# sw/2008_08_angola-kuelekea-uchaguzi-unaosubiriwa-kwa-muda-mrefu_.xml.gz
# zht/2008_08_17_1280_.xml.gz
(src)="1.1"> Angola : Kuelekea Uchaguzi Unaosubiriwa Kwa Muda Mrefu
(trg)="2.1"> 再過不到一個月 ,
(src)="1.2"> Ni chini ya chini ya mwezi mmoja kwa Angola kabla ya kuingia zoezi linalosubiriwa zaidi katika aya za historia yake .
(trg)="2.4"> 安哥拉民眾今年終於能再度行使選舉權 ,
(src)="1.3"> Miaka kumi na sita baada ya uchaguzi wake wa mwisho , Waangola kwa mara nyingine tena watapata fursa ya kutumia haki yao ya kupiga kura katika uchaguzi wa bunge , utakaofanyika kuanzia tarehe 5 mpaka 9 Septemba .
(trg)="2.5"> 於9月5日至6日投票選出國會議員 。
(trg)="3.1"> 整體氣氛平靜 ,
(trg)="3.2"> 但選民之間情緒各異 ,
(src)="2.1"> Hali ni ya ukimya , japokuwa kuna hisia zinazotofautiana katika umma .
(trg)="3.3"> 有些富人打算出國 ,
(src)="2.2"> Watu wanojiweza wanasema watakwenda ughaibuni ; wengine wanatabasamu na kujihakikishia kwamba hakuna litakalotokea kwani Waangola hawataki tena vita na mateso ; wakati wengine wanakimbilia madukani kunua vyakula , ikiwa muovu atalipa na mambo yataenda vibaya , kama ilivyotokea mwaka 1992.
(trg)="3.4"> 有些人微笑保證絕不會出事 ,
(trg)="3.5"> 因為安哥拉人再也不想有戰爭與苦難 ;
(src)="3.1"> Inapokuja kwa wafanyabiashara wa nje waishio Angola , wao hawakusudii kurudi kwenye nchi zao .
(trg)="3.9"> 引爆衝突與長達十年的內戰 ,
(src)="3.2"> Jumii ya wafanya biashara inaamini kwamba kila kitu kitabaki kama kilivyo baada ya uchaguzi na kwamba hapana ulazima wa kubadilisha majukumu ya kikazi .
(trg)="4.1"> 在安哥拉的外商則不打算返回母國 ,
(src)="4.1"> Baada ya hatua za kwanza za uchaguzi , ambazo zilikuwa ghafiri na zenye athari mbaya , uchaguzi wa pili wa Bunge nchini Angola unakuja kwa kasi .
(trg)="4.5"> 經過前次令人遺憾又後果慘重的選舉之後 ,
(src)="4.2"> Kama mchakato huu , kwa wengi , ni sawa na matumaini mapya na kuimarika kwa demokrasia nchini kote , kwa wengine , walio sehemu za mashamba na kwa wale walio mikoani ambao waliteseka na ghasia , na matokeo ya vita vilivyojiri baada ya uchaguzi wa mwa 1992 , nadhani bado kuna hisia za woga , kutokuwa na uhakika , mtazamo hasi pamoja na kutokuamini katika faida zitakazofikia maisha ya wananchi kutokana na mchakato huu .
(trg)="4.6"> 安哥拉第二次國會選舉很快就要舉行 ,
(src)="4.3"> Katika maeneo haya kuna haja ya kufanya kazi ya kurahisisha mchakato mzima ili kwenda mbele zaidi ya vishawishi vya kisiasa , vionjo , vya kiutamaduni , vya kidini na vya kifilosofia .
(trg)="4.7"> 很多人認為此事代表著新希望到來 ,
(src)="4.4"> Ni lazima tutetee na kuimarisha dhamira za watu na za jamii kwa ujumla .
