# pl/2009_02_blogi-afrykanskie-nominowane-do-nagrod-bloggies-2009_.xml.gz
# sw/2009_01_blogu-za-afrika-zapendekezwa-kupokea-tuzo-ya-bloggies-2009_.xml.gz


(src)="1.1"> Blogi afrykańskie nominowane do nagród Bloggies 2009
(trg)="1.1">Blogu za Afrika Zapendekezwa Kupokea Tuzo ya Bloggies 2009

(src)="1.2"> Nominacje do Dziewiątych Rocznych Nagród Bloga : Bloggies 2009 rozpoczęły się 1.-go a zakończyły 19.-go stycznia .
(trg)="1.2">Blogu zilizopendekezwa kwa ajili ya Mashindano ya Tisa ya Zawadi za Weblog: Mapendekezo ya blogu katika mashindano ya Bloggies ya 2009 yalifunguliwa tarehe 1 Januari na kufungwa tarehe 19 Januari.

(src)="1.3"> Według strony konkursu , Bloggies są najstarszą nagrodą blogową a nominacje do konkursu zależą od czytelników .
(trg)="1.3">Kwa mujibu wa tovuti ya waandalizi, mashindano hayo ya Bloggies ni mashindano ambayo yamedumu kwa muda mrefu zaidi mtandaoni, na mapendekezo, pamoja na uchaguaji wa washindani katika fainali, ni juu ya msomaji wa blogu.

(src)="1.4"> Zwycięzca konkursu otrzymuje 2,009 centów amerykańskich !
(trg)="1.4">Mshindi hupata senti 2,009 za Marekani!

(src)="2.1"> W kategori najlepszy blog afrykańskich znalazło się pięć blogów :
(trg)="2.1">Blogu tano zimependekezwa katika kinyang'anyiro cha blogu Bora Zaidi:

(src)="3.1"> Being Brazen : blog z Afryki Południowej .
(trg)="3.1">Blogu ya Being Brazen: Hii ni blogu iliyoko Afrika ya Kusini.

(src)="3.2"> Profil na stronie mówi :
(trg)="3.2">Wasifu wa mwanablogu huyo unaelezwa:

(src)="3.3"> Jestem dziwakiem , marzycielką , ponad dwudziestolatką , która wierzy w miłość , Boga , moc słów , otwartość umysłu oraz leczniczą moc śmiechu .
(trg)="3.3">Sitabiriki, huota ndoto za mchana, umri wangu ni katika miaka ya 20, ninaamini katika mapenzi, Mungu na nguvu ya maneno, nina mawazo huru na pengine kucheka ndio dawa bora kuliko zote.

(src)="3.4"> Nie lubię latać , nie lubie zatłoczonych miejsc , nie lubię stać w kolejce oraz chorować .
(trg)="3.4">Sipendi kuruka angani , sehemu zenye watu wengi, kupanga foleni, kadhalika sipendi wadudu.

(src)="3.5"> Potykam się na wysokich obcasach .
(trg)="3.5">Hujikwaa nikavaa viatu virefu.

(src)="3.6"> Piszę , aby nie stacić zmysłów .
(trg)="3.6">Ninaandika ili kuepuka wehu.

(src)="3.7"> Appfrica : portal poświęcony najnowszym informacjom afrykańskiego rozwoju , edukacji oraz technologii .
(trg)="3.7">Blogu ya AppAfrica: Hii ni tovuti ya habari mpya mpya zinazohusu ubunifu wa Kiafrika, elimu na ujasiriamali kwenye teknolojia:

(src)="4.1"> Glad To Be a Girl : południowo afrykańska blogerka mieszkająca w Johanesburgu .
(trg)="4.1">Blogu ya Glad To Be A Girl: Ni mwanablogu wa Kiafrika ya Kusini anayekaa mjini Johannesburg.

(src)="5.1"> Jej profil :
(trg)="5.1">Wasifu wake:

(src)="5.2"> Przebij się przez moje szaleństwo , aby odkryć mój geniusz !
(trg)="5.2">Huchambua wehu wangu na hujisifu kwa akili zangu!

(src)="5.3"> Skromność wylewa się ze mnie wiadrami 😉 Sarkazm jest bronią , która wybrałam .
(trg)="5.3">Unyonge unanichirizika ndoo kwa ndoo :) kejeli ndiyo silaha yangu ninayoipenda.

