# swa/HTaK8SKkNvVy.xml.gz
# tg/HTaK8SKkNvVy.xml.gz


(src)="1"> [ Chuo Kikuu cha Stanford www . stanford . edu ]
(trg)="1"> [ Донишгоҳи Стэнфорд www . stanford . edu ]

(src)="2"> Mtangazaji :
(trg)="2"> Рови :

(src)="3"> Kipindi hiki kimewaletea na Chuo Kikuu cha Stanford .
(trg)="3"> Ин барнома аз тарафи Донишгоҳи Стэнфорд пешниход шудааст .

(src)="4"> Tafadhali wasiliana nasi kwa stanford . edu
(trg)="4"> Мархамат кунед ба сомонаи мо : stanford . edu

(src)="5"> [ upigaji makofi ]
(trg)="5"> [ Қарсак ]

(src)="6"> Steve Jobs :
(trg)="6"> Стив Ҷобс :

(src)="7"> Asanteni
(trg)="7"> Рахмат .

(src)="8"> [ Steve Jobs - Mkurugenzi Mkuu Apple na Pixar Animation ]
(trg)="8"> [ Стив Ҷобс - раиси Apple ва Pixar Animation ]

(src)="9"> Ni heshima kwangu kuwepo na nyinyi katika sherehe ya mahafali ya kutunuku shahada kutoka katika chuo kikuu ambacho ni kimojawapo bora katika dunia nzima .
(trg)="9"> Ҷобс :
(trg)="10"> Барои ман ифтихори калон аст имруз бо шумо дар супоридани дипломхои яке аз донишгоххои бехтарини дунё иштирок намоям .

(src)="10"> [ ukelele wa kufurahia ]
(trg)="11"> [ садои ҳуштаки тамошобинон ]

(src)="11"> Kusema kweli mimi sijatunukiwa shahada ya chuo kikuu na hii ni mara yangu ya kwanza kuhudhuria mahafali yoyote .
(trg)="12"> Иқрор мешавам , ман коллеҷро хатм накардаам .
(trg)="13"> Ягон вакт ба мисли ҳозира ба хатм наздик нашуда будам .

(src)="12"> [ vicheko ]
(trg)="14"> ( Ханда )

(src)="13"> Leo naomba niwasimulie visa vitatu vilivyotokea maishani mwangu .
(trg)="15"> Ман имруз се киссаро аз ҳаёти худам ба шумо накл кардан мехохам .
(trg)="16"> Ва тамом .
(trg)="17"> Ягон чизи бузург не .

(src)="14"> Vitatu tu , basi .
(trg)="18"> Танхо се кисса .

(src)="15"> Cha kwanza ni juu ya kuunganisha nukta .
(trg)="19"> Киссаи якум- дар бораи васлкунии нуктахо .

(src)="16"> Niliacha masomo katika Chuo cha Reed baada ya muda wa miezi sita za kwanza katika mwaka wa kwanza , halafu nikakaa kama mgeni kwa muda wa miezi kumi na nane hivi kabla ya kusimamisha masomo kabisa .
(trg)="20"> Ман Reed College- ро баъди 6 мохи хониш партофтам , вале он чо хамчун " мехмон " боз 18 мохи дигар мондам , То вакте , ки окибат нарафтам .

(src)="17"> Kwa nini niliacha masomo ?
(trg)="21"> Барои чи ман хонданро партофтам ?

(src)="18"> Sababu inatangulia kuzaliwa kwangu .
(trg)="22"> Хамаи чиз пеш аз таваллуди ман сар шуда буд .

(src)="19"> Mama mzazi yangu alikuwa msichana hajaolewa alikuwa akitimiza shahada ya uzamili akaamua niwe mtoto wa kupanga .
(trg)="23"> Модари биологии ман аспиранти чавон , бешавхар буд ва ба кароре омад , ки маро ба фарзанди дихад .

(src)="20"> Alikuwa na msimamo wa dhati nilelewe na watu waliotimiza shahada ya chuo kikuu .
(src)="21"> Kwa hivyo mpango ukafanyika niasiliwe na mwanasheria na mkewe .
(trg)="24"> Вай истодагари кард , то ки маро шахсони маълумоти олидор ба фарзанди кабул кунанд , барои хамин ба ман муяссар шуд , фарзандхонди хукушинос ва зани вай шавам .

