Creó los cielos y la tierra y todo lo que en ellos hay.
Mungu ni mkuu sana. Uweza wake ni mkuu kuliko vyote.


Es asombroso ver lo que Dios ha hecho.
Aliumba mbingu na nchi na vyote ndani yao.

Todo lo que Dios hizo era bueno.
Tukiangalia kila kitu Mungu alichofanya inashangaza.

Dios creó todas las diferentes clases de plantas y de animales.
Chaonyesha ukuu na wema na uweza wake. Mungu aliumba mimea na wanyama.

Entonces formó al primer hombre del polvo de la tierra, sopló en su nariz, y le dio vida.
Kisha, akamfanya mtu kutoka udongo.

El primer hombre se llamó Adán.
Mtu huyu wa kwanza aliitwa Adamu.

Entonces Dios creó a la primera mujer para ser la esposa y compañera de Adán.
Kisha Mungu alichukua ubavu mmoja wa Adamu,

La llamó Eva.
Na kutoka huo akamuumba mwanamke kuwa mke na mwenzi wake.

Dios creó a Adán y Eva con algunas de sus características para que pudieran gozar de una relación íntima con El.
Aliitwa Hawa. Mungu aliumba mwanaume na mwanamke, na baadhi ya sifa zake, ili waweze kufurahia uhusiano wa karibu naye.

Ellos vivían gozosos en la presencia de Dios en un hermoso huerto llamado Edén. Allí no había sufrimiento ni muerte.
Waliishi kwa furaha katika uwepo wake katika bustani nzuri iliyoitwa Edeni.

Dios le dijo a Adán, "De todo árbol del huerto podrás comer excepto de uno.
Mungu alimwambia Adamu;

Si comieres de ese árbol ciertamente morirás".
Unaweza kula matunda yo yote ya miti katika bustani, kasoro mmoja.

Pero un día Satanás tentó a Eva.
Ikiwa utakula tunda kutoka mti huo utakufa.

Ella comió del fruto del árbol prohibido y su marido también comió.
Siku moja Shetani alimjaribu Hawa, kula tunda lile.

En ese momento se rompió su comunión con Dios.
Alichukua lile tunda akala sehemu, na pia mumewe akala.

Dios es santo y las personas que pecan no pueden vivir en Su presencia.
Walifanya hivi kwa sababu walimwamini Shetani kuliko Mungu. Hapo hapo uhusiano wao na Mungu ulivunjika.

Así que Dios sacó a Adán y Eva del huerto.
Hivyo Mungu alimfukuza Adamu na Hawa kutoka bustani ya Edeni.

Sufrieron esta vergüenza porque desobedecieron a Dios.
Waliteseka kwa aibu hii, kwa sababu hawakumtii Mungu.

Como resultado, Adán, Eva y todos sus descendientes han sufrido del dolor y muerte.
Matokeo yake kwa Adamu na Hawa na uzao wao wote ni mateso na kifo. Lakini Mungu ni wa rehema nyingi.

Pero Dios continúa amando a los humanos.
Aliendelea kuwapenda sana wanadamu.

Ya había preparado un medio para que ellos pudieran volver y vivir con El.
Alikuwa ameandaa njia kwa wao kurudi, na kuishi katika ushirika naye tena.

En las Escrituras, Dios revela Su plan para salvar a los seres humanos del pecado la vergüenza y el castigo que ellos merecen, para que así puedan vivir para siempre en comunión con El.
Katika maandiko Mungu anaonyesha mpango wake wa kuokoa wanadamu, kutoka adhabu waliyostahili, kwa kuondoa dhambi yao na aibu.

Dios prometió bendecirlo y bendecir a todos las naciones a través de él.
Abrahamu alimtegemea Mungu na kumheshimu.

Dios prometió darle muchos descendientes, tantos como la arena que está a la orilla del mar.
Mungu alimwahidi kumbariki na kubariki watu wa mataifa yote kupitia yeye. Alimwahidi kumpa uzao mwingi kama mchanga wa bahari.

... y comolasestrellasdelcielo
Na nyota za angani.

Abraham creyó a Dios y por haber creído lo declaró justo y la gente lo llamó "amigo de Dios".
Abrahamu alimwamini Mungu, Mungu akamhesabia kuwa ni mwenye haki sababu ya imani hiyo.

Un día Dios probó a Abraham para ver si confiaba en El y obedecería sus mandatos. Le dijo a Abraham que tomara a su hijo y que lo sacrificara.
Siku moja Mungu alimjaribu Abrahamu kuona kama angeweza kumtegemea na kutii amri zake.

Abraham sabía que era a través de ese hijo que Dios había prometido darle muchos descendientes sin embargo confiaba en Dios y le obedeció.
Alimwambia kumchukua mtoto wake na kumtoa sadaka. Abrahamu alijua kwamba ilikuwa kupitia mtoto huyo mmoja Mungu alimwahidi kumpa uzao mwingi.

