# fa/2009_02_03_627_.xml.gz
# sw/2009_01_ugiriki-malalamiko-kuhusu-usafirishwaji-wa-silaha-kuelekea-israeli_.xml.gz
(src)="1.1"> یونان : ارسال اسلحه به اسرائیل بلوک شد
(trg)="1.1">Ugiriki: Malalamiko Kuhusu Usafirishwaji wa Silaha kuelekea Israeli
(src)="2.1"> با اوج گرفتن جنگ در غزه ، گزارش هايی در اوايل ماه ژانويه در مورد احتمال ارسال مقادير زيادی اسلحه از سوی آمريکا به اسرائيل گزارش دادند .
(trg)="1.2">Wakati vita vikiendelea huko Gaza, taarifa zilizotolewa mwanzoni mwa mwezi kuhusu usafirishwaji wa shehena kubwa ya silaha kutoka Marekani kuelekea Israeli kupitia bandari ya Astakos huko Ugiriki zimezua kelele kutoka kwa wanablogu wa Kigiriki.
(src)="2.2"> طبق اين گزارش ها اين امر قرار بوده از طريق بندر خصوصی آستاکوس در يونان صورت بگيرد .
(src)="2.3"> اين موضوع موجب خشم بسياری از بلاگرهای يونانی شده است .
(trg)="1.3">Wanablogu hao walitumia huduma ya Twita kuchunguza swala hilo na kuitia shinikizo serikali ya Ugiriki kusimamisha usafirishwaji wa silaha hizo.
(src)="2.4"> آنها از تويتر استفاده کردند تا در مورد اين گزارش ها تحقيق کرده و به دولت اين کشور را تحت فشار قرار دهند .
(src)="3.1"> دولت يونان که از سوی احزاب اپوزيسيون و سازمان عفو بين الملل تحت فشار قرار گرفته بود ، ارسال اسلحه به اسرائيل را به حالت تعليق درآوردند .
(trg)="2.1">Usafirishaji wa shehena hiyo ulisitishwa, wakati serikali ya Ugiriki ilipobanwa na vyama vya upinzani pamoja na Shirika la Msamaha Duniani lilipokuwa likitaka vikwazo vya uingizwaji wa silaha nchini Israeli vipitishwe.
(src)="4.1"> ابتدا مقامات يونانی به گزارشی که در آژانس بين المللی رويترز در نهم ژانويه در اين مورد منتشر شده بود اعتراض کردند .
(trg)="3.1">Awali, vyanzo kutoka serikalini vilipingana na habari iliyotolewa tarehe 9 Januari na shirika la habari la Reuters.
(src)="4.2"> اما اين موضوع توسط کاربران تويتر مورد توجه قرار گرفت و گروه ايندی مديا يونان آغاز به تحقيق کرد و مقاله رويترز را به زبان يونانی ترجمه کرد .
(trg)="3.2">Lakini watumiaji wa huduma ya Twita waliipata habari hiyo na kuipeleleza baada ya Indy.gr - tawi mojawapo la Indymedia Athens - kutoa tafsiri ya makala hiyo katika lugha ya Kigiriki.
(src)="4.3"> اين نظر که بندر آستاکوس بايد مورد تحريم قرار بگيرد مطرح شد و کاربران تويتر آن را به سرعت پخش کردند .
(trg)="4.4">Wengine walituma jumbe za twita moja kwa moja kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Ugiriki, waziri ambaye ana timu yenye akaunti katika huduma ya twita:
(src)="6.1"> برخی نيز مستقيما از طريق تويتر به وزارت امور خارجه يونان تماس گرفتند .
(trg)="4.5">Dora Bakoyannis, Nini kinachoendelea kuhusu shehena inayosafirishwa Astakos?
(src)="6.2"> تيم وب اين وزارتخانه از تويتر استفاده می کند .
(trg)="4.6">Hatutaki Ugiriki ihusishwe na mauaji yanayotokea Gaza.
(src)="7.1"> در يکی از پيام ها می خوانيم که در بندر آستاکوس چه می گذرد ؟ يونان نمی خواهد در قتل عام غزه نقشی داشته باشد .
(trg)="4.7">Wakivunja utaratibu waliokuwa wakiufuata hapo awali wa kutojibishana kwa kutumia huduma ya twita, timu ya waziri nayo ilijibu moja kwa moja:
(src)="8.1"> وزارت امور خارجه که پيشتر پاسخ به پيام های تويتر را نمی داد ، اين بار چواب اين پرسش ها را داده است .
(trg)="5.1">… majibu kuhusu Astakos, http://tinyurl.com/9ts6xw
(src)="8.2"> در بيانيه وزارت امور خارجه آمده است که ارسال اسلحه از طريق بنادر يونان موضوع درستی نيست و اين وزارتخانه گزارش های مربوطه را انکار کرده است .