(src)="22"> Isipokuwa nilipoibuka mtoto wa kiume dakika la mwisho wakaamua wanataka mtoto wa kike .
(trg)="25"> Рости чанд дакикае пеш аз ба дунё омадани ман , онхо карор доданд , ки духтар мехоханд .

(src)="23"> Kwa hivyo wazazi wangu walioandikwa katika orodha ya wanaosubiri kumwasili mtoto walipigiwa simu usiku wa manane na wakaulizwa :
(trg)="26"> Барои хамин онхоро шаб телефон карда пурсидан :

(src)="24"> " Tumepata mtoto wa kiume asiyetarajiwa ; mnamtaka ? "
(trg)="27"> " Тасодуфан писар таваллуд шудааст .
(trg)="28"> Шумо уро мехохед ? " Онхо гуфтанд :

(src)="26"> " Bila shaka . "
(trg)="29"> " Албатта " .

(src)="27"> Baadaye mama mzazi yangu aligundua mama yangu alikuwa hajamaliza chuo kikuu huku mumewe baba yangu hajamaliza shule ya sekondari .
(trg)="30"> Баъд модари биологии ман фахмид , ки модархонди ман- хатмкунандаи колеч нест , падархондам бошад , хеч вакт хатмкунандаи мактаб набуд .

(src)="28"> Akakataa kutia sahihi hati maalum ya kuasiliwa .
(trg)="31"> Вай имзо кардани когазхоро дар бораи писархонди рад кард .

(src)="29"> Baada ya miezi michache kupita akakubali shingo upande kutokana na ahadi ya wazazi wapya ya kuwa mimi nitasoma chuo kikuu .
(src)="30"> Hayo ndiyo yalikuwa mwanzo wa maisha yangu .
(trg)="32"> Ва танхо чанд мох баъд вай рози шуд , вакте , ки волидони ман ваъда доданд , ки ман хатман ба колеч меравам .

(src)="31"> Baada ya miaka kumi na saba kupita nilianza chuo kikuu lakini katika ushamba wangu nikachagua chuo ghali karibu sawa na Stanford .
(trg)="33"> Ва 17 сол баъд ман рафтам .
(trg)="34"> Вале ман соддалавхона колечро интихоб кардам , ки кариб мисли Стэндфорд киммат буд ва хамаи захираи волидонам барои омодашави ба он сарф шуд .

(src)="33"> Baada ya muda wa miezi sita sikuona thamani ya masomo hayo .
(trg)="35"> Баъди шаш мох ман максади хонданани худро намедидам .

(src)="34"> Sikuwa na mpango wa maisha mbali na uwezo wa chuo kunisaidia katika kufafanua mpango upi unanifaa zaidi .
(trg)="36"> Ман намедонистам , ки чи мехохам дар зиндагиям бикунам ва намефахмидам , ки колеч ба ман барои инро фахмидан чи кумак мекунад .

(src)="35"> Huku nikitumia pesa zote za akiba ya maisha ya wazazi wangu .
(trg)="37"> Ва акнун ман танхо пулхои волидонамро , ки онхо тамоми умр чамъ карда буданд харч мекардам .

(src)="36"> Basi nikakata shauri kuachana na masomo nikiamini mambo yatakuwa shwari .
(trg)="38"> Барои хамин ман карор додам , ки колечро партоям ва бовар кунам , ки хамааш хуб мешавад .

(src)="37"> Wasiwasi ilinikumba wakati huohuo lakini sasa nikilitafakari shauri hilo ni miongoni mwa yale bora katika maisha yangu .
(trg)="39"> Дар аввал ман тарсида будам , аммо холо ба гузашта менигарам , мефахмам , ки ин аз хама карори бехтарин дар хаёти ман аст .

(src)="38"> [ vicheko ]
(trg)="40"> ( Ханда )

(src)="39"> Pindi tu nilipoachana sikulazimishwa kuchukua madarasa yale ambayo hayakunivutia .
(src)="40"> Nikaenda kwa yale yaliyovutia kwangu .
(trg)="41"> Дар он лахзае , ки ман колечро партофтам , ман тавонистам дигар нагуям , ки дарсхои зарури ба ман шавковар нестанд ва ба онхое равам , ки шавковар менамуданд .

(src)="41"> Sikuwa na maisha ya starehe .
(trg)="42"> Хамаи чиз хаёлпарастона набуд .

