeword het nie , en as my Afrikakennis uit alledaagse beelde gekom het , sou ek ook dink dat Afrika ’ n plek van pragtige landskappe , mooi diere , en onverstaanbare mense is , aan 't oorlogvoer , sterwend van armoede of VIGS , nie in staat daartoe om vir hulleself te praat nie en wagtend om verlossing deur ’ n gawe , wit vreemdeling .
(trg)="56"> kama sikukulia Nigeria Na kama kila nilichofahamu kuhusu Afrika kilitokana na picha maarufu Mimi pia ningedhani kuwa Africa ni mahali penye mandhari nzuri , Wanyama wa kupendeza , na watu wasioeleweka , wapiganao vita visivyo na maana , wanaokufa na umasikini na UKIMWI wasioweza kujisemea wanaosubiri kusaidiwa na mtu mweupe , mgeni mwenye ukarimu

(src)="57"> Ek sou Afrikane sien net soos ek , as kind , Fide se familie gesien het .
(trg)="57"> Ningewaona waafrika kwa namna ile ambayo mimi , nilipokuwa mtoto , niliiona familia ya Fide

(src)="58"> Dié enkele storie oor Afrika kom uit Westerse literatuur .
(trg)="58"> Hii simulizi moja kuhusu Afrika nadhani inatokana na fasihi za magharibi

(src)="59"> Hier 's ’ n aanhaling uit die skrywe van ’ n Londonse handelaar , John Lok , wat in 1561 na Wes-Afrika geseil het en ’ n boeiende reisverslag gehou het .
(trg)="59"> Sasa , huu ni msemo kutoka katika uandishi wa mfanyabiashara wa London aitwaye John Lok , aliyesafiri kwa maji kuelekea Afrika magharibi mwaka 1561 na aliweka hazina ya kuvutia kutokana na safari yake .

(src)="60"> Nadat hy na die swart Afrikane as " gediertes sonder huise , " verwys , skryf hy : " Hulle is mense sonder koppe , met hul monde en oë in hulle borste . "
(trg)="60"> Baada ya kuwaita Waafrika weusi kama " hayawani wasio na nyumba , " aliandika , " Pia kuna watu wasio na vichwa , midomo na macho yao yapo katika vifua vyao . "

(src)="61"> Ek lag elke keer wat ek dit lees .
(trg)="61"> Sasa , nilicheka kila nikisoma haya maneno .

(src)="62"> En ’ n mens moet sy verbeelding bewonder .
(trg)="62"> Na lazima mtu atakubaliana na fikira za John Lok .

(src)="63"> Maar belangrik is dat sy skryfwerk die begin van ’ n verteltradisie van Afrikastories in die Weste verteenwoordig : ’ n Tradisie van sub-Sahara-Afrika as ’ n plek van negatiewes , van andersheid , van donkerte , van mense wat , in die woorde van die wonderlike digter , Rudyard Kipling , " halfduiwel , halfkind " is .
(trg)="63"> Lakini kipi ni muhimu kuhusu uandishi wake ni kwamba inawakilisha mwanzo wa utamaduni wa kuelezea hadithi za Afrika kwa Magharibi : Utamaduni wa kusini mwa jangwa la Sahara kama sehemu isiyofaa , yenye utofauti , yenye kiza , ya watu ambao , kutokana na maneno ya mshairi bora aitwaye Rudyard Kipling , ni " nusu shetani , nusu watoto . "

(src)="64.1"> En so 't ek begin besef dat my Amerikaanse kamermaat haar hele lewe lank verskillende weergawes van hierdie enkele storie moes gesien en gehoor het .
(src)="64.2"> So ook ’ n professor , wat op ’ n keer vir my gesê het dat my roman nie " eg aan Afrika " is nie .
(trg)="64"> Hivyo , nilianza kuelewa kwamba mwanafunzi Mmarekani ninayeshirikiana nae chumba lazima katika maisha yake atakuwa ameona na kusikia namna mbalimbali za hii hadithi moja , kama ilivyo kwa profesa , ambaye aliwahi niambia kuwa riwaya yangu haikuwa " na uhalisia wa Kiafrika , "

(src)="65"> Ek was bereid om aan te voer dat daar heelwat dinge met die roman verkeerd was , dat dit op vele punte misluk het , maar ek het nie kon droom dat dit die kastige " eg aan Afrika " paal nie gehaal het nie .
(trg)="65"> Sasa , nilikubaliana na kuchanganua kwamba kulikuwa na baadhi ya vitu ambavyo si sawa katika riwaya hii , na kuwa nilifeli katika maeneo mbalimbali , lakini sikufiria kwamba ilifeli katika kutekeleza uhalisia wake wa Kiafrika .

(src)="66"> Ek het inderwaarheid nie geweet wat Afrika-egtheid was nie .
(trg)="66"> Kiukweli , sikufahamu uhalisia wa Kiafrika ni upi .

(src)="67"> Die professor het my meegedeel dat my karakters te veel soos hy was , ’ n opgevoede , middelklas man .
(trg)="67"> Profesa alinielezza kwamba wahusika kwenye riwaya walikuwa wanafanana mno kama yeye , msomi aliye katika maisha ya kati .

(src)="68"> My karakters het motors bestuur .
(trg)="68"> Wahusika wangu waliendesha magari .

(src)="69"> Hulle 't nie van honger vergaan nie .
(trg)="69"> Hawakuwa wanashinda na njaa .

(src)="70"> Gevolglik was hulle nie eg aan Afrika nie .
(trg)="70"> Kwa hiyo hawakuwa Waafrika halisi .

(src)="71"> Maar ek moet byvoeg dat ek net so skuldig is aan die enkele storie kwessie .
(trg)="71"> Lakini niongeze haraka-haraka kwamba najisikia hatia katika swali la la hadithi iliyo moja .

(src)="72"> Ek 't ’ n paar jaar gelede Meksiko besoek uit die VSA .
(trg)="72"> Miaka michache iliyopita , nilitembelea Mexico nikitokea Marekani .

(src)="73"> Die politieke klimaat in die VSA was gespanne , en debatte oor immigrasie het geheers .
(trg)="73"> Hali ya kisiasa nchini Marekani wakati huo ilikuwa tete , kulikuwa na majadiliano yanayoendelea kuhusu uhamiaji .

(src)="74"> En , soos dit baie in Amerika gebeur , het immigrasie sinoniem met Meksikane geword .
(trg)="74"> Na , mara kwa mara hutokea Marekani , neno uhamiaji likaja kuwa linahusishwa na watu wenye asili ya Mexico .