(trg)="6.1">Kiungo hicho kilisababisha wizara itoe majibu rasmi kuwa suala la upitishwaji wa shehena hiyo ya silaha kwenye bandari ya Astakos au bandari nyingine yoyote nchini Ugiriki siyo "mada muhimu" kadhalika wizara hiyo pia ilikana kilichoripotiwa na vyombo vya habari.
(src)="9.1"> ولی کاربران تويتر لينکی به نيروی دريايی آمريکا را پيدا کرده اند که طبق آن سلاح آمريکايی قرار است از بندر آستاکوس به بندر اشدود در اسرائيل منتقل شود و نيروی دريايی آمريکا منتظر شرکتی برای اين انتقال است .
(trg)="7.1">Hata hivyo, tayari bloga Odysseas alikuwa ameshabaini mahali yalipo maombi ya upitishwaji wa shehena hiyo kwenye tovuti ya serikali ya Marekani:
(src)="10.1"> کابران تويتر از وزارت امور خارجه يونان پرسيده اند چه پاسخی در مورد اين لينک نيروی دريايی آمريکا دارد .
(trg)="7.2">Katika kiungo kinachofuata utaiona barua ya Jeshi la Marekani inayohusu usafirishwaji wa silaha kutokea bandari ya Astakos kuelekea bandari ya Ashdod, nchini Israel.
(src)="11.1"> يک روز بعد خبرگزاری ها گزارش دادند که ارسال اسلحه از بندر آستاکوس به دليل جنگ در غزه لغو شده است .
(trg)="7.7">Hilo pia lilitangazwa kwa kutumia huduma ya twita mara moja:
(trg)="7.8">Myrto_fenek: Usafirishwaji wa wa silaha kupitia bandari ya Astakos umesitishwa kutokana na mgogoro wa Gaza!
(src)="12.1"> اين خبر به سرعت توسط کاربران تويتر منتشر شد .
(trg)="7.11">Hapana shaka kwamba shehena hiyo itasafirishwa, isipokuwa siyo hivi sasa na si kwa kutokea hapa.
(src)="13.1"> بلاگر يونانی مجيزکزلد در اين مورد می نويسد : خبرگزاری ای پی ای يونان گزارش داد که ارسال اسلحه از بندر يونانی آستاکوس به بندر اشدود در اسرائيل به دليل جنگ غزه صورت نمی گيرد .
(trg)="8.1">… pia kulikuwa na maombi mengine awali ya haya, yaliyofanywa tarehe 6 Disemba, 2008 (Yalichapishwa kwa mara ya kwanza tarehe 4 Disemba), na Jeshi la Marekani.
(src)="13.2"> قرار بوده ۳۲۵ کاتينر سلاح به اسرائيل منتقل شود ولی اين خبرگزاری می نويسد روزی ارسال اين اسلحه صورت می گيرد ولی نه از اين مکان .
(trg)="8.2">Hili ni ombi jingine la usafirishwaji wa silaha, kwa ajili ya shehena kubwa zaidi, kwani chombo chenye uwezo wa chini wa kubeba tani 989 kilitakiwa.
(src)="14.1"> بلاگری به نام کولپلاتانوس می نويسد که پيشتر در اوايل دسامبر نيز قرار بوده مقادير سلاح از يونان به اسرائيل ارسال شود ولی اين امر نيز لغو شده است .
(trg)="9.1">Haidhuru, leo tarehe 13 Januari , maombi ya chombo chenye uwezo wa tani 325 yalibadilishwa na kusomeka kuwa "yamesitishwa kwa wakati huu".
# fa/2011_05_12_742_.xml.gz
# sw/2011_05_kuwait-nampenda-osama-bin-laden_.xml.gz
(src)="1.1"> کویت : عاشقی با اساما بن لادن
(trg)="1.1">Kuwait: Nampenda Osama Bin Laden
(src)="1.2"> این مقاله بخشی از پوشش خبری ما از مرگ اساما بن لادن است
(trg)="1.2">Makala hii ni sehemu ya habari zetu maalum kuhusu Kifo cha Osama Bin Laden.
(src)="2.1"> تصویر خلود الخمیس گرفته شده از اکانت توییتر اش
(trg)="2.1">Picha ya Khulood Al-Khamis kutoka kwenye akaunti yake ya Twita
(src)="3.1"> چه چیز می تواند زنی را عاشق شخصی مانند اساما بن لادن ، رهبر القاعده ، کند ؟ ظاهرا ، یک ریش بلند ؛ بنا بر اعتراف ستون نویس کویتی ، خلود الخمیس ، که خوانندگان خود را حیرت زده کرد با نامه ی عاشقانه اش به مغز متفکر ترور که هفته ی پیش به دست نیروهای آمریکایی در ابوت آباد پاکستان کشته شد .