(src)="42"> Sikuwa na chumba katika bweni .
(src)="43"> Ilibidi nilale sakafuni katika vyumba vya marafiki .
(src)="44"> Nilikuwa nikiokota chupa kupata senti za kununulia chakula .
(trg)="43"> Ман дар хобгох уток надоштам , барои хамин ман дар болои фарши утокхои дустонам мехобидам , ман шишахои Коларо ба 5 сент мефурухтам , то ки хурок харам ва 7 мил аз байни шахр хар бегохи якшанбе рох мерафтам , то ки як бор дар хафта дар ибодатхонаи кришнаитхо нагз хурок хурам .

(src)="46"> Niliipenda mno .
(trg)="44"> Вай ба ман маъкул буд .

(src)="47"> Mengi niliyowahi kutokana na upekuzi wangu pamoja na uwezo wangu kuelewa yakawa adimu nyakati za baadaye .
(trg)="45"> Ва бисёр чизхое , ки ман аз руи гувохии дил ва кунчковиам во хурдам , дертар киммати худро пайдо карданд .

(src)="48"> Hebu , nitoe mfano mmoja :
(trg)="46"> Ана ба шумо мисол :

(src)="49"> Wakati huo Chuo cha Reed kilikuwa na ufundisho bora wa utaalamu wa maandiko kuliko vyuo vyote vingine nchini .
(trg)="47"> Reed College доим дарсхои бехтарини хушхатнависи медод .

(src)="50"> Kwenye eneo la chuo kila tangazo , kila kitambulisho kwenye mitoto ya meza kilichorwa vizuri sana .
(src)="51"> Kwa sababu nimeshajitoa masomoni sikulazimishwa kuchukua madarasa yanayotakiwa na nikaamua kuchukua darasa la utaalamu wa maandiko nijifunze jinsi ya kufanya .
(trg)="48"> Чи тавре , ки ман фарк мекардам ва дарсхои лозимиро намегирифтам , ман ба дарсхои хушхатнависи худамро номнавис кардам .

(src)="52"> Nilijifunza aina za chapa mifano ni serif na sans serif , juu ya upimaji nafasi katikati ya michanganyiko tofauti ya herufi , na juu ya ukamilifu wa utaalamu wa maandiko , kitu gani kinaleta ukamilifu .
(trg)="49"> Ман дар бораи serif ва san serif фахмидам , дар бораи фосилаи байни мувофикатии харфхо , дар бораи он , ки чи матбааи хубро хубтар мекунад .

(src)="53"> Kujifunza huko kulikuwa kuzuri , kwenye usanaa usio na kujivuna mbali na mazingira ya kisayansi , kwangu mimi nilivutiwa kupindukia .
(trg)="50"> Вай зебо , таърихи буд ва то он дарачае санъаткорона нозук аст , ки илм инро фахмида наметавонист .

(src)="54"> Sikuwa na matumaini ya kuyatumia masomo hayo katika kazi nitakayofanya ,
(trg)="51"> Ягон чиз барои хаёти ман аз инхо мухим наменамуданд .

(src)="55"> Lakini baada ya muda wa miaka kumi kupita tulipokuwa tunabunia tarakilishi ya kwanza aina ya Mactintosh nikafikiria upya mafundisho hayo .
(trg)="52"> Вале баъд аз дах сол , вакте , ки мо Макинтоши якумро тайёр мекардем , хамаи ин даркор шуд .

(src)="56"> Tulitumia kabisa katika ubunaji wa Mac ambayo ilikuwa tarakilishi ya kwanza kuwa na utaalamu mzuri wa maandiko .
(trg)="53"> Ва Мак якум компютери бо матбааи зебо шуд .

(src)="57"> Nisingeli kuwa mgeni katika darasa hilo nilipokuwa ninahangaika kwenye chuo , tarakilishi iitwayo Mac haikungali kuwa na aina nyingi za herufi wala herufi zenye uwiano wa nafasi za katikati zao .
(trg)="54"> Агар ман дар хамон дарс дар колеч худамро номнавис намекардам ,
(trg)="55"> Мак хеч гох дорои якчанд гарнитур ва харфхои мутаносиб намешуд .

(src)="58"> Na kwa sababu Windows iliiga Mac haielekei tarakilishi za kibinafisi zozote zingekuwa nazo kamwe .
(trg)="56"> Чи тавре , ки Windows- ро аз хамин Мак руйбардор карданд , хатто компютерхои шахси , умуман инхо набуданд .