(trg)="4.8"> 同時也將鞏固國內民主 ,
(src)="4.5"> Rais wa Angola jose Eduardo Dos Santos ameshatoa rai ya kutaka utulivu na mpangilio siku za kupiga kura , alieleza kwamba " ni muhimu kuhakikisha kuwa usalama wa raia na ulinzi wa mali zao , kwa sababu usalama wa umma ni kipaumbele " .
(trg)="4.9"> 但對鄉村地區民眾 ,
(trg)="4.10"> 以及對於那些受到1992年選後暴力直接影響地區的選民 ,
(src)="4.6"> Kiongozi huyo aliongeza kwamba ni muhimu " kuheshimu mitazamo na fikra za wengine " bila kutumia " maneno au vitendo vya vurugu " .
(trg)="4.11"> 他們的情緒交雜著恐懼 、 不安 、 悲觀 ,
(src)="5.1"> Tunategemea kuwa wapiga kura milioni 8.3 watakuwa na mazingira yenye amani kwa upigaji kura na watafanya hivyo katika njia ya safi na inayoeleweka vyema .
(trg)="4.12"> 也不相信選舉會對所有民眾有福 ,
(src)="5.2"> Kuna zaidi ya vituo 12 elfu vya kupigia kura katika dola ya kitaifa .
(trg)="4.13"> 我們在這些地區必須簡化程序 ,
(src)="5.3"> Wkati huo huo , Angola tayari imo kwenye vuguvugu la kampeni linaoloendeshwa na vyama tisa vya kisiasa .
(trg)="4.17"> 因為社會秩序是選舉一大基礎 」 ,
(src)="5.4"> Kwa taarifa zaidi kuhusu mlengo wa kila chama kati vyama hivyo vya siasa tafadhali tembelea blogu ya Eugenio Costa Almeida . .
(trg)="4.19"> 切勿使用 「 言語或肢體暴力 」 。
# sw/2008_08_pakistani-musharraf-aondoka-jengoni_.xml.gz
# zht/2008_08_19_1286_.xml.gz
(src)="1.1"> Pakistani : Musharraf Aondoka Jengoni
(trg)="1.1"> 巴基斯坦 : 總統辭職
(src)="1.2"> Imepita miaka nane , siku mia tatu na ushee tangu mapinduzi yasiyo ya kumwaga damu yaliyoongozwa na Jenerali wa Jeshi la Pakistani yalipofanyika na hivyo kumpokonya madaraka kiongozi fisadi Nawaz Sharif .
(trg)="2.2"> 由巴基斯坦軍方將領穆夏拉夫 ( Pervez Musharraf ) 策動和平政變 ,
(src)="1.3"> Wakati huo kulikuwa na matumaini ya kesho mpya , ilikuwa ni mwendo wa madaha kuelekea kwenye dira iliyofifia iliyopachikwa jina la ‘ mwamko wa wastani wenye kuongozwa na fikra pevu’ na ama kwa hakika hatua muhimu katika kuiondolea jamii gonjwa lililogeuka kuwa janga , yaani , rushwa .
(trg)="2.3"> 從當時貪腐的領導人夏立夫 ( Nawaz Sharif ) 手中取得政權 ,
(src)="1.5"> Baada ya miezi mingi ya utawala wa mabavu , hivi majuzi kulitokea tukio la kumaliza utawala uliodumu muda wa miaka tisa kasoro siku sitini , na hapa Pakistani inafungua ukurasa mpya .
(trg)="2.5"> 那是條前往 「 開明溫和 」 願景的浪漫道路 ,
(src)="2.2"> Watu hao waligubikwa na mnong’ono mmoja baada ya mwingine kutoka katika taarifa zilizorushwa na vituo vya televisheni kwenda kwenye ujumbe mfupi wa maneno na hata barua pepe; ilikuwa kana kwamba majaaliwa ilikuwa yaamuliwe na kila mmoja wao.