(trg)="3.1">Ni kitu gani kinachoweza kumfanya mwanamke aanguke katika penzi na mtu kama kiongozi wa Al-Qaeda Osama Bin Laden?
(trg)="3.2">Inavyoonekana, ni ndefu ndefu, anasema mwandishi wa makala kutoka Kuwait Khulood Al-Khamis, ambaye aliwastua wasomaji kwa barua yake ya mapenzi aliyoandika kwa kiongozi wa ugaidi, ambaye aliuwawa na Marekani, huko Abbottabad, Pakistan, wiki iliyopita.
(src)="4.1"> در نامه اش ، چاپ شده در ستون اش در روزنامه ی کویتی و عربی القَبَس ، الخمیس بن لادن را به صورت مرد آرزوهایش توصیف می کند و می گوید که تا چه حد دوست می داشته که با او به غارش برود ، ریش اش را بشوید و یکی از همسران اون شود .
(trg)="4.1">Katika barua yake, kwenye makala yake ya gazeti la kila siku la Kiarabu Al-Qabas, Al-Khamis alimuelezea Bin Laden kama mwanume wa ndoto zake, aliezea jinsi mabvyo angependa kwenda naye ndani ya pango lake, na kuosha ndefu zake na kuwa mmoja wa wake zake.
(src)="4.2"> در پایان مقاله اش قول می دهد که در بهشت به انتظار او بماند تا قصه های هزار و یک شب اش را با او آغاز کند .
(trg)="4.2">Alimalizia makala yake yake kwa kuahidi kumngojea ahera ili kuendelea na simulizi zake hizi za Scheherazade.
(src)="5.1"> ستون نویس ، که اتفاقا داستان کوتاه نویس هم هست ، در توییتر صاحب اکانت است .
(trg)="5.1">Mwandishi huyo wa makala, ambaye pia ni mwandishi wa hadithi fupi fupi, ana akaunti ya Twita.
(src)="5.2"> مقاله اش بسیاری از خوانندگان را در این رسانه متحیر کرد که منجر به سیلی از ارجاع های تمسخر آمیز به او در توییتر شد .
(trg)="5.2">Makala yake iliwastua wasomaji wengi.
(trg)="5.3">Kwenye Twita, Al-Khamis alitajwa tajwa kwa kejeli, pamoja na kutoka kwa Ayman Zawahari, akaunti ya kubeza ya kiongozi wa pili wa Al-Qaeda, ambaye alimuuliza alimuuliza swali dogo rahisi:
# fa/2012_07_26_1113_.xml.gz
# sw/2012_07_tamko-la-uhuru-wa-mtandao-wa-intaneti_.xml.gz
(src)="1.1"> بیانیه اینترنت آزاد
(trg)="1.1">Tamko la Uhuru wa Mtandao wa Intaneti
(src)="2.1"> همان طور که بسیاری از کارشناسان گفته اند ما دوره ی حساسی را در زمینه ی اینترنت آزاد طی می کنیم .
(trg)="1.2">Kama ambavyo wengi wamebaini, ulimwengu uko katika wakati tete linapokuja suala la uhuru wa mtandaoni.
(src)="2.2"> در بسیاری از کشورهای دنیا ، قوانین جدیدی برای سانسور در اینترنت تصویب شده که برای آزادی ( هم آزادی بیان و هم آزادی جسمانی ) وبلاگ نویسان ، خطرات جدی و روز افزونی فراهم آورده است .
(trg)="1.3">Katika nchi nyingi duniani kote, sheria mpya zimeendelea kuundwa kwa malengo ya kudhibiti mtandao, wakati huo huo wanablogu wakizidi kuwa katika hatari kwa kupaza sauti zao.
(src)="3.1"> در سال گذشته ، سازمان های مختلفی در سراسر دنیا با هم متحد شده اند تا از آزادی های آنلاین و اینترنتی دفاع کنند .
(trg)="2.1">Katika mwaka uliopita, mashirika duniani kote yameshikamana pamoja kuliko ilivyowahi kutokea kabla kupigania uhuru mtandaoni.
(src)="3.2"> این مبارزه دامنه ی گسترده ای داشته است که از یک سمت شامل تلاش هایی که برای لغو قوانین SOPA و PIPA در آمریکا شده است و از سمت دیگر شامل مبارزاتی که منتهی به از بین رفتن Anti-Counterfeiting Trade Agreement ( ACTA ) گردید ، می شود .
(src)="4.1"> این مبارزات ما را به دوره ی اینترنت آزاد و باز رسانده است
(src)="5.1"> به تازگی ، شماری از این گروه ها با هم فکری بیانیه ی آزادی در اینترنت را منتشر کرده اند .