(src)="59"> [ vicheko na upigaji makofi ]
(trg)="57"> ( ханда ва карсак )

(src)="60"> Nisipongeliachana na masomo singalipitia darasa lile la utaalamu wa maandiko . matokeo yake tarakilishi ya kibinafsi hazingekuwa na vivutio kiasi zinazokuwa nazo .
(trg)="58"> Агар ман озод намешудам , ман хеч гох ба он дарси хушхатнивиси худамро номнавис намекардам ва компютерхо чун хозира хеч гох дорои чунин матбааи хайратангез намешуданд .

(src)="61"> Bila shaka ilikuwa haiwezekani kuunganisha nukta zitakazokuja mambo ya usoni nilipokuwa chuoni .
(trg)="59"> Албатта , он вакте , ки ман дар колеч будам , хамаи нуктахоро якчоя пайваст карда намешуд .

(src)="62"> Lakini mambo yakadhihirika kweupe nikirudia nyuma baada ya muda wa miaka kumi kupita .
(trg)="60"> Вале баъди дах сол хамаи чиз хело ва хело аён шуд .

(src)="63"> Kutia mkazo kauli hiyo , huwezi kuunganisha nukta za mambo ya usoni ; ni zile tu zilizokwisha fanyika ambazo zinaweza kuzingatiwa ziunganishwe ,
(trg)="61"> Боз як бори дигар : ба пеш нигох карда , шумо нуктахоро пайваст карда наметавонед , шумо ба гузашта нигох карда , онхоро метавонед пайваст кунед .

(src)="64"> Lazima uamini nukta za baadaye zitaunganika katika maisha yako ya baadaye .
(trg)="62"> Барои хамин ба шумо лозим аст , ки ба нуктахое бовар кунед , ки шумо ягон хел дар оянда пайваст мекунед .

(src)="65"> Sharti uwe na uaminifu wa huenda moyo wako , majaliwa , maisha , hulka zako , na kadhalika .
(src)="66"> Kwa sababu kuamini nukta zitaunganika baadaye kutakutilia moyo na imani kupiga njia uliyoinyoshea wewe mwenyewe .
(trg)="63"> Ба шумо лозим меояд , ки ба чизе умед бандед : ба сарнавишт , ба рафтор , ба зиндаги - чизе , ки хохед .

(src)="67"> Hata ukifuata njia isiyo ya kawaida , uaminifu ndio utakunyoshea .
(trg)="64"> Чунин муносибат хеч гох маро дар холати ногувор намондааст ва он хаёти маро дигар кард .

(src)="68"> Kisa changu cha pili ni juu ya upendo na kukosa upendo .
(trg)="65"> Киссаи дуюми ман- дар бораи ишк ва аз даст додан .

(src)="69"> Mimi nilibahatika - nilipata kujua ninavyopenda kufanya nikiwa bado mvulana .
(trg)="66"> Ба ман омад кард- ман чизеро , ки дар зиндагидуст медоштам кардан , хеле барвакт ёфтам .

(src)="70"> Mimi pamoja na rafiki yangu jina lake Woz tulianzisha kampuni la Apple kwenye kibanda cha gari nyumbani kwao wazazi wangu na mimi nikiwa na umri wa miaka ishirini .
(trg)="67"> Woz ва ман Apple- ро дар гаражи волидони ман таъсис кардем , вакте , ки ман 20 сол доштам .

(src)="71"> Tulifanya kazi kwa bidii na baada ya muda wa miaka kumi kampuni ya Apple iliyoanzia na watu wawili sisi tukiwa kwenye kibanda , ilikua kupata thamani ya dola bilioni mbili ikiwa na waajiriwa zaidi ya elfu nne .
(trg)="68"> Мо сахт мехнат кардем ва баъди дах сол Apple аз ду шахси дар гараж то $2- миллиард корхона бо 4000 коргар расид .

(src)="72"> Tulikuwa tumetoa maumbile yetu bora - Macintosh , mwaka mmoja kabla , nami nikipata umri wa miaka thelathini .
(trg)="69"> Мо аз хама офариниши бехтарини худро- Макинтош- ро як сол пеш баровардем , ки ман хануз 30 сол доштам .

(src)="73"> Kisha nikafukuzwa kazini .
(trg)="70"> Ва баъд маро аз кор хорич карданд .

(src)="74"> Je , inawezaje kufukuzwa kutoka kampuni uliyoanzisha wewe mwenyewe ?
(trg)="71"> Чи хел шуморо аз корхонае , ки худатон асос гузоштаед , метавонанд биронанд ?

