كم هو عظيم الله،
Mungu ni mkuu sana.


تعالى في السلطة، مهيب فوق كل شيء.
Uweza wake ni mkuu kuliko vyote.

السماوات اقول من عظمته.
Aliumba mbingu na nchi na vyote ndani yao.

سماء تعرض له براعة رهيبة.
Tukiangalia kila kitu Mungu alichofanya inashangaza.

يوما بعد يوم أنها لا تزال في الكلام.
Kila kitu Mungu alichoumba kilikuwa chema.

ليلة بعد ليلة كانت يظهروه.
Chaonyesha ukuu na wema na uweza wake.

في خلق السماوات، كما خلق الله الأرض
Mungu aliumba mimea na wanyama.

وشكلت رجل من تراب الأرض،
Kisha, akamfanya mtu kutoka udongo. Alimpulizia puani pumzi yake, na kumpa uhai.

ونفخ في أنفه نسمة حياة.
Mtu huyu wa kwanza aliitwa Adamu.

خلق الله الحب رجل وامرأة على صورته
Kisha Mungu alichukua ubavu mmoja wa Adamu, Na kutoka huo akamuumba mwanamke kuwa mke na mwenzi wake.

لديها علاقة معه.
Aliitwa Hawa.

وهكذا في البداية، فإنها التبجيل وتكريم الله وعاش في وئام معه.
Mungu aliumba mwanaume na mwanamke, na baadhi ya sifa zake, ili waweze kufurahia uhusiano wa karibu naye.

واستمر هذا حتى يميل يوم واحد الشيطان امرأة
Unaweza kula matunda yo yote ya miti katika bustani, kasoro mmoja. Ikiwa utakula tunda kutoka mti huo utakufa.

أكل الفاكهة المحرمة وانها اعطتها للرجل الذي يأكلون أيضا.
Siku moja Shetani alimjaribu Hawa, kula tunda lile.

في القيام بذلك، بشرية تمردت على الله
Alichukua lile tunda akala sehemu, na pia mumewe akala. Walifanya hivi kwa sababu walimwamini Shetani kuliko Mungu.

وذهب بطريقتهم الخاصة.
Hapo hapo uhusiano wao na Mungu ulivunjika.

ونتيجة لهذه الخطيئة، تم فصل البشرية من الله
Hivyo Mungu alimfukuza Adamu na Hawa kutoka bustani ya Edeni.

وكان طرد من جنة عدن.
Waliteseka kwa aibu hii, kwa sababu hawakumtii Mungu.

ولكن الله لا يزال يحب الجنس البشري.
Matokeo yake kwa Adamu na Hawa na uzao wao wote ni mateso na kifo.

كان عليه أبدا رغبته في أن تكون منفصلة عن تلك التي كان هو الذي خلق،
Lakini Mungu ni wa rehema nyingi.

حتى الآن كيف يمكن أن يكون الله الكريم ومصدر للعدالة مثالية
Aliendelea kuwapenda sana wanadamu.

إذا كان هو الذي لم يحكم البشرية في خطيتهم؟
Alikuwa ameandaa njia kwa wao kurudi, na kuishi katika ushirika naye tena.

في كتابه الكريم، والله يكشف عن خطته لإنقاذ العالم من حكمه.
Katika maandiko Mungu anaonyesha mpango wake wa kuokoa wanadamu, kutoka adhabu waliyostahili, kwa kuondoa dhambi yao na aibu.

واحدة من أول من يرى ان هذه الخطة تتكشف إبراهيم.
Mungu alionyesha sehemu ya mpango huu kwa Abrahamu.

كان إبراهيم رجلا بارا الذي وعد الله أن يبارك
Mungu alimwahidi kumbariki na kubariki watu wa mataifa yote kupitia yeye.

وجعل ذريته كما عديدة
Alimwahidi kumpa uzao mwingi kama mchanga wa bahari.

كرمل البحر والنجوم من السماء.
Na nyota za angani.