(src)="5.4"> Chrześcijanie , Muzułmani i Żydzi wierzą w jednego więcej Boga niż ja .
(trg)="5.4">Wakristu, Waislamu & Wayahudi wanaamini katika Mungu mmoja zaidi ya yule ninayemuamini.

(src)="5.5"> West Africa Wins Always : to blog pisany przez Pauline , dziennikarkę mieszkającą na Wybrzeżu Kości Słoniowej od 2003 roku .
(trg)="5.5">Blogu ya West Africa Wins Always: Hii ni blogu ya mwanablogu Pauline, mwanahabari ambaye amekuwa akiishi nchini Ivory Coast tangu mwaka 2003.

(src)="6.1"> Ostatnia , lecz nie najgorsza , dziennikarka z Liberii , Scarlett Lion .
(trg)="6.1">Na blogu ya mwisho ni ile ya Scarlett Lion: Yeye ni mwanahabari aliyeko nchini Liberia.

(src)="7.1"> Jej własnymi słowami :
(trg)="7.1">Kwa mujibu wa maneno yake mwenyewe:

(src)="7.2"> Fotograf , pisarka , reporterka .
(trg)="7.2">Mpiga picha, mwandishi, ripota.

(src)="7.3"> Przemierza życie tworząc zapiski historii .
(trg)="7.3">Napita maishani nikiwa na jicho linalolenga kutengeneza historia na kuiorodhesha.

(src)="7.4"> Poprzednio w Ugandzie , teraz w Liberii .
(trg)="7.4">Awali katika nchi ya Uganda na sasa katika Liberia.

(src)="7.5"> Blog ten zawiera ciekawostki , cynizm oraz komentarze .
(trg)="7.5">Blogu hii inakuletea udadisi na maoni.

(src)="7.6"> I trochę zdjęć .
(trg)="7.6">Pamoja na picha.

(src)="7.7"> Głosowanie kończy się drugiego lutego , a zostanie ogłoszone w Marcu w Austin , w Teksasie , USA na festiwalu South by Southwest Interactive Festival .
(trg)="7.7">Upigaji kura utafungwa tarehe 2 Februari na washindi watatangazwa mwezi Machi mjini Austin, Texas, huko Marekani katika Tamasha la South by South West Interactive.

# pl/2009_01_sprzeciw-przeciwko-transportowi-broni-do-izraela_.xml.gz
# sw/2009_01_ugiriki-malalamiko-kuhusu-usafirishwaji-wa-silaha-kuelekea-israeli_.xml.gz


(src)="1.1"> Sprzeciw przeciwko transportowi broni do Izraela
(trg)="1.1">Ugiriki: Malalamiko Kuhusu Usafirishwaji wa Silaha kuelekea Israeli

(src)="2.1"> Podczas wojny w Gazie , wiadomości z początku miesiąca o wyjątkowo powolnej dostawie broni ze Stanów Zjednoczonych do Izraela przez prywatny post grecki Astakos wywołały ostre reakcje blogerów greckich .
(trg)="1.2">Wakati vita vikiendelea huko Gaza, taarifa zilizotolewa mwanzoni mwa mwezi kuhusu usafirishwaji wa shehena kubwa ya silaha kutoka Marekani kuelekea Israeli kupitia bandari ya Astakos huko Ugiriki zimezua kelele kutoka kwa wanablogu wa Kigiriki.

(src)="2.2"> Korzystając z platformy Twitter zbadali oni sprawę i wywołali presję na rząd w celu zatrzymania transferu .
(trg)="1.3">Wanablogu hao walitumia huduma ya Twita kuchunguza swala hilo na kuitia shinikizo serikali ya Ugiriki kusimamisha usafirishwaji wa silaha hizo.

(src)="3.1"> Dostawę amunicji zatrzymano dokładnie w momencie , gdy rząd grecki był atakowany przez partie opozycji a Amnesty International wzywała do embargo .
(trg)="2.1">Usafirishaji wa shehena hiyo ulisitishwa, wakati serikali ya Ugiriki ilipobanwa na vyama vya upinzani pamoja na Shirika la Msamaha Duniani lilipokuwa likitaka vikwazo vya uingizwaji wa silaha nchini Israeli vipitishwe.