(trg)="2.7"> 當時巴基斯坦人歡騰慶祝 ,
(trg)="2.8"> 但很快人民便明白 ,
(src)="4.1"> Pervez Musharraf - Picha kwa hisani ya : Mtiririko wa picha za Flickr wa Mkutano wa Uchumi Duniani zilizo chini ya haki miliki huria kwa umma .
(trg)="2.11"> 歷經多年暴政 ,
(src)="5.1"> Kuaga huku kulikotawaliwa na machozi kulikofanya na Musharraf mnamo tarehe 18 Agosti mwaka huu kulikuja zikiwa zimepita siku nne tu tangu Taifa liadhimishe sherehe za miaka 61 ya Uhuru .
(trg)="2.12"> 在8月18日這天 ,
(trg)="2.13"> 穆夏拉夫8年又305天的政權劃下句點 ,
(src)="5.2"> Ni katika hali ya tahadhari kubwa kwamba Pakistani inaadhimisha mwisho huu wa miaka tisa ya utawala wa familia hii .
(trg)="3.5"> 民眾聽聞一個又一個傳言 ,
(src)="5.3"> Hotuba yake ya mwisho ilijaa hasa kurejelea historia na hii ni kama ilivyonukuliwa na The Pakistani Spectator , yaani hasa kuelezea ni kwa namna gani alitumikia nchi na watu wake .
(trg)="3.17"> 也有人以陰謀論認為他會滲入司法系統 ,
(src)="6.1"> Wanablogu wa KiPakistani walipokea taarifa hizi kwa hisia tofauti , wapo waliomshabikia kwa miluzi yenye kuashiria kwamba alikuwa ‘ a Jolly Good Fellow’ ( mtu mwema na mchangamfu ) , wakati huohuo washabiki wake waaminifu hawakukawia kumpigia mbija za kumpongeza , hata hivyo wapo waliochukua hali hii kwa tahadhari huku wakisherehekea kumalizika kwa utawala wa kidikteta .
(trg)="3.18"> 做最後反擊 ,
(trg)="3.19"> 結果卻是一篇很勇敢的辭職演說 ,
(trg)="3.20"> 在淚眼道別前丟出棄守的白毛巾 ,
(src)="6.2"> Katika namna ya kukejeli , Yeah That Too alishirikisha maneno machache , Ammar kwa upande wake aliandika kuhusu namna ‘ Mpambano mpya wa manyau’ unavyokaribia kuanza , Chowrangi anazungumizia mustakabali wa nchi ya Pakistani baada ya Musharraf , Psychotic Discourses anatupatia mwanga juu ya muundo mpya wa ‘ Utawala wa Kishetani’ ( Demon-cracy ) , wakati ambapo MB anatuchanganya zaidi kwa kuzungumizia hali hii kama moja ya mizunguko ya kisarakasi .
(trg)="3.21"> Siam 's Blog提到 : 「 穆夏拉夫面容沉重 ,
(trg)="3.22"> 背後掛著國旗與建國者像 」 對大眾說 : 「 我將我的未來交付人民手中 。
(src)="7.1"> Swali kubwa kwa sasa linabaki kuwa endapo Musharraf anaruhusiwa kutafuta ukimbizi nje ya Pakistani au endapo atafikishwa mbele ya sheria ili kujibu tuhuma mbalimbali zinazomkabili .
(trg)="5.1"> 巴基斯坦才剛慶祝獨立紀念61週年 ,
(trg)="5.2"> 4天後 ,
(src)="7.2"> Ama kwa hakika ni changamoto kubwa kwa Taifa la Pakistani na ambayo inaweza kuwa na matokeo mengi .
