10 Hawataona njaa, wala hawataona kiu; hari haitawapiga, wala jua; kwa maana yeye aliyewarehemu atawatangulia, naam, karibu na chemchemi za maji atawaongoza.
10 不饥不渴,炎热和烈日必不伤害他们,因为怜恤他们的,必引导他们,领他们到水泉旁边。


Hivyo ikatengezeka huduma ya nyumba ya Bwana.
这样、耶和华殿中的事务俱都齐备了。

23 Na jeshi la Wafilisti wakatoka hata mwanya wa Mikmashi.
23 非利士人的一队防兵到了密抹的隘口。

9 Na walipokuwa wakishuka mlimani aliwakataza wasimweleze mtu waliyoyaona, hata Mwana wa Adamu atakapokuwa amefufuka katika wafu.
9 下山的时候,耶稣嘱咐他们说,人子还没有从死里复活,你们不要将所看见的告诉人。

Hoja kama hiyo itakuwa sawa na imani na mafundisho ya Yesu Kristo, ambaye imeonekana kuwa alikuwa Mungu (au angalau kitu cha mwisho kuithinishwa na Mungu) kwa kuzaliwa kwake kwa muujiza, maisha, na muujiza wa ufufuo wake. Mungu hawezi nena uongo au kudanganywa, kwa hivyo, chenye Yesu aliamini na kufundisha ni kweli.
类似的争论是,耶稣基督的信仰和教导,通过他奇迹般的降生、生活、和奇迹般的复活,证明了耶稣是神(或者至少由神证明 ) 。

15 Ikawa Yezebeli aliposikia ya kwamba Nabothi amepigwa kwa mawe na kufa, Yezebeli akamwambia Ahabu, Inuka, ulitamalaki shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, alilokataa kukupa kwa fedha, maana Nabothi hako hai, lakini amekufa.
15 依则贝耳听说纳波特已用石头砸死了,就对阿哈布说 : 「 你起来,去占领依次勒耳人纳波特,先前不肯照现价卖给你的葡萄园,因为纳波特已经不在了,已经死了 。 」

15 Kwa kuwa mkigeuka msimwandame, yeye atawaacha tena nyikani; nanyi mtawaangamiza watu hawa wote.
民32:15 你们若退后不跟从他、他还要把以色列人撇在旷野、便是你们使这众民灭亡。

Mtu yeyote atakeyewapeni kikombe cha maji ya kunywa kwa sababu ninyi ni watu wake Kristo, hakika hatakosa kupata tuzo lake.
41 无论谁因你们有属基督 的名分,给你们一杯水喝的,我实在告诉你们,他决不会失掉赏赐。

35 Wewe umeonyeshwa haya, ili upate kujua ya kuwa Bwana ndiye Mungu, hapana mwingine ila yeye.
申4:35 这是显给你看、要使你知道惟有耶和华他是 神、除他以外、再无别神。

Baada ya kufa kwake maana ya mifano yake ilitimia, hapakuwa na haja zaidi kuendelea kuifuata.
他死以后,它们的象征意义就被满足了,所以就再没有必要遵循它们。

Ndipo Manoa alipojua ya kwamba ndiye malaika wa Bwana.
玛挪亚才知道他是耶和华的使者。

6 Basi, vitu hivi vikiisha kutengenezwa hivyo, makuhani huingia katika hema hiyo ya kwanza daima, wakiyatimiza mambo ya ibada.
9:6 这些物件都这样预备好了,众祭司就常常进入头一层帐幕,完成敬拜;

27 Nami nitawasha moto katika ukuta wa Dameski, nao utayateketeza majumba ya Ben-hadadi.
27 我必在大马色城中使火着起,烧灭便哈达的宫殿。

11 Macho yangu yamechoka kwa machozi, Mtima wangu umetaabika; Ini langu linamiminwa juu ya nchi Kwa uharibifu wa binti ya watu wangu; Kwa sababu watoto wachanga na wanyonyao, Huzimia katika mitaa ya mji.
11 我眼中流泪,以致失明,我的心肠扰乱,肝胆涂地,都因我众民遭毁灭,又因孩童和吃奶的在城内街上发昏。