(src)="4.1"> Początkowo źródła oficjalne doweidziały się o historii 9-go stycznia od międzynarodowej agencji Reuters .
(trg)="3.1">Awali, vyanzo kutoka serikalini vilipingana na habari iliyotolewa tarehe 9 Januari na shirika la habari la Reuters.

(src)="4.2"> Użytkownicy Twitter przejęli wiadomości i rozpoczęli śledztwo zaraz po tym jak Indy.gr – częśc grupy Indymedia Athens – opublikowała tłumaczenie artykułu po grecku .
(trg)="3.2">Lakini watumiaji wa huduma ya Twita waliipata habari hiyo na kuipeleleza baada ya Indy.gr - tawi mojawapo la Indymedia Athens - kutoa tafsiri ya makala hiyo katika lugha ya Kigiriki.

(src)="5.1"> Pomysł embargo na broń został wsparty oraz masowo przesyłany :
(trg)="4.1">Wazo la kuandaa vikwazo bandarini lilipendekezwa na likaenezwa kwa "kutuma tena na tena jumbe za Twita":

(src)="7.1"> itsomp : http : / / is.gd / f8Wa Czy możemy zorganizowac embargo w porcie Astakos ?
(trg)="4.2">itsomp: http://is.gd/f8Wa Je tunaweza kuandaa vikwazo kwenye bandari ya Astakos?

(src)="7.2"> Tylko statki amerykańskie i izraelskie …
(trg)="4.3">Vikwazo kwa meli za Marekani na Israeli pekee…

(src)="9.1"> Niektórzy wysyłali wiadomości z prośbami do greckiego ministra spraw zagranicznych , którego biuro ma konto Twitter :
(trg)="4.4">Wengine walituma jumbe za twita moja kwa moja kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Ugiriki, waziri ambaye ana timu yenye akaunti katika huduma ya twita:

(src)="10.1"> magicasland : Dora Bakoyannis , co się dzieje z dostawą Astakos ?
(trg)="4.5">Dora Bakoyannis, Nini kinachoendelea kuhusu shehena inayosafirishwa Astakos?

(src)="10.2"> Nie chcemy udziału Grecji w masakrze w Gazie
(trg)="4.6">Hatutaki Ugiriki ihusishwe na mauaji yanayotokea Gaza.

(src)="12.1"> Łamiąc dotychczasową zasadę nieodpowiadania przez Twitter , grupa ministerstwa odpowiedziała bezpośrednio :
(trg)="5.1">… majibu kuhusu Astakos, http://tinyurl.com/9ts6xw

(src)="13.1"> Pod tym linkiem znajdziecie notkę marynarki USA o transporcie amunicji z portu Astakos do Ashdod w Izraelu .
(trg)="7.2">Katika kiungo kinachofuata utaiona barua ya Jeshi la Marekani inayohusu usafirishwaji wa silaha kutokea bandari ya Astakos kuelekea bandari ya Ashdod, nchini Israel.

(src)="13.2"> Ładunek istnieje i oczekuje na przetransportowanie przez dostawcę .
(trg)="7.3">Shehena hiyo ipo na inasubiri mkandarasi wa kuisafirisha

(src)="15.1"> Pomimo oficjalnych zaprzeczeń użytkownicy Twittera kontynuowali atak :
(trg)="7.5">Dora Bakoyannis, je vipi kuhusu tovuti inayotafuta mkandarasi?

(src)="16.1"> magicasland : Dora Bakoyannis , o co więc chodzi z tą stroną ?
(trg)="7.6">Siku iliyofuata, vyombo vya habari viliripoti kuwa upitishwaji wa shehena hiyo umesitishwa.

(src)="18.1"> Następnego dnia media doniosły , że przesyłkę odwołano , co poprzedzone było również postem na Twitter :
(trg)="7.7">Hilo pia lilitangazwa kwa kutumia huduma ya twita mara moja:

(src)="19.1"> myrto _ fenek : Transfer amunicji poprzez port Astakos został odwołany z powodu konfliktu w Gazie !
(trg)="7.8">Myrto_fenek: Usafirishwaji wa wa silaha kupitia bandari ya Astakos umesitishwa kutokana na mgogoro wa Gaza!