(src)="75"> Basi kama kampuni ya Apple ilivyoendelea kukua tukaajiri mtu mwenye kipaji kizuri kuongoza kampuni akiwa na mimi , na mwaka wa kwanza mambo yakawa shwari .
(trg)="72"> Ба сатхи афзоиши Apple мо коргарони болаёкатро ба кор гирифтем , то ки ба ман дар рохбарии корхона кумак кунанд ва дар панч соли аввал хамааш нагз мерафт .

(src)="76"> Halafu baada ya hapo mitazamo yetu ikaanza kutengana hatimaye tukafarakana .
(trg)="73"> Вале баъд пешбинихои мо аз хад гузашт ва мо дар охир чанги шудем .

(src)="77"> Tulipofarakana baraza letu la wakurugenzi wakamuunga mkono yeye .
(trg)="74"> Шурои директорон ба тарафи вай гузаштанд .

(src)="78"> Kwa hivyo nikiwa na umri wa miaka thelathini nilifukuzwa kazi bayana ikatangazwa kwenye magazeti .
(trg)="75"> Барои хамин ман дар 30 солаги аз кор озод будам .

(src)="79"> Kitu kilichokuwa kitovu cha maisha yangu nikiwa mtu mzima kimekwisha , nami nikadhoofika .
(trg)="76"> Илова ба ин дар байни омма .
(trg)="77"> Чизе, ки маънои хаёти ман буд , гум шуд .

(src)="80"> Kwa muda wa miezi michache , kweli nilikuwa sikujua la kufanya .
(trg)="78"> Ман чанд мох намедонистам , ки чи кор кунам .

(src)="81"> Niliona nimewasikitisha wale wajasiriamali wa kizazi kilichotangulia - nikashindwa kubeba amali ilyonipasa niibebe .
(trg)="79"> Ман хис мекардам , ки ман насли гузаштаи сохибкоронро хичолатманд кардам , ки ман чубчаи таъсирбахшро афтондам , вакте , ки онро ба ман медоданд .

(src)="82"> Tulikutana na David Packard pamoja na Bob Noyce nikaomba radhi kwa kuharibu mambo .
(trg)="80"> Ман бо David Packard ва Bob Noyce во хурдам ва хостам , ки барои кори кардаам бахшиш пурсам .

(src)="83"> Kushindwa kwangu kulijulikana na wengi hata nilifikiri kukimbia Bonde .
(trg)="81"> Ин шикасти оммави буд ва ман хатто фикр кардам , ки кучое дуртар гурезам .

(src)="84"> Lakini katika mwendo polepole nilitanabahi ya kuwa bado niliipenda kazi yangu .
(trg)="82"> Вале чизе охиста дар ман падидор шуд- ман то хол дуст медоштам чизе , ки мекардам .

(src)="85"> Mambo yaleyale ya mabadiliko pale Apple hayajaubadilisha upendo wangu hata kidogo .
(trg)="83"> Рафти ходисахои Apple танхо андак хамаро дигар кард .
(trg)="84"> Ман радкардашуда будам , вале ман дуст медоштам .

(src)="86"> Kwa hivyo basi nikaamua kuanzia upya .
(trg)="85"> Ва дар охир ман карор додам , ки хамаро аз сари нав огоз намоям .

(src)="87"> Sikufahamu wakati huohuo mambo yakawa kufukuzwa kwangu Apple kulinifanyia mema kwa kiwango cha juu .
(trg)="86"> Он вактхо ман инро намефахмидам , вале маълум шуд , ки рондан аз Apple хубтарин чизе буд , ки бо ман рух дода буд .

(src)="88"> Uzito ulionitwisha wa kufaulu kwangu ulichukuliwa na urahisi wa kuwepo mwanzoni kwa mara nyingine , nikiwaza na kuwazua .
(trg)="87"> Вазнинии шахси бобарор ба сабукфикрии шуруъкунанда , дилпурии камтар ба чизе табдил ёфт .

(src)="89"> Niliachiliwa huru kuanzisha muda wa ubunaji ulionufaika zaidi katika maisha yangu yote .
(trg)="88"> Ман озод шудам ва ба яке аз бехтарин мархилаи фаъоли хаёти дохил шудам .

(src)="90"> Katika miaka mitano iliyofuata nilianzisha kampuni jina lake , NeXT , nyingine jina lake Pixar , nikampenda kwa dhati mwanamke wa aina yake akawa mke wangu .
(trg)="89"> Дар тули панч соли оянда ман ширкати NeXT- ро асос гузоштам , дигар ширкатро бо номи Pixar , ва ба зани бисёр нагз ошик шудам , ки завчаи ман шуд .

