Likusioje Izaijo knygos 65 skyriaus dalyje aprašoma nauja, tobula pasaulio santvarka, kuri bus sukurta čia, žemėje: "Jeruzalę sukursiu džiūgauti...
Mistari inayoendelea katika Isaya 65 yaeleza utaratibu huu mpya kuwa ni hali timilifu hapa duniani:


10 Jie nealks ir netrokš, jų neištiks saulė nė karštis; Tas, kuris jų pasigailėjo, ves juos prie tyro vandens šaltinių.
10 Hawataona njaa, wala hawataona kiu; hari haitawapiga, wala jua; kwa maana yeye aliyewarehemu atawatangulia, naam, karibu na chemchemi za maji atawaongoza.

Taip buvo atstatytas tarnavimas Viešpaties namuose.
Hivyo ikatengezeka huduma ya nyumba ya Bwana.

Taip buvo atkurta VIEŠPATIES Namų pamaldų tarnyba.
Hivyo ikatengezeka huduma ya nyumba ya Bwana.

23 Ir filistinų būrys išėjo į Michmašo tarpeklį.
23 Na jeshi la Wafilisti wakatoka hata mwanya wa Mikmashi.

Ten sakoma: "Paschos išvakarėse Ješu (Jėzus) buvo pakartas.
"Siku kabla ya sikukuu ya Pasaka Yeshu (Yesu) alitundikwa msalabani.

Tie, kurie palaiko vieną tikėjimo sistemą labiau negu kitas arba, dar blogiau, tvirtina, jog žino absoliučią tiesą, yra laikomi siaurapročiais, neišsilavinusiais ir netgi fanatikais.
Wale wanaopendelea mfumo mmoja wa imani kuliko mwingine au kusema kuwa ufahamu wa ukweli wote umechukuliwa kuwa wa mafikira finyu, bila ufahamu wo wote, au hata kuwa ya ukole.”

9 Besileidžiant nuo kalno, Jėzus liepė niekam nepasakoti, ką jie matė, kol Žmogaus Sūnus neprisikels iš numirusių.
9 Na walipokuwa wakishuka mlimani aliwakataza wasimweleze mtu waliyoyaona, hata Mwana wa Adamu atakapokuwa amefufuka katika wafu.

9 Besileidžiant nuo kalno, Jėzus jiems įsakė: „Niekam nepasakokite apie regėjimą, kol Žmogaus Sūnus prisikels iš numirusių.
9 Na walipokuwa wakishuka mlimani aliwakataza wasimweleze mtu waliyoyaona, hata Mwana wa Adamu atakapokuwa amefufuka katika wafu.

Panašus argumentas būtų apie Jėzaus Kristaus tikėjimą ir mokymą, nes Jis savo stebuklingu gimimu, gyvenimu ir prisikėlimu įrodė, kad Jis yra Dievas (mažų mažiausia Dievo patvirtintas).
Hoja kama hiyo itakuwa sawa na imani na mafundisho ya Yesu Kristo, ambaye imeonekana kuwa alikuwa Mungu (au angalau kitu cha mwisho kuithinishwa na Mungu) kwa kuzaliwa kwake kwa muujiza, maisha, na muujiza wa ufufuo wake. Mungu hawezi nena uongo au kudanganywa, kwa hivyo, chenye Yesu aliamini na kufundisha ni kweli.

Ženklai: Ezechielio 34 skyriuje Dievas pasmerkia Izraelio valdovus ir paskelbia juos netikrais ganytojais, nes jie blogai rūpinosi Jo žmonėmis.
Ishara: Ezekieli 34 ni sura ambayo Mungu anatangaza kwamba viongozi wa Israeli kuwa wachungaji wa uongo kwa ajili ya huduma zao mbovu kwa watu wake.

8 Abneras labai supyko dėl tų Išbošeto žodžių ir tarė:“Ar aš esu šuns galva? Aš buvau prieš Judą, kad iki šios dienos daryčiau gera tavo tėvo Sauliaus namams, jo broliams bei draugams, ir neatidaviau tavęs į Dovydo rankas, o tu dabar mane apkaltinai dėl tos moters.
8 Basi Abneri akakasirika kwa maneno ya Ishboshethi, akasema, Je! Mimi ni kichwa cha mbwa, aliye wa Yuda? Hata leo hivi nawafanyia fadhili nyumba ya Sauli babako, na ndugu zake, na rafiki zake, nisikutie wewe mkononi mwa Daudi; nawe hata hivyo wanitia hatiani leo kwa mwanamke huyu.