(src)="21.1"> Bloger magicasland.com podsumował efekty :
(trg)="7.9">Bloga magicasland.com alitoa muhtasari wa matokeo:

(src)="22.1"> Dziesiejszy biuletyn APE mówi , że transfer 325 kontenerów amunicji z Astakos do portu Ashdod został odwołany .
(trg)="7.10">Habari ya Shirika la habari la Ugiriki, APE inasema kwamba usafirishwaji wa makontena 325 ya silaha kutokea bandari ya Astakos kuelekea bandari ya Ashdod umesitishwa.

(src)="22.2"> To pewne , że zostanie on zakończony ; lecz niech nie dzieje się to teraz I stąd .
(trg)="7.11">Hapana shaka kwamba shehena hiyo itasafirishwa, isipokuwa siyo hivi sasa na si kwa kutokea hapa.

(src)="24.1"> Bloger coolplatanos bada sprawę dajej odkrywając dodatkowe starania się o przesyłkę oraz sprawdzając , czy faktycznie ją odwołano :
(trg)="7.12">Bloga coolplatanos alichunguza zaidi na kubaini kwamba kuna maombi mengine zaidi ya upitishwaji wa silaha, na akahakikisha kwamba maombi yale ya awali yalikuwa yameshasitishwa:

(src)="25.1"> … było też wcześniejsze staranie się o przesyłkę , z datą 6-go grudnia 2008 ( pierwsza publikacja 4 grudnia ) , również przez marynarke Stanów Zjednoczonych .
(trg)="8.1">… pia kulikuwa na maombi mengine awali ya haya, yaliyofanywa tarehe 6 Disemba, 2008 (Yalichapishwa kwa mara ya kwanza tarehe 4 Disemba), na Jeshi la Marekani.

(src)="25.2"> To już kolejna próba przesyłki , tym razem większego ładunku , gdyż poproszono o statek o minimalnej pojemności 989 jednostek odpowiadających kontenerowi dwudziestostopowemu .
(trg)="8.2">Hili ni ombi jingine la usafirishwaji wa silaha, kwa ajili ya shehena kubwa zaidi, kwani chombo chenye uwezo wa chini wa kubeba tani 989 kilitakiwa.

(src)="26.1"> W każdym bądź razie , dziś – 13-go stycznia prośba o statek o pojemności 325 jednostek została zapisana jako ‘ tymczasowo odwołana ’ .
(trg)="9.1">Haidhuru, leo tarehe 13 Januari , maombi ya chombo chenye uwezo wa tani 325 yalibadilishwa na kusomeka kuwa "yamesitishwa kwa wakati huu".

(src)="27.1"> Obie prośby znalazłem na Google .
(trg)="9.2">Niangalia maombi hayo kwa kutumia zana ya utafiti ya Google kwenye mtandao wa Intaneti.

# pl/2009_02_madagaskar-ponad-25-osob-zabitych-podczas-marszu-na-palac-prezydencki_.xml.gz
# sw/2009_02_madagaska-zaidi-ya-25-wauwawa-katika-maandamano-kuelekea-ikulu_.xml.gz


(src)="1.1"> Madagaskar : Ponad 25 osób zabitych podczas marszu na Pałac Prezydencki .
(trg)="1.1">Madagaska: Zaidi ya 25 Wauwawa Katika Maandamano Kuelekea Ikulu

(src)="1.2"> Sprawdź nasza stronę ze sprawozdaniem specjalnym o walkach o władzę na Madagaskarze .
(trg)="1.2">Angalia ukurasa wa habari maalum kuhusu Mapambano ya kugombea nguvu za kiasiasa Madagaska.

(src)="2.1"> Przynajmniej 25 osób zginęło dziś w stolicy Madagaskaru Antananarywie , podczas marszu na pałac prezydencki .
(src)="2.2"> Marsz został zorganizowany przez Andry ’ ego Rajoelina po tym jak ogłosił on się głową państwa i przywódcą rządu tymczasowego podczas demonstracji politycznej .
(trg)="2.1">Watu wapatao 25 walipigwa risasi na kuuwawa leo katika mji mkuu wa Madagaska, Antananarivo, wakati wa maandamano ya kuelekea ikulu ya nchi hiyo yaliyoitishwa na meya wa jiji Andry Rajoelina baada ya kujitangaza kama kiongozi wa serikali mpya ya mpito katika mkutano wa hadhara wa kisiasa.