(trg)="2.2">Kuanzia vita dhidi ya SOPA na PIPA huko Marekani hadi juhudi za kimataifa zilizomaliza Mkataba wa Kupinga Biashara ya Fedha Bandia (ACTA), tumefikia nyakati za uwazi wa uhuru wa mtandaoni.
(src)="5.3"> تا به امروز ، این بیانیه توسط بیش از ۱۳۰۰ سازمان و شرکت امضا شده و این تعداد هنوز در حال رشد است .
(trg)="3.1">Tukiyatambua hayo, vikundi kadhaa hivi karibuni viliungana kuunda Tamko la Uhuru wa Mtandao wa Intaneti, ambalo Mradi wa Kutetea Sauti za Dunia ulikuwa moja ya watiaji sahihi wa awali.
(src)="5.4"> در ادامه ی این مقاله می توانید ترجمه ی این بیانیه را بخوانید .
(trg)="3.2">Mpaka sasa, Tamko hilo imetiwa sahihi na zaidi ya mashirika na kampuni 1300 na bado zoezi linaendelea kukua.
(src)="5.5"> در صورت علاقه ، می توانید این بیانیه را در این جا امضا کنید .
(trg)="3.3">Hapa chini utapata andiko la awali la Tamko hilo.
(src)="5.6"> همچنین شما می توانید با آن ، از طریق سازمان های متعدد ، از جمله EFF , Access , Free Press , وحتی Cheezburger وارد فعالیت شوید .
(trg)="3.4">Unaweza kutia saini kuunga mkono tamko hilo hapa; waweza pia kuiona kupitia mashirika mengineyo, ikiwa ni pamoja na EFF, Free Press, Shirika la Access na pia Cheezburger.
(src)="6.1"> پیشگفتار
(trg)="3.5">DIBAJI
(src)="7.1"> ما بر این باوریم که اینترنت آزاد و باز می تواند زمینه ساز دنیایی بهتر باشد .
(trg)="3.6">Tunaamini kwamba mtandao ulio huru na wazi waweza kufanya dunia iwe bora zaidi.
(src)="7.2"> ما برای آزاد و باز نگه داشتن اینترنت ، از همه ی اجتماعات ، صنایع و کشورها می خواهیم اصول زیر را بپذیرند .
(trg)="3.7">Kwa kuufanya mtandao kuwa huru na wazi, tunatoa wito kwa jumuiya, viwanda na nchi kutambua na kuheshimu kanuni hizi.
(src)="7.3"> ما بر این باوریم که این اصول باعث بیشتر شدن نوآوری و ایجاد جوامعی بازتر خواهد شد .
(trg)="3.8">Tunaamini kwamba zitasaidia kuleta ubunifu zaidi, ugunduzi zaidi na kufanya jamii ziwe wazi zaidi.
(src)="7.4"> ما به این حرکت بین المللی می پیوندیم تا از آزادی های خود دفاع کنیم ، زیرا معتقدیم که این آزادی ها ارزش مبارزه را دارند .
(trg)="4.1">Tunajiunga na harakati ya kimataifa kutetea uhuru wetu kwa sababu tunaamini kwamba uhuru ni suala muhimu kupiganiwa.
(src)="7.5"> بیایید با هم این اصول را به بحث بگذاریم — موافقت یا مخالفت خود را ابراز کنید ، درباره ی آن ها بحث کنید ، ترجمه شان کنید ، آن ها از آن خود کنید و با طرح مباحث در جامعه ی خود ، آن ها را بسط دهید .
(trg)="5.1">Hebu tujadili kanuni hizi - kubali ama pingana nazo, zijadili, zitafsiri, zifanye kuwa zako na panua mijadala katika jamii yako - kwani mtandao ndio utawezesha hayo.
(src)="7.6"> — تنها اینترنت می تواند وقوع چنین بحثی را ممکن کند .
(src)="7.7"> در آزاد و باز نگه داشتن اینترنت به ما بپیوندید .
(trg)="6.1">Ungana nasi kuufanya Mtandao wa intaneti kuwa huru na wazi.
(src)="8.1"> بیانیه
(trg)="6.2">ILANI
(src)="9.1"> ما خواهان اینترنت آزاد و باز هستیم .
(trg)="6.3">Tunasimama imara kudai mtandao huru na wazi.
(src)="9.2"> ما پشتیبان شفافیت و مشارکت پذیری در تدوین سیاست های اینترنت و برقراری پنج اصل بنیادی زیر هستیم : بیان : اینترنت را سانسور نکنید .
(trg)="7.1">Tunaunga mkono michakato wazi na shirikishi ya kutengeneza sera ya mtandao na uanzishaji wa kanuni tano za msingi:
(src)="9.3"> دسترسی : دسترسی همگانی به اینترنت سریع و سهل الوصول را ترویج دهید .