(trg)="6.1"> 國內部落客的反應五味雜陳 ,
(src)="8.1"> Mtu anabaki kujiuliza , hivi nini kinafuata , hasa katika kipindi hiki ambapo kuna wanasiasa wenye matumaini ya kunyakua cheo hicho cha juu zaidi katika taifa hili , ambapo hata hivyo jukumu la kuiondoa nchi katika mkanganyiko huu mkubwa liko zaidi mabegani mwa Asif Zardari na Nawaz Sharif , ambapo wote wawili ni wanasiasa ambao hawakuchaguliwa lakini ambao wengi wanawawekea matumaini makubwa ya kuiondoa nchi hii kutoka katika lindi la vurugu ambamo imo kwa sasa .
(trg)="8.1"> 有人揣測下一步是什麼 ,
(trg)="8.2"> 肯定有許多政治人物想爭取大位 ,
(trg)="8.3"> 不過要帶領國家脫離混亂情境 ,
# sw/2008_08_waziri-matatani-kwa-cheti-feki_.xml.gz
# zht/2008_08_27_1304_.xml.gz
(src)="1.1"> Waziri matatani kwa cheti 'feki '
(trg)="1.1"> 伊朗 : 閣員博士學歷造假
(src)="1.2"> Ali Kordan , Waziri wa Mambo ya Ndani wa Irani , Katika siku za hivi karibuni , ameshutumiwa vikali kwa kuonyesha Shahada 'feki ' ya Udaktari ( PhD ) aliyodai kupata kutoka katika chuo kikuu chenye sifa kubwa duniani cha Oxford cha nchini Uingereza .
(trg)="2.1"> 伊朗新任內政部長Ali Kordan最近飽受抨擊 ,
(trg)="2.2"> 因為他的英國牛津大學博士學位證實偽造 ,
(src)="1.3"> Tovuti mbalimbali , pamoja na ile ya kihafidhina wa Alef , zimechapisha picha ya cheti hicho 'feki ' cha Kordan kinachoonyesha kwamba ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima na Chuo Kikuu cha Oxford .
(trg)="2.3"> 包括保守派的Alef等多個網站都張貼所謂 「 牛津榮譽法學博士 」 證書掃描檔案 。
(src)="3.1"> Alef inaonyesha makosa kadhaa ya kiuandishi yaliyojitokeza kwenye cheti hicho kinachodaiwa kuwa cha Oxford , kwa mfano , “ to be benefitted from its scientific privileges” .
(trg)="4.3"> 例如 「 benefited 」 多了一個t ,
(src)="3.2"> Pia neno“entitled” liliandikwa kimakosa “intitled”.
(trg)="4.4"> 「 entitled 」 也誤植為 「 intitled 」 。
(src)="4.1"> Vilevile tovuti ya Alef imepandisha kwenye ukurasa wake faksi kadhaa ambazo iliandikiana na Chuo Kikuu cha Oxford kuhusiana na jambo hili .
(trg)="5.2"> 該網站在伊朗隨後遭到過濾阻擋 。
(src)="4.2"> Baada ya hapo tovuti hiyo ilizuiwa kuonekana nchini Iran .
(trg)="6.1"> 伊朗政府介入調查本案同時 ,
(src)="5.1"> Wakati ambapo mamlaka nchini Irani inafanya upelelezi kuhusiana na jambo hili , Chuo Kikuu cha Oxford kimetangaza kwamba hakina kumbukumbu kwamba Bwana Kordan alipata kuhitimu katika chuo hicho .
(trg)="6.2"> 牛津大學亦澄清並無Ali Kordan畢業於該校記錄 。
(src)="6.1"> Mwanablogu wa Irani , Bwana Behi , anaandika :
(trg)="7.1"> 伊朗部落客Mr .
(src)="6.2"> Rais Ahmadinejad amefanya muujiza mwingine .
(trg)="7.2"> Behi表示 :
(src)="6.3"> Amemteua mtu anayedai kuwa na Shahada ya Udaktari katika Sheria kutoka Chuo Kikuu cha Oxford kama waziri wa mambo ya ndani !
(trg)="7.3"> 伊朗總統阿曼尼內賈德 ( Mahmoud Ahmadinejad ) 又創造一項奇蹟 : 他挑選的內政部長自稱是牛津大學法學博士 !