(src)="2.3"> Podczas kilku ostatnich tygodni walka o władzę pomiędzy burmistrzem a prezydentem Marco Ravalomananem doprowadziła do brutalnych zamieszek i grabieży .
(trg)="2.2">Katika majuma yaliyopita, ugombeaji wa nguvu za kisiasa kati ya Meya na Rais Marc Ravolamanana kumesababisha ghasia na uporaji.

(src)="3.1"> Do wiecu politycznego doszło w centrum Antananarywy gdzie około południa czasu lokalnego Rajoelina ogłosił utworzenie nowego rządu tymczasowego oraz mianował siebie jego głową pomimo faktu , iż obecny rząd jest oficjalnie wciąż u władzy .
(trg)="3.1">Mkutano huo wa kisiasa ulifanyika katikati ya Mji wa Antananarivo majira ya mchana, saa za Madagaska.
(trg)="3.2">Rajoelina alitangaza kuundwa kwa serikali ya mpito, na yeye mwenyewe akiwa kiongozi wa serikali, bila kujali ukweli kwamba serikali iliyopo sasa bado inashikilia nafasi hiyo.

(src)="3.2"> Zażądał on od swoich zwolenników , aby przemaszerowali pod sam Pałac Prezydencki w Ambohitsorohitrze .
(trg)="3.3">Aliwataka watu wanaomuunga mkono waandamane kuelekea ikulu iliyopo Ambohitsorohitra.

(src)="4.1"> Gdy tłum dotarł pod pałac , delegacja wkroczyła do środka o 14 : 46 czasu lokalnego .
(trg)="4.1">Wakati umati mkubwa ulipowasili ikulu, wajumbe waliingia kwenye kasri majira ya saa 8:46.

(src)="4.2"> Wtedy właśnie padły pierwsze strzały .
(trg)="4.2">Ni wakati huu ambapo risasi zilirushwa.

(src)="4.3"> Lokalne środowiska Twitter oraz inni bloggerzy donieśli :
(trg)="4.3">Watumaiaji wa twita waliokuwapo na wanablogu wengine waliripoti:

(src)="6.1"> Wstępne raporty donoszą o dziesiątkach ciał leżących na ulicach .
(trg)="6.1">Habari za mwanzo zinaashiria kuwa dazeni za miili ilikuwa imenguka mitaani.

(src)="6.2"> Wśród rannych miał się znajdować kamerzysta ze stacji telewizyjnej RTA ( źródła niepotwierdzone )
(trg)="6.2">Mooja wa majeruhi, inasemekana ni mpiga mpiga wa idhaa ya televisheni ya RTA (uthibitisho rasmi bado unasubiriwa).

(src)="7.1"> O 15 : 40 wciąż utrzymywano ogień .
(trg)="7.1">Hadi majira ya saa 9:40 alasiri, risasi bado zilikuwa zinapigwa.

(src)="7.2"> Rajoelina zwrócił się o interwencję i o ochronę zebranych do jednostek zbrojnych EMMONAT ( jednostki stworzone podczas przełomu , zaakceptowane przez obydwie strony konfliktu ) .
(trg)="7.2">Rajoelina, alilitaka jeshi la EMMONAT, linaloungwa mkono na pande zote ambalo liliundwa wakati wa mgogoro huu, kuingilia kati na kuulinda umma.

(src)="8.1"> Komunikaty prasowe ( Reuters , Al Jazeera ) donoszą o 25 ofiarach śmiertelnych a nagrania są obecnie pokazywane na kanałach telewizji państwowej .
(trg)="8.1">Habari rasmi (kwa mujibu wa Reuters, Al Jazeera) zinaeleza kuwa vifo vinafikia 25 kwa kadiri ya picha zinavyozidi kumiminika kwenye Televisheni ya taifa.

(src)="8.2"> BBC oraz AFP doniosły jak dotąd o 5 rannych osobach .
(trg)="8.2">BBC na AFP viliripoti vifo 5 tu.

(src)="8.3"> Tu znajdziesz doniesienia na żywo w języku francuskim .
(trg)="8.3">Habari kama zinavyotokea (katika wakati halisi) mtandaoni zinapatikana kwa lugha ya Kifaransa hapa.

(src)="9.1"> Poniżej znajdują się wyniki wyszukiwania frazy # Madagaskar w wyszukiwarce Twittera , który to tag był wykorzystywany w ciągu ostatnich kilku tygodni przez osoby donoszące o ostatnich napięciach politycznych oraz sporadycznych aktach przemocy na Madagaskarze .
(trg)="9.1">Kuna kurasa za kutafiti za twita “#madagascar”, ambalo ndio neno-kiini ambalo watu wamekuwa wakilitumia wakati wote katika majuma yaliyopita ambayo yalijaa fukuto la kisiasa na ghasia za hapa na pale.