Mtumishi huyo akarudi na kumwarifu bwana wake jambo hilo.
仆人回来把这事告诉了主人。

8 Ni heri kumkimbilia Bwana Kuliko kuwatumainia wanadamu.
8 投靠耶和华,强似倚赖人。

13 Walakini hakuna mtu aliyemtaja waziwazi, kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi.
只是没有人公开的讲论祂,因为怕犹太人。

4 Hawatammiminia Bwana divai, wala hazitampendeza sadaka zao; mkate wao utakuwa kama chakula cha matanga kwao; wote watakaokila watatiwa unajisi; kwa maana mkate wao utakuwa kwa shauku zao; hautaingia katika nyumba ya Bwana.
4 他们必不得向耶和华奠酒,即便奠酒也不蒙悦纳。 他们的祭物,必如居丧者的食物,凡吃的必被玷污,因他们的食物,只为自己的口腹,必不奉入耶和华的殿。

3 Mtu akizaa watoto mia, akaishi miaka mingi, nazo siku za maisha yake ni nyingi, lakini nafsi yake haikushiba mema; tena ikiwa, zaidi ya hayo, amekosa maziko; mimi nasema, Heri mimba iliyoharibika kuliko huyo;
这是虚空,也是祸患。 3 人若生一百个儿子,活了许多岁数,以致他的年日甚多,心里却不得满享福乐,又不得埋葬。

5 Sikukuu ya mfalme wetu, wakuu walijitapisha kwa ukali wa divai; alinyosha mkono wake pamoja na wenye mzaha.
5 在我们王喜庆的日子,领袖们因酒的烈性而生病,王就与亵慢人联手。

4 Basi, ye yote ajinyenyekeshaye mwenyewe kama mtoto huyu, huyo ndiye aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni.
因为有生来是阉人,也有被人阉的,并有为天国的缘故自阉的。

Kwa nini?
他们是谁?

14 naye atasongeza sadaka yake kwa Bwana, mwana-kondoo mmoja mume wa mwaka wa kwanza mkamilifu, kuwa sadaka ya kuteketezwa, na mwana-kondoo mmoja mke wa mwaka wa kwanza mkamilifu, kuwa sadaka ya dhambi, na kondoo mume mmoja mkamilifu kwa sadaka ya amani,
14 他要将供物奉给耶和华,就是一只没有残疾,一岁的公羊羔作燔祭,一只没有残疾,一岁的母羊羔作赎罪祭,和一只没有残疾的公绵羊作平安祭,

Sasa wako tayari, wanangojea tu uamuzi wako."
现在预备好了,只等你应允 。 "

47 utatwaa shekeli tano kwa kichwa cha kila mtu kwa hiyo shekeli ya mahali patakatifu (shekeli ni gera ishirini);
47 你要按人丁五舍客勒五舍客勒地去取,按圣所的舍客勒取∶一舍客勒是二十季拉;

13 Basi Bwana MUNGU asema hivi; Nitaupasua kwa upepo wa dhoruba, katika ghadhabu yangu; tena kutakuwa mvua ya barafu ya kufurika katika hasira yangu; na mawe makubwa ya barafu katika hasira ya kuukomesha.
13 所以主耶和华如此说,我要发怒,使狂风吹裂这墙,在怒中使暴雨漫过,又发怒降下大冰雹,毁灭这墙。

16 Na kuhani atavisongeza mbele za Bwana, naye atasongeza sadaka yake ya dhambi, na sadaka yake ya kuteketezwa;
16 祭司要在耶和华面前献那人的赎罪祭和燔祭。

9 Bwana akamwambia Yoshua, Siku hii ya leo nimeivingirisha hiyo aibu ya Misri iondoke juu yenu.
9 耶和华对约书亚说,我今日将埃及的羞辱从你们身上辊去了。

54 Maji mengi yalipita juu ya kichwa changu, Nikasema, Nimekatiliwa mbali.
众水流过我头,我说,我命断绝了。

4 Je, tokea wakati huu hutanililia, Ee Baba yangu, wewe u kiongozi wa ujana wangu?
4 从今以后,你岂不向我呼叫说,我父阿,你是我幼年的恩主。

5 Na zaidi ya hayo, nimesikia kuugua kwao wana wa Israeli, ambao Wamisri wanawatumikisha, nami nimelikumbuka agano langu.
5 我也听见以色列人被埃及人苦待的哀声,我也记念我的约。

12 Nanyi mtafurahi mbele za Bwana, Mungu wenu, ninyi, na wana wenu, na binti zenu, na watumishi wenu wanawaume na wanawake, na Mlawi aliyemo malangoni mwenu; kwa kuwa hana sehemu wala urithi kwenu.
12 你们和儿女,仆婢,并住在你们城里无分无业的利未人,都要在耶和华你们的神面前欢乐。