(src)="6.4"> Yalipoibuliwa maswali kuhusu uhalisia wa shahada hiyo , huyo jamaa alijawa na jazba , alivitishia vyombo vya habari na kuonyesha cheti chake hiki .
(trg)="7.5"> 他便惱羞成怒 、 威脅媒體 ,
(src)="6.5"> Cheti chenyewe kinatia mashaka makubwa na kinadhaniwa kuwa ni cha kughushi , tena kimejaa makosa ya kiuandishi na wakati huo huo majina yanayoonekana kwenye saini wala si ya yeyote miongoni mwa wanaofundisha katika Kitivo cha Sheria cha chuo hicho !
(trg)="7.6"> 還製造出這份文件堵住媒體之口 ,
(trg)="7.7"> 但這項證據實在太可疑 ,
(src)="6.6"> Ikiwa Ahmadinejad anataka kughushi katika uchaguzi ujao , basi heri atafute mtu makini wa kumsaidia katika kugushi pasipo kugundulika kwa urahisi .
(trg)="7.11"> 最好選個至少懂得遮羞的人 ,
(src)="6.7"> Lo , aibu kubwa hii !
(trg)="7.12"> 真是丟臉 !
(src)="6.8"> Mohmmad Ali Abtahi , aliyekuwa Makamu wa Rais katika serikali ya kimageuzi na ambaye pia ni mwanablogu , anaandika kwamba enzi zake alipokuwa Naibu Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu , aliwahi kukutana na afisa mmoja wa Irani ambaye aliwahi 'kununua ' Shahada 'feki ' ya Udaktari .
(trg)="7.13"> 改革派前副總統兼部落客Mohmmad Ali Abtahi提到 ,
(trg)="7.14"> 他過去擔任文化暨伊斯蘭指導部副部長時 ,
(trg)="7.15"> 便曾遇過官員花錢買博士學位 ,
(src)="6.9"> Abtahi anasema kwamba bei ya kununua cheti kama hicho ilikuwa ni karibu dola za Marekani 1000.
(trg)="7.16"> 據悉買文憑代價約1000美元 。
(src)="7.1"> Mwanablogu mwingine , Shirzad , anadai kwamba kuna uwezekano mkubwa kuwa Ali Kordan hana hata shahada ya kwanza .
(trg)="8.1"> 另一位部落客Shirzad表示 ,
(src)="7.2"> Mwanablogu huyu anaongeza :
(trg)="8.3"> 這代表他說謊多年 ,
(src)="7.3"> Inamaanisha kwamba miaka yote hii waziri huyu ametumia udanganyifu kulipwa kama mtu mwenye Shahada ya Udaktari ...
(trg)="8.4"> 並以博士學歷領薪水 ,
(src)="7.4"> Mmoja wa wasaidizi katika Bunge la Irani aliwahi kumuuliza Kordan : “ Ulipataje Shahada yako ya Udaktari katika Sheria wakati wewe unadai kwamba uliandika Utafiti ( Thesis ) wako kuhusu Elimu ya Kiislamu ? "
(trg)="8.5"> 一名國會議員質詢Kordan : 「 你說論文主題有關伊斯蘭教育 ,
(src)="7.6"> Kordan alijibu , " Nilikuwa na mfasiri . "
(trg)="8.6"> 那麼如何取得法律博士學位 ?
(src)="7.7"> Mwanablogu Jomhour anaandika kwamba Rais wa Irani , Mahmoud Ahmadinejad alimtetea Waziri wake kwa kuuliza , " Je , ni nani aliye na haja na makaratasi haya yanayoweza kuchanwa ( yasiyo na maana ) !”
(trg)="8.7"> 」 「 你如果不會說英文 ,
(trg)="8.8"> 怎麼通過口試 ?