# pl/2009_02_bliski-wschod-bojkot-jako-bron-polityczna_.xml.gz
# sw/2009_02_mashariki-ya-kati-vikwazo-kama-silaha-ya-kisiasa_.xml.gz


(src)="1.1"> Bliski Wschód - bojkot jako broń polityczna
(trg)="1.1">Mashariki ya Kati: Vikwazo kama Silaha ya Kisiasa

(src)="1.2"> Wielu ludzi z terenów Bliskiego Wschodu zdecydowało bojkotować produkty izraelskie i amerykańskie w odpowiedzi na wojnę w Gazie .
(trg)="1.2">Watu wengi Mashariki ya Kati wamesusia bidhaa za Israeli na Marekani kama jibu la mashambulizi ya Israeli huko Gaza.

(src)="2.1"> Serwis Angry Arab News Service pisze :
(trg)="2.1">Bloga anayejiita Shirika la Habari la Kiarabu Lenye Hasira anaandika:

(src)="2.2"> Nowa kampania bojkotowania amerykańskich produktów rozpoczęła się w pięciu krajach arabskich , z kawiarniami Starbucks jako pierwszym celem , ale też z Nestlé , Coca-Colą , Johnson & Johnson oraz restauracjami Burger King na liście .
(trg)="2.2">Katika nchi tano za Kiarabu kampeni mpya na nyeti iliyoratibiwa ili kususia bidhaa za Kimarekani imezinduliwa, na migahawa ya kahawa ya Starbucks ndio shabaha yake ya kwanza, ikifuatiwa kwenye orodha hiyo na maduka ya Nestlè, Coca-Cola, Johnson & Johnson pamoja na Burger King.

(src)="2.3"> Pośród marek amerykańskich Starbucks była pierwszym celem bojkotu .
(trg)="2.3">Miongoni mwa maduka yote yenye chapa ya Marekani, Starbucks ndio iliyokuwa inalengwa zaidi na kampeni hizo za kususia.

(src)="2.4"> Zeinobia z Egiptu napisała o tym :
(trg)="2.4">Bloga Zeinobia wa Misri, anaandika:

(src)="2.5"> Starbucks , znana sieć Starbucks w Bejrucie została zamknięta na dzień z powodu protestów .
(trg)="2.5">Starbucks, tawi maarufu la Starbucks mjini Beirut lilifungwa kwa siku moja kufuatia maandamano ya kulipinga.

(src)="2.6"> W świecie arabskim widzimy wezwania oraz odpowiedzi na nie w celu bojkotowania produktów amerykańskich , głównie tych związanych w jakikolwiek sposób z Izraelem .
(trg)="2.6">Kuna wito umetolewa na kuitikiwa katika ulimwengu wa Waarabu kususia bidhaa za Marekani hasa 84268245 bidhaa ambazo zinazohusishwa na Israeli kwa njia moja au nyingine.

(src)="2.7"> Następnie kontynuje :
(trg)="2.7">Halafu anaendelea:

(src)="3.1"> Oczywiście arabska opinia publiczna uważa , że Starbucks w Ameryce wspiera finansowo IDF z racji tego , że jej założyciel i właściciel jest Żydem .
(src)="3.2"> Szczerze mówiąc to nie jest wystarczający powód dla opinii , że sieć dofinansowuje IDF , lecz tego typu wiadomości dają arabskiej społeczności do myślenia .
(trg)="3.1">Umma wa Waarabu unaamini kwamba Starbucks ya Marekani hulipatia Jeshi la Israeli, IDF mchango wa mwaka kutokana na ukweli kwamba mwanzilishi wa Starbucks ni Myahudi, na nikitaka kuwa mkweli, ukweli huo hautoshi kufikia hitimisho kwamba kampuni hiyo hutoa michango kwa jeshi la Israeli, lakini habari kama hizi zinaufanya umma wa Waarabu kufikiri mara mbili.