Kai Dovydas nusidėjo, jis prašė gailestingumo ir atleidimo, (Psalmių 51:1-2).
Daudi aliomba kwa huruma na msamaha wakati yeye alitenda dhambi (Zaburi 51:1-2).

41 Kas paruošia varnui peną, kai jo jaunikliai šaukiasi Dievo, klaidžiodami be maisto?”
41 Ni nani anayempatia kunguru chakula, Makinda yake wanapomlilia Mungu, Na kutanga-tanga kwa kutindikiwa na chakula?

15 Jezabelė, išgirdusi, kad Nabotas užmuštas akmenimis, tarė Ahabui:“Pasisavink jezreeliečio Naboto vynuogyną, kurį jis atsisakė tau parduoti už pinigus, nes Nabotas jau nebegyvas”.
15 Ikawa Yezebeli aliposikia ya kwamba Nabothi amepigwa kwa mawe na kufa, Yezebeli akamwambia Ahabu, Inuka, ulitamalaki shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, alilokataa kukupa kwa fedha, maana Nabothi hako hai, lakini amekufa.

Jis mirė“. 15 Vos išgirdusi, kad Nabotas buvo užmuštas akmenimis ir yra miręs, Jezabelė tarė Ahabui: „Nueik ir pasiimk sau Naboto Jezrėeliečio vynuogyną, kurį jis atsisakė parduoti tau už pinigus, nes Naboto nebėra gyvo.
15 Ikawa Yezebeli aliposikia ya kwamba Nabothi amepigwa kwa mawe na kufa, Yezebeli akamwambia Ahabu, Inuka, ulitamalaki shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, alilokataa kukupa kwa fedha, maana Nabothi hako hai, lakini amekufa.

ir ‘‘Pasisavink jezreeliečio Naboto vynuogyną, kurį jis atsisakė tau parduoti už pinigus, nes Nabotas jau nebegyvas’‘. 16
15 Ikawa Yezebeli aliposikia ya kwamba Nabothi amepigwa kwa mawe na kufa, Yezebeli akamwambia Ahabu, Inuka, ulitamalaki shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, alilokataa kukupa kwa fedha, maana Nabothi hako hai, lakini amekufa.

Jei jūs atsisakote paskui jį sekti, jis vėl paliks juos dykumoje, – jūs sunaikinsite šią visą tautą”.
15 Kwa kuwa mkigeuka msimwandame, yeye atawaacha tena nyikani; nanyi mtawaangamiza watu hawa wote.

15 Jei nenorite Jo klausyti, Jis vėl paliks tautą dykumoje, ir jūs pražudysite visą šią tautą”.
15 Kwa kuwa mkigeuka msimwandame, yeye atawaacha tena nyikani; nanyi mtawaangamiza watu hawa wote.

7 neduokite Jam poilsio, kol Jis atstatys Jeruzalę ir jos šlovę žemėje.
7 wala msimwache akae kimya, mpaka atakapoufanya imara Yerusalemu, na kuufanya kuwa sifa duniani.

Tačiau antra baimės rūšis, kuri taip pat yra minima Biblijoje, yra visai mums nenaudinga.
Hata hivyo, aina ya pili ya hofu iliotajwa katika Biblia haina faida wakati wote.

33 Pašventintų atnašų buvo šeši šimtai jaučių ir trys šimtai avių.
33 Na vitu vitakatifu vilikuwa ng'ombe mia sita, na kondoo elfu tatu.

Drauge, nesvarbu, kaip blogai viskas yra tavo gyvenime, – yra mylintis Dievas, kuris laukia, kol tu leisi Jam išvesti tave iš nevilties tunelio į Jo nuostabią šviesą.
Rafiki yangu,haijalishi mambo ni mabaya kiasi gani maishani mwako,kuna Mungu wa upendo anayekungojea. Mruhusu akuongoze kuvuka hali hiyo ya kukata tamaa na akufikishe katika uhalisi wa nuru yake.

