[nel Giorno in cui] si spaccherà il cielo? La promessa [di Allah] si realizzerà.
Hapo mbingu zitapasuka! Ahadi yake itakuwa imetekelezwa.


E chi ti farà comprendere cos'è la via ascendente?
Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?

Questi sono i versetti del Libro saggio
Hizi ni Aya za Kitabu chenye hikima.

Quelli che invece credono e compiono il bene sono i migliori di tutta la creazione.
Hakika walio amini na wakatenda mema, hao ndio bora wa viumbe.

come già [accadde] alla gente di Noè, che era ancora più ingiusta e più ribelle,
Na kabla yao kaumu ya Nuhu. Na hao hakika walikuwa ni madhaalimu zaidi, na waovu zaidi;

O uomo, cosa mai ti ha ingannato circa il tuo Nobile Signore
Ewe mwanaadamu! Nini kilicho kughuri ukamwacha Mola wako Mlezi Mtukufu?

Glorifica Allah ciò che è nei cieli e ciò che è sulla terra. Egli è eccelso, saggio.
Vinamtakasa Mwenyezi Mungu viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Yeye ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima.

e il popolo di Abramo, il popolo di Lot,
Na watu wa Ibrahim na watu wa Lut'i

si consegna le vostre preoccupazioni per Allah e Allah handsover sue benedizioni a voi.
wewe makabidhiano wasiwasi Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu handsover baraka zake kwa wewe.

Tutti la amano.
(wao)Wote wanampenda.

profeta vero test - Come facciamo a sapere il vero dal falso profeta?
Kweli mtihani nabii - Jinsi gani tunajua ya kweli kutoka kwa nabii wa uongo?

Già [distruggemmo] il popolo di Noè: erano gente malvagia.
Na kaumu ya Nuhu hapo mbele. Hakika hao walikuwa watu wapotovu.

A Dio sia la Gloria - Grandi cose Ha fatto!
Kwa Mungu uwe Utukufu-Mambo Mkubwa Yeye Ameifanya!

Come siamo giusti agli occhi di Dio?
Jinsi Je Sisi watu wema mbele ya Mungu?

La risposta del tuo Signore è severa.
Hakika kutesa kwa Mola wako Mlezi ni kukali.

che pose, a fianco di Allah, un'altra divinità: gettatelo nell'orrendo castigo.”
Aliye weka mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu. Basi mtupeni katika adhabu kali.

E se ti considerano un impostore, ebbene [sappi che] prima di loro tacciarono di menzogna [i loro profeti] il popolo di Noè, gli ‘Âd, i Thamûd,
Na wakikukanusha basi walikwisha kanusha kabla yao watu wa Nuhu, na kina A'ad na kina Thamud,

Cosa ne capisci?
Je, unaelewa nini kutoka kwao?

In verità dovrai morire ed essi dovranno morire;
Kwa hakika wewe utakufa, na wao watakufa.

Egli è Colui che conosce il palese e l'invisibile; è l'Eccelso, il Misericordioso;
Huyu ndiye Mwenye kuyajua yasiyo onekana na yanayo onekana. Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.

ed essere tra coloro che credono e vicendevolmente si invitano alla costanza e vicendevolmente si invitano alla misericordia.
Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.

Guai ad ogni bugiardo peccatore,
Ole wake kila mzushi mwenye dhambi!

"[Gesù disse]: «Io sono venuto perché abbiano la vita e l'abbiano in abbondanza» [una vita vera e completa]."
"(Kristo anasema)Mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele" (ili iwe ya maana)."

Non avete considerato come Allah ha creato sette cieli sovrapposti
Kwani hamwoni jinsi Mwenyezi Mungu alivyo ziumba mbingu saba kwa matabaka?

ma solo per amore del suo Signore l'Altissimo.
Ila ni kutaka radhi ya Mola wake Mlezi aliye juu kabisa.

Prima di loro tacciarono di menzogna [i Nostri segni] il popolo di Noè e quelli di ar - Rass, i Thamûd
Kabla yao walikadhibisha kaumu ya Nuhu na wakaazi wa Rassi na Thamudi.

Te noi adoriamo e a Te chiediamo aiuto
Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.

Tu non sei che un ammonitore.
Hukuwa wewe ila ni mwonyaji.

7 la via di coloro che hai colmato di grazia , non di coloro che [sono incorsi] nella [Tua] ira , né degli sviati. Nella recitazione liturgica si aggiunge : "Amin".
7 Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.

Migliore è avere AHCI quando si installa OS. Cambiare solo quando si sa ciò che si fa.
Bora ni kuwa na AHCI juu ya wakati wa kufunga OS. Tu kubadilika wakati unajua nini kufanya.

Sareste voi più difficili da creare o il cielo che [Egli] ha edificato?
Je! Ni vigumu zaidi kukuumbeni nyinyi au mbingu? Yeye ndiye aliye ijenga!

di Faraone e dei Thamûd?
Ya Firauni na Thamudi?

5 Te noi adoriamo e a Te chiediamo aiuto
5 Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.

Quando i due che registrano seduti alla sua destra e alla sua sinistra, raccoglieranno [il suo dire],
Wanapo pokea wapokeaji wawili, wanao kaa kuliani na kushotoni.

Alif, Lâm, Râ. Questi sono i versetti del Libro esplicito.
Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.

di coloro che perseverano e hanno fiducia nel loro Signore!
Ambao walisubiri, na wakamtegemea Mola wao Mlezi.

ma sarà, - il giorno della resa dei conti attende.
lakini itakuwa, - Siku ya Hisabu watapata.

Al-Quddûs (I.), Zikrayât Fâtima
al-jinsiyya wa hulûlihâ. Damas,

Vi ho dunque messo in guardia da un fuoco fiammeggiante,
Basi nakuonyeni na Moto unao waka!

mentre coloro che non credono nei Nostri segni, sono i compagni della sinistra.
Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.

Cosa faranno, quando gli angeli li finiranno colpendo i loro volti e le loro schiene?
Basi itakuwaje Malaika watakapo wafisha wakawa wanawapiga nyuso zao na migongo yao!

Re del Giorno del Giudizio
Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.

e gli ‘Âd e Faraone e i fratelli di Lot
Na A'di na Firauni na kaumu ya Lut'i.

e della luna ha fatto una luce e del sole un luminare.
Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?

Prima di loro accusarono di menzogna [gli Inviati] il popolo di Noè, gli 'Âd e Faraone, il Signore dei pali,
Walikanusha kabla yao kaumu ya Nuhu, na kina A'adi na Firauni mwenye majengo.

[Ricorda] gli ‘Âd, i Thamûd e le genti di ar-Rass e molte altre generazioni intermedie!
Na tuliwaangamiza kina A'di na Thamudi na watu wa Rass na vizazi vingi vilivyo kuwa kati yao.

“O voi due, gettate nell'Inferno ogni miscredente testardo,
Mtupeni katika Jahannamu kila kafiri mwenye inda,

e la terra e la montagne saranno sollevate e polverizzate in un sol colpo,
Na ardhi na milima ikaondolewa, na ikavunjwa kwa mvunjo mmoja,

Dice: «Ho dilapidato una quantità di beni».
Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.

Non è stato informato di quello che contengono i fogli di Mosè
Au hakuambiwa yaliyomo katika Vitabu vya Musa?