(src)="4.1"> Plotki o Starbucks-IDF są dośc stare , jeszcze z czasów sprzed otwarcia pierwszych sieci w Egipcie – już wtedy walczono z nimi w świecie arabskim .
(trg)="4.1">Uvumi wa Starbucks-Jeshi la Israeli ni uvumi wa siku nyingi hata kabla ya kufungua tawi lake nchini Misri, kampuni hiyo ilipingwa na ulimwengu wa Waarabu.

(src)="5.1"> Pamiętam , jak któregoś dnia otrzymałam e-mail z logo Starbucks i jego historią , według której jest to hebrajska księżniczka , która uratowałą Żydów w czasach starożytnego Babilonu , choc prawda jest zupełnie inna .
(trg)="5.1">Nakumbuka siku moja nilipokea barua pepe inayohusu nembo ya Starbucks na historia yake, ikisema kwamba nembo hiyo ni alama ya binti mfalme wa Kiebrania aliyewakomboa Wayahudi waliokuwa Babeli wakati wa zamani ilhali hilo ni jambo jingine kabisa.

(src)="5.2"> Kampanie bojkotowania nie ograniczyły się jedynie do świata arabskiego , a amerykańsko-palestyński blog grupowy KABOBfest donosi o uczestnikach kampanii z Malazji :
(trg)="5.2">Kampeni hizo za kususia hazipo tu huko Uarabuni, kundi la wanablogu wa Kimarekani na Kipalestina KABOBfest linaripoti jinsi watu huko Malaysia wanavyoshiriki katika kampeni hizo:

(src)="5.3"> Ponad 2000 restauracji będących własnością Muzułmanów zdjęło Coca-Colę z listy produktów , aby wesprzeć globalny bojkot przeciw Izraelowi .
(trg)="5.3">Zaidi ya migahawa 2,000 inayomilikiwa na Waislamu nchini Malaysia imeondoa Coca-Cola kwenye orodha za vyakula katika jitihada za kuunga mkono migomo dhidi ya Israeli.

(src)="5.4"> Lokalne organizacje zachęcają pracowników Coca-Coli , Starbucks oraz innych film do zrezygnowania z pracy .
(trg)="5.4">Mashirika ya kizawa yanawashawishi wafanyakazi wa Coca-Cola, kadhalika na wale wa Starbucks na makampuni mengine, waziachee ajira zao.

(src)="5.5"> Z Jordanu , Khobbeizeh również pisze o bojkocie Starbucks :
(trg)="5.5">Kutokea Jordan, Khobbeizeh pia anaandika kuhusu ususiaji wa Starbucks:

(src)="5.6"> Howard Schultz jest aktywnym zyjonistą , wielkim stronnikiem armi Izraelskiej .
(trg)="5.6">Howard Schultz ni Mzayonisti mwenye siasa kali zinzounga mkono jeshi la Israeli.

(src)="5.7"> Wspiera on ich rocznie setkami milionów z dochodów Starbucks co czyni go jednym z czołowych sponsorów ich wyposażenia .
(trg)="5.7">Anawaunga mkono na mamia ya mamilioni kila mwaka kutoka katika kipato cha Starbucks, ni mmoja wa wadhamini wakubwa wa silaha.

(src)="5.8"> Z pewnością produkty izraelskie bojkotowane były przez wielu a oto co Body on the Line napisała na jej blogu :
(trg)="5.8">Kwa hakika, bidhaa za Israeli zimegomewa na watu wengi, haya ndiyo alioandika bloga Body on the Line katika blogu yake:

(src)="5.9"> Rolnicy mówią , że większośc ich produktów pozostała w magazynach z powodu odwołanych zamówień , oraz obawiają się nagłego spadku zapotrzebowania na eksport owoców do krajów takich jak Jordan , Zjednoczone Królestwo oraz kraje Skandynawii … Ilan Eshel , dyrektor Organizacji Upraw Owoców w Izraelu również potwierdził , iż Skandynawowie odwołali zamówienia .
(trg)="6.1">Wakulima wanasema kwamba mazao yao mengi yamezuiliwa kwenye maghala kutokana na kusitishwa kwa ununuzi, na kuna hofu ya kupungua kwa uuzwaji wa matunda kuelekea nchi kama vile Jordan, Uingereza na nchi za Skandinavia.
(trg)="7.1">...
(trg)="8.1">Ilan Eshel, mkurugenzi wa shirika la wakulima wa matunda nchini Israeli, alisema kuwa nchi za Kiskandinavia pia zimekuwa zikisitisha uagizaji.