Por lo tanto se preparó para ofrecer a su hijo como un sacrificio a Dios.
Bado alimtegemea Mungu na kumtii. Kwa hiyo alijiandaa kumuua mtoto wake, kuwa sadaka kwa Mungu.

Pero Dios le dijo, "No lastimes al muchacho.
Abrahamu aliinua kisu chake,

Conozco que me temes, y estás dispuesto a obedecerme."
"Lakini Mungu alisema; usimdhuru mtoto.

Entonces Abraham vio a un carnero trabado en un zarzal. Así que Abraham tomó el carnero que Dios había provisto y lo sacrificó a Dios en lugar de su hijo.
Kisha Abrahamu aliona kondoo karibu, amejishika pembe zake katika kichaka.

Cuando Dios proveyó un carnero como sacrificio para morir en lugar del hijo de Abraham,
Wakati Mungu alitoa kondoo kama sadaka, ili kufa badala ya mtoto wa Abrahamu.

Dios mostró Su gran amor para la gente.
Alimwonyesha upendo wake mkuu kwa watu.

También reveló Su plan de proveer un sacrificio para morir en lugar de los seres humanos.
Upendo wake ni kama upendo alionao baba kwa mtoto wake.

Hace mucho tiempo, Dios les reveló a los profetas que El enviaría a una persona sin pecado a morir en lugar de los descendientes de Adán y esta persona quitaría el pecado y la vergüenza de ellos.
Hapo zamani Mungu alionyesha kwa manabii kwamba, angemtuma mtu asiye na dhambi. Ili afe badala ya uzao wa Adamu. na kuiondoa dhambi na aibu yao.

Su sacrificio abriría para aquellos que creyeran en Él el camino para vivir en comunión con Dios para siempre.
Kwa sadaka yake kuu, angefungua njia kwa wale ambao wanamwamini, na waishi katika ushirika na Mungu, katika Ufalme wa Mungu.

Los profetas llamaron a esta persona "el Mesías".
Manabii walimwita mtu huyu "Masihi".

Dijeron que Dios enviaría al Mesías a salvar a la gente y que reinaría sobre ellos para siempre en nombre de Dios.
Walisema kwamba Mungu angemtuma Masihi, kuokoa watu na kuwatawala milele katika jina la Mungu.

Un profeta llamado David dijo que Dios le diría al Mesías, "tú eres mi Hijo".
Mamia ya miaka kabla hajaja, manabii walisema kuhusu mambo ambayo Masihi angefanya, na mambo ambayo yangelimtokea.

El título "Hijo de Dios"
Nabii Daudi alisema kwamba Mungu angemwelezea Masihi, "Wewe ni Mwanangu".

describe la relación cercana del Mesías con Dios y su papel de Salvador y Rey.
Manabii walitumia jina la "Mwana wa Mungu" kuelezea uhusiano wa karibu na Mungu.

Un profeta llamado Isaías dijo "una virgen concebirá y dará a luz un hijo".
Na wajibu wake kama Mwokozi na Mfalme wa watu wote ulimwenguni.

Este niño es la eterna Palabra de Dios a quien Dios envió a la virgen para nacer como un humano para así revelar a Dios al mundo.
Nabii Isaya alisema, "bikira atapata mimba na kuzaa mtoto". Mtoto wake ataitwa Emanueli, maana yake Mungu pamoja nasi.

Los profetas también escribieron que el Mesías nacería en Belén.
Manabii waliandika kwamba Masihi angezaliwa Bethlehemu. Na kwamba angeingia Yerusalemu kama Mfalme wao juu ya punda.

Ellos predijeron Su entrada a Jerusalén como un rey. Y la traición que sufriría a manos de Judas, uno de Sus amigos, por 30 piezas de plata.
Pia waliandika kwamba, rafiki wa karibu angemsaliti kwa vipande thelathini vya fedha.

Los profetas dijeron que el Mesías daría Su vida en sacrificio, pero que Dios le resucitaría de los muertos al tercer día.
Manabii walisema kwamba, Masihi angetoa maisha yake. Lakini Mungu angemfufua kutoka kwa wafu.

Los profetas llamaron al Mesías "hijo del hombre" y dijeron que volvería a la presencia de Dios en una nube y que Dios le daría autoridad sobre todas las naciones para siempre.
Manabii pia walisema Masihi angekuja kama mwanadamu katika mawingu na kwamba Mungu angempa mamlaka juu ya mataifa yote milele.

Hace más de 2000 años vivió en este mundo una cierta persona llamada Jesús.
Miaka 2,000 iliyopita, mtu mmoja aliishi ulimwenguni, jina lake aliitwa Yesu.

Cuando la gente vio lo que El hacía se preguntaron unos a otros "¿Será éste el Mesías?",
Je, maisha ya Yesu, yalitimiza kile manabii walisema kuhusu "Masihi"?