Peter.
Petro.
You could not watch even one hour with me?
Hukuweza kuesha pamoja nami hata kwa saa moja ?
Master, what has happened to you?
Mwalimu, ni nini kimekukuta ?
Should I call the others, Lord?
Je, niwaite wengine, Mwalimu?
No, John.
Hapana, Yohana.
I don't want them to see me like this.
Sitaki wanione hivi.
Are you in danger?
Je, uko hatarini?
Should we flee, Master?
Je, tukimbie, Mwalimu?
Watch pray.
Tazama ombeni.
What is wrong with him?
Ana shida gani?
He seems afraid.
Anaonekana mwenye hofu.
He had spoken about danger while we ate...
Alizungumza juu ya hatari wakati tunakula ...
He mentioned betrayal and...
Alitaja usaliti na...
Thirty.
Thelathini.
Thirty, Judas.
Thelathini, Yuda.
That was the agreement between me... and you?
Hayo yalikuwa makubaliano kati yangu... nawe?
Yes.
Ndio.
Hear me, Father.
Nisikilize, Baba.
Rise up, defend me.
Inuka, unitetee.
Save me from the traps they set for me.
Niokoe na hila walizopanga.
Do you really believe that one man can bear the full burden of sin?
Unaamini kweli kwamba mwanadamu mmoja anaweza kubeba mzigo wa dhambi za watu wote?
Shelter me, O Lord.
Unilinde, Ee Bwana.
I trust in You.
Ninakutumaini Wewe.
In You I take refuge.
Kwako nakimbilia.
No one man can carry this burden I tell you.
Hakuna mwanadamu anayeweza kubeba mzigo huu Nakuambia.
It is far too heavy.
Ni mzito mno.
Saving their souls is too costly.
Kuokoa roho zao ni gharama kubwa sana.
No one.
Hakuna mtu.
Ever.
Milele.
Never.
Haitowezekana Kamwe.
Father, you can do all things.
Baba, unaweza kufanya mambo yote.
If it is possible, let this chalice pass from me...
Ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke
But let Your will be done not mine.
Lakini mapenzi yako yatimie na si mapenzi yangu.
Who is your father?
Baba yako ni nani?
Who are you looking for?
Mnamtafuta nani?
We're looking for Jesus of Nazareth.
Tunamtafuta Yesu wa Nazareti.
I am he.
Mimi ndiye.
Hail, Rabbi!
Salamu, Mwalimu!
Judas you betray the Son of Man with a kiss?
Yuda wamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu?
Peter!
Petro!
Put it down!
Rudisha upanga wako!
Those who live by the sword shall die by the sword.
Wale waishio kwa upanga, watakufa kwa upanga.
Put it down.
Rudisha upanga wako!
Malchus!
Malko!
Get up!
Simama!
We've got him.
Tumemkamata.
What, Mary?
Nini, Maria?
Listen...
Sikiliza...
"Why is this night different from every other night?"
"Kwa nini usiku huu upo tofauti?"
"Because once we were slaves...
"Kwa sababu hapo awali tulikuwa watumwa ...