(trg)="9.1">Upatikanaji: Kuza upatikanaji wa mitandao ya kasi na nafuu duniani kote.
(src)="9.4"> باز بودن : اینترنت را شبکه ای باز نگه دارید که همه کس در اتصال به آن ، برقراری ارتباط ، نوشتن ، خواندن ، تماشا ، صحبت ، شنیدن ، آموختن ، آفرینش و نوآوری آزاد باشد .
(trg)="10.1">Uwazi: Kuufanya mtandao wa intaneti kuwa wazi ambapo kila mtu ana uhuru wa kuunganishwa, kuwasiliana, kuandika, kusoma, kutazama, kuzungumza, kusikiliza, kujifunza, kuunda na kubuni.
(src)="9.5"> نوآوری : از آزادی نوآوری و آفرینش بدون اجازه حمایت کنید .
(trg)="11.2">Msizuie teknolijia mpya, na msiwaadhibu wagunduzi kwa vitendo vinavyofanywa na watumiaji wa teknolojia zao.
# fa/2012_06_26_1090_.xml.gz
# sw/2012_07_tazama-picha-za-afghanistan-ambazo-huwa-huzioni_.xml.gz
(src)="1.1"> اشتراک تصاویری از افغانستان که هیچ گاه نمی بینید
(trg)="1.1">Tazama Picha za Afghanistan Ambazo Huwa Huzioni
(src)="1.2"> چندین دهه جنگ و تروریسم افغانستان را از جمله خطرناک ترین کشورهای جهان قرار داده است .
(trg)="1.2">Miongo ya vita na ugaidi vimeiweka Afghanistan katika kundi la nchi hatari zaidi kuishi duniani.
(src)="1.3"> با وجود پیشرفت این کشور از زمان سرنگون شدن طالبان در سال ۲۰۰۱ ، بیشتر رسانه هایی که در مورد افغانستان می نویسند ، تمرکز سرسختانه ای بر مسائل منفی از قبیل انفجار بمب ، حملات انتحاری و تلفات قرار داده اند .
(trg)="1.3">Pamoja na hatua za mafanikio zilizofikiwa na nchi hiyo tangu kuondolewa kwa wa-Taliban mwaka 2001, vyombo vingi vya habari vinavyoandika habari za Afghanistan kwa ujeuri tu vimejikita katika masuala hasi kama vile milipuko ya mabomu, mashambulizi ya kujitoa muhanga na kujeruhiwa kwa watu.
(src)="1.4"> گزارشات در این رسانه ها تصاویر وحشتناکی را در بر دارد که منجر می شود اکثر مردم هرگز نخواهند به دیدار این کشور جنگ زده اما بسیار زیبا بیایند .
(trg)="1.4">Ripoti katika vyombo hivyo zinaonyesha picha za kuogofya ambazo husababisha watu wengi kughairi kabisa mpango wa kuitembelea nchi hiyo iliyoathirika vibaya na mapigano lakini kwa asili ikiwa ni nchi nzuri sana.
(src)="2.1"> به همین دلیل است که کار Antony Loveless ، روزنامه نگار مستقل انگلیسی و عکاس ، تفاوت زیادی ایجاد می کند .
(trg)="3.1">Akioongea na mwandishi wa Global Voices kuhusu alama ishara hiyo ya twita, Loveless alisema:
(src)="2.2"> از مارس ۲۰۱۲ تا کنون ، Loveless در حال ارسال عکس هایی از سفر خود به افغانستان بر روی توییتر بوده است ، با استفاده از برچسب اختراعی اش ، TheAfghanistanYouNeverSee # ( افغانستانی که هیچ وقت نمی بینید ) .
(trg)="15.1">Kila picha iliyowekwa katika alama ishara hiyo ya twita hutwitiwa tena (retweeted) na mamia ya watumiaji wa twita, kuwawezesha wapiga picha hao kupata hadhira kubwa zaidi.
(src)="3.1"> Loveless در گفتگو با صداهای جهانی در مورد این برچسب گفت :
(trg)="16.1">Akizungumza na Global Voices, Antony Loveless anasema:
# fa/2012_08_28_1247_.xml.gz
# sw/2012_07_uganda-aina-mpya-ya-kifafa-yatishia-maisha-ya-watoto_.xml.gz
(src)="1.1"> اوگاندا : بیماری نودینگ آینده کودکان را تباه می کند .
(trg)="1.1">Uganda: Aina Mpya ya Kifafa Yatishia Maisha ya Watoto.
(src)="1.2"> نودینگ ، یک بیماری جسمی-روانی ناتوان کننده است که کودکان سنین یک تا 10 سال را درگیر می کند .
(trg)="1.2">Ugojwa unaofanana na Kifafa unaosababisha akili na mwili kwa ujumla kushindwa kufanya kazi vizuri, unaathiri watoto walio na umri kati ya mwaka 1 hadi miaka 10.
