アッラーの使徒(サーリフ)はかれらに,「アッラーの雌骼駝である。それに水を飲ませなさい。」と言った。
Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.


アッラーの御望みがない限りは。本当にかれは,表われたものと隠れたものを知っておられる。
Ila akipenda Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye anayajua yaliyo dhaahiri na yaliyo fichikana.

イブラーヒームやムーサーの啓典にもある。
Vitabu vya Ibrahimu na Musa.

その日,天は裂け散るであろう。かれの約束は,必ず完遂されるのである。
Hapo mbingu zitapasuka! Ahadi yake itakuwa imetekelezwa.

険しい道が何であるかを,あなたに理解させるものは何か。
Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?

これは英知の啓典の微節(印)であり,
Hizi ni Aya za Kitabu chenye hikima.

だが信仰して善行に勤しむ者たち,これらは,衆生の中最善の者である。
Hakika walio amini na wakatenda mema, hao ndio bora wa viumbe.

人間よ,何があなたを恵み深い主から惑わせ(背かせ)たのか。
Ewe mwanaadamu! Nini kilicho kughuri ukamwacha Mola wako Mlezi Mtukufu?

天にあり地にある凡てのものは,アッラーを讃える。本当にかれは偉力ならびなく英明であられる。
Vinamtakasa Mwenyezi Mungu viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Yeye ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima.

全ての人が彼女を愛している。
(wao)Wote wanampenda.

以前にも,ヌーフの民を(われは滅ぼした)。本当にかれらは反逆の民であった。
Na kaumu ya Nuhu hapo mbele. Hakika hao walikuwa watu wapotovu.

本当にあなたの主の捕え方(懲罰)は強烈である。
Hakika kutesa kwa Mola wako Mlezi ni kukali.

あなたはそれから何を理解していますか?
Je, unaelewa nini kutoka kwao?

本当にあなたは(何時かは)死ぬ。かれらもまた死ぬのである。
Kwa hakika wewe utakufa, na wao watakufa.

この方こそは,幽玄界と現象界を(凡て)知っておられる方,偉力ならびなく慈悲深い御方であり,
Huyu ndiye Mwenye kuyajua yasiyo onekana na yanayo onekana. Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.

災いなるかな,凡ての罪深い嘘付き者たちよ。
Ole wake kila mzushi mwenye dhambi!

わたしたちはあなたにのみ崇め仕え、あなたにのみ御助けを請い願う。
Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.

イブラーヒームの物語をかれらに語りなさい.
Na wasomee khabari za Ibrahim.

"キリストは、 「わたしが来たのは、羊〔あなた〕がいのちを得、またそれを豊かに持つためです。」 と言われました。(充実した意義深い人生)"
"(Kristo anasema)Mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele" (ili iwe ya maana)."

あなたがたは,アッラーが7天を如何に一層また一層と,創られたかを考えてみなかったのか。
Kwani hamwoni jinsi Mwenyezi Mungu alivyo ziumba mbingu saba kwa matabaka?

一生懸命に至高者,主の御顔を請うだけである。
Ila ni kutaka radhi ya Mola wake Mlezi aliye juu kabisa.

かれら以前も,(使徒を)嘘付き呼ばわりした者があった。ヌーフの民も,ラッスの仲間もサムードも,
Kabla yao walikadhibisha kaumu ya Nuhu na wakaazi wa Rassi na Thamudi.

サムード(の民)は,その法外な行いによって(預言者を)嘘付き呼ばわりした。
Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,

フィルアウンとサムード(の民の)。
Ya Firauni na Thamudi?

見よ,右側にまた左側に坐って,2人の(守護の天使の)監視者が監視する。
Wanapo pokea wapokeaji wawili, wanao kaa kuliani na kushotoni.

アリフ・ラーム・ラー。これらは明瞭な啓典の印である。
Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.

これはよく耐え忍び,自分の主を信頼している者(への報奨である)。
Ambao walisubiri, na wakamtegemea Mola wao Mlezi.

しかします, - 審判の日は、待って.
lakini itakuwa, - Siku ya Hisabu watapata.

これは本当に,昔の啓典にあり,
Hakika haya yamo katika Vitabu vya mwanzo,

それでわれは燃え盛る業火に就いてあなたがたに警告した。
Basi nakuonyeni na Moto unao waka!

だがわが印を拒否する者,かれらは左手の仲間である。
Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.

最後の審きの日の主宰者に。
Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.

またアードの民も,フィルアウンも,ルートの同胞も,
Na A'di na Firauni na kaumu ya Lut'i.

また月をその中の明りとされ,太陽を(燃える)灯明となされたかを。
Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?

かれら以前にも,ヌーフの民,アード(の民)および権勢を張り廻らしたフィルアウンも,
Walikanusha kabla yao kaumu ya Nuhu, na kina A'adi na Firauni mwenye majengo.

彼は言った:「私たちはそれについて話していて、しばらくの間、それはまだ初期段階です。」
Alisema: "Tunazungumza juu yake na kwa muda mfupi, lakini ni siku za mapema."

大地や山々は持ち上げられ,一撃で粉々に砕かれ,
Na ardhi na milima ikaondolewa, na ikavunjwa kwa mvunjo mmoja,

かれは,「わたしは大変な財産を費した。」と言う。
Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.

わたしたちを正しい道に導きたまえ、
Tuongoe njia iliyo nyooka,

罪を犯した者は,地獄の懲罰の中に永遠に住む。
Kwa hakika wakosefu watakaa katika adhabu ya Jahannamu.

(事物を)明瞭にする啓典にかけて(誓う)。
Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha.

良質の良い価格。 あなたは比較の後にそれを知っているだろう。
bei nzuri na bora. Wewe kujua ni baada ya kulinganisha.

これらは,明白な天啓の書の御印である。
Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.

あなたがたのいうことが真実ならば,あなたがたの啓典を出してみなさい。
Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.

信仰して善行に動しむ者には喜びの楽園があり,
Hakika walio amini na wakatenda mema watakuwa nazo Bustani za neema.

その日,大地と山々は震動し,山々は崩れ流れて,砂の固まりになるであろう。
Siku ambayo ardhi itatikiswa na milima pia, na milima itakuwa kama tifutifu la mchanga!

この日、私たちの過去を考えます,
Katika siku hii kufikiria mambo ya zamani,

いや,信じない者は(なお真理を)嘘であるとしている。
Lakini walio kufuru wamo katika kukadhibisha.

これらの者の住まいは,その(悪い)行いのために地獄である。
Hao, makaazi yao ni Motoni kwa sababu ya waliyo kuwa wakiyachuma.

衣を頭から纒う者(ムハンマド)よ,
Ewe uliye jifunika!