5 Kwa kuwa Sulemani akamfuata Ashtorethi, mungu mke wa Wasidoni na Milkomu, chukizo la Waamoni.
王上11:5 因为所罗门随从西顿人的女神亚斯他录、和亚扪人可憎的神米勒公。

38 Wakamwaga damu isiyo na hatia, Damu ya wana wao na binti zao, Waliowatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani; Nchi ikatiwa unajisi kwa damu.
把自己的儿女祭祀鬼魔, 38 流无辜人的血,就是自己儿女的血,把他们祭祀迦南的偶像,那地就被血污秽了。

Ili kuwa sambamba na Fair Taarifa Practices sisi kuchukua kufuatia hatua msikivu, lazima uvunjaji data kutokea:
为了能在公平信息惯例,我们将采取以下行动响应, 应该在数据泄露发生:

Wanasayansi wa mageuzi kwa mara nyingine wamekosea kuhusu sayansi; na Biblia itaonyeshwa kuwa bado sahihi na kweli.
再一次,相信进化论的科学家的科学有错误;过去,现在,将来圣经仍然都是准确和真实。

32 Pamoja na hayo, miji ya Walawi, nyumba za miji ya milki yao, Walawi wana ruhusa ya kuzikomboa majira yo yote.
至于利未人的城,就是他们所得为业的城,其中的房屋,利未人有随时可以赎回的权利。

3 Hiyo miji watakuwa nayo ili wakae humo, na malisho watakuwa nayo kwa wanyama wao wa mifugo, na kwa mali zao, na kwa wanyama wao wote.
3 这城邑要归他们居住,城邑的郊野可以牧养他们的牛羊和各样的牲畜,又可以安置他们的财物。

Huwa tunatia ukungu kwenye sura zinazotambulika na leseni za magari katika Street View ili kulinda faragha ya watu binafsi.
我们会自动对街景视图中可辨别的面孔和车牌进行模糊处理,以保护个人隐私。

20 Siku ile ninyi mtatambua ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu, nanyi ndani yangu, nami ndani yenu.
到那日,你们就知道我在父里面,你们在我里面,我也在你们里面。

30 Tena Hezekia mfalme na wakuu wakawaamuru Walawi, wamwimbie Bwana sifa kwa maneno ya Daudi, na ya Asafu mwonaji.
代下29:30希西家王与众首领、又吩咐利未人用大卫和先见亚萨的诗词、颂讚耶和华.

8 Hata ikawa siku ya pili yake Wafilisti walipokwenda kuwateka nyara hao waliouawa, walimwona Sauli na wanawe wameanguka juu ya mlima Gilboa.
8 次日,非利士人来剥那被杀之人的衣服,看见扫罗和他儿子仆倒在基利波山,

24 Wote waliohesabiwa katika marago ya Efraimu walikuwa mia na nane elfu na mia moja, kwa majeshi yao.
24 凡属以法莲营,按着军队被数的,共有十万零八千一百名,要作第三队往前行。

Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu.
14 法利赛人就出去,商议害耶稣 ,要怎样杀灭他。

26 Je! Haikumpasa Kristo kupata mateso haya na kuingia katika utukufu wake?
基督受这些害,又1 进入祂的荣耀,岂不是应当的么?

2 ya kwamba nina huzuni nyingi na maumivu yasiyokoma moyoni mwangu.
我是大有忧愁,心里不住的伤痛。

17 Kisha utamkata-kata kondoo vipande vyake, na kuyaosha matumbo yake na miguu yake, na kuiweka pamoja na vipande vyake na kichwa chake.
第12段 要把燔祭牲切成块子,连头和脂油,祭司就要摆在坛上火的柴上。

Yesu akawajibu, "Kweli nawaambieni, kama mkiwa na imani bila kuwa na mashaka, mnaweza si tu kufanya hivyo, bali hata mkiuambia mlima huu: `Ng`oka ukajitose baharini,` itafanyika hivyo.
21 耶稣回答他们说 : 「 我实在告诉你们:你们如果有信德,不疑惑,不但能对无花果树做这件事,即便你们对这座山说:起来,投到海中!

10 Bwana aliketi juu ya Gharika; Naam, Bwana ameketi hali ya mfalme milele.
10 洪水泛滥之时,耶和华坐着为王。 耶和华坐着为王,直到永远。

"Kwa nafasi ya FESNAG Kindu, CAA inatoa ndege maalum kwa bei maalum kwa Kindu Ijumaa Julai 30, 2010."
"金都FESNAG之际,CAA价格至金杜2010年7月30日(星期五)提供了一个特殊的飞行 。 "