(src)="1.3"> این بیماری در حال حاضر محدود به مناطقی کوچکی از جنوب سودان ، تانزانیا و شمال اوگاندا است .
(trg)="1.3">Hadi sasa ugojwa huu umeonekana zaidi katika baadhi ya maeneo ya nchi za Sudani ya Kusini,Tanzania na upande wa Kaskazini mwa Uganda.
(src)="2.1"> بیماری در حال حاضر غیر قابل درمان و علت آن هم ناشناخته است .
(trg)="2.1">Ugonjwa huu hadi sasa haujapata tiba na haijafahamika unasababishwa na nini.
(src)="2.2"> به تازگی نشانه های این بیماری در بعضی از افراد مسن هم دیده شده است .
(trg)="2.2">Siku za hivi karibuni, dalili za ugojwa huu zimeonekana pia kwa baadhi ya watu wazima.
(src)="2.3"> مناطق درگیر این بیماری عمدتاً در بخش شمالی کشور اوگاندا هستند .
(trg)="2.3">Maeneo yaliyoathiriwa na ugonjwa huu zaidi, ni yale ya upande wa kaskazini mwa Uganda.
(src)="2.4"> بیماری به صورت کامل امکان هرگونه فعالیت را از کودک می گیرد .
(src)="2.5"> دختران حتی نمی توانند چاقویی را برای درست کردن غذا در دست بگیرند و پسران مبتلا حتی امکان در دست گرفتن بیلچه ای را برای کاشتن دانه گیاه نخواهند داشت .
(trg)="2.4">Ugonjwa huu unawafanya watoto kushindwa kufanya shughuli yoyote ya uzalishaji; wasichana hawawezi hata kushika kisu ili kuandaa chakula, na kwa wavulana, hawawezi hata kushika jembe na kuotesha walau mbegu moja ya mmea.
(src)="3.1"> یک مرد 18 ساله مثل یک کودک سه ساله می شود و باید دیگران او را حرکت دهند تا بدنش کمی گرم شود .
(trg)="3.1">Mwanaume wa miaka 18 anaweza kuonekana kama ni mvulana wa miaka 3, na anapaswa kubebwa na kusaidiwa kutoka nje ya nyumba ili angalau aweze kuota jua.
(src)="3.2"> اولین نشانه های بیماری تکان های مداوم سر است که امکان خوردن و آشامیدن را از فرد مبتلا می گیرد .
(trg)="3.2">Dalili za kwanza za ugonjwa huu ni kutikisa tikisa kichwa na kushindwa kula na kunywa.
(src)="4.1"> یک روزنامه نگار اوگاندایی به نام فلورنس نالوییمبا پیشگام تحقیقات روشنگرانه در مورد این بیماری است .
(trg)="4.1">Mwanahabari wa Uganda, Florence Naluyimba, ameshachukua hatua za awali kuchunguza na kuliweka bayana jambo hili.
(src)="4.2"> او می گوید اگرچه دولت تلاش می کند در سه مرکز درمانی اقدامات لازم را برای قربانیان انجام دهد با این حال آن ها مجبور به طی مسافتی طولانی با پای پیاده یا با دوچرخه برای رسیدن به این سه مرکز درمانی هستند .
(trg)="4.2">Anasema kuwa, pamoja na kuwa serekali inajaribu kutoa dawa katika vituo vitatu vya afya ili kuwasaidia waathirika, watu wanalazimika kusafiri umbali mrefu kwa miguu au kwa baiskeli ili kuvifikia vituo hivi.
(src)="4.3"> بیماران به تنهایی امکان رسیدن به بیمارستان را ندارند و باید توسط اطرافیان حمل شوند و یا با دوچرخه و پس از طی مسیر 30 کیلومتری به آن مراکز آورده شوند .
(trg)="4.3">Wagonjwa hawawezi kwenda hospitali peke yao, hivyo wanapaswa kubebwa mgongoni au kubebwa kwa baiskeli na kusafiri umbali wa zaidi ya kilometa 30.
(src)="5.1"> بیمار ناگهان دچار تشنج می شود که باعث افتادن او درون آتش و و یا برخورد با اجسام تیز و برنده در حوالی برکه ها و رودخانه ها شده و منجر به مرگ بر اثر صدمات شدید حاصله می شود .
(trg)="5.1">Ugonjwa huu mara nyingi unapelekea mtu kukakamaa na wakati mwingine hali hii huwapelekea hata kuangukia kwenye moto, kuangukia vitu vyenye ncha kali au kwenye mabwawa/ kwenye mito hali inayoweza kusababisha kifo au kupata majeraha makubwa.
(src)="5.2"> بسیاری از کودکان ، اعضاء بدن خود را از قبیل انگشتان ، در چنین حوادثی از دست می دهند .