Drauge, nesvarbu, kaip blogai yra tavo gyvenime, – yra mylintis Dievas, kuris laukia, kad tu leisi Jam išvesti tave iš nevilties duobės į Jo nuostabią šviesą.
Rafiki yangu,haijalishi mambo ni mabaya kiasi gani maishani mwako,kuna Mungu wa upendo anayekungojea. Mruhusu akuongoze kuvuka hali hiyo ya kukata tamaa na akufikishe katika uhalisi wa nuru yake.

14 Padarė ir vienuolika uždangalų iš ožkų plaukų palapinės viršui apdengti.
14 Kisha akafanya vifuniko vya singa za mbuzi kuwa hema ya kuifunika hiyo maskani; akafanya mapazia kumi na moja.

Spauskite Rodyti daugiau laukus.
Bofya Onyesha mashamba zaidi.

Po jo mirties išsipildė Įstatymo simbolizuojami dalykai, todėl nėra reikalo ir toliau to laikytis.
Baada ya kufa kwake maana ya mifano yake ilitimia, hapakuwa na haja zaidi kuendelea kuifuata.

Manoachas suprato, kad tai buvo Viešpaties angelas,
Ndipo Manoa alipojua ya kwamba ndiye malaika wa Bwana.

Tai gali reikšti 24 valandų laikotarpį, per kurį žemė apsisuka aplink savo ašį (pvz.: „dienoje yra 24 valandos“).
Yaweza maanisha kipindi cha muda wa saa 24 ambao dunia inachukua mzunguko kwenye mhimili wake (kwa mfano, "kuna masaa 24 kwa siku").

13 Visa tai paslėpei savo širdyje; žinau, kad tai yra su Tavimi.
13 Lakini mambo haya uliyaficha moyoni mwako; Najua kuwa haya yamo nafsini mwako;

Dievas uždraudžia Dovydui pastatyti šventyklą, tačiau jam prižada: 1) kad Dovydas turės sūnų, kuris valdys po jo 2) Dovydo sūnus pastatys šventyklą 3) sostas, kuriame valdys Dovydo palikuonys, bus įtvirtintas amžiams 4) Dievas niekada nepatrauks savo gailestingumo nuo Dovydo namų (2 Samuelio 7:4-16).
Mpango wa Daudi wa kujenga hekalu katika Yerusalemu unakataliwa na Mungu, ambaye kisha anamuahidi Daudi mambo yafuatayo: 1) Daudi atakuwa na mwana ambaye atatawala baada yake; 2) Mwana wa Daudi atajenga hekalu; 3) Kiti cha enzi kinachotawaliwa na ukoo wa Daudi kitakuwa imara milele; na 4) Mungu kamwe hataondoa huruma yake kutoka kwa nyumba ya Daudi (2 Samweli 7: 4-16).

Sąžinės ir religijos laisvės idėjos reiškė tik laisvosios konkurencijos viešpatavimą pažinimo srityje.
Mawazo ya uhuru wa dini na uhuru wa itikadi, yalikuwa yakionyesha utawala wa mashindano huru tu, katika mambo ya elimu.

27 Aš įžiebsiu ugnį Damasko sienose, ji praris Ben Hadado rūmus”.
27 Nami nitawasha moto katika ukuta wa Dameski, nao utayateketeza majumba ya Ben-hadadi.

„Google“ gali atsiųsti el. laišką atkūrimo el. pašto adresu, jei norėsite iš naujo nustatyti slaptažodį, todėl įsitikinkite, kad atkūrimo el. pašto adresas nepasenęs ir galite jį pasiekti.
Google inaweza kukutumia barua pepe katika anwani ya barua pepe ya urejeshi ikiwa utahitaji kuweka upya nenosiri lako, kwa hivyo hakikisha kuwa anwani ya barua pepe ya urejeshi imesasishwa na ni akaunti unayoweza kufikia.

Klausimas: Ką Biblija moko apie bažnyčios valdymą?
Biblia inasemaje nini kuhusu aina ya utawala wa kanisa? Swali: "Biblia inasemaje nini kuhusu aina ya utawala wa kanisa?"

Rodydami pritaikytus skelbimus nesusiesime identifikatoriaus iš slapukų ar panašių technologijų su neskelbtinų kategorijų duomenimis (pvz., susijusiais su rase, religija, seksualine orientacija arba sveikatos būkle).
Tunapokuonyesha matangazo yanayokulenga, hatutahusisha kitambulishi kwenye vidakuzi au teknolojia sawa na mambo nyeti, kama vile rangi, dini, mwelekeo wa ngono au afya.