(src)="5.10"> Amerykański bloger żyjący w Palestynie pisze o tym , jak naukowcy w Zjednoczonym Królestwie reagują na izraelskie ataki w Gazie :
(trg)="8.2">Bloga wa Kimarekani anayeishi Palestina, anaandika yale wasomi wa Uingereza wanayosema kuhusu mashambulizi ya Israeli huko Gaza:

(src)="6.1"> Brytyjscy naukowcy napisali list otwarty opublikowany w the Guardian , w którym wzywają do bojkotu , wycofania inwestycji oraz sankcji :
(trg)="9.1">Wasomi wa Uingereza wameandika barua ya wazi, iliyochapwa kwenye gazeti la Guardian, inayoitisha ususiaji, kuondoa vitega uchumi, na migomo:

(src)="7.1"> “ Musimy robic wszystko co w naszej mocy , aby zapobiec zwycięstwu Izraela .
(trg)="10.1">"Ni lazima tufanye tunaloweza ili kuizua Israeli kushinda vita hivi.

(src)="7.2"> Izrael musi zaakceptowac fakt , że jego bezpieczeństwo zależy od sprawiedliwości I pokojowej koegzystencji z jego sąsiadami , a nie na bezprawnym użyciu siły . ”
(trg)="10.2">Israeli ni lazima ikubali kuwa usalama wake unategemea haki na kuishi salama pamoja na majirani zake, na siyo kwa kutegemea matumizi maovu ya nguvu.

(src)="8.1"> “ Uważamy , że Izrael powinien natychmiast I bezwarunkowo zakończyc atak na gazę , zakończyc okupację Strefy Zachodniej , oraz porzucic starania o władzę nad czy kontrolę terytorium sprzed 1967 roku .
(trg)="11.1">"Tunaamini israeli lazima isitishe mara moja bila masharti mashambulizi yake huko gaza, isitishe ukaliaji wa mabavu kwenye Ukingo wa Magharibi, waache madai ya kumiliki au kuendesha himaya inayovuka mipaka yake ya 1967.

(src)="8.2"> Wzywamy rząd brytyjski oraz brytyjskich obywateli do podjęcia wszelkich możliwych kroków w celu zmuszenia Izraela do wykonania tych zobowiązań , rozpoczynając program bojkotu , wycofania inwestycji oraz sankcji . ”
(trg)="11.2">Tuanitaka serikali ya Uingereza na watu wa Uingereza kuchukua hatua zote zinazowezekana za kuitaka Israeli ikubaliane na madai haya, kwa kuanza na programuya ususiaji, kuondoa vitega uchumi, na vikwazo."

(src)="8.3"> W Londynie studenci również solidaryzują się z Gazą na prestiżowym Uniwersytecie Ekonomii :
(src)="9.1"> Ponad czterdziestu studentów kontynuowało dziś protest na londyńskiem Uniwersytecie Ekonomii przeciwko konfliktowi w Gazie .
(trg)="12.1">Mjini London wanafunzi pia walichukua hatua ya mshikamano na Gaza katika chuo cha Uchumi cha London: Zaidi ya wanafunzi 40 waliendela na kampeni yao ya kukaa chini katika Chuo Cha Uchumi cha London leo hii ili kupinga machafuko huko Gaza.

(src)="9.2"> Są też organizacje oraz strony poświęcone szerzeniu wiadomości o kampanii , jak np ta , ta albo ta tutaj .
(trg)="12.2">Pia kuna asasi na tovuti ambazo zinalenga tu kusambaza habari juu ya kampeni kama hii, hii na hii.

(src)="10.1"> Lecz z drugiej strony inni , jak Crossroads Arabia nie byli tak bardzo zainteresowani bojkotem :
(trg)="13.1">Lakini kwa upande mwingine, wengine, kama vile bloga Crossroads Arabia hawakutilia mkazo sana kwenye kususia bidhaa:

(src)="10.2"> Saudi Gazette donosi , że bojkot produktów amerykańskich w celu wyrażenia wsparcia dla ludności Gazy zaczyna się również w Arabii Saudyjskiej .
(trg)="14.1">Gazeti la Saudi liliripoti kwamba kususia bidhaa za Marekani ili kuwaunga mkono watu wa Gaza kumeanza kumea nchini Saudi Arabia.