(src)="8.1"> Mwanablogu huyu anauliza :
(trg)="8.11"> Jomhour說 ,
(src)="8.2"> Endapo vyeti havina maana , ni makaratasi yanayoweza kuchanwa wakati wowote , hivi basi kwa nini Waziri wa Ahmadinejad alijihangaisha kutafuta walau cheti hicho feki ... na hii si mara ya kwanza ambapo Rais Ahmadinejad anaita ( anakebehi ) nyaraka muhimu kuwa ni makaratasi yanayoweza kuchanwa wakati wowote kumaanisha kwamba hayana maana .
(trg)="8.12"> 伊朗總統仍為內政部長辯護 ,
(trg)="8.13"> 表示 「 我們不需要那些廢紙 !
(trg)="8.14"> 」 ,
(src)="8.3"> Hapo mwanzo aliwahi kusema kuwa nyaraka zilizoonyesha msimamo wa Umoja wa Mataifa dhidi ya Mpango wa Nyuklia wa Irani kama makaratasi yasiyo na maana .
(trg)="8.23"> 總統的媒體顧問Ali Akbar Javanfekr表示 ,
(src)="8.4"> Ali Akbar Javanfekr , Mshauri wa Rais Ahmadijad katika masuala ya mawasiliano na vyombo vya habari , anasema kwamba Wizara ya Sayansi itoe uamuzi kuhusu Shahada ya Udaktari ya Kordan na anapendekeza kwamba tusiingize au kuhusisha katika siasa mtazamo na maoni binafsi kuhusu suala hili .
(trg)="8.24"> 科學部應對Kordan的博士學歷認定做出裁決 ,
(trg)="8.25"> 並建議最好不要帶入太多個人政治見解 。
# sw/2008_09_paraguai-rais-lugo-kutopokea-mshahara_.xml.gz
# zht/2008_09_05_1328_.xml.gz
(src)="1.1"> Paraguai : Rais Lugo Kutopokea Mshahara
(trg)="1.1"> 巴拉圭 : 總統放棄領月薪
(src)="1.2"> Utawala wa Rais Ferdinand Lugo umeanza na tangazo kuwa hatapokea mshahara wake wa mwezi .
(trg)="2.1"> 巴拉圭總統盧戈 ( Fernando Lugo ) 一上任 ,
(src)="1.3"> " Sihitaji mshahara huo , ambao unapaswa kumilikiwa na masikini , " alisema Lugo .
(trg)="2.3"> 這筆錢應屬於貧戶 」 ,
(src)="2.2"> Hata hivyo , Rodriguez anaangalia mambo tofauti :
(trg)="3.6"> 在目前情況下 ,
(src)="2.3"> Katika tangazo la Lugo kusamehe mshara wake , tunaona ujumbe wake ni kwamba " sipo hapa kwa ajili ya pesa . "
(trg)="3.8"> 希望傳達給我們的訊息是 : 「 我不是為錢而來 」 ,
(src)="2.4"> Ni ujumbe ulio juu na wenye umuhimu mkubwa kwenye nchi ambayo asilimia kubwa ya wanasiasa , huingia kwenye nyanja hiyo kutafuta nguvu za kisiasa ambazo huwakisha kwenye nguvu za kiuchumi kwa muda mfupi inavyowezekana , kwa kuiba .
(trg)="3.9"> 厄瓜多有很大一部分的政治人物之所以爭取政治權力 ,
(src)="2.5"> Hata hivyo , jorge Torres Romero wa Detras del Papel haoni mambo katika njia hiyo na anfikiri ulikuwa uamuzi usio makini :
(trg)="3.10"> 是為了能盡速掌控經濟權力竊取致富 ,
(src)="3.1"> Siku baada ya tangazo la Lugo , wanahabari wachache waliuliza swali je ni nani ana hiyari ya kufuata mfano wa rais .