Talpyklos ir kitų naršyklės duomenų ištrynimas
Futa kashe yako na data nyingine ya kivinjari

Dauguma jo paskutiniųjų laikų mokymo yra paremta pranašo Danieliaus vizijomis.
Mengi ya mafundisho yake juu ya nyakati za mwisho katika barua hii yana misingi kwa nabii Danieli na maono yake.

8 Kai Jehuvas vykdė teismą Ahabo namams, jis sutiko Judo kunigaikščius ir Ahazijo brolių sūnus, tarnavusius Ahazijui, ir juos išžudė.
8 Ikawa, Yehu alipokuwa akiwafanyia hukumu nyumba ya Ahabu, aliwakuta wakuu wa Yuda, na wana wa nduguze Ahazia, wakimtumikia Ahazia, akawaua.

22.8 Kai Jehuvas vykdė teismą Ahabo namams, jis sutiko Judo kunigaikščius ir Ahazijo brolių sūnus, tarnavusius Ahazijui, ir juos išžudė. 22.9 Jis ieškojo Ahazijo ir rado jį besislapstantį Samarijoje.
8 Ikawa, Yehu alipokuwa akiwafanyia hukumu nyumba ya Ahabu, aliwakuta wakuu wa Yuda, na wana wa nduguze Ahazia, wakimtumikia Ahazia, akawaua.

11 Mano akys paraudo nuo ašarų, siela nerimsta, širdis plyšta iš skausmo dėl tautos sunaikinimo; kūdikiai ir vaikai alpsta miesto gatvėse.
11 Macho yangu yamechoka kwa machozi, Mtima wangu umetaabika; Ini langu linamiminwa juu ya nchi Kwa uharibifu wa binti ya watu wangu; Kwa sababu watoto wachanga na wanyonyao, Huzimia katika mitaa ya mji.

Nors gyvūnai asmeniškai nenusidėjo prieš Dievą (jie nėra moralinės būtybės), jie vis tiek kenčia ir miršta (Romiečiams 8:19-22).
Hata kama wanyama hawana dhambi ya kibinafsi mbele za Mungu (wao si viumbe vya maadili), bado wanatezeka na kufa (Warumi 8:19-22).

16 Tvirtai laikykitės gyvenimo žodžio, kad Kristaus dieną galėčiau pasigirti ne veltui bėgęs ir ne veltui dirbęs.
16 mkishika neno la uzima; nipate sababu ya kuona fahari katika siku ya Kristo, ya kuwa sikupiga mbio bure wala sikujitaabisha bure.

Pradėję domėtis Biblija
Baada ya kupendezwa/kuvutiwa na Biblia

8 Geriau pasitikėti Viešpačiu, negu sudėti viltis į žmones.
8 Ni heri kumkimbilia Bwana Kuliko kuwatumainia wanadamu.

13 Tačiau nė vienas apie Jį viešai nekalbėjo, nes bijojo žydų.
13 Walakini hakuna mtu aliyemtaja waziwazi, kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi.

4 Jie neaukos Viešpačiui geriamųjų aukų, ir kitos jų aukos Jam nepatiks. Jų aukos bus kaip gedinčiųjų duona; visi, kurie jų valgys, susiteps, nes jų duona tinka tik pasisotinti, bet į Viešpaties namus ji nepateks.
4 Hawatammiminia Bwana divai, wala hazitampendeza sadaka zao; mkate wao utakuwa kama chakula cha matanga kwao; wote watakaokila watatiwa unajisi; kwa maana mkate wao utakuwa kwa shauku zao; hautaingia katika nyumba ya Bwana.

12 Kai jais eisi, tavo žingsniai nebus varžomi ir bėgdamas nesuklupsi.
12 Uendapo, hatua zako hazitadhiikika, Wala ukipiga mbio hutajikwaa.

Zacharijo 12:10 pranašavo Mesijo „perdūrimą“, kuris įvyko po Jėzaus mirties ant kryžiaus.
Zekaria 12:10 anatabiri "kule kuchomwa mkuki" Masihi, ambako kulitokea baada ya Yesu kufa juu ya msalaba.

Bendravimo formos
Mtindo wa maswali