(src)="91"> Kampuni Pixar ikabunia sinema ya tarakilishi ya katuni hai ya kwanza katika dunia iitwao Toy Story halafu sasa Pixar imefaulu kushinda kampuni za katuni hai zote katika dunia .
(src)="92"> [ upigaji makofi na ukelele wa kufurahia ]
(trg)="90"> Pixar якумин филми аниматсионии компютериро офарид, ва Toy Story холо яке аз бомуваффакияттарин студияи аниматсиони дар дунё ба хисоб меравад , [ карсак ва хуштак ]

(src)="93"> Katika mabadiliko hayo ya matukio yasiyo na kifani , kampuni ya Apple ilinunua kampuni ya NeXT nami nikarudia Apple , huku teknolojia iliyoundwa kampuni ya NeXT ikawa chimbuko la mvuvumko wa Apple wa leo hii .
(trg)="91"> дар рафти ходисахои таачубовар , Apple NeXT- ро харидори кард , ман ба Apple баргаштам ва технологияи дар NeXT тайёркардашуда зиндашавии дили Apple- и хозира шуд .

(src)="94"> Isitoshe mimi pamoja na mke wangu tumebarikiwa na familia nzuri mno .
(trg)="92"> Laurene ва ман оилаи бехтарин шудем .

(src)="95"> Nina hakika mambo hayo yote hakungalifanikiwa endapo mimi nisipongelifukuzwa kazi Apple .
(trg)="93"> Ман бовари дорам , ки хеч чизе аз инхо намешуд , агар маро аз Apple намеронданд .

(src)="96"> Ilikuwa dawa chungu kabisa lakini nakisia mimi nikiwa mgonjwa niliihitaji .
(trg)="94"> Дору талх буд , вале беморро кумак кард .

(src)="97"> Wakati mwingine unapigwa kichwani na maisha .
(trg)="95"> Баъзан зиндаги шуморо бо хишт ба саратон мезанад .

(src)="98"> Usipoteze imani .
(trg)="96"> Бовариатонро гум накунед .

(src)="99"> Mimi ninaamini ndio upendo wa kazi yangu ulionisukuma niendelee nayo .
(trg)="97"> Ман бовари хосил кардам , ки ягона чизе , ки барои давом додани корам кумак кард ба ман , ин буд , ки ман кори худро дуст медоштам .

(src)="100"> Huna budi kutafuta lile unayolipenda ama ni kazi au wapenzi wako .
(trg)="98"> Ба шумо лозим аст чизеро ёбед , ки дуст медоред .
(trg)="99"> Ва ин хам барои кор ва хам барои муносибат дуруст аст .

(src)="101"> Kazi yako hula sehemu kubwa sana ya maisha yako , njia pekee kuridhika nayo ni kufanya ile unayoamini ni kazi muhimu mno .
(trg)="100"> Кори шумо кисми зиёди хаёти шуморо пур мекуна ва усули ягонаи пурра рози будан- коре , ки ба фикри шумо кори бузург аст кунед .

(src)="102"> Pia njia ya pekee katika kufanya kazi muhimu mno ni kupenda unayoifanya .
(trg)="101"> Ва усули ягонаи кори бузургро кардан- чизе , ки мекунед , дуст доштан .

(src)="103"> Endapo bado hujaikuta , endelea kuitafuta usikubali kwa shingo upande .
(trg)="102"> Агар шумо кори худро наёфтаед , бикобед .
(trg)="103"> Наистед .

(src)="104"> Kama yalivyo katika mambo ya mapenzi , utafahamu ndipo utakapoikuta .
(trg)="104"> Чи хеле , ки ин бо корхои аз дил мешавад , шумо мефахмед , вакте , ки меёбед .

(src)="105"> Na kama yalivyo katika uhusiano wa kimapenzi kila ukipita wakati , nao unaendelea kuboreka .
(trg)="105"> Ва мисли дилхох муносибатхои хуб , онхо сол то сол хубтар ва хубтар мешаванд .

(src)="106"> Kwa hivyo endelea kuitafuta usikubali kwa shingo upande .
(trg)="106"> Барои хамин кобед , то вакте , ки наёбед .
(trg)="107"> Наистед .

(src)="107"> [ Upigaji makofi ]
(trg)="108"> ( Карсак )

(src)="108"> Kisa changu cha tatu ni juu ya kifo .
(trg)="109"> Киссаи сеюми ман- дар бораи марг .