KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
那是全知幽明的、萬能的、至慈的主。
Vinamtakasa Mwenyezi Mungu viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Yeye ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
凡在天地間的,都讚頌真主超絕萬物,他是萬能的,是至睿的。
Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha.
以明白的經典盟誓,
Hakika kutesa kwa Mola wako Mlezi ni kukali.
你的主的懲治,確是嚴厲的。
Kwa hakika wewe utakufa, na wao watakufa.
你確是要死的,他們也確是要死的。
Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
這些是明白的經典的節文。
Sema: Tarajieni, na mimi pia ni pamoja nanyi katika kutarajia.
你說:「你們等待吧!我確是與你們一同等待的。」
Tuongoe njia iliyo nyooka,
求你引導我們上正路,
Kwani hamwoni jinsi Mwenyezi Mungu alivyo ziumba mbingu saba kwa matabaka?
難道你們沒有看到真主怎樣創造七層天,
Na hilo kwa Mwenyezi Mungu si jambo gumu.
這在真主絕不是困難的。
Watadumu humo milele. Hawampati mlinzi wala wa kuwanusuru.
他們將永居其中,不能得到任何保護者,也不能得到任何援助者。
Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.
我們只崇拜你,只求你祐助,
Na hakika tulimpa Musa Kitabu na tukamweka pamoja naye nduguye, Harun, kuwa waziri.
我確已把經典賞賜穆薩,並且任命他的哥哥哈倫做他的助手。
Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.
他說:「我花費了許多財產!」
Na tungeli waongoa Njia iliyo nyooka.
我必定指引他們一條正路。
Basi nakuonyeni na Moto unao waka!
故我警告你們一種發焰的火,
Mteremsho wa Kitabu hiki umetokana na Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
這本經典是從萬能的、至睿的真主降示的。
La, hasha! Hakika Sisi tumewaumba kutokana na wanacho kijua.
絕不然!我確已用他們所知道的物質創造了他們。
Akitaka atakuondoeni na alete viumbe vipya.
如果他意欲,他將毀滅你們,而創造新的眾生。
Bali muabudu Mwenyezi Mungu tu, na uwe miongoni mwa wenye kushukuru.
不然!你應當只崇拜真主,你應當做感謝者。」
Hao ndio watu wa Peponi, watadumu humo, kuwa ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
這等人,是樂園的居民,將永居其中;這是為了報酬他們的行為。
Dəstək istəkləri - EvMak Tanzania
Dəstək sorğuları - Yculer 歪酷人
Sema: Kuweni hata mawe na chuma.
你說:「儘管你們變成石頭,或鐵塊,
Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.
拿出你們的經典來吧,倘若你們是誠實的人!
Yaani Mtume aliye toka kwa Mwenyezi Mungu anaye wasomea kurasa zilizo takasika,
那個明証是真主所派遣的一個使者,他誦讀純潔的冊頁,
Na hakika sisi tutarudi kwa Mola wetu Mlezi.
我們必定歸於我們的主。」
Siku ambayo rafiki hatamfaa rafiki yake kwa chochote, wala hawatanusuriwa.
在那日,朋友對於朋友,毫無裨益,他們也不蒙援助;
Yeye ndiye anaye fufua na anaye fisha. Na kwake mtarejeshwa.
他能使死者生,能使生者死;你們只被召歸於他。
Hakika Sisi tumembainishia Njia. Ama ni mwenye kushukuru, au mwenye kukufuru.
我確已指引他正道,他或是感謝,或是辜負。
Basi wapuuze, nawe ngonja; hakika wao wanangoja.
你應當避開他們,你應當等待,他們必定是等待的。
Sivyo hivyo! Bali nyinyi mnaikanusha Siku ya Malipo.
絕不然,但你們否認報應!
Sisi Daraja ni Nani?
我們是誰?
Aliye weka mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu. Basi mtupeni katika adhabu kali.
以別的神靈與真主同受崇拜者;你們倆將他投入嚴厲的刑罰吧!
Na naapa kwa mzazi na alicho kizaa.
我以一個父親和他所生的子孫盟誓,
Mola Mlezi wa Musa na Haarun.
即穆薩和哈倫的主。」
Na chakula kinacho kwama kooni, na adhabu inayo umiza.
有噎人的食物,和痛苦的刑罰。
Hakika haya yamo katika Vitabu vya mwanzo,
這確是載在古經典中的,
Lakini walio kufuru wamo katika kukadhibisha.
不然,不信道的人們陷於否認之中,
Karibu utaona, na wao wataona,
你將看見,他們也將看見,
Hakika tumemuumba mtu katika taabu.
我確已把人創造在苦難裡。
Kwa Haki ya Qur'ani yenye hikima!
以智慧的《古蘭經》發誓,
Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.
我怚崇拜你,只求你祐助,
Waambie waja wangu ya kwamba Mimi ndiye Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
你告訴我的僕人們,我確是至赦的,至慈的;
Enyi mlio kufuru! Msilete udhuru leo. Hakika mnalipwa mliyo kuwa mkiyatenda.
不信道的人們啊!今日,你們不要托辭,你們只受自己行為的報酬。
Sema: Enyi watu! Hakika mimi ni mwonyaji kwenu niliye dhaahiri.
你說:「眾人啊!我對你們只是一個直爽的警告者。」
Na ama wanao acha haki, hao watakuwa kuni za Jahannamu.
至於乖張的,將作火獄的燃料。」
Mwenye kujua siri na dhaahiri, Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
他是全知幽明的,是萬能的,是至睿的。
Kisha nikawakamata walio kufuru. Basi kuchukia kwangu kulikuwaje?
然後,我懲罰了不信道者,我的譴責是怎樣的?
Hakika tumekufungulia Ushindi wa dhaahiri
我確已賞賜你一種明顯的勝利,
Na katika Ishara zake ni vyombo vinavyo kwenda na kurejea baharini kama vilima.
他的蹟象之一,是在海中象山岳一般的船舶。