(trg)="5.2">Watoto wengi wameshapoteza viungo vya mwili kama vile vidole katika ajali hizi.
(src)="5.3"> بسیار اتفاق می افتد که به علت ضعف ناشی از بیماری ، کودک حتی توانایی گریه کردن را هم از دست می دهد .
(trg)="5.3">Wakati mwingine wagojwa wanaweza kuwa wadhaifu sana kiasi cha kushindwa hata kulia.
(src)="6.1"> مرکز کنترل بیماری برنامه سم پاشی هوایی بر ضد مگس سیاه را که به عنوان دلیل اصلی این بیماری مد نظر است در دست اجرا دارد .
(trg)="6.1">Kituo cha kukabiliana na ugojwa huu kimepanga kupulizia dawa kutoka angani ili kuangamiza inzi weusi wanaosadikiwa kuwa ndio chanzo kikubwa cha ugojwa huu.
(src)="6.2"> البته هنوز مشخص نیست که این کار کمکی به ریشه کن شدن بیماری خواهد کرد یا نه .
(trg)="6.2">Bado haifahamika sana kama njia hii itaweza kusaidia au la.
(src)="7.1"> روستاییان اوگاندایی از این بابت شکایت دارند که از سال 2010 نمونه هایی از بیماری به آمریکا برده شدند اما تا کنون هیچ اطلاعات قابل اعتمادی در مورد درمان و یا دلیل بروز بیماری به دست نیامده است .
(trg)="6.3">Wanavijiji nchini Uganda wanalalamika kuwa vipimo vilipelekwa nchini Marekani tangu mwaka 2010 lakini hadi sasa bado hawajapata taarifa za kuridhisha kuhusiana na kinga pamoja na visababishi vya ugojwa huu.
(src)="7.2"> در زیر بعضی از عکس ها و ویدئوهای سایت یوتیوب را در مورد این بیماری می بینید .
(trg)="7.1">Zifuatazo ni baadhi ya picha na video kutoka kwenye mtandao wa YouTube kuhusiana na ugojwa huu.
(src)="8.1"> بیماری نودینگ در مراحل ابتدایی Photo courtesy of ugandaradionetwork .
(trg)="10.1">Ugojwa wa kuanguka katika hatua zake za awali.
(src)="9.1"> کودک بیماری که پس از سقوط در آتش به هنگام تشنج ، دچار آسیب شده است .
(trg)="12.1">Picha kwa idhini ya ugandaradionetwork.com Mtoto mwenye majeraha usoni baada ya kuanguka kwenye moto wakati alipokakamaa
(src)="9.2"> Photo courtesy 256news .
(trg)="13.1">Picha kwa idhini ya 256news.com
# fa/2012_11_10_1433_.xml.gz
# sw/2012_08_mfumo-wa-kipekee-wa-kuwapa-watoto-majina-wa-nchini-myanmar-burma_.xml.gz
(src)="1.2"> هرگاه یکی از شهروندان میانمار می گوید نام خانوادگی ندارد ، خارجی ها معمولا دلیلش را می پرسند .
(trg)="1.2">Pale mtu wa Burma anaposema kuwa hana jina la ukoo , wageni huwa wanashangaa ni kwa nini.
(src)="1.3"> میانمار احتمالا یکی از معدود کشورهایی است که در آن ٩٠ درصد جمعیت نام خانوادگی یا فامیلی ندارند .
(trg)="1.3">Myanmar inaweza kuwa ni miongoni mwa nchi chache duniani ambamo hadi asilimia 90 ya watu wake hawana majina ya ukoo.
(src)="1.4"> اعضای یک خانواده نام هایی کاملا متفاوت دارند و تعداد لغات این نام ها می توانند بسیار متفاوت باشد .
(trg)="1.4">Watu wa familia moja wanaweza kuwa na majina yasiyofanana kabisa na idadi ya maneno kwa kila jina inaweza kuwa na utofauti mkubwa kabisa.
(src)="2.1"> « میانمارچیست » درباره نحوه منحصر به فرد نام گذاری در میانمار می نویسد :
(trg)="2.1">Mkazi mmoja wa Myanmar anaandika kuhusu utaratibu wao wa kuwapa watoto majina.
(src)="3.1"> برای ما ، مردم میانمار ، نام خانوادگی کلمه ای است که در داستان های انگلیسی می بینیم .
(trg)="2.3">Sisi wa-Myanmar, ni kama neno tu katika hadithi ziandikwazo kwa Kiingereza.
(src)="3.2"> شاید باورتان نشود !
(trg)="2.4">Amini usiamini!
(src)="3.3"> ما اصلا نام خانوادگی نداریم .
(trg)="2.5">Hatuna majina ya ukoo kabisa.