(trg)="3.11"> 因此盧戈這是件相當關鍵且偉大的訊息 。
(src)="3.2"> Ni wazi , hakuna mmoja , Federico Franco ( Makamu Mpya wa Rais ) , kwa mfano , alisema yeye ana familia ya kutunza na kwamba hataghairi haki yake ya kupokea mshahara .
(trg)="3.15"> 有些媒體詢問有誰會效法總統的作為 ?
(src)="3.3"> Rais ataishi kwa kutumia nini ?
(trg)="3.16"> 顯然沒有 ,
(src)="3.4"> Nani atakayelipia gharama za mavazi yake , chakula chake , na gharama nyingine atakazozikabili ?
(trg)="3.18"> 不會放棄工作領薪的合法權力 。
(src)="3.5"> Je ana akiba kubwa kiasi hicho ?
(trg)="3.19"> 放棄薪水之後 ,
(src)="3.6"> Je ataishi kutokana na kodi ya mali zake ?
(trg)="3.23"> 要怎麼付房租 ?
(src)="3.7"> Je atajilipia kodi ?
(trg)="3.24"> 他要納稅嗎 ?
(src)="3.8"> Au atasubiri misaada , zawadi na mialiko kutoka kwa marafiki zake ?
(trg)="3.27"> 依據創用CC原則使用
# sw/2008_09_angola-uchaguzi-katika-picha_.xml.gz
# zht/2008_09_06_1330_.xml.gz
(src)="1.1"> Angola : Uchaguzi Katika Picha
(trg)="1.1"> 安哥拉 : 用照片說大選故事
(src)="1.2"> Ijumaa hii ya tarehe 5 Septemba ilikuwa ni siku maalum katika Angola .
(trg)="2.1"> 2008年9月5日這天對安哥拉意義非凡 ,
(src)="1.3"> Baada ya kampeni vuguvugu za uchaguzi , umma ulijawa shauku ya kupiga kura kwa ajili ya bunge jipya baada ya miaka 16.
(trg)="2.8"> 不過由於物流裝配延誤選票運送 ,
(src)="1.4"> Kwa watu wengi , hii ilikuwa ni fursa yao ya kwanza kutumia haki yao ya kupiga kura .
(trg)="3.1"> 部落格圈對選舉的反應逐漸出現 ,
(src)="2.1"> Wakati ambapo maoni yanaanza kujitokeza katika mtandao wa wanablogu , ripoti kamili iko njiani . Kwa sasa zifuatazo ni picha zinazoonyesha siku hiyo ya kihistoria , kama zinavyoorodheshwa na Jose Manuel Lima da Silva , mtumiaji wa huduma ya Flickr Kool2bBop , pamoja na nukuu zake :
(trg)="3.4"> 記錄這歷史性一刻的前幾天 ,
(trg)="3.5"> 照片由José Manuel Lima da Silva提供 ( Flickr帳號Kool2bBop ) ,
(trg)="3.6"> 以及他個人的圖說 :
(src)="2.2"> Umoja wa Kitaifa .
(trg)="3.7"> 全國團結 ,
(src)="2.3"> Angola inuonyesha ulimwengu kwamba , pamoja na tofauti zilizopo , ina wananchi wenye mshikamano .
(trg)="3.8"> 安哥拉向世界展現 ,
(src)="2.4"> Watu wamoja na Taifa moja .
(trg)="3.9"> 容或存在差異 ,
(src)="2.5"> Tunatumaini kuwa itakuwa hivi mpaka mwisho - moyo wa kitaifa !
(trg)="3.10"> 人民依然團結 ,
(src)="10.1"> Kuna picha nyingi zaidi za siku hiyo kubwa kwenye tovuti za picha za Flickr za Tiago Sousa na Sam .
(trg)="3.16"> 還有更多選舉當天的照片 。
(src)="11.1"> Karibia watu milioni 8.3 wamejiandikisha kupiga kura , ili kuchagua wagombea zaidi ya 5,000 kutoka katika vyama 10 vya siasa na vile vya mseto .