وقال الله لاختبار طاعته إبراهيم
Siku moja Mungu alimjaribu Abrahamu kuona kama angeweza kumtegemea na kutii amri zake.

للتضحية ابنه قربانا له.
Alimwambia kumchukua mtoto wake na kumtoa sadaka.

إبراهيم موثوق الله وسعت إلى طاعته.
Abrahamu alijua kwamba ilikuwa kupitia mtoto huyo mmoja Mungu alimwahidi kumpa uzao mwingi.

ولكن لأنه رفع السكين لقتل ابنه،
Abrahamu aliinua kisu chake,

ملاك الرب وقف له.
"Lakini Mungu alisema; usimdhuru mtoto.

ورأى أن إبراهيم يخشى الله وكان على استعداد لطاعته.
Najua kwamba unamcha Mungu, na uko tayari kunitii.

ثم رأى إبراهيم كبشا القبض عليهم من قبل قرونه في غابة،
Kisha Abrahamu aliona kondoo karibu, amejishika pembe zake katika kichaka.

وقال انه ضحى الكبش بدلا من ابنه قربانا إلى الله.
Abrahamu alimchukua kondoo, na kumtoa sadaka kwa Mungu badala ya mtoto wake.

وهكذا أظهر الله إبراهيم أن الحمل أو حيوان مماثل
Wakati Mungu alitoa kondoo kama sadaka, ili kufa badala ya mtoto wa Abrahamu.

كان من المقرر ان القتيل كما غطاء مؤقت لخطيئة
Alimwonyesha upendo wake mkuu kwa watu.

حتى الله من شأنه أن يوفر صاحب التضحية الكبرى لدفع ثمن خطايا البشرية.
Upendo wake ni kama upendo alionao baba kwa mtoto wake.

بدلا من الخطيئة التي تفصل الإنسان عن الله، ان التضحية استعادة العلاقة بينهما.
Kupitia tukio hili, Mungu alionyesha kwamba alipanga kutoa sadaka, ili kufa badala ya wanadamu.

الكتاب المقدس يتكلم من واحد الذي كان ليأتي
Hapo zamani Mungu alionyesha kwa manabii kwamba, angemtuma mtu asiye na dhambi.

ويكون تضحية من أجل خطايا العالم. كما الكبش أخذ مكان ابنه إبراهيم،
Ili afe badala ya uzao wa Adamu. na kuiondoa dhambi na aibu yao.

لذلك هذا احد الذين سيأتون ستجري الرجل حتى انه يمكن أن يغفر. الرجوع إلى بعض هذه الشخص هو المسيح،
Kwa sadaka yake kuu, angefungua njia kwa wale ambao wanamwamini, na waishi katika ushirika na Mungu, katika Ufalme wa Mungu.

واحد الذين سيأتون والتوفيق بين العالم
Manabii walimwita mtu huyu "Masihi".

العودة إلى الله مرة واحدة وإلى الأبد.
Walisema kwamba Mungu angemtuma Masihi, kuokoa watu na kuwatawala milele katika jina la Mungu.

توقعت الأنبياء أشياء كثيرة في التفاصيل حول
Nabii Daudi alisema kwamba Mungu angemwelezea Masihi, "Wewe ni Mwanangu".

مئات المسيح سنوات قبل أن يظهر.
Manabii walitumia jina la "Mwana wa Mungu" kuelezea uhusiano wa karibu na Mungu.

تنبأ إشعياء النبي أن ولادته
Na wajibu wake kama Mwokozi na Mfalme wa watu wote ulimwenguni.

كانت لتكون واحدة خارقة.
Nabii Isaya alisema, "bikira atapata mimba na kuzaa mtoto".

ومن شأن العذراء تحبل الطفل الذي كان من المقرر أن يطلق، بالمعنى الروحي، ابن الله.
Mtoto wake ataitwa Emanueli, maana yake Mungu pamoja nasi.

وتوقع النبي ميخا أن المسيا سيولد في بيت لحم،
Manabii waliandika kwamba Masihi angezaliwa Bethlehemu.