(src)="3.4"> برای همین هم در هیچ کدام از فرم هایمان در میانمار ، پس از « نام » جای خالی دیگری برای پر کردن نداریم .
(trg)="2.6">Na hakuna nafasi nyingine baada ya sehemu ya jina la kwanza katika fomu yoyote itakayotakiwa kujazwa majina hapa Myanmar.
(src)="4.1"> یک فروشنده نی شکر اهل میانمار .
(trg)="2.7">Muuza juisi itokanayo na miwa kutoka Myanmar.
(src)="4.2"> عکس از Flickr صفحه Michael Foley استفاده شده طبق قرارداد CC License
(trg)="2.8">Picha kutoka ukurasa wa Flirck wa Michael Foley iliyotumika chini ya mpango wa CC wa haki miliki.
(src)="5.1"> سپس توضیح می دهد که مردم میانمار چطور فرم هایی را که نیاز به نام و نام خانوادگی دارند ، پرمی کنند :
(trg)="3.1">Na anaeleza namna ambavyo watu wa Myanmar wanavyojaza fomu zinazohitaji majina yote, yaani jina la kwanza na la ukoo:
(src)="6.1"> ولی هر وقت می خواهیم فرم های آن-لاین را پر کنیم ، مجبوریم گزینه ی اجباری نام خانوادگی را هم پر کنیم .
(trg)="3.2">Lakini tunapojaza fomu kutoka kwenye mtandao wa intaneti, huwa hatuna njia mbadala zaidi ya kuweka majina ya ukoo kwa kuwa ni lazima kufanya hivyo.
(src)="6.2"> خب ، چه می نویسیم ؟ من دو کلمه ی اول اسمم را به عنوان نام و کلمه ی آخر را به عنوان نام خانوادگی می نویسم .
(trg)="3.4">Kwa upande wangu, huwa ninajaza maneno mawili ya kwanza kutoka katika jina langu kama jina la kwanza na neno la mwisho kama jina la ukoo.
(trg)="3.5">Unafikiri hakuna mpangilio?
(src)="6.3"> یعنی همین طور الکی ؟ خب حالا شاید بخواهید بدانید هر اسم چند کلمه دارد .
(trg)="3.6">Vizuri, labda ungependa kufahamu kuna maneno mangapi kwa kila jina?
(src)="6.4"> تنها جواب درستی که می توانم بدهم این است که « بستگی دارد .
(trg)="3.7">Kwa busara kabisa, jibu langu ni kuwa “inategemea”.
(src)="6.5"> » بله کاملا به این بستگی دارد که پدر و مادرتان یا هر کس که نام گذاری می کند ، چقدر خلاق باشد .
(trg)="3.8">Ndio, inategemea na namna wazazi walivyo wabunifu au inategemea na yule anayempatia mtoto jina.
(src)="7.1"> « توبی مد » ( Twobmad ) توضیح می دهد سر و کار داشتن با اسم های میانماری در جوامع خارجی چقدر سخت است :
(trg)="3.9">Twobmad alizitaja changamoto anazokabiliana nazo mtu pale anaposhughulikia majina ya watu wa Myanmar:
(src)="8.1"> هر وقت مجبور بودم گزینه هایی از قبیل نام ، نام وسط و نام خانوادگی را پر کنم ، گیج می شدم .
(trg)="3.10">Huwa ninachanganyikiwa kabisa pale ninapolazimika kuandika majina yote matatu, yaani jina la kwanza, la kati na la mwisho.
(src)="8.2"> پس از زندگی در یک کشور خارجی می بینم چنین چیزی برای دیگران هم اتفاق می افتد و دوستانم می خواهند بدانند چطور باید صدایم بزنند .
(trg)="3.11">Hali hii pia hujitokeza pale ninapokuwa ugenini, yaani mbali na nchini mwangu, marafiki huwa wananiuliza ningependa waniite kwa jina gani.
(src)="8.3"> آن ها هم گیج شده اند .
(trg)="3.12">Hakika, wao pia, huwa wanachanganyikiwa.
(src)="8.4"> چون وقتی اسمم را صدا می زنند با اسمی که خانواده و جامعه قبلی ام استفاده می کرده است فرق دارد .
(trg)="3.13">Kwa sababu kama wakiniita kwa jina kwanza jina, sio tu kuwa hawaniiti kama nilvyokuwa naitwa katika familia yangu, lakini pia hata kwa jamii yangu iliyotangulia.
(src)="8.5"> اگر نام اولم را بگویند ، برای من که تا به حال آن را نشنیده ام عجیب به نظر می رسد .
(trg)="3.14">Wangeweza kuniita jina langu la kwanza, lakini ningeona kama maajabu kama ningekuwa naitwa kwa jina ambalo sikuwahi kulisikia kamwe.