(trg)="4.2"> 十個政黨與四個聯盟共推出超過5000名候選人 ,
(src)="11.2"> Kuna jumla ya viti 220 vya bunge .
(trg)="4.3"> 角逐國會220個席次 。
# sw/2008_09_irani-redio-zamaneh-redio-ya-mabloga_.xml.gz
# zht/2008_09_12_1346_.xml.gz
(src)="1.1"> Irani : Redio Zamaneh , Redio ya Mabloga
(trg)="1.1"> 伊朗 : 部落客的電台
(src)="1.2"> Redio Zamaneh ni redio ya lugha ya kipersia yenye makao yake huko mjini Amsterdam .
(trg)="2.3"> 這個獨立廣播電台很有意思 ,
(src)="1.3"> Zamaneh ni neno linalomaanisha " wakati " katika lugha hiyo .
(trg)="2.4"> 在荷蘭登記為非營利組織 ,
(src)="1.4"> Redio Zamaneh ( RZ ) ni chombo huru cha utangazaji kilichosajiliwa kama asasi isiyo ya kiserikali huko Uholanzi , kikiwa na studio na makao yake makuu mjini Amsterdam .
(trg)="2.6"> 計畫統籌單位為荷蘭非政府組織Press Now 。
(src)="1.5"> Mratibu wa redio hiyo ni Asasi isiyo ya kiserikali ya Kidachi ijulikanayo kama Press Now .
(trg)="2.7"> 電台約在兩年前成立 ,
(src)="1.6"> Redio hiyo ilizinduliwa yapata miaka miwili iliyopita na imejipachika lahaja kwa jina la " redio ya mabloga " .
(trg)="2.8"> 自稱是 「 部落客的廣播電台 」 。
(src)="2.1"> Bloga na mpiga picha Kamran Ashtray , ambaye pia ni mkurugenzi wa mawasiliano na maendeleo anaeleza changamoto , matumaini , na mafanikio ya nyanja ya uanahabari wa kiraia wa Irani .
(trg)="3.1"> Kamran Ashtary是部落客 、 攝影師與電台溝通與發展部主任 ,
(src)="3.1"> RZ inajiita Redio ya mabloga .
(trg)="4.1"> RZ自稱是部落客的廣播電台 ,
(src)="3.2"> Kwa nini kauli mbiu hiyo ?
(trg)="4.2"> 為何以此訴求 ?
(src)="3.3"> Ni kwa kuiwango gani mabloga wameweza kushawishi muelekeo wa wa RZ ?
(trg)="4.3"> RZ對部落客有何影響力 ?
(src)="4.1"> Waandishi wengi wa habari nchini Irani wameanza kublogu kwa sababu magazeti mengi yanaendelea kughasiwa na kufungwa .
(trg)="4.10"> 與部落客聯繫再自然也不過 ,
(src)="4.2"> Wengi wa wachangiaji wa Redio Zamaneh walikuwa na bado ni mabloga .
(trg)="4.11"> 自2006年8月成立以來 ,
(src)="4.3"> Mkurugenzi wetu , Mehdi jami , alianza kublogu kwa miaka kadhaa kabla ya kujiunga na Redio Zamaneh .
(trg)="4.13"> 許多部落客也參與電台發展 。
(src)="5.1"> Kwa kuwa sera ya habari ya Redio Zamaneh imejikita kewenye uandishi wa kiraia , kuwafikia mabloga ilikuwa ni jambo la wazi .
(trg)="4.14"> RZ在許多方面皆與部落客緊密相連 ,
(src)="5.2"> Kuanzia mwezi wa Agosti 2006 , wakati Redio Zamaneh ilipoanzishwa , tumewahusisha na kuwatangaza mabloga katika tovuti yetu na katika programu za redio yetu .
(trg)="4.16"> 電台希望創造雙向溝通 ,
(trg)="4.17"> 這也正